Тёмный

JOSLINE ANAFUNGUKA MAZITO/ KILICHOMUINGIZA KWENYE../ CHANZO CHA YOTE/ DULLY SYKES/ BIFU NA MR BLUE 

Dar24 Media
Подписаться 726 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Опубликовано:

 

19 фев 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 110   
@siraaronmallya425
@siraaronmallya425 Год назад
Brother Joslin wimbo wako ulinipa pesa sanaa ule niite basi....i was in primary and i was doing writing for others such song and paid....i was like grade 5 or6
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 Год назад
My role model enzi hizooo!!Amenishape namna flani kuwa Smart n swag!! He's still humble n minato na midondoko ile ile!!He was way a head of time!!
@nathanielmpeta6144
@nathanielmpeta6144 Год назад
Jamaa ana love sana na washkaji zake after all these years, this is rare.. he is a real one!
@karimhemed9261
@karimhemed9261 Год назад
Bonge La Interview.. Joseline Anajua Sana Kujieleza Katulia.. Huchoki Kumsikiliza 🙌🏾 Presenter Anauliza Maswali Ya Msingi Sana.. BEST 2023 INTERVIEW SO FAR..!!
@dar24media
@dar24media Год назад
Ahsante sana Karim
@SoudyBrown
@SoudyBrown Год назад
Sure 100%
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 Год назад
@@SoudyBrown Ni yule wa makorokocho
@chancesholdan342
@chancesholdan342 Год назад
Nigga got swagg! Can be market if he's serious #Jos+Jos
@SoudyBrown
@SoudyBrown Год назад
Maaaan…. mwamba Kaua sanaaaa, nimependa sehem aliyotangaza Vita 😂🙌
@dar24media
@dar24media Год назад
Shukrani sana
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Год назад
Me nampenda sana akiongea yaan natamani arudi kwenye game aisee he's absolutely amazing
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Год назад
Joslin you are big na Sasa tuko kwenye digital world you don't need no body... Just take your content to the digital.. Yani hata ukianzisha Podcast unatoka watu wanapenda kukusikiliza tu hata Kama huimbi.. una vibe na Kila mtu.. Mungu unayemuomba akusaidie you are good to Gooooo! 🔥🔥🔥🔥🔥
@ezekielchengula2228
@ezekielchengula2228 Год назад
Comment nzuri sana. Hope ataifanyia kazi.
@pascalcostantine4478
@pascalcostantine4478 Год назад
Jos ameongea FACT sana kuhusu kuimba nyimbo za mtu kwa stage. Respect you bro
@naseem7188
@naseem7188 6 месяцев назад
najihisi machozi kunitoka siamini kama leo nimemuona tena msanii ninayempenda josilini nakumbuka mbali sana ,natamani urudi kwenye game nimemiss sana swaga zako mnyamwezi mpaka leo nikiwa na washikaji wa mtaa tunajiita wakali kwanza ,nakuzimia sana mwamba josline song zako tamu mshkaji mmoja ,niite basi ,perfume ,kariakoo nzima
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 Год назад
Anaongea Kama ana rap you just want keep listening 👍🏾👍🏾👍🏾
@shepherdmosha1610
@shepherdmosha1610 Год назад
Mimi ninachokiona leo ni tofauti na ile interview ya wale shilawadu, nakuomba sana Jos stay possitive bro najua ni ngumu kuachana na urahimu ila ni rahisi kuachana na marafiki wanaokupelekea kwenye urahimu, namba 1 wa kuachana nae ni yule mliyekua nae kwenye ile interview, kwa sababu ndiye niliyemuona, wengine siwajui ila achana nao. Muombe Mungu akusaidie kwa hili na ikibidi mkabidhi maisha yako okoka. Mengine yatakaa sawa kadhi Mungu atakavyo bariki. Sisi tunaokujua kipindi kile tunasikiliza nyimbo zenu kwenye SONY WALKMAN unakua na zile kanda za (Kali za bongo) ndio tuna uchungu na nyie. Ni hayo tuu.
@charlschito6867
@charlschito6867 Год назад
Ebnae wanakuita Shepherd Mosha yaani ushauri na maoni yote umenifilisi umepita pooote nlipo waza kupita khs Josline ''Man of GOD , ile interview ilini jeruhi kumuona JOS yupo vile .... Huwezi amini kazi zke na Wakali kwanza sie ndio twackiliza hdi nukta hii
@thespot1435
@thespot1435 Год назад
Urahimu ndo nini?
