Ndugu yangu sheikh bachu usichoke kufundisha atakae sikia vizur asiye taka ,basi ALLAH ANASEMA SEMA HAKI INAYO TOKA KWA MOLA WAKO ,ANAE TAKA AFUATE ASIYE TAKA MUACHE AKUFURU,LAKINI HAKIKA TUMEMTAYARISHIA MOTO ,NA HATOTOKA HAPO SHIMONI ,NA ATASIKIA KIU ATALETEWA MAJI KAMA SHABA ILIYO YAYUSHWA, AYA INAENDELEA,SURAT AL KAHAF
Woote hao wahadhir bilbia, wamekuwa waganga, ivi kuhubiri dini wamemuachia mazinge pekeake,na tiba zao wengi wao ni za shirki, nyota, pète,majini, vyote hivyo ni haramu, mungu awepe mwesho mwema,bachu endelea kufundisha insha allah
Mm namnasihi baba kiluwasha rafiki yangu. Usijiingize kwenye ujinga ujuwe familia nyingi zinakuunga mkono kwenye usaidizi wako wa kuziunga Ndoa. Ikiwa usheikh wako unaunga mkono washirikina akina Sule na wenzake. Ujuwe watu watakuwa hawakuamini Tena.
Madhara mengine makubwa ni hii itikadi ya makafiri wa zama hizi hasa huku kwetu Kenya,wakristo wengi wana itikadi kuwa waislamu wana majini.....baadae unapombainishia ukweli ndo anajua kumbe ni porojo tu hizo wanazoitakidi na ni idadi kunwa sana ya wakristo wenye kuamini hivo,sasa akitokea Shekhe mpotoshaji kama huyo ndugu yetu Sule inakua tu mtihani anawazidishia wakristo imani yao potofu dhidi yetu 😢 aisee ni jambo la kuskitisha sana.....cha ajabu anaporekebishwa,zile clip zake za kupotosha huwa hazifuti kwa RU-vid na mitandao mengine na kukubali kuradiwa,abaki tu kwenye mijadala na makafiri mambo mengine asiyokua na elimu nayo awaachie kina masheikh wetu wapendwa.....Allah akuhifadhi شيخ محمد
Kutumia majini ni ushirikina ndugu, hata huku Tanzania wakristo hudai eti waislamu wanamajini, lakin qur'an imekataza kutumia majini kunufaishana, sijui sulle hasomi au?. Al Quran: Al-An'am/6:128 --- وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ Translations: --- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua. -- Ali Muhsin Al-Barwani.
Asalamaalekum sn elim ila ukiw n elim ukafamika kw elimu ulionayo iwe ndg au y kiwngo y kat .Ukawa unaporosha wsiona elim wakakuami /sapot yoyte iwe y coment ....na ukaw Unaenda kinyume Uovu shirk n ulichokisoma ktk Dini huchukui mda uwov wko utadhirika kw wale uliowaongpea n kukuamin ktk iman kumilik maji mtiani mtt w shulle akiw na jini asomi zvr, iweje unae yafuga upose n uoe mmoja ndoa y mkeka 🙏🙏🙏🙏
Hakuna jini anae ingia kwenye kichwa cha mtu akawa mzuri, jini mzuri hanahabari na habari hizo wana muogopa Allah, ukiona jini anashirikiana binadamu huyo analengo baya la shirki, jini ni muongo kupita kiasi, tuwache shirki jamaani,
Kwa hiyo nabii Suleiman alikua mshirikina Cox alikua akishirikiana na majini Hadi kutaka kuamrisha miongoni mwao wamletee kiti? Kwani hakujua Kama kiti kinakuja kwa nguvu za Allah? Mawahabi akili zenu Ni sawa na mavi ya nguruwe.
