Тёмный

EXCLUSIVE: KIJANA WA TANZANIA ANAYELIPWA ZAIDI YA MIL 600 MAREKANI, AMEAJIRIWA NA KAMPUNI YA APPLE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 107 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 250   
@SingoMedia
@SingoMedia 8 месяцев назад
Maashallah, kijana wa Mburahati. Tunajivunia kuwa na kijana kama ww yaani kutoka uswahilini hadi kufika katika mahala ambapo wengi wasingetarajia, binafsi nakujua tangu utotoni ni kijana mchamungu, mwenye nidhamu, akili nyingi na uchapakazi. Endelea kutuwakilisha vyema vijana wa Kitanzania na tunamuomba MUNGU atuletee vijana wengi zaidi wenye weledi kama wako na hata zaidi. MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Africa.💯💯💯
@willygraphics360
@willygraphics360 8 месяцев назад
Huyu alikuwa among 10 best students in 2009 noma sana
@shafiichipwenge6034
@shafiichipwenge6034 8 месяцев назад
Safi sana Abuu bakar kwa kuipeperusha bendera ya Mivumoni .Teacher Msumba upewe maua yako💐🌺🌷💐
@geeva99
@geeva99 9 месяцев назад
Yupo kwenye class nzuri sana hata kwa San Francisco, hiyo ni second grade to 3rd grade six figure, yuko sehemu njema sana
@saidhamza5318
@saidhamza5318 9 месяцев назад
Too humble,very genius, so talented 🙏🙌
@JobKCMinistry
@JobKCMinistry 8 месяцев назад
Sure
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz 8 месяцев назад
Nice
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 8 месяцев назад
Ongea Kiswahili mbona msomi katumia Kiswahili na anaishi uzunguni wewe too humble 😅😅😅😂😂😂😂
@vivianlameck6331
@vivianlameck6331 8 месяцев назад
Hakika
@ahmedally3891
@ahmedally3891 7 месяцев назад
​@@ramseychobaliko1002😂😂😂😂😂kmmk
@kyannickk2be
@kyannickk2be 8 месяцев назад
Mortal Kombat 9 credits mwishoni lipo jina la Mtanzania ..great works
@TheNdaki
@TheNdaki 4 месяца назад
Wow! Hii imekaa poa sikujua, Jina gani kaka??
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 9 месяцев назад
Jamaa yuko very humble, anajua sana
@allahisone6386
@allahisone6386 9 месяцев назад
NDIOOO MAAN ANA JITAMBUA
@mohammedally4378
@mohammedally4378 7 месяцев назад
Mashallah abu hongera sana tulikuwa pamoja mtambani
@joycefrances4516
@joycefrances4516 9 месяцев назад
Sana kaka,Mungu akuzidishie zaidi,akukinge naabaya yoye ufike mbali zaidi
@jimboulaya
@jimboulaya 8 месяцев назад
Sasa hapo upate hawa wanaojiita Influencers ambao ulaya wamefika labda kutembea tu, Kiingereza na mbwembwe nyingi utasikia I gara I gara you know whamsayin? Mwamba anateleza na kiswahili fasaha na yuko humble tu.
@fredducaunt
@fredducaunt 3 месяца назад
😂😂 kiingereza ni lugha tu isikutishe hata maskini anaongea kiingereza japo wapo watu wanaongea kujikuta matawi Au pia labda utaonekana sio mzalendo Kikubwa angalia hadhira na kuwa free kushare ulichonacho na watu kwa lugha yoyote inayowaunganisha
@mayaalrawahy5470
@mayaalrawahy5470 9 месяцев назад
Ma sha allah tabarak Rahman
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 9 месяцев назад
ماشاءالله
@user-vo6gm6pl3y
@user-vo6gm6pl3y 9 месяцев назад
Kaka unachokisema uko sahihi na Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kila ulipangalo. Ila cha kuskitisha ni pale wenye mawazo wengi nima fukara na wenye hela wengi hawana mawazo labda kwa sababu ya majukum wanazo. Mbaya zaidi kwetu Wa Africa tuna ubinafsi na upatowa wazo kwa muwekezaji au wawekezaji inakuja kinyume yake, na kuishia kuwanufaisha wao na kuwaambiwa ile issues imebuma. Sijui kwa nini.