@CleverMjaggah-uv8on
@CleverMjaggah-uv8on 5 месяцев назад
Nn kilifanya akapotea kwenye game
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
Jamaa bonge Moja la singer rnb i'la dah his pambana bana...
@babrashabanu7073
@babrashabanu7073 Год назад
Una swaga sana bro
@ed3ezekiel388
@ed3ezekiel388 Год назад
Much respect bro ✌
@J96tz
@J96tz Год назад
Joseline my model namkubali Sana sana mpaka uzee wangu niufikie nitamsikiliza @j96_sna every where napatikana
@abelkilumbu9205
@abelkilumbu9205 Год назад
Ngoma za wakali kwanza nilizinunulia daftari maalum nikaziandika na penseli za rangi 😀
@sasquaremusic3140
@sasquaremusic3140 Год назад
Bro uko vizuri katika kumhoji msanii na pia msanii brother josline yuko vizuri katika kujibu na kuelezea kwakweli tumelizika kwa interview..Ila naomba mtafuten na spack wa nipe report (tunda na spack)
@yusuphkidoto6766
@yusuphkidoto6766 Год назад
Ndugu mtangazaji mtafutee msanii mirror mfanye interview
@salimramadhani740
@salimramadhani740 Год назад
Yes Very good ❤🇧🇮🇧🇮from Burundi in Cape Town
@jovitham6003
@jovitham6003 Год назад
Big up dogo👍 makofi kwa wingi. Niseme tu kwamba,,, kuimba nyimbo ya msanii jukwaani ni makosa. Ni kumuibia msanii kazi zake. Ndio maana utasikia ughaibuni,, hata ile tu kupost nyimbo ya msanii utasikia " I have no right to this song,, huu mwimbo ni mwimbo wa . .... mfano huu mwimbo ni mwimbo wa Joslin,, au kwa ruhusa ya Joslin,,, tena kila ukiucheza asilimia fulani ya malipo inakwenda kwa muhusika wa nyimbo yake. ( period./ nukta )
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 Год назад
Wimbo na wewe sio MWIMBO
@efraimrichard6440
@efraimrichard6440 Год назад
Sema joslin mnyamwezi sana kapoa kinyamwezi hata ongea yake ya kinyamwezi sana Nakubali sana
@hezekiahelbertonline6831
@hezekiahelbertonline6831 Год назад
Bila hata kupepesa macho nafikiria Barnaba Classic atakuwa amekuelewa vizuri 🤔🤔🤔
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 8 месяцев назад
One love bro. Nakumbuka busara zako na mchango wako for the truck we sung together going by the name of TUWE WOTE by Phantyrhymes ft Joslin. Kali sana hii
@goustonefrancisisole2534
@goustonefrancisisole2534 Год назад
Nimeona video fupi asee...... One of the best.....
@richardsaikong1138
@richardsaikong1138 Год назад
He still got it basing on the response to the questions
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
So
@ibrahimurichard377
@ibrahimurichard377 Год назад
Background sauti ipo juu sana
@tahataly2413
@tahataly2413 Год назад
Young Dollar Baibe 🔥🔥
@ommarysaid7391
@ommarysaid7391 Год назад
Big up Joslin
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 Год назад
Best online Tanzania 🇹🇿
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Kingine huruma haina bahati Joslin kuna muda mdomo unaokoa siunaona kina t, I, d mdomo tu ndounauweka kwene game but hamna kitu
@bakariabdallah8702
@bakariabdallah8702 Год назад
bonge la interview na joseline
@rasdaudi4199
@rasdaudi4199 Год назад
Peace Peace MAN I Josline#
@hefsibahunkie7376
@hefsibahunkie7376 Год назад
when was this?
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Год назад
DAR24 WALETENI WOTE WAKALI KWANZA TUWASIKIE KWENYE INTERVIEW.
@adamore854
@adamore854 Год назад
Jamaa ni mwenye nidham kubwa ya maongezi.
