Maashallah, kijana wa Mburahati. Tunajivunia kuwa na kijana kama ww yaani kutoka uswahilini hadi kufika katika mahala ambapo wengi wasingetarajia, binafsi nakujua tangu utotoni ni kijana mchamungu, mwenye nidhamu, akili nyingi na uchapakazi. Endelea kutuwakilisha vyema vijana wa Kitanzania na tunamuomba MUNGU atuletee vijana wengi zaidi wenye weledi kama wako na hata zaidi. MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Africa.💯💯💯
Sasa hapo upate hawa wanaojiita Influencers ambao ulaya wamefika labda kutembea tu, Kiingereza na mbwembwe nyingi utasikia I gara I gara you know whamsayin? Mwamba anateleza na kiswahili fasaha na yuko humble tu.
😂😂 kiingereza ni lugha tu isikutishe hata maskini anaongea kiingereza japo wapo watu wanaongea kujikuta matawi Au pia labda utaonekana sio mzalendo Kikubwa angalia hadhira na kuwa free kushare ulichonacho na watu kwa lugha yoyote inayowaunganisha
Kaka unachokisema uko sahihi na Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kila ulipangalo. Ila cha kuskitisha ni pale wenye mawazo wengi nima fukara na wenye hela wengi hawana mawazo labda kwa sababu ya majukum wanazo. Mbaya zaidi kwetu Wa Africa tuna ubinafsi na upatowa wazo kwa muwekezaji au wawekezaji inakuja kinyume yake, na kuishia kuwanufaisha wao na kuwaambiwa ile issues imebuma. Sijui kwa nini.
Hapo kwenye kupenda connection umeongea kweli ,vijana wetu na wtz wengi kwanza hatuna uthubutu halafu ni waoga,ndyo maana wakenya na west Afrika wanazipata hixi opportunity, tutumie vzr mitandao itatutoa.
waoga kujarbu afu mentality yaviongozi wetu tuzid kudidimia yani wanataka wote tuwe boda boda au watu wa kuwaza ngono ili wawe mtaji wetu kwa siasa zao ndo mana unakuta mtu ana degree lakin boda boda.
🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🍏🍏👍👍👍Hongera Sana kijana ABUU BAKAR RASHID...(ALLY) .. a.k.a Mtoto wa Bibi.....dddaahh ...sheikh Mungu azid kukuongoza ..Maaana Umeelezea MAISH YAKO Kwa UCHACHE saaanaaa ..ila Kwa sisi tuliosoma DARASA MOJA... primary...(ALI HASSAN MWINYI PRIMARY SCHOOL..)🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍 Mburahati....tulikuwa tunaona unayoyapitia sheikh ..kweli ulipitia magumu sana Mwamba ..ila all in all MUNGU hamtupi mja wake.....👍👍👍👍👉👉👍👍Keep up your target.....🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿👍👍
Kuacha dini KWA ajili ya dunia si dhambi.Utakuwa salama tu.Bali kumwacha Yesu Kristo KWA ajili ya dini au dunia ni kuharibikiwa SASA ba baadaye.Mwishoni hutaulizwa dini yako.Jidanganyeni tu.
Vizuri sana, lakini hawa vijana waliofanikiwa huko Marekani, Asia na Ulaya, wakirudi Tanzania na huo ujuzi, nchi yetu itafika mbali mno, walau waje wafungue kampuni huku.
Kuna Baaadhi wanarudi na kiuzalendo wakiamini nchi yetu wataijenga na ujuzi waliopata huko ila…. Tuishie apa. Maana wengi wanaishia kwama ajira, ila pia wanapewa vitu ambavyo sio walivyosomea au nafasi zao.
DAH!! Aisee huyu jamaa amesoma HARVARD university, anafanya Kazi kampuni ya APPLE! Analipwa zaidi ya 1bn kwa mwaka!😯🫢 Duuh hatari sanaa huyu jamaa noma
@@georgerichard4902 Jifunze ku appreciate my brother. Mimi ni engineer ila pia nina admire watu kujituma na kufikia stage hizo. Maana sio kwa akili tu, ni juhudi binafsi kubwa pia inatumika.