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 9 месяцев назад
Hongera kijana pia kwa kuwa mwenye bidii hadi kuvutia watu wengi kukuona na kukushika mkono hadi ulipo.
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 9 месяцев назад
Hapo kwenye kupenda connection umeongea kweli ,vijana wetu na wtz wengi kwanza hatuna uthubutu halafu ni waoga,ndyo maana wakenya na west Afrika wanazipata hixi opportunity, tutumie vzr mitandao itatutoa.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 9 месяцев назад
waoga kujarbu afu mentality yaviongozi wetu tuzid kudidimia yani wanataka wote tuwe boda boda au watu wa kuwaza ngono ili wawe mtaji wetu kwa siasa zao ndo mana unakuta mtu ana degree lakin boda boda.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
Heri yake,mashaAllah 🎉🎉🎉
@muhidinkassim8574
@muhidinkassim8574 9 месяцев назад
🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🍏🍏👍👍👍Hongera Sana kijana ABUU BAKAR RASHID...(ALLY) .. a.k.a Mtoto wa Bibi.....dddaahh ...sheikh Mungu azid kukuongoza ..Maaana Umeelezea MAISH YAKO Kwa UCHACHE saaanaaa ..ila Kwa sisi tuliosoma DARASA MOJA... primary...(ALI HASSAN MWINYI PRIMARY SCHOOL..)🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍 Mburahati....tulikuwa tunaona unayoyapitia sheikh ..kweli ulipitia magumu sana Mwamba ..ila all in all MUNGU hamtupi mja wake.....👍👍👍👍👉👉👍👍Keep up your target.....🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿👍👍
@omyjr5795
@omyjr5795 8 месяцев назад
Ilikuaje
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 9 месяцев назад
Interview Safi sana ...
@shammhagama2527
@shammhagama2527 8 месяцев назад
Hongera Sana kijana
@justusngonyani165
@justusngonyani165 8 месяцев назад
Kuacha dini KWA ajili ya dunia si dhambi.Utakuwa salama tu.Bali kumwacha Yesu Kristo KWA ajili ya dini au dunia ni kuharibikiwa SASA ba baadaye.Mwishoni hutaulizwa dini yako.Jidanganyeni tu.
@GloryMariki-ng6gf
@GloryMariki-ng6gf 8 месяцев назад
Genius kama genius
@gshift83
@gshift83 8 месяцев назад
Hongera sana Kaka. Be blessed.
@goodluckmasaawe8343
@goodluckmasaawe8343 8 месяцев назад
Jamaa ata haringi ... mungu atamsaidia san
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
Amen
@barakandaombwa239
@barakandaombwa239 9 месяцев назад
hongera sana
@BongoVibesTV
@BongoVibesTV 7 месяцев назад
Kila mtu ana njia yake ya mafanikio tumtegemee Mungu tu
@TheNdaki
@TheNdaki 4 месяца назад
Sahihi , nakubali 100%
@Ambwene
@Ambwene 8 месяцев назад
Jamaa yupo simple tuu 👊 🤜 🤛
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 8 месяцев назад
Juntos somos iguais ❤❤❤
@RoanCorporation
@RoanCorporation 9 месяцев назад
KIJANA ANAONGHEA VITU SAHIHI KABISA , KWA VIJANA MTANZANIA , KAZENI MAISHA, LENGA JUU KABISA
@LeodigaryPatrick-zo5kl
@LeodigaryPatrick-zo5kl 8 месяцев назад
Genius
@honorykwahhay4364
@honorykwahhay4364 8 месяцев назад
Vizuri sana, lakini hawa vijana waliofanikiwa huko Marekani, Asia na Ulaya, wakirudi Tanzania na huo ujuzi, nchi yetu itafika mbali mno, walau waje wafungue kampuni huku.
@kyannickk2be
@kyannickk2be 8 месяцев назад
shida ni pale wanaanza buruzwa na wanasiasa ...wabaki huko huko kwanza unless bongo unafiki uishe ..anyway let it flow
@sultanjames9395
@sultanjames9395 8 месяцев назад
Wakirudi huku hamna watachifanya hamna miundo mbinu wezeshi.
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 8 месяцев назад
Wanasiasa tz roho mbaya hawawataki watu wajuzi wanataka makaratasi
@TheNdaki
@TheNdaki 4 месяца назад
Kuna Baaadhi wanarudi na kiuzalendo wakiamini nchi yetu wataijenga na ujuzi waliopata huko ila…. Tuishie apa. Maana wengi wanaishia kwama ajira, ila pia wanapewa vitu ambavyo sio walivyosomea au nafasi zao.