@kisoso890
@kisoso890 Год назад
Much respect love ndugu yangu jos
@husseinwemmar6217
@husseinwemmar6217 Год назад
Anaongea kwa upole kama Onmmy dimples
@imanrogers5309
@imanrogers5309 Год назад
Jaman nina weza kupata namba za Joslin
@veenpoul900
@veenpoul900 Год назад
Wendoambaye umemkopi blue,,,, hyo style alianza nayo blue nandmn hata kimafanikio blue amekuacha mbali sanaaaaa
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 Год назад
29;15 hapo ndo kaanza kuzungumzia beef yake na duly😁
@hiphopoldschoolkalama1405
@hiphopoldschoolkalama1405 11 месяцев назад
Jamaa anaongea fresh sana. Hana majigambo ako ntulivu sana.
@mudriqbutton8372
@mudriqbutton8372 Год назад
Ila kwenye dhahabu josline kaua kinoma
@umelamedia
@umelamedia Год назад
Interview nzuri
@lujobilz7482
@lujobilz7482 Год назад
👊
@MrNdanguza
@MrNdanguza Год назад
Jama anaongea kinyamwezi sana kama zamani sehemu zetu za posta enzi hizo duh zilikua swag mwanzo mwisho nimemiss dar yazaman .!!
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Год назад
Kwel kabis ezi izo blue alikuwa mkali sana wa izo mambo
@uvuvweweonyetenyevwe1348
@uvuvweweonyetenyevwe1348 Год назад
Hii ni kabla au baada ya ile aloojiwa na akina maimartha?
@subzig8521
@subzig8521 Год назад
Kiukweli,tu,josline anakipaji kikubwa zaidi ya blue,sema tu blue ana bahati zaidi ya josline,
@dismaskimario389
@dismaskimario389 Год назад
Tatizo wasanii wengi wa zamani wameshindwa kuendana na kasi ya mabadiliko ya utandawazi, especially from analogy (hard copy) selling system to softcopy au digital selling system. afu wanalalamika sana hawataki kujishusha maisha yaende.
@Lky589
@Lky589 Год назад
Kuna kitu kipo nyuma Bado hujakijua, haohao waliowafanya tuwajue ndo haohao wanaofanya tuwaone hivo 🙏🙏🙏.
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
For sure joh but alichokupa mungu lazima Dunia ijue na mwisho uwezo wa mungu awe mpaka mwisho wa Dunia lkn sio Kwa Hawa Wana damu namini ipo tym yako sahihi ambavyo wewe utatoboa upya ukiachana na wanafiki walokushika mwanzo
@faza4023
@faza4023 Год назад
Duh bro umeongea point sana..alichokupa MUNGU hakipotei na watu watakujua kwa icho sababu amekupa icho ili uwafikie watu.
@veenpoul900
@veenpoul900 Год назад
Tatizo lake umarekani mwingi ndmn wanaishia kwny madawa2
@Boaz22
@Boaz22 Год назад
Dar 24 mlikosa meza ya kuweka vikombe?? Mbona mnatia aibu media kubwa kama yenu jamani..
@mphotshoke7760
@mphotshoke7760 Год назад
🍁🍁✌️🇿🇦
@Titointokyo
@Titointokyo Год назад
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@kisoso890
@kisoso890 Год назад
Kijana wetu wa Enzi zetu bilcanas
@Marjeby
@Marjeby Год назад
Vichwa kama hivi vinepotea kwa mambo ya kisenge senge tu jamaa kama huyu unaweza kumfananisha na msanii kama Konge boy kwenye kona gani?muonekano?kuimba?akili kubwa?kujieleza konde boy haingi kokote but kikubwa kinacho waponza watu kama hawa ni umjini wa kupita kiasi ndio unawapoteza mpaka wana angukia kwenye vitu vya kishamba
@travy0110
@travy0110 Год назад
Kwa nini usimtolee mfano diamond platnumz, mpk umseme tena Kwa kumtaja konde boy... Got yourself discipline.. point unayo Ila don't mention people... F***k.
