Тёмный
No video :(

"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 265 тыс.
50% 1

"KAKA NAOMBA NILALE GETO KWAKO USIKU WA LEO TU, BWANA ANGU KANIFUKUZA/SINA PA KWENDA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

29 ноя 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 269   
@naomimavura2239
@naomimavura2239 Год назад
Huyu mzee ana hekima sana ..kaona usalama wa binti bora achukue namba za wote kijana akifanya chochote ajue namna ya kumsaidia binti🎉
@patrickrumaga5936
@patrickrumaga5936 Год назад
Kipindi fulani kulitokea matatizo shuleni kwetu nikatoroka nilipofika Sumbawanga nilisaidiwa kwa watu wasionifahamu na niliishi kama mtoto wao' Tanzania yetu
@tfelician
@tfelician Год назад
Ulishawahi kwenda kuwapelekea chochote kitu, au kuwasalimia tu Hadi hivi sasa??.... Vijana wetu bhana 🤦
@leonardgervas7515
@leonardgervas7515 Год назад
Rudi siku moja uwasalimie.
@edwardbuttu3981
@edwardbuttu3981 Год назад
Sumbawanga sehem gani, napia karibu sana ufipani uku
@dunstanemanuel7795
@dunstanemanuel7795 Год назад
Kanta boy wew co bure😄😄😄
@danieljoseph6207
@danieljoseph6207 Год назад
M banah imekuwa ikinitkokea mala Kwa mala kusaidiwa na mpka ssa na wazazi zaid ya 5 walio nisev na hata ssa wengi wanajua mm n mtoto wao
@bernardmkuffya5171
@bernardmkuffya5171 Год назад
Tanzanian are very loyal and trustable.God bless them to continue with their kindness and peace keeping.
@swalloonpoint2306
@swalloonpoint2306 Год назад
Mhuni hawezi kabidhiwa chombo kikubwa kama wasafi, wasafi ni kubwa sana. Maneno ya mzee
@hudsson75
@hudsson75 Год назад
Hii inaonesha vijana wengi bado wana maisha magumu sana. Wote hao hakuna mwenye geto lake mwenyewe.
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Год назад
Tanzania 🇹🇿 ninchi ya watu wakalimu Sana imeshanitokea nilifukuzwaga nyumbani nikasaidiwa na watu baki nilikaa almost one week mzee akanipigia cm nirudi nyumbani mtihani asee omba yasikukute aloo😭😭😭
@mamuoman7849
@mamuoman7849 Год назад
Yalinitokea pia ila nilisaidiwa nilikua Zaid ya miez 4 nikienda kazini narud kwa mama wa rafik japo hakua sana rafiki ila nataman siku moja nikamtembelee manake huu ni mwaka wa sita na kitu sijamuona.. Kuna watu wanamoyo sana jaman
@johanesnixon5473
@johanesnixon5473 Год назад
@@mamuoman7849 so sorry MAMU ndio maisha Ila ujitaidi usije kuwafukuza watoto wako au wanje yandoa
@franktiba1506
@franktiba1506 Год назад
Watanzania wana roho za kipekee sana wana uafrica saaana Mungu atubariki
@saidmrisho3929
@saidmrisho3929 Год назад
Hiyo ni oungo bhan hakunaaa angekua mwanaume iingukua vita
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Год назад
Amen
@Momo_96
@Momo_96 Год назад
You Guys Mnatakiwa Kuwa Serious Muwaige Wenzenu Wanavyofanya Inabidi Mpange Na Mtenge Kifungu Kabisa Kwamba Atakayetoa Msaada Au Atakayeonyesha Moyo Mnampa Kiasi Cha Pesa Show Some Appreciation Sio Mnatoa Content Watu Wanadeliver Mnawaacha Ivyo Sijapenda 🇹🇿🇹🇿
@hamadyasin7429
@hamadyasin7429 Год назад
Kweli kabisa mnawapotezea muda wao pia!