@verCeJr.
@verCeJr. 7 месяцев назад
I like him. Big up bro I'm wish kuwa Kama wewe one day
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 месяцев назад
Mashaallah
@sporxzone771
@sporxzone771 7 месяцев назад
Yupo cool sana wala avimbi ✊
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 9 месяцев назад
DAH!! Aisee huyu jamaa amesoma HARVARD university, anafanya Kazi kampuni ya APPLE! Analipwa zaidi ya 1bn kwa mwaka!😯🫢 Duuh hatari sanaa huyu jamaa noma
@ChoroTesla
@ChoroTesla 8 месяцев назад
wenzetu softwaare engineering kwa kampuni km apple wana muadmire sana manake yeye ndo.kashirikia roho ya kampuni ikiwemo siri za kampun
@georgerichard4902
@georgerichard4902 8 месяцев назад
Unoma gani sasa au kusoma Harvard?
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 8 месяцев назад
​@@georgerichard4902noma wewe kaka
@neemakeenja3385
@neemakeenja3385 8 месяцев назад
​@@georgerichard4902acha wivu kijana mdogo
@emauf
@emauf 8 месяцев назад
​@@georgerichard4902 Jifunze ku appreciate my brother. Mimi ni engineer ila pia nina admire watu kujituma na kufikia stage hizo. Maana sio kwa akili tu, ni juhudi binafsi kubwa pia inatumika.
@stevekdaniel
@stevekdaniel 8 месяцев назад
Very inspiring 🫡 safi sana
@mohdasaa
@mohdasaa 8 месяцев назад
Uthubutu wa vijana katika kuongeza thamani. Hajongea kuhusu vijana kuweka hela mbele. Nakubaliana naye. Pia umasikini wa fikra (mindset).
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 8 месяцев назад
Allah akubless
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 8 месяцев назад
tukowachache sana . hizi ni baadh ya Tanzanite zetu . Nasubiri Kenya
@PrinceWalterM
@PrinceWalterM 8 месяцев назад
Very Humble Mungu amuongezee zaidi na zaidi
@nattyebrandy
@nattyebrandy 8 месяцев назад
WOW
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 8 месяцев назад
Big up Eng.
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 8 месяцев назад
Usikae hapa Bongo kaka. tutakufundisha masiasa yetu utaua kipaji kaka.
@theshiningstargroup
@theshiningstargroup 9 месяцев назад
GUSA LINK HAPO JUU MTAZAME YOMBO
@johpixel4108
@johpixel4108 8 месяцев назад
Wenzetu ni wajanja wameshamteka ila huku technology bado inatutesa hasa upande wa umeme 🙌
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
Angebaki kuwa fundi simu pale kkoo...angejiita abubakar matelephone.😅
@TheNdaki
@TheNdaki 4 месяца назад
@@ahz6907Tanzania yetu, huu ni ukweli wapo wahitimu wazuri wanapoteza elimu na ujuzi wao
@elibarikimaganga9571
@elibarikimaganga9571 Месяц назад
Kweli kabisa ​@@ahz6907
@mikestuner9206
@mikestuner9206 8 месяцев назад
Havard 😊
@user-lb8lq7um5x
@user-lb8lq7um5x 7 месяцев назад
Jamani tupate no zake nataka nikamshike mkono tu 😢
@misanaantipas8338
@misanaantipas8338 8 месяцев назад
Mnaona sasa ukiona aple kuuzwa bei kubwa kuliko teknol
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 8 месяцев назад
Wala hajivungi wala hana mambo mengi engekua wengine hapo sijui hata tusingeambulia chochote kwa maringo
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e 8 месяцев назад
😄😄😄😄😄😄
@pastorymasanja8838
@pastorymasanja8838 8 месяцев назад
Wangekuwa wengine kiingereza kiingi ila jamaa yupo simple
@Fesary
@Fesary 8 месяцев назад
Vigumu sana kukuelewa unaongea kama Softwere vilevile.