@mwecmapesa3623
@mwecmapesa3623 Год назад
@@travy0110 😁😁
@magdalenapaulo1776
@magdalenapaulo1776 Год назад
@@travy0110 sasa huyo Dogo si bange ndo zinafanya watu wamtolee mfano na sio smart huyo Dogo au ulitaka amtolee mfano babaako
@travy0110
@travy0110 Год назад
@@magdalenapaulo1776 angemtolea bwana ako anaekupiga K, ingekuwa poa sana,.. bange zimefanyaje, wasanii wangapi dunian tena wakubwa na wanaheshimika wanakula bangi, na wanafanya vizur.. nkuambie kitu kama ulikuwa ulikuwa hujui wasanii 90% wanavuta bangi,.... Haya huyo mondi aliyekondeana Kwa madawa.. Acha upumbavu mwambie bwana ako akukaze vizur akili ivujie vizur.. na umwambie bwana ako aache Kula bange na yeye, Sawa mage
@abelmbilinyi1262
@abelmbilinyi1262 Год назад
Kabisaaa✊
@agynoel2846
@agynoel2846 Год назад
Ivi Joseline huyu ndo yule niliemuona Kwa kina juma lokole mbona kama Yuko tofauti na yule
@abelmbilinyi1262
@abelmbilinyi1262 Год назад
Na Mimi ngoja nisubir jibu hapa
@godfreysangu8954
@godfreysangu8954 Год назад
@@abelmbilinyi1262 Ndo huyu huyu lakini inawezekana kapata watu wazuri wa psychology wamemrudisha kwenye hali ya kujitambua kwa haraka sana. Kapata tiba sahihi na amekubali kubadilika
@audaxmlowa9953
@audaxmlowa9953 Год назад
Nadhani na kamera pia
@goustonefrancisisole2534
@goustonefrancisisole2534 Год назад
Ile interview haikuwa planned.... Ilikuwa accident kuonekana karibu na studio.....
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 11 месяцев назад
watu alowa-inspire ni: Mr. blue, ommy dimpoz na Gosby..
@steveanthon5523
@steveanthon5523 2 месяца назад
Mr blue alianza muziki nakuanza kuonekana kwenye tv kabla ya Joseline
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 месяца назад
@@steveanthon5523 josling ndo wa kwanza kurap kwa mapoz, blue kaiga.. ndo maana dully aliwaeka ktk Dhahabu
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Год назад
Madawa ya kulevya mabaya Sana.
@NaimaKhamissy-cx7sh
@NaimaKhamissy-cx7sh Год назад
Kweli tena
@allyhabibu1117
@allyhabibu1117 Год назад
Mwanetu
@robertmodestmushema1297
@robertmodestmushema1297 Год назад
I just wish huyu jamaa angetafuta identity yake badala ya kupmbana kumuiga Millard kwa sauti. Evryone has a golden chance to create an new thing in the industry
@joshuamakota6714
@joshuamakota6714 Год назад
Anaiga mpaka upoaji aisee
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Год назад
Ww uoni mapresents wengi walitokea kumuig adam mchov yan iyo ipo ulifany kizuri watu watapenda tu nakuiga
@joshuamakota6714
@joshuamakota6714 Год назад
@@yusuphswai6851 sil kuiga huko sasa yani kumcopy kabisa mtu, ni vizuri kuvutiwa na mtu ila sio kujaribu kua yeye na wewe kua wewe maana huwezi kamwe kua yeye ila utaonekana tu kua unamuiga yeye.
@ed3ezekiel388
@ed3ezekiel388 Год назад
Kijana ebu fatilia vizur kati ya huyo millad wko na J nan alianza game 😅😅 wakat wakina J wanatamba hii dasalama huyo millad wako alikuwa anatafuta siso sasa unamlinganisha vp na J
@ezekielchengula2228
@ezekielchengula2228 Год назад
Tone ya Joslin ndiyo hii hii hata kabla ya Millard.
@imanrogers5309
@imanrogers5309 Год назад
Dar 24 naombeni namba za Joslin
@dar24media
@dar24media Год назад
Tunaomba utupatie namba yako kupia Instagram 'DM'
@uvuvweweonyetenyevwe1348
@uvuvweweonyetenyevwe1348 Год назад
@@dar24media hii interview ya lin mazee
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Год назад
Ongea Sana usikae kimya
@thandiweonkhwazi8164
@thandiweonkhwazi8164 Год назад
Punguzeni sauti ya hako ka mziki kana bore
@micahkalume7826
@micahkalume7826 11 месяцев назад
Collabo yake na Dully & Mr Blue aliua sana uyo mwamba
Далее
jua kali leo alhamis 25-7-2024
21:04
Просмотров 23 тыс.