Тёмный
No video :(

KABLA YA KUUMBWA DUNIA ALLAH ALIKUA WAPI?// SHEIKH OTHMAN MAALIM 

arkas online tv
Подписаться 125 тыс.
Просмотров 405 тыс.
50% 1

Ni swali zito lakini hata Mtume wetu aliulizwa swali hili
ambalo limejikita sana katika TAUHID

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 523   
@jeremiahmoemi9606
@jeremiahmoemi9606 11 месяцев назад
Nilisilimu mimi na familia yangu yote kwa ajili ya haya mawaidha ya kupendeza hivy😊❤
@aishawangui-pr4ye
@aishawangui-pr4ye 11 месяцев назад
Neema kumbwa iyo Allahu Akbar..mimi peke ata watoto wangu bado ..yarabbi fungua roho ya watoto wangu waseme shade kabla mauti
@HASSANNGOME-ow3ob
@HASSANNGOME-ow3ob 10 месяцев назад
Mashaallah! Allah akupe ucha mungu wewe pamoja na familia yako
@adijarashidswedi6979
@adijarashidswedi6979 10 месяцев назад
Manshallah 🤲
@abdullakhalfan31
@abdullakhalfan31 10 месяцев назад
MASHAA ALLAH
@yaedlifemedia3203
@yaedlifemedia3203 10 месяцев назад
​@@aishawangui-pr4yehakika watakuwa kwa uwezo wa Allah
@Seifchui007
@Seifchui007 5 месяцев назад
Sheikh Athuman maalim ni mtu WA maana kabisa Allah akupe umri mrefu
@jumannembaraka5528
@jumannembaraka5528 5 месяцев назад
Mungu akujaalie umri mrefu uzidi kutupa elimu
@Felice_Dubet
@Felice_Dubet 5 месяцев назад
Alhamdullilah suala la mungu watu wengi wanajiuliza. Sheekhe wewe umejibu vizuri masha Allah. Allah akupe baraka
@moodyyahaya3040
@moodyyahaya3040 5 месяцев назад
A.alyekum
@DaudaBilikesi
@DaudaBilikesi 29 дней назад
Allah akusimike na akuimarishe katika imani na taqwa Bwa Jeremiah kwa kusikia , kupokea na kuamini HAKI.
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 4 месяца назад
Allah namuomba anikutanishe nawe live kabla ya kufa nimuombe Allah akupe ninachokipeda kutoka kwake akupe maana wewe ni wa kuombewa jema wala siyo baya inshaallah
@herimwinge-et9ei
@herimwinge-et9ei 25 дней назад
Jazaka Allahu kheir, Mwenyezi Mungu atupe mwisho ulio mwema.
@iddikimia4951
@iddikimia4951 Год назад
Shekh Othman Allah akupe umri mrefu na afya njema❤
@fatmaomar2996
@fatmaomar2996 9 месяцев назад
Amiiiiiiiiiiiin Amiiiiiiiiiiiin thumma AmiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinN
@user-ie7yt9db6f
@user-ie7yt9db6f 6 месяцев назад
Ameen ya rabi
@badruboy__
@badruboy__ 5 месяцев назад
Amin 🤲
@nassorali1034
@nassorali1034 5 месяцев назад
Amiiin walahi laadhim ishaallah amjaalie
@seiffakir8694
@seiffakir8694 5 месяцев назад
Amin 🤲
@EstherKomba
@EstherKomba 6 месяцев назад
Mungu akubariki naomba t uniombee mm ni mkristo lakini nimeprndezwasana na mafundisho naomba unidlim
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 5 месяцев назад
Mtafute sheikh kwa namba hizo zilizoandikwa hapo juu in shaa Allah utaufahamu zaidi Uislam na utasilimu
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 4 месяца назад
Hivi unajua hadidhi maana yake nini?
@user-ei3ps8dw8h
@user-ei3ps8dw8h 3 месяца назад
Mungu atakuongoza amin sisi some wangonjjwa hata ni waislàmu mungu atutibu
@cishahayoali1136
@cishahayoali1136 11 месяцев назад
Mashaallah, sheikh wetu Allah akulipeni pepo ya firdaus aalaa, Ameen! tumeilimika kwa darsa hi!