@AbdulkarimNestori
@AbdulkarimNestori 8 месяцев назад
😂😂 kama Elon Musk
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@Fesary
@Fesary 8 месяцев назад
@ahz6907 hasa pale alipoanza kutolea mfano wa Usd3000 ambao kwa maelezo wa mshahara wa 1B+ ulikuwa chini sana, ndio hapo sasa mara chumba ehe! Mpaka uwe Chip.
@neema_mollel
@neema_mollel 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@ChoroTesla
@ChoroTesla 9 месяцев назад
n watu km hao wasije bongo huku wanasiasa wakianza kuwapa vyeo wanaua ujuzi wao unakuta jamaa ana vission kubwa kwenye wizara ila wajinga wajinga waliopo wanamkwamisha mwisho inakua ngumu yani bora akae huko huko kwa wanapojielewa. wasije wanasiasa kumrubuni
@mwisukulu1
@mwisukulu1 8 месяцев назад
umeongea vema sana
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
True
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 9 месяцев назад
UMETHUBUTU KAKA NA UMEWEZA HONGERA SNA NIMEKUPA MAUA YAKO HONGERA SNA SIWEZ KATA TAMAA KM BADO NIPO.HAI
@user-ey8bo5iw9y
@user-ey8bo5iw9y 8 месяцев назад
Marekani ni nchi isiyobagua din yeyote huweza timiza ndoto zake bila kujali dini,rang lkn uende mkristo uarabuni saudia uone kama utatoboa kwanza unakiwa uishi kwa sheria zao hata dini sio yako
@mozasalum9715
@mozasalum9715 8 месяцев назад
Wee labda uende kama mfanyakazi wa ndani kuna wa tz wanapokea ma milioni zaid ya wananchi wenyewe kikubwa ni elimu yako ndio itakufikisha ulipo
@hanifbahajaj9039
@hanifbahajaj9039 8 месяцев назад
Kwaio cristiano ronaldo ni muislam?
@stantamba5628
@stantamba5628 7 месяцев назад
😂😂😂😂
@aaronswai3092
@aaronswai3092 8 месяцев назад
Hii ni mishahara ya kawaida sana kwa Marekani kama alivyosema dogo. Mungu amtangulie
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 8 месяцев назад
Jidanganye hiyo hela n kubwa hata kwa marekan
@emauf
@emauf 8 месяцев назад
Kawaida ni $50,000 mpaka $150,000 $200,000 ni kati ya 10% ya juu ya wanaolipwa vizuri, ni mshahara mzuri sana hata US. Mshahara wa $200,000 unapata $136,700 after taxes, kama alivosema kodi ya apartment ni $3000, ko x12=$36,000 Kodi ya serikali na nyumba ukitoa =100,000+ - Transport - Chakula - Utilities - Bata kidogo (ma engineer muda wa bata mchache sana) Vitategemea na lifestyle ya mtu, ila hawezi zidi nusu ya hio hela, ko ukiwekea $30,000 inabaki $70,000 sawa na Mil175Tsh kama ana save, au analipa madeni au anajenga, au anannua nyumba au anannua gari, anajua yeye😅
@mayaally2512
@mayaally2512 8 месяцев назад
Sio ya kawaida bwana acha mazoea na hela
@KhalifaKush-cs8mv
@KhalifaKush-cs8mv 8 месяцев назад
Ni hela ya kawaida marekan kama hiyo 600 marekan kama 30000
@emmyandrew8670
@emmyandrew8670 8 месяцев назад
Nimesoma na.ww
@dreamleague-uq2gx
@dreamleague-uq2gx 9 месяцев назад
Tatizo sio kujiajiri. Tatz ni mtaji mimi serekali ikinipa milioni 10 tuh nakua tajir na biashara zng
@nickhealthcare5612
@nickhealthcare5612 9 месяцев назад
Njoo tuzungumze kaka
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 9 месяцев назад
Ahaha jinga sana 🚮 ww utaweza kweli kuzalisha hiyo hata kuandika hujui? Unadhan ni makakio sio? Sasa kama unajiamini kwann usitumie huo uwezo kupata 10 mil ndio uendelee? Jinga 🚮
@mwisukulu1
@mwisukulu1 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@SeifAhmed-ob3ym
@SeifAhmed-ob3ym 8 месяцев назад
​@@nickalreadyknowsNani hajui kuandika sasa mimi au wewe?