@asiarashid5211
@asiarashid5211 Год назад
Kweli kabsa ndugu
@lewiskombole2917
@lewiskombole2917 Год назад
Woord...
@protasproteous9197
@protasproteous9197 Год назад
Kweli
@alubohajji2268
@alubohajji2268 Год назад
Wabongo kwa kunyonyana utawaweza....
@juliusjulius2080
@juliusjulius2080 Год назад
"Utayaweza kweli maisha ya uswahilini maana mtu mwenyew unavoonekana dah"
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Nimesisimka Asante Sana Tanzania uyu mwingi walah🙏
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI Год назад
Unbelievable demonstration of kindness of us African people who have almost nothing for ourselves but always ready to share whatever little we have with others. Inapendeza, yaani inaliza. Hapa Ulaya hili haliwezi tokea abadan! The guy in yellow is ready to introduce a stranger to his mother and even risk his marriage to help a stranger. What about that! Africans are very special people.
@alexkitundu2413
@alexkitundu2413 Год назад
For sure, We have that spirit especially here in TZ kindness and hospitality is our culture to everyone even strangers
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI Год назад
@@alexkitundu2413 Absolutely impressive
@enockabumba7513
@enockabumba7513 Год назад
Acha zako bwana
@AbuuAbdilRahmaan
@AbuuAbdilRahmaan Год назад
Tena watu maskini kabisa... Kwa matajiri ni nadra sana kusaidia mtu stranger... Ila ndio yale kafia geto.
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI Год назад
@@AbuuAbdilRahmaan inashangaza. wasio na kitu ndio walio na moyo wakusaidia wengine
@teacherd
@teacherd Год назад
Nimempenda saana huyu mzee🔥🔥🔥🔥
@mitumbagradeonekutokakorea409
Mnajitahidi sana ipo siku mtafanya makubwa, ubunifu upo hapa
@azibossladykenny2455
@azibossladykenny2455 Год назад
Nahir anajuw mpak anajuw tenaa yani anajifanya mpol utazani ni kweli🥰🥰🥰🤗🤗
@personpeter2221
@personpeter2221 Год назад
Mm nlisaidiwa seem nikakaa week2 nakula na kulala tu then na kaz nikatafutiwa hadi leo hii nafanya kaz tangia 2016 nashkru mungu pia baqdh ya watz wana rohonzur sana pia na wao walinpendasana kwa loyalty yangu
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Год назад
Usiseme baadhi asilimia kubwa watu wana roho nzuri tusitishwe na wachache wamitandaoni
@Abdulhamid_Suleiman
@Abdulhamid_Suleiman Год назад
Mtoeni japo 100K mwamba ana moyo sana
@jjoashjoash4113
@jjoashjoash4113 Год назад
Nimegundua hapa town watu wapo kwa ndugu zao kumbe wanaojitegemea ni wachache sana tupige makofi kwa tunaojitegemea🤲🤲🤲
@ziadaarthasan6575
@ziadaarthasan6575 Год назад
👏👏👏
@UpepoVlogs
@UpepoVlogs Год назад
Ila jamaa wa mwisho nimemuelewa sana kuanzia kauli zake hadi roho yake👍
@alantonio855
@alantonio855 Год назад
Kipindi cha leo....serikali ingekitumia ili kupata takwimu za raia wake wanavyoishi na ukame,shida ili kuweza kuendeleza jamii na kukuza ajira
@neemamkemae2580
@neemamkemae2580 Год назад
Sema mo town introduction unaongea sana bhn.....🥹🥹🥹🔥🔥🔥
@joesimba1146
@joesimba1146 Год назад
Sanya broo , huwezi kosa zawadi ya kuwapa ambao waneonyesha moyo wa ukarimu, wape hata kianzio cha beti yenu tena Kipindi kizuri kinahamasisha , pamoja na matatizo lkn tuko pamoja, keep it up brothe
@mackmtata8277
@mackmtata8277 Год назад
Nilicho jifunza kuwa watanzania wastaarabu kwel kweli
@stn4873
@stn4873 Год назад
Sema Pisi inavyojielezea iko vizuriiii..