@ahz6907 hasa pale alipoanza kutolea mfano wa Usd3000 ambao kwa maelezo wa mshahara wa 1B+ ulikuwa chini sana, ndio hapo sasa mara chumba ehe! Mpaka uwe Chip.
n watu km hao wasije bongo huku wanasiasa wakianza kuwapa vyeo wanaua ujuzi wao unakuta jamaa ana vission kubwa kwenye wizara ila wajinga wajinga waliopo wanamkwamisha mwisho inakua ngumu yani bora akae huko huko kwa wanapojielewa. wasije wanasiasa kumrubuni
Marekani ni nchi isiyobagua din yeyote huweza timiza ndoto zake bila kujali dini,rang lkn uende mkristo uarabuni saudia uone kama utatoboa kwanza unakiwa uishi kwa sheria zao hata dini sio yako
Kawaida ni $50,000 mpaka $150,000 $200,000 ni kati ya 10% ya juu ya wanaolipwa vizuri, ni mshahara mzuri sana hata US. Mshahara wa $200,000 unapata $136,700 after taxes, kama alivosema kodi ya apartment ni $3000, ko x12=$36,000 Kodi ya serikali na nyumba ukitoa =100,000+ - Transport - Chakula - Utilities - Bata kidogo (ma engineer muda wa bata mchache sana) Vitategemea na lifestyle ya mtu, ila hawezi zidi nusu ya hio hela, ko ukiwekea $30,000 inabaki $70,000 sawa na Mil175Tsh kama ana save, au analipa madeni au anajenga, au anannua nyumba au anannua gari, anajua yeye😅
Ahaha jinga sana 🚮 ww utaweza kweli kuzalisha hiyo hata kuandika hujui? Unadhan ni makakio sio? Sasa kama unajiamini kwann usitumie huo uwezo kupata 10 mil ndio uendelee? Jinga 🚮
Kwani kuna mahali kasema anacha dini kisa mamb ya dunia au na ww udini umekukaaa tuu kichwani hamna kitu mnajifanya kuijua dini sanaaaaaa kumbe ni 0 kichwani
@@samwelnaal7952 imeingia Dini kwani najua. Wangi. Wakiwahuko umaghalibi. Wanajifanya wazungu wanaacha milayetu ya baba yetu Hibrahim. Na kufata makafili yani huwo. Ukumbosho kwani tabia yetu waislam kukumbushana. . Ww naona siwakwetu ndiyo maana ujui
@@williamnassari Ssi Diniyetu ni ya kukumbu shana kilawakati. . Ilkiwamtu kateleza anarudi kuwasaea jua binaadam tunajisahau hasa wenye pesa na wakishaenda huko umaghalibi yani Ulaya wanafata uzungutu kwahiyoninanafasi kama muislamkumkumbusha........... Ok
Huyu mwandishi yuko slow sana,kichwa kina-load slow..anauliza maswali ya kijinga ambayo jamaa amesha-explain ila anauliza tena!..Millard status ya brand yako ni kubwa watu kama hawa inabidi wakaongeze elimu au ujuzi,wakishindwa TOA!!!professionalism ianze kuzingatiwa duh!
Serikali yetu ingekuwa inawekeza kwa vijana kama 200 kila mwaka kwa kuwatafutia shule bora nje ya nchi. Au kujenga hizo shule bora mbili hapa nchini. Baada ya miaka 20 hii nchi ingekuwa mbali mno. Sema ndio hivyo watoto wa wanasiasa na watu wengine wenye hela ndio wanaosoma shule nzuri huko nje, ila wengi wa hao watoto akili nidhamu commitments ni dhaifu. Ndio maana hatuwaoni wala kuwasikia kwenye taasisi kubwa kama hizi za Apple nk
@@kibasatv1524 DOCTOR, LAWYER na ENGINEER (ikiwemo it na computer engineering).......Hizi ndio ishu zinazolipa makampuni binafsi, jeshini, serikalini, n.k
Jamaa amesoma na yupo apple lakin anaongea Kiswahili sio hawa ma cheap boys wa bongo na madanga wa bongo wenye English course kujiongelesha oooh actually ooohh you know 🤮🤮🤮🤮👎👎👎🐍🐍
@@suratibrahim6417 hapana ni swagg tu sio kwamba kalinika sana watu wote wanao deal na mambo ya tech wako hvyo mfano MKHD yule anayechumbua simu ukimusoma km kalainika ila ni swagg tu