@@mwinyijumamwinyi4656 yule ushamwita Nabii suleiman, au na huyo ni nabii sule? NABII SULEIMAN ALIPEWA NA UPEPO WANYAMA, MPAKA ALIKUA AKIONGEA NA WADUDU, SASA UNAKATA KUMFANANISHA NABII NA MTU WA KAWAIDA WEWE VIPI, MTUME MUHAMMAD S,A W, ALIPEW RUHUSA YA KUOA MPAKA WAKE 9 SASA JE WEWE UMEPEWA? USILINGANISHE VITU VYA MANABII NA AKINA SISI WALALA HOI, SOMENI MUACHE SHIRKI ALLAH PEKE YAKE NDIO WA KUMTEGEMEA, SASA KAMA MUNATAKA KUMFANISHA NABII SULEIMAN ,NA NABII SULE MWAMBIENI NAE AONGEE NA SISIMIZI NA AMRISHE UPEPO ,NA ASISAHAU KUONGEA NA KUNGURU , PUMBAVU zenu,
Huyu Dr sule nilikuwa namsikiza Sana ila hapo Kwa majini amekufuru sasa sijui alikuwa amekunywa ama lakini amejiweka hadharani yeye ni mshirikina subhanaallah
Nilikuwa namthamini sana Dr. Sure, lakini tokea aseme anapata msaada Kwa Pete na majini, nimempuuza sana na Wala sitaki kusikia madam yake yeyote, ni mshirikina mkubwa aloharibikiwa saaana
Kenya wako na paybill tayar wamepeka chakula gaza mara tatu hya mkishamaliza michambo muhamasishe kuweka paybill watu wachange na kusaidia ndungo zetu baba kiruwasha
Keshasema hashughulishi na radi zao yeye yke yanamuendea anatembelea Lexa wao waendelee kuvaa ndara mtu wa namna hiyo utamuweza uyo kirwasha na sule wote wachawi
naona mambo yako wazi sana hao wanaotetea kushirikiana na majini ni wapenzi tu wa shirki Allah amekataza mashirikiano na viumbe hawa awe muislam awe kafir mana hao wote wana roho za kupenda uasi
Nabii suleiman alijengewa miongoni mwa majengo yake na majini,pia aliamrisha miongoni mwao walete kiti cha malkia balqis Swali je nabiisuleimsn alikua hajui kama kiti kibgekuja kwa nguvu za allah? Hadi atake kuamrisha miongoni mwa majini walete?.
Kwanz kijana nabii suleman hakumuamrisha jini alete kiti bali aliuliza nan ataleta kiti jini akasema mm nitakileta kabla ujaka hapa chini na kasema mtu wa kawaida tu mm nitakileta kabla hujafumba macho na kufumbua kwa hivy kiti kililetwa na mtu.. Pili ucjiilinganish na manabii walipewa vitu vingi ambavy sis hatuna... Na kila kaumu ilipewa mtume kulingana na watu wake.
@@YahyaYahya-vp2pp usinifanye mm hko kisa sikijui vijana wa kikijozi mmoja,ww siumesema mtu akijihusisha na majini Ni mshirikina swali nabii Suleiman Ni mtu au Nani? Acha ushabiki hapa
@@mwinyijumamwinyi4656 hukijui na hukijuii sanaa nambie ni sura gani na aya namba ngapi na fsri uliyoisoma ww imeshereheswa na nani. Suleman aliuliza tu nani atanileta kiti cha enzi nd akaruka jiini mm nitaleta na wala haakuamrisha alite hapa hapo mtu mweny elim ya kitabu tena mtu wakawaida akaleta kiti kama ww ni msomi kidog niambie ni sura gan.
@@mwinyijumamwinyi4656. Kwanza jua suleman hakua ktk umati Muhammad na kila umati umepewa miujiza yakee sasa suleman kupewa jeshi la majini ni saw kani allah ameshamchagulia hivy.. Hoja hizo lete kwa mtume Muhammad mana ndio kigezo chetu wapi alikua majini ktk mambo yake or maswahaba wake