@mrishosudi1896
@mrishosudi1896 Год назад
Allah Allah Allah Mawaidha Matam sana Allah azidi kumpa Afya Shekh wetu lakini pia na wanao fatilia darsa hili kwa nia ya kheri😊
@jeremiahmoemi9606
@jeremiahmoemi9606 11 месяцев назад
Uìslamu ndio Dini ya haki waaAllahu akbar
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 10 месяцев назад
Na ndiyo maana majini yalisilimu kuwa waislam.
@user-ce4ec5vc7j
@user-ce4ec5vc7j 9 месяцев назад
Naona kafiri unateseka sana😂😂😂
@leedsoldat4189
@leedsoldat4189 5 месяцев назад
Sasa Nan kafir apo????​@@user-ce4ec5vc7j
@handsomembuvi
@handsomembuvi 4 месяца назад
​@@mwassamwassa7264 Ndio, majini yanaona haki na binadamu aliyeahinda jini akili anashindwa kufutata haki
@AhAu2-oi5wn
@AhAu2-oi5wn 4 месяца назад
Barak llah....Allah akulipe kwa kutoa darsa
@michaelmwangi3669
@michaelmwangi3669 2 месяца назад
Nilisilimu mimi pia juu ya haya mawaidha but napigwa nyumbani kwetu na familia
@HamisaSimon
@HamisaSimon 3 месяца назад
mungu akuzidishiye kira raheri hakika mawaidha mazuri kwer
@user-eq9yi7pz4i
@user-eq9yi7pz4i 10 месяцев назад
Shukran shekhe wetu Kwa kutuelimisha,Allah akuzidishie kila la kher na tuzidi uelimishana na kuongozana katika mambo ya Kher In Sha Allah 🤲
@abdallaismail2427
@abdallaismail2427 10 месяцев назад
Niko na suali kwako Sheikh langu Allah akubarikie.... Umesema kua Allah kitu cha kwanza aliumba ni Kiti chake cha enzi, kiti hiki kiliwekwa juu ya maji, na kiumbe cha pili ni kalamu, Jee hiki kiumbe maji kiliumbwa kilikua namba ngapi ? Kwa maana umesema kua kiti cha enzi kiliwekwa juu ya maji jee haya maji yalikuwepo kabla ama ni vipi hapo sijafahamu naomba unifahamishe,, Napenda sana mawaidha yako Sheikh. Allah akujazi killa la kheri daima
@ramadhaniayoub8171
@ramadhaniayoub8171 9 месяцев назад
Allah akisema kuwa na kina kuwa
@kipangatz19
@kipangatz19 5 месяцев назад
Maji yalikuwa hali ya gesi
@zangzang1574
@zangzang1574 5 месяцев назад
Hutopata jibu apo shehe wangu.kuna kiti kuna karamu.sasa hiki kiti kilikaaa wapi? Na maji yalitokea wap Na yeye aliumba kiti kwaajili gani? uliza kama utapata jibu. 😂😂😂
@zangzang1574
@zangzang1574 5 месяцев назад
Story
@NeemaAlly-hu1rd
@NeemaAlly-hu1rd 3 месяца назад
At me nina mshukuru sana sheeh angu
@user-so9rn6ld3n
@user-so9rn6ld3n 8 месяцев назад
Sheikh hongera sana kwa kazi nzuri, Mungu kakujaalia Mungu akuzidishie kheri
@user-cf4kz8dq2d
@user-cf4kz8dq2d 8 дней назад
Mashallah tabaraka rahman
@user-ck3gw7ok7r
@user-ck3gw7ok7r 3 месяца назад
Allah akulipe na akutunze❤
@jymvumbi4804
@jymvumbi4804 Год назад
Subhana-Llah kwa kweli na uhakika Mungu ni Mkubwa Mno, na Ma-Sha-Allah kwa Sheikh wetu Uthman kwa kutuzindua akili kwa wenye ambao tulikuwa hatujielewi.