@ndikumanarodrigue5657
@ndikumanarodrigue5657 Год назад
Kavile naila wa jua kali!! Ila wabongo 2na roho , za kibinadam nimepnda xna hii
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 Год назад
SubhanaAllah mweyeeee 😢😢😢maskini huyo mze ana moyo wakusaidia na kaka wa njano
@fidurashidi5781
@fidurashidi5781 Год назад
Wabongo tupo loyal sana, ready to help kwa namna yoyote💪
@santosdanny9243
@santosdanny9243 Год назад
Wapi huyo demu kuwa wewe uone 😂😂😂😂😂
@2cash259
@2cash259 Год назад
@@santosdanny9243 😂😂😂
@zena6203
@zena6203 Год назад
Uyuninaira wajuwakali mrembo mashallah
@pendobaharia5598
@pendobaharia5598 Год назад
Huyo mzee Ana hekima Sana big up
@mzenjikichaa8695
@mzenjikichaa8695 Год назад
Mwamba wa mwisho mngemtoa ata 10k ako humble
@yossephcasiani2328
@yossephcasiani2328 Год назад
Aisee. Tuliokuwa na maghetto tuheshimiwee. Wengi waishi kwa kuungaungaa sana aiseee dah
@mwasa_tv
@mwasa_tv Год назад
nimempenda sana uyo baba
@moutinhomerlin6498
@moutinhomerlin6498 Год назад
Unyama ni mwingi sana kwenye nafasi Yako kaka mo
@killywilly6932
@killywilly6932 Год назад
Sanya nyoko sana kabla ya kuwa mtangazaji alikuwa muigizaj awasaidie bongo movie 🤣🤣🤣
@DurahRich
@DurahRich Год назад
11:35 wasafi tv ni chombo kikubwa😂😂😂
@joshydan5029
@joshydan5029 Год назад
Motown nembo ya mtaa
@Saidkhel
@Saidkhel Год назад
Kwanza uwongo wasafi ni no one
@zikenims6167
@zikenims6167 Год назад
MashaAllah naira
@gladnessmunyanyi5775
@gladnessmunyanyi5775 Год назад
Usiposuka unapendeza motown
@Zaburi-
@Zaburi- Год назад
Hawa wana wametisha sana 😀😀😀😀😀😀
@richardchijana9665
@richardchijana9665 Год назад
Ila kelele kipindi kipo Safi sana ila sauti
@gaudencewilliam238
@gaudencewilliam238 Год назад
Wanaume tunacare sana bas tu yani
@barakakusa7606
@barakakusa7606 Год назад
Mwanzo nilijua ni mim tu ndy sina hata alfu tatu,kumbe tupo wengi🤣😂🤣
@hashimlowela294
@hashimlowela294 Год назад
😄😄😄😄we motown siku utakuja kuua mtu yan me huyo ungenipata ningetoa msaada ila uyo dada nae yumo et asije akantangaza kwenye ma tv mtu mwenyew muun muun
@jofuhamad8765
@jofuhamad8765 Год назад
Mwamba wanjano katisha sana nimeipenda
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Год назад
Asante studios
@sadiboytz2054
@sadiboytz2054 Год назад
Sanya nakubali mwamba
@makanjicharles9860
@makanjicharles9860 Год назад
🔥🔥🔥bonge la show
@nziokajacob638
@nziokajacob638 Год назад
Ningeomba mlete hii kipindi huku kwetu Kenya team wasafi online.
