Juma mwanangu, nimefurahi kwa hili Mungu Jehova hakulinde, hakutangulie, hawe nawe kwenye kila hatua utayopita. Be always blessed. Sasa umefanana sana kama baba yako marehemu. Salimia mama Mery, Fatuma,.❤❤❤❤❤❤❤😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇸🇪🇸🇪🇸🇪🙏😁 .Rither.
Kashasema ametoa misaada sana bila camera na leo ndo tumejua kama nimtoaji mzuri tu behind the camera .... lengo la yy kuita media ni kuwapa uthubutu na wengine wakatoe misaada maeneo ya mbali. Alichokifanya ni kuhamasisha na ww ukatoe ata usipoita waandishi wa habari ila ukatoe na ww .! Muache kusema watu vibaya
Jamani Jux umefanya jambo jema Allah akujaalie,lakini naomba namie unisaidie ada laki mbili na nusu mwanangu yupo form six mpaka leo hajaenda kwani nimekwama nakama kunamtu umu atawiwa anisaidie wallah 😢🤲🙏 Inshaallah 🙏
Mtt wakiisilam na miheren kam mwanamke muww mnakumbuka ipo siku mtakuw ndan ya tumbo la aridhi na mkatow maheren nyie jamna kifo huja khafula bila taarifa mungu awajalie mwisho mwem wallah
Bro, hizo ndo changamoto zawalimwengu. Me binafsi nakushukuru kwaulichokifanya na wengine wenye mioyo na imani basi wataiga mfano wako Mungu ndie mtoa hukumu( usife moyo bro)
Usimuhkum mwezio kabla ujajihukum wewe mwenyewe. Wewe ni mkamilifi??? Wachakukosoa watu na kujifanya mumeen. Kupata mtoto ni majaaliwa. Kama ukujaaliwa hata ukaowa wake wanne. Mpuzi sana Jingazzzzz.
Wasani mnaofanya ujinga kama huu acheni kabisa huu niujinga nakuto kusoma dini inavo takiwa huo sio wema uko nikijionesha kwa watu unafanya ria kwan huwez kufanya bila kuita waandishi au acheni ulimbukeni kweny dini yetu fanyeni matendo yenu kwa Siri
Kashasema ametoa misaada sana bila camera na leo ndo tumejua kama nimtoaji mzuri tu behind the camera .... lengo la yy kuita media ni kuwapa uthubutu na wengine wakatoe misaada maeneo ya mbali. Alichokifanya ni kuhamasisha na ww ukatoe ata usipoita waandishi wa habari ila ukatoe na ww .! Muache kusema watu vibaya