@HadjatiMayidiya
@HadjatiMayidiya 2 месяца назад
Jazakallah Kheir sheikh
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 11 месяцев назад
Allah akuhifadhwi shekh Othman Maalim, akupe mema ya duniani na Akhera
@user-he1bj6kt6y
@user-he1bj6kt6y Год назад
Innalillah wainnailaih rajiun Allah tulinde tusiwe iblisi mpinga ukweli, ukifa 2ukweli utauona na utajutia kila lililohaqi ukalipinga.
@rukiyakibera76
@rukiyakibera76 11 месяцев назад
Sheikh tafadhali record Quran yote, ili tusikilize sisi na vizazi vijavo, tabaraka Allah
@shinayzashiraaz4588
@shinayzashiraaz4588 3 месяца назад
Jazakumullah kheirun
@user-zz1mf2st5g
@user-zz1mf2st5g 10 месяцев назад
Mwenyezi mungu azidi kukuongoza na kukuhifadhi kwa ajili ya mawaidha mazuri
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 8 месяцев назад
SUBHANALLAH ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@user-ct6ml1iz4z
@user-ct6ml1iz4z Год назад
Shukrn shehe kwa darsa ya mola wetu wa haki
@evordluanda5184
@evordluanda5184 6 месяцев назад
Kumbe karamu nayo Mungu aliiumba. Nikajua imetengenezwa na Binadamu.
@user-vg7sh1qi5j
@user-vg7sh1qi5j 4 месяца назад
Allah(s.w) ameumba kila ktu kilichomo Mbinguni na ardhini! Allah ametupa elimu tu sisi wanaadamu ya kutengeneza vitu kwa uwezo wake yy! Alimfundish adam majina ya vitu vyotee vilivyomo duniani kwahyo tayar Allah aliumba kila ktu.
@kimwanachangani3922
@kimwanachangani3922 Год назад
SUBHANA LLAH WALAILAHA ILA LLAH ..AL MALIK QUDUUS
@universitylink
@universitylink 6 месяцев назад
Mashaallah kama unesilimu kwa mawaidha kama haya ya sheikh Othman Maalim Allah akulipe kheir na yeye katika hii dunia na Akhera maana ukimuongoza mtu mmoja ni bora kuliko ngamia Mia wekundu kwa sasa magari ya thamani yawe Mia ndio uone ubora wake. Pia Mashaallah Sheikh Othman Maalim ni mfasaha sana na anafundisha kwa njia iliyo nyepesi kabisa mnyonge mnyongeni haki yake mmpeni
@mohamedswadiq6732
@mohamedswadiq6732 Год назад
Darsa Ya Elimu MashaAllah
@user-lh8uc4re6o
@user-lh8uc4re6o 3 месяца назад
Allah akupe heri nyingi
@Issa_negro
@Issa_negro 8 месяцев назад
God is great fr😢
@swalehalaidaroos6074
@swalehalaidaroos6074 Год назад
TAKBIIIIR...ALLAHU'AKBAAR Jazakallah kher'inshallah yaa sheikhuna,
@user-eq9yi7pz4i
@user-eq9yi7pz4i 10 месяцев назад
Ma Sha Allah,kisa kizur nimejifunza mengi Alhamdulillahi
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 Год назад
Alhamdulilah. nakumbuka nikiwa mdogo nilimuuliza ili swali mama yangu.Nakumbuka nilimsumbua sana kila akinielewesha ndipo nilizidi kumuuliza zaidi.Mwisho akaniambia nilale , nikiamka atanipa jibu sahihi.
@mrsahmadhajraah1550
@mrsahmadhajraah1550 7 месяцев назад
Mashalah shukran sn shekh wwtu ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA, SHEKHE ZANGU OTHMANI MAALIM NA OTHMANI MICHAEL MNAFANANA USOMAJI MPAKA UONGEAJI
@Happy-be8hh
@Happy-be8hh Год назад
Kiufupi كان الله قبل خلق الزمان والمكان، وهو الآن على ما عليه كان Allah alikuepo kabla ya kuumba nyakati na sehemu, na yeye sasa hivi yupo alipokuepo
@MohamedDahir-hj2oq
@MohamedDahir-hj2oq 5 месяцев назад
Mansha Allah sheikh othman maalim mungu akuweke wacdi hii kwa mizani yako wakati ya aqira.