@noahgondwe4779
@noahgondwe4779 8 месяцев назад
Mmhhhh hayo mapozi yake sasa. Rangirangi hivi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 9 месяцев назад
Usiache Dini sababu ya Dunia kwani Dunia mapito kaka Allah akuwezeshezaidi hukouliko upate mafanikiyo unayoyaitaji yenyeheri na ww
@williamnassari
@williamnassari 8 месяцев назад
Kwani kuna mahali kasema anacha dini kisa mamb ya dunia au na ww udini umekukaaa tuu kichwani hamna kitu mnajifanya kuijua dini sanaaaaaa kumbe ni 0 kichwani
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 8 месяцев назад
Dini imeingiaje hapa mr Hanifa😂
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 8 месяцев назад
@@samwelnaal7952 imeingia Dini kwani najua. Wangi. Wakiwahuko umaghalibi. Wanajifanya wazungu wanaacha milayetu ya baba yetu Hibrahim. Na kufata makafili yani huwo. Ukumbosho kwani tabia yetu waislam kukumbushana. . Ww naona siwakwetu ndiyo maana ujui
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 8 месяцев назад
@@williamnassari Ssi Diniyetu ni ya kukumbu shana kilawakati. . Ilkiwamtu kateleza anarudi kuwasaea jua binaadam tunajisahau hasa wenye pesa na wakishaenda huko umaghalibi yani Ulaya wanafata uzungutu kwahiyoninanafasi kama muislamkumkumbusha........... Ok
@kazumarihamisilikumbato9213
@kazumarihamisilikumbato9213 8 месяцев назад
Hanifa kama hujaolewa njoo nakuhitaji nikuoe nimetokea kukupenda
@abdulla4344
@abdulla4344 8 месяцев назад
Hao wanafunzi 10bora 2009 kuna aliyebaki Tanzania au wote wapo majuu
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 8 месяцев назад
Wote wapo juu
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 8 месяцев назад
Huyu mwandishi yuko slow sana,kichwa kina-load slow..anauliza maswali ya kijinga ambayo jamaa amesha-explain ila anauliza tena!..Millard status ya brand yako ni kubwa watu kama hawa inabidi wakaongeze elimu au ujuzi,wakishindwa TOA!!!professionalism ianze kuzingatiwa duh!
@user-ek1bf8rz2u
@user-ek1bf8rz2u 7 месяцев назад
acha majungu usiwe sehemu ya kumuharibiam mwenzi kibarua
@Ibrah287
@Ibrah287 7 месяцев назад
​@@user-ek1bf8rz2uSure
@khalifajuma26
@khalifajuma26 8 месяцев назад
Huyu Jamaa Pia anakipaji cha utangazaji wa habari
@hijazhija316
@hijazhija316 8 месяцев назад
Em tulia
@hillarymushi2227
@hillarymushi2227 8 месяцев назад
Huyu anayehoji ana matatizo gani? Mbona anashindwa kuidirect mic vizuri kwa muhusika mara apindishe mara aweke mbali millard watu wako hawa
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 8 месяцев назад
Interview kama hizi ziwe ndefu sasa
@benedictonesmo6857
@benedictonesmo6857 8 месяцев назад
very nice interview and its so interested so we have a lot things to learn
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 8 месяцев назад
Kwishaaa kabisaa
@salimkombo4004
@salimkombo4004 8 месяцев назад
Mbona kama kaleft?
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 4 месяца назад
Usiwambie watanzania unainginza hela ngapi kwa mwaka,watakulilia shida hadi ukome…
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 8 месяцев назад
Unaonaje kurudisha ujuzi nyumbani kwako tanzania? Ukafaidisha wazawa.
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 8 месяцев назад
Akirudi nyumbani akateuliwa kuwa KATIBU MWENEZI😂
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 8 месяцев назад
​@@mengikiguruwe6750😂
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 8 месяцев назад
Anauweka kwenye nini
@wilsong520
@wilsong520 8 месяцев назад
Hata asi jisumbue, kuna vijana ni ma developer apa apa bongo lakin wame shindwa kusajiri kampuni zao kisa mfumo wa hovyo
@rashidhamis5320
@rashidhamis5320 8 месяцев назад
Kupambana
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 8 месяцев назад
Chipsi tofauti tofauti chipsi zege au chipsi kavu
@ellymakongo656
@ellymakongo656 8 месяцев назад
Sijui kwanini naangalia mikono yake sana? Anyway shetani toka.