@bentez911
@bentez911 Год назад
😆😆😆😆
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 Год назад
Good job
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 Год назад
Kawaida saana hyo kwa mimii kuwasaidiaa
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Год назад
Nakubali
@gaudencewilliam238
@gaudencewilliam238 Год назад
Good idea 💡 👏 motown sanya
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Год назад
Tz tunaroh nzur sana nimependa
@hukuUJERUMANI
@hukuUJERUMANI Год назад
'' ... daah, mitihani tu Bongo hapa ..''. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@delvinngaiza7500
@delvinngaiza7500 Год назад
Oy...Motown sanya..pamba...zako...unanunuaga...wapi....nazikubaliii....sana👊
@jumaabas6837
@jumaabas6837 Год назад
Kama hizo pia tunazo tufollow insta gram @Malindostore_ tupo dsm tegeta
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Год назад
mo town nakufatilihaka sana kutoka Cape town South Africa 🇿🇦 kesington..una mambo jamawangu wewe
@rehemamsengo2805
@rehemamsengo2805 Год назад
BIG UP brother wa njano👌👌
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe Год назад
uyu n nailaa
@hanashhanash535
@hanashhanash535 Год назад
Dar mtihani tuu bongo ☺️🤣🤣🤣
@stn4873
@stn4873 Год назад
Daslam Daslam Daslam......
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt Год назад
Sio kweli
@marafikistation
@marafikistation Год назад
Wehu mnashindwa hata kumpa buku sio gud
@jayp5871
@jayp5871 Год назад
aa mmetshaa sana Mo, ubunifu 🔥🔥
@mwanahawaomarimashaka197
@mwanahawaomarimashaka197 Год назад
Naira
@bupeisaya9063
@bupeisaya9063 Год назад
Naira wetu wa jua Kali ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@tchidebennyz4038
@tchidebennyz4038 Год назад
Jalibu kufanya cama hii na mwanaume, maana watu wasiwe anafanya kwasababu ni demu
@allyjabeer1924
@allyjabeer1924 Год назад
Mwanaume unalalamika vip hauna Makazi BoB au wew umezaliwa Dar 🤭#JOKE Ila mwanaume hawez sema au kulalamika atakufa nalo moyoni na ndiy kitakachomtia hasira ya kutafuta chapaa🫂
@samsammushi9844
@samsammushi9844 Год назад
Hahaha kweli watu wa dar n matatizo at pakulala akunaaa
@yunussaleh8493
@yunussaleh8493 Год назад
Wenu nyinyi niupuuzi lazima ummpe mtu zawadi kaonesha roho SAFI alaf umempotezea mdawake kuendesha kipindi chako
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 Год назад
Danya hapana hua unawatoaga pesa. Huyu mwana. Alie kubali hukamtoa🧐
@nobodyog9512
@nobodyog9512 Год назад
Ambacho sitaki kukikosa kwanza ni kula😂
@rogerlyaruu5739
@rogerlyaruu5739 Год назад
aje siku moja tabata ndo ungejua malaya wako wengi
@darviswantana7669
@darviswantana7669 Год назад
Mpeni pesa uyo Jamaa wa mwisho
@mrtitus5536
@mrtitus5536 Год назад
Umeua boss
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 Год назад
Mlicho kosea dada uyo kapendeza sana na kingine asinge kuwa anawafata mnavo ongea asubiri mpaka aondoke
@neemaruben5427
@neemaruben5427 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣broo uko fireeeeee
@dawoodmkangila2854
@dawoodmkangila2854 Год назад
Kazii kaziii mbuzii kafiaa kwa muuzaa supu
@ramadhanichuka3583
@ramadhanichuka3583 Год назад
Kadada kakikosa msaada kanasema daah yan km kweli vile
@Metrodesigns21
@Metrodesigns21 Год назад