@abdaladelo371
@abdaladelo371 Год назад
Allahu akbaru lahhawla Wala quwata ila bilahi
@user-hj9wd4nc2y
@user-hj9wd4nc2y 4 месяца назад
Mashaalla othuman. Mungu akupe umri mrefu tuendele kujifunza darasa
@khalidirashidi2196
@khalidirashidi2196 8 месяцев назад
Mungu akulipe pepo shekhe wangu mi nitakuwa Askari wako wa peponi ishaallah
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 Год назад
Swallalah Allayhi Wasalam Jazzakumllah Khery
@user-lc5wf4ly3i
@user-lc5wf4ly3i 7 месяцев назад
Alhamdulilah shekhe Tunaelimika sana mawaidha yako yote yanatutowa kwenye kiza .Allah akulinde namashaani wakibinadamu na mashaitwaan wa kinijini (Ameen) Allah akupe umri mrefu( Ameen)
@user-dl1ju4ge3x
@user-dl1ju4ge3x 10 месяцев назад
Allah akutunze shekhe Othman, nimejifunza
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 5 месяцев назад
Hata mimi swali hilo la mungu alikuwa wap lilinisumbua sana!!
@kwisa4899
@kwisa4899 Месяц назад
Sasa hivi yupo wapi unajiuliza vitu vya kijinga unakakujua ya nyuma yaliyopo uyajui mbinguni ni wapi?
@husseinabdille1004
@husseinabdille1004 3 месяца назад
Mashallah ❤❤❤
@jannffer
@jannffer 4 месяца назад
Glory be to God for this revelation
@abdulimaliki
@abdulimaliki 9 месяцев назад
❤laailaaha illallhu.. muhamad. Rasulu llh
@user-no8yh4ub7l
@user-no8yh4ub7l 5 месяцев назад
Mashaallh Mungu akipenda umri mrefu na afya njema amen
@mwanarusiali4430
@mwanarusiali4430 Год назад
Masha Allah.....Allahu Akbar❤
@user-mb3fk4kb8n
@user-mb3fk4kb8n Год назад
Masha Allah jazaakallhahu-lkhair.
@kassidpandu866
@kassidpandu866 5 месяцев назад
Ni suala gumu kujibu lakini umejibu vizuri sana Mashaalah
@user-rz5no7us8e
@user-rz5no7us8e Год назад
Ma Shaa Allah Tabarakallah Allah (S.W.T) akuhifadhi nakila Shari
@LinconLopez
@LinconLopez 5 месяцев назад
Subhanallah laah ilah anta subhana khain kuntu mina dhwalimin
@abdulimaliki
@abdulimaliki 9 месяцев назад
Maasha. Allh. Ummat. Muhammd. S. W. S.
@user-zt6re1dr5f
@user-zt6re1dr5f 8 месяцев назад
Shekh Allah akulipe kesho akhera,biidhinlah
@fatmehfaraj5188
@fatmehfaraj5188 Год назад
Shukran wa jazakallah kheir.Darsa nzuri yenye manufaa mashaallah
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 5 месяцев назад
Shekhe mungu akupe umri mrefu nimependezewa Sana na mawaidha yako,
@allysaid6984
@allysaid6984 8 месяцев назад
Sheikh nakupenda Kwa ajili ya Allah naomba anijalie niwe kama ww
@user-xc4ml1qh9v
@user-xc4ml1qh9v Год назад
Mtakuja kujua siku ikifika ukweli si ukweli mtajua siku iyo mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu ni heri tunao amini kabla kuliko msiyo amini kabla yote ya mwenyezi mungu mjuzi wa kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana!!!!