@magazijuto7991
@magazijuto7991 8 месяцев назад
Watu wengi wenye akili...mikono yao inakuwaga haitulii...
@florencejohn6427
@florencejohn6427 7 месяцев назад
Serikali yetu ingekuwa inawekeza kwa vijana kama 200 kila mwaka kwa kuwatafutia shule bora nje ya nchi. Au kujenga hizo shule bora mbili hapa nchini. Baada ya miaka 20 hii nchi ingekuwa mbali mno. Sema ndio hivyo watoto wa wanasiasa na watu wengine wenye hela ndio wanaosoma shule nzuri huko nje, ila wengi wa hao watoto akili nidhamu commitments ni dhaifu. Ndio maana hatuwaoni wala kuwasikia kwenye taasisi kubwa kama hizi za Apple nk
@cleopatramalisa3923
@cleopatramalisa3923 7 месяцев назад
Umeongea point haswaa😅
@jayproducts5871
@jayproducts5871 8 месяцев назад
Uzima upo??
@gracenbarnes5254
@gracenbarnes5254 8 месяцев назад
Marekanj mambo ya teknolojia na it ndio yana pesa ndefu ikifatiwa na sekta ya afya na sheria
@kibasatv1524
@kibasatv1524 8 месяцев назад
Sio kweli baada ya teknolojia ni idara za ulinzi na usalama hapo ni hatariiii sana
@pascojm6816
@pascojm6816 8 месяцев назад
​@@kibasatv1524ah wapi, sheria ipo juu sana
@chacha-255
@chacha-255 8 месяцев назад
@@kibasatv1524 DOCTOR, LAWYER na ENGINEER (ikiwemo it na computer engineering).......Hizi ndio ishu zinazolipa makampuni binafsi, jeshini, serikalini, n.k
@Guccidrugz
@Guccidrugz 8 месяцев назад
Mwendo wa chipsi tu
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 8 месяцев назад
Muongo tu.
@user-yx2kl3ji8e
@user-yx2kl3ji8e 8 месяцев назад
Sasa kwanini tunahangaika kama simu zina chips situnajilia hapo tu
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 месяцев назад
😂
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 8 месяцев назад
Jamaa amesoma na yupo apple lakin anaongea Kiswahili sio hawa ma cheap boys wa bongo na madanga wa bongo wenye English course kujiongelesha oooh actually ooohh you know 🤮🤮🤮🤮👎👎👎🐍🐍
@nyimbilebravo3347
@nyimbilebravo3347 8 месяцев назад
Asije akaleft, Awe makin
@rajabumussa3451
@rajabumussa3451 8 месяцев назад
Umeongea poit sana, nawasiwas 😢
@nureyna629
@nureyna629 8 месяцев назад
Isikuhadae iyo mikono. Ukifanya kazi nje mara nyingi unaadapt na the way wanavyoongea na yeye keshakaa sana nje, that's very normal ..
@naturelle1097
@naturelle1097 8 месяцев назад
Mshahara ni siri ya mutu why you are tangazaring😊
@tzcomputerservices4944
@tzcomputerservices4944 8 месяцев назад
mbona kama kashaleft
@Monyo04
@Monyo04 8 месяцев назад
Hamna ni ongea yake tu kule Kwa wenzetu ni normal though Kuna red flag kwake
@richardvedasto2285
@richardvedasto2285 8 месяцев назад
Kwaiyo hizo chips zinakaangwa na simu?
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 8 месяцев назад
Vidole Kipochi kwapani Bado sielewi
@eddopaul18
@eddopaul18 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂 nyie
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 8 месяцев назад
Gay sign 🦧🦧 (hand shake for men is not like that)
@Monyo04
@Monyo04 8 месяцев назад
Tafuta pesa acha malalamiko mbwa wewe
@highlinestar4583
@highlinestar4583 8 месяцев назад
@@Monyo04ndo shida ya wabongo yani hawakosagi kukosoa kosoa na hawana kitu😂😂
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 8 месяцев назад
Manyoko ya mamaako
@marjentertainment2031
@marjentertainment2031 8 месяцев назад
Niliamua kunyamaza tuu
@ahmedalshaibany
@ahmedalshaibany 8 месяцев назад
Kama kaleft group hivi
@richardchimba3800
@richardchimba3800 8 месяцев назад
Unazingua😂
@alexchungu6263
@alexchungu6263 8 месяцев назад
Sio upinde ukweli?