Huyo morio, alijipa si aty nini!!! Lakini mumemkatsia mbaya
@thebroski9763
@thebroski9763 Год назад
Fanya hivi nikuconnectie basi 😂
@giantokoe
@giantokoe Год назад
hii ni dalili tusha ya kuwa wabongo %kubwa wanauweza ukuwaxi
@buddahmakucha6848
@buddahmakucha6848 Год назад
Kuna mbu utaweza kweli😒😂
@dullyhaleem6962
@dullyhaleem6962 Год назад
ITABIDI TUSAIDIANE TU MAISHA YENYEWE YASHAKUWA YA DASLAMU HAYA😂🤣🤣🤣
@bigirimanadaudi9797
@bigirimanadaudi9797 Год назад
Umeshawahi kuona wapi demu kama huyo akakosa msada halafu msaada wakulala wew hapo hamna msaada wowote jaribu uweke mwanaume uone kama kuna mwenye atamsaadia
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Год назад
Sahihi kabisa
@mamananga2849
@mamananga2849 Год назад
Kabisa
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 Год назад
Oya Motown umezingua kinyama ungemuacha mpaka home mkamuona hata mother yake ju mama amemfundisha mwanae na ameelewa kusaidia wahitaji. Jeff fro from doha catar
@reinatave3022
@reinatave3022 Год назад
Isingekua rahisi coz yule jamaa angeshtuka zile camela zinavyoendelea kuwafuata🤣🤣🤣🤣
@mikhtaryanhussein9169
@mikhtaryanhussein9169 Год назад
Dah sio fresh kudhalilishana sio poa
@minanitheophile3583
@minanitheophile3583 Год назад
Motown Sanya tumiye pesa tujuwe WCB kuna pesa awo munadanganya tuuuu Mutu nakubali kusayidiya but kipindi kinakeisha akuna shukruna ata buku 5000
@mussangenge957
@mussangenge957 Год назад
Tukusaidie wew kwanz urudi shule ujue kusoma ndugu yetu
@PrinceWalterM
@PrinceWalterM Год назад
😂😂😂mi sina ghetto niko kwa Boss....
@boazjoseph6372
@boazjoseph6372 Год назад
Daaah etiiii chuma ichooo hapooo
@allysekela-tq4jk
@allysekela-tq4jk Год назад
ssna umetisha sana kaka
@sportplus45
@sportplus45 Год назад
Hiyo Nywele hatujaizoea utafkr 20 Pasenty
@nyakungukimakon1883
@nyakungukimakon1883 Год назад
Hii ni loyalty test manzee😂😂😂
@Hancejuma255
@Hancejuma255 Год назад
Mbu TANZANIA 🇹🇿 sijui wametoka wapi maana Kuna mbu hatari tena wamazara
@kaburamelikiadi4722
@kaburamelikiadi4722 Год назад
Karibuni Chicago Illinois USA tuko pomoja
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv Год назад
Really bro, mi niko LA ma nigga karibu bro
@hassanimohamedi5489
@hassanimohamedi5489 Год назад
Motown Sanya miyeyushO kweLi Hahahaa 😄 😄 😄
@ngumijinzwanilo153
@ngumijinzwanilo153 Год назад
sema dar mna MBU sana😹😹😹
@michaeltheophile7035
@michaeltheophile7035 Год назад
Big up 🎉🎉🎉🎉
@islamdede2507
@islamdede2507 Год назад
oya sanya respect sana
@leunammeleunamme6019
@leunammeleunamme6019 Год назад
Sema wana wanataka connectia mtu kisa hawana ghetto......ghetto muhimu wanangu
@gervasiagasper5924
@gervasiagasper5924 Год назад
😂😂😂🤣
@Malekanojr
@Malekanojr Год назад
😀😀 mwamba alikuwa anaenda kupaka vumbi
@ellywillisgotora1473
@ellywillisgotora1473 Год назад
😂😂
@Secondborn_
@Secondborn_ Год назад
Mzee anachezesha dimba la kati🤣🤣
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 Год назад
Mzee kaua sana🤣🤣🤣
@xaverisunday699
@xaverisunday699 Год назад
#aboi_4rm_makambako big kauaaa
@BarakaAmosi-gb4ve
@BarakaAmosi-gb4ve Год назад
Sema da nimecheka sana
Далее
Это реально работает?!
00:33
Просмотров 3 млн
MAZUZU HAKUNA KUINGIA NDANI
5:22
Просмотров 71 тыс.
The Story Book : Waturuki Hawa Wamelaaniwa ?
26:17
Просмотров 302 тыс.