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr Год назад
Nyienaopinga maneno ya Allah someni mtajuwa kelele za nini yeye kasoma na anatowa darsa kutokana na alivosoma kama hamjasoma keleleni
@kibibijaphary6918
@kibibijaphary6918 10 месяцев назад
Allah Akbar Allah Akulinde Mashaa Allah Nimepata Darsa zuri kabisaa
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 4 месяца назад
Yaallah mjaalie huyu mja anayetujuza utukufu na wapi alikuwa Allah kabla ya kuumba chochote pepo ya firdaus inshaallah
@user-dr3mg5ey6f
@user-dr3mg5ey6f 7 месяцев назад
Allah kullipe shekhe kwa ellimu unaito kwa jamio
@ashajumasaid7285
@ashajumasaid7285 Год назад
Shukran Sana shekhe, kwa elimu..Barakallahu fiikum
@user-fj1cf4fs8b
@user-fj1cf4fs8b 10 месяцев назад
Natamani niwemwnafunzi wa huyu sheikh anajua sana nimsomi hassa
@AthmanMasini
@AthmanMasini Год назад
Mungu akuzidishie umri mrefu uzidi kutunaswia😊😊
@hidayashabani5897
@hidayashabani5897 6 месяцев назад
Mashallah,Shukran sana kwa mawaidha haya
@user-fc5ep5ib4p
@user-fc5ep5ib4p 10 месяцев назад
Allah akulinde kama alivyomlinda mtume wetu katika pango
@lilatito2816
@lilatito2816 5 месяцев назад
Allah akupe salama mwalimu bali ningependa kisa hiki kiendelee zaidi
@mariamahmed6859
@mariamahmed6859 Год назад
Allahumma Amiin jazakallah kheyr shekhe wetu
@Khalifaibrahim-oh7ti
@Khalifaibrahim-oh7ti 5 месяцев назад
Allah akuhifandhi sheikh othuman maalim
@user-vh5eo7ij4n
@user-vh5eo7ij4n 5 месяцев назад
Mashaallah Allah akulipe jaza njema
@ibrahimcallyboy515
@ibrahimcallyboy515 Месяц назад
Allah Akbar
@nassorali1034
@nassorali1034 5 месяцев назад
Umur twawil ya shekh othmani maalim .....na Akher twayib inshaallah ...yaatikil.afya
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr Год назад
Ukitaka kujuwa ukubwa wa Allah jitafakari ulikaa vipi tumboni kisha akaja jiona kushakuwa mkubwa ndoo utajitambuwa kuna mtuu alojijuwa uchanga wake someni sio mpinge na kushangaa kama kalamu imeumbwa
@user-kz9kk9bw7u
@user-kz9kk9bw7u 9 месяцев назад
Mashaalaah Allah akuhifadhi na akupe umri uzidi kutuelimisha
@hatibumabote190
@hatibumabote190 3 месяца назад
Allah akbar
@rubbyruu7172
@rubbyruu7172 10 месяцев назад
MashaAllah MUNGU awahifadhi nyote mulio silimu mume ufuata njia sahihi
@mshamuwadhamira8346
@mshamuwadhamira8346 10 месяцев назад
Maana yake Kwa hadithi inaonesha MAJI yaliumnwa mwanzo kabla ya Arsh ndio maana Arsh ikawekwa juu ya MAJI. Ma Shaa Allah. Raha sana
@sama-_8368
@sama-_8368 7 месяцев назад
Kweli kabisa maji ndio ya mwanzo kwa maelezo hayo
@yasinabdulkadir1925
@yasinabdulkadir1925 7 месяцев назад
Nadhani nimeelewa kama wewe.
@mussakantumba9914
@mussakantumba9914 5 месяцев назад
Naam kiumbe cha kwanza kuumbwa na Allaah ni Maji=,(bahari saba) cha pili ni Arshi,=( ndio kiumbe kikubwa kuliko viumbe vyote ni kubwa sana hadi haielezeki) Ama kalamu ni kiumbe cha kwanza kwa maana ya kuwa ni cha kwanza kuumbwa kabla ya kuumbwa viumbe vyote baada ya Maji na Arshi. Maana maji na arshi ni viumbe alivyo jinasibisha navyo na ndio maana kuna; Maji, kisha Arshi ipo juu ya Bahari ya saba na Allaah yupo juu ya hiyo arshi lakini bila ya kuitegemea hiyo Arshi na huku akiwa ni mwingi wa kutenda alipendalo.