@salminirajabu8502
@salminirajabu8502 8 месяцев назад
😃 Amna mbwe mbwe tu za kimarekani
@gordondavid6063
@gordondavid6063 8 месяцев назад
Upinde kabsa
@shabaniramadhani8891
@shabaniramadhani8891 8 месяцев назад
Watanzania washamba sana inshu za mishahara ni maisha binafsi
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 8 месяцев назад
we ndo mshambA kwakua hunahela zakuwambia watu
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 8 месяцев назад
Ni Kama milioni tatu kwa siku ila iyo pesa watu wengi tu bongo wanapata
@issaomari7244
@issaomari7244 8 месяцев назад
Hiyo milioni 3 kwasiku wewe waipata??
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
Watu wengi wangapi? Ktk makampuni gani?
@Seluh_classic
@Seluh_classic 8 месяцев назад
Dohh m cjui niko nchi gan wallahi 😂
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 8 месяцев назад
Ukiachana na Bhakresa na MO wako wachache mno wenye level hizo ila sio waajiriwa.
@mrlongrichlongrichagent1929
@mrlongrichlongrichagent1929 8 месяцев назад
Labda uwe mwizi
@alimaftah7640
@alimaftah7640 9 месяцев назад
Mbona kalegea sn ! Dah
@ChoroTesla
@ChoroTesla 9 месяцев назад
watu wote smart wanaongea kwa intelligence sasa akaze umesikia yeye boda boda mbona mnamawazo ya kijinga
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 9 месяцев назад
Aisee... sidhani kama ni salama...kalainika kote..ulimi na viungo nk..🤨
@isacmusa4760
@isacmusa4760 9 месяцев назад
🥲🥲 mtoto lainiii
@ChoroTesla
@ChoroTesla 9 месяцев назад
@@suratibrahim6417 hapana ni swagg tu sio kwamba kalinika sana watu wote wanao deal na mambo ya tech wako hvyo mfano MKHD yule anayechumbua simu ukimusoma km kalainika ila ni swagg tu
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 9 месяцев назад
​@@ChoroTeslahahahhahahahhahahah😂😅😂😅😅😂😅😂
@neema_mollel
@neema_mollel 8 месяцев назад
Mbona abuu unayumba yumba umetupia kamnyweso au
@flowinfabian9386
@flowinfabian9386 8 месяцев назад
Kwan huja ona movie ya krish magenious ndo wako hivyo 🤣
@neema_mollel
@neema_mollel 8 месяцев назад
@@flowinfabian9386 🤣🤣🤣
@afrimage_decor
@afrimage_decor 8 месяцев назад
Chip zikiwa nying ni chips kuku 😂😂😂
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 месяцев назад
😂
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 7 месяцев назад
😂
@kamole3
@kamole3 8 месяцев назад
Jamaa sio rizki
@user-wv4rf2zk1o
@user-wv4rf2zk1o 8 месяцев назад
Hiyo mikono vipi
@aberinegosanga7067
@aberinegosanga7067 9 месяцев назад
Muongo huyo
@abubakarothman7249
@abubakarothman7249 9 месяцев назад
Uong wake nini
@khamismohamed8634
@khamismohamed8634 9 месяцев назад
Tupe ushahidi wa uongo wake. Mwenzako ametoboa badala ya kumpa moyo pamoja na wengine wewe unapuuzia
@hemedsheha2515
@hemedsheha2515 9 месяцев назад
Wewe mkweli au choyo tu na rohombaya ilokujaa ? @aberinegosanga
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 9 месяцев назад
Sanga, muongo Kwa vipi fafanua,tuhuma mzito hizo? Mtu ana inspire vijana wafile mbali unasema muongo?una maanisha nini?
@isayamlala3075
@isayamlala3075 9 месяцев назад
Uongo wake uko wapi..wewe ndo umekata tamaa...mpumbavu
@ShakuDazi
@ShakuDazi 8 месяцев назад
Mbona kama shoga huyu jamaa
@allywilson4155
@allywilson4155 8 месяцев назад
Anaongea kidemdem sana..
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 8 месяцев назад
Hivi watanzania epo ime wafanya nin?
@gidemeritus9644
@gidemeritus9644 8 месяцев назад
wanamtafuta kilichomponza adam na eva 😅😅
Далее
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 28 млн
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 28 млн