"Huku kujitapa kote kwa miradi hii munayoiona hakuna ulichokileta wewe ni fedha, za Uviko zilizoletwa na Mama Samia na ACT kutoa Mchango wake, kuna siku tutayaweka hadharani yote" Ismail Jussa Ladhu Makamu Mwenyekiti (Z) @ACTwazalendo
Sawa kabisa Mr, mbungo endelea kucharaza hd aseme nimekoma narudi mkuranga & mashaAllah ww ni tunuyetu ya znz a,c,t ndio chama letu ❤from ymn mm na Zanzibar ❤ Zanzibar na mimi
Hivi nyie watu weusi mnayemshabikia Jussa kumbagua Mwinyi hamjui ndivyo hivyo mababu zake Jussa walivyokuwa wakiwabagua babu zenu kabla ya Mapinduzi ? fumbueni macho, hivyo ndivyo wageni walivyoweza kutugawa na kututawala walipokuja Africa, sisi watu weusi ni wajinga na ndiyo maana wageni wachache walikuja huko walikotoka pamoja na uchache wao, wakatutawala kilaiini, jivunieni uafrika wenu
@@omarmohammed5157 ULINIELEWA MAANA YANGU? ZANZIBAR INAINYONYA TANGANYIKA KWAKUTUMIA MLIJA UNAOITWA TANZANIA SO KAMA MUUNGANO UNAMAANA BAS ZANZIBAR ibaki zanzibar kama Ichi na Tanganyika ionekane ibaki kama ichi dhen kuwe n'a selikali ya kushughrikia maswala ya muungano, ila kwa sasa Tanganyika imepotea
Waongo ccm tngu enzi za mababu namabibi zetu znzbr inajengwa barabra tu 😂😂😂😂wala hazimalizi wjinga km nyie ndio mnadangwanywa et kuna maendeleo 😂😂😂😂😂😂shtuka mjomba maendeleo yccm nibrbr tu
@@kassim1262 Kuitetea Zanzibar na kuwabana CCM wala siyo tatizo, tatizo ni pale Kumbaro Jussa anavyotaka eti yeye awe ni Mzanzibari zaidi ya Mwinyi, hivi kweli Kumbaro awe na haki Zanzibar kuliko Mwafrika na nyie watu weusi wenzangu mliobaguliwa na hao Makumbaro na Wamanga waliopinduliwa mnakubali kuwa Jussa ni ndugu yenu zaidi kuliko Mwinyi !!??, hivi mkiwekwa hapo mbele nyie mnafanana na Jussa au Hussein Mwinyi ? 😄 Hebu jaribuni kuona haya japo kidogo basi 😜
WEWE GUJIRATI INDIA MBINA HUENDI KWENU .HIVYO MWINYI KWA ZANZIBAR SAWA NA WEWE. WEWE MUHINDI MUHINDI TU WACHA UBAGUZI. SEMA MENGINE UBAKISHE USIMALIZE YOTE. SISI WAPEMBA TUNA NENO TUNAITA KUAKIBIZA. KWA HIVYO AKIBIZA
Wewe kichwa box jussa kindaki ndaki mzawa kabisa cc hatutwmbui uwepo wa mkuranga arudi kwao ht wewe asiliyako yatoka ama umetokea chini ya ardhi uliza mababuzako wp kwao jb utalipata box lilisilo eleweka
WANASIASA WA TANZANIA WANAYUMBA SANA UNASIKIA HUYU MZAZIBAR MWINGI ANASEMA HUYU MNDENGEREKO HII KWA VIJANA WA KITANZANIA HAINA MASHIKO UBAGUZI HAKUNA NAFASI WW TAZAMA MCHANGA ANAGOMBEA MOROGORO UBUGE ANAPATA KUNA MIFANO MINGI ACHENI HIZO BADILISHENI SWAGA SASA
Wazanzibar wanapitia mengi machungu ndio maana wanafunguka, we hujui, siri ya mtungi aijuae kata!!wazanzibar hawana tofaut kubwa na wasomalia, ambao wanaikimbia nchi yao na kuenda kutafuta maisha nje ya nchi yao, hali nchi ina rasilimali za kutosha.
Watanzania wanataka kuona historia yenu ya mafanikio huko nyuma!! Kukosoa ni RAHISI mno, Jussa!! Kutimiza ni kitu kingine!! Hebu Jussa tuonyeshe nini ulifanya nyuma ili watu wakuamini wewe hutafuti madaraka tu!!!
@@kassim1262 mimi siongei juu ya Chama au CCM ... mimi naongea Jussa na wenzake watuonyeshe nini hasa cha mafanikio walifanya nyuma ... ili tuwaamini!!
@@nailamohd-wn6sb Mapinduzi daima ! Dola ZNZ haipatikani kwa makaratasi, kumpa dola Jussa ni sawa na kudhihaki Mapinduzi matukufu ya mwaka 1964 , sawa na kumrudisha Sultan aje kutunyanyasa tena