@user-pu2mp6th3s
@user-pu2mp6th3s Год назад
Sheikh,Allah akupe umri mkubwa ,afya,uzima ,lakini pia fursa ya kutufundisha Elimu hii,na nyingine zote njema. Ni Mimi banda HALIFA nchasi wa PahiKondoa
@minabuelysee8
@minabuelysee8 Год назад
Amin
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 Год назад
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 Год назад
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 Год назад
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@thuleythasule7036
@thuleythasule7036 Год назад
Wanyumban kwetu sote tunapat elimu lakin kunawatu ufaham wao baad haujawafunguka inshaallah allah awafungulie
@AbdallahYusufu-rc5xu
@AbdallahYusufu-rc5xu 5 месяцев назад
ماشاالله برك الله تعلمين الشيخ أثمن معلم
@SalmaSalim-ch5gt
@SalmaSalim-ch5gt 5 месяцев назад
Subhanallah Allah atusameh makosa yetu
@AlhabibMujahiddjibril
@AlhabibMujahiddjibril 5 месяцев назад
عسى أن أكون ممن يتقربون إليه في الجنة
@user-bm2wo9jl4f
@user-bm2wo9jl4f 6 месяцев назад
Sheikh Othman maalim allah akujaalie jannatufildaus
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 11 месяцев назад
Subuhanallh naogopa hata kufikiriya mwazo wa duniya ilikuwaje maana nahisi nitakufuru
@minabuelysee8
@minabuelysee8 Год назад
MashaAllah Sheikh wetu
@MohamedIbrahim-bn8rz
@MohamedIbrahim-bn8rz 5 месяцев назад
Allahu Akbar masha Allah 🥰❤❤❤❤❤
@AhmadiAhmadiaziz
@AhmadiAhmadiaziz 4 месяца назад
Shekh allahu akuzdshiy elimu piya akupe na umri uliyo mrefu
@AlhabibMujahiddjibril
@AlhabibMujahiddjibril 5 месяцев назад
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, أسأل الله أن يجعل الشيخ من أهل الجنة وأن يطول في عمره بالخير والصحة والبركات اللهمّ إني أسألك أن تقابلني في جنات الأمس، اللهمّ الشيخ العثماني معلم، أحبه إليك، قد لا أستطيع الجلوس بجانبه لكثرة الناس، لكن ربي
@jeremiahmoemi9606
@jeremiahmoemi9606 11 месяцев назад
MashaaAllah jazakaAllahu khayran
@user-dc3zf2xi8y
@user-dc3zf2xi8y Год назад
Takbiiir Allah Akbar...Suburban Allah...!!!!
@kandellahramadan5794
@kandellahramadan5794 9 месяцев назад
ALLAHU AKBAR
@issakawaya8315
@issakawaya8315 Год назад
Allah atuzidishie elimu
@allyhassanabdallah4295
@allyhassanabdallah4295 Год назад
Allahumma bariq
@user-rc7yr9hf6g
@user-rc7yr9hf6g 5 месяцев назад
Shukran shekh kwa maelezo mazur yenye faida kubwa
@nismaali2982
@nismaali2982 Год назад
Allahu akibar ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@marietheresenyandwi8671
@marietheresenyandwi8671 6 месяцев назад
❤jaazakhallah kheir ❤
Далее
ISRAA NA MIRAJI OTHMAN MAALIM
2:23:23
Просмотров 163 тыс.
А ВЫ УМЕЕТЕ ПЛАВАТЬ?? #shorts
00:21
Просмотров 1,5 млн
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 1,5 млн
JUA KU ISHI NA MARAFIKI NA MA ADUI... OTHMAN MAALIM
34:54