Тёмный

KANALI MUAMMAR GADDAFI: Mwisho wa MAISHA yake UNAOSIKITISHA: Haya ndio Usiyoyajua 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 60 тыс.
50% 1

Makala hii kwa inakupa historia fupi ya maisha Kanali Mummar Gaddafi na sababu muhimu ambazo zilipelekea na kuchochea chuki kati yake na Mataifa mengine makubwa duniani, na pengine aina ya uongozi wake, mitazamo na falsafa ilipelekea maswali kwa wale waliompinga na kuonekana kama ni ukatili na unyonyaji kwao, hivyo kupelekea maandamano ya vita kali yaliyotapakaa nchi nzima.
ENDELEA..

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 года назад
Kwa sisi tunaishi njee Ya africa ndio tunajuwa uchungu wa hio story. Yani kiongozi ukitumikia taifa lako na ukawapa kisogo kina Cheupe basi jua kifo chako kipo njiani.
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 2 года назад
Until when are we gonna let them take down our leaders? Africa for Africans. It’s time for Africa to unite and defend our beautiful continent. Thank you Sky for this
@kiningashukran5177
@kiningashukran5177 2 года назад
Naumiya mnoo hadi namkumbuka Mugufuli
@hassanihussein4479
@hassanihussein4479 Год назад
Gaddafi watoto wake wa kiume wote walikufa kabaki mtoto wake wa kike anaishi Oman ana wajikuu zake 4 wadogo moja ya wa jukuuu zake kachukua jina la baba ake anaitwa Muumar hawo watoto popote wanapo enda lazima kutakuwa na polisi wakiwa wamevaa kiraia na wanaishi sehemu za watu wakubwa hata Bakhresa na Asas wana nyumba zao ktk hy sehem
@munam7104
@munam7104 Год назад
Hapa nilipo machozi yana nimiminika asante kwa habari nzuri huyu jamaa alikua comred bwana walikua wakimuita mwenda wazimu lakini saa hii ndio wajua wamepoteza kiongozi shujaa mwezi mungu amuke pema penye wema ameen yarabby
@BradOfficial-gf1fb
@BradOfficial-gf1fb 3 месяца назад
Nmezfatilia sana historia za muamar Gaddafi kwamaelezo nmegundua mazuri ya Gaddafi n machache mabaya yake ndo yamekua mengi sana ndio maana alchukiwa na nch nzma Mfano alzuia mikutano ya kisiasa,ukimpnga unauwawa au kupotelea kuckojulikana hakuwagea uhuru wananchi wake ingawa aliwapa each and every thing #tujfunzeviongoziwatanzania
@levienlevismmbenga2415
@levienlevismmbenga2415 2 года назад
Tunapenda sana sky vipi kuhusu vihongozi wa congo 🇨🇩 tuwekeye history yote katika simulizi na sauti
@maestro1902
@maestro1902 Год назад
Furahaa ikipitiliza hiichii ndo Huwa ndo kinatokeaga RIP legend, fighter , Hero , Frontline commander RIP GADDAFI 🙏🏿
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 года назад
Classic, uninterrupted, 100% legit news= SnS. My number 1 news. Love from Minnesota die hard fan❤️❤️❤️
@user-sf7by1cr5h
@user-sf7by1cr5h 6 месяцев назад
Unajua sana fredi bundala unajua kutangaza unasauti bora ya kutangaza asante sana naburudika nikikuskia
@eddy4998
@eddy4998 2 года назад
Dahhh Yani hakuna watu walio feli ktk hii dunia kama Libya maskini Sasa hivi wanajuta maisha yamekuwa magumu acha wavune walicho kipanda
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 года назад
Kweli nyani haoni Kundule. Mbona haina tofauti na kinacho endelea home. Magufuli alikuwa Gaddafi wetu ba alitaka watanzania tuwe na hayo maisha ya raha. Tukamuuwa, tumebaki tunatapatapa. Waulize machinga wakueleze mateso wanavyo pitia, masikini wanavyo nyanyasika na ufisadi ulivyo rudi😭😢
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
@@ilovejesus9303 😭😭😭😭
@youngpaincompany1440
@youngpaincompany1440 Год назад
@@ilovejesus9303 magu akulipa wasio na ajira bana 😂😂
@mkwavi
@mkwavi Год назад
​@@youngpaincompany1440Of course but nchi ilifika mahali ambapo hatutegemea,,,,!
@user-uo7ir8fn4p
@user-uo7ir8fn4p 7 месяцев назад
الله يرحمك برحمته يارب تقبل دعائي له ولامواتنا معه يارب بحق ذكر محمد فى كل يوم الف
@MaulidRajabu-nn1xn
@MaulidRajabu-nn1xn 4 месяца назад
Pole sana kiongozi we2 wa Africa baba wa Africa 🌍 ha2tokusahau kamwe wala kiya2 chako hakuna m2 kitakacho mfaa kamwe mungu akulaze pahali pema amin🤲🏽🤲🏽🤲🏽
@TatuMuanda-ub7ud
@TatuMuanda-ub7ud Год назад
Mimi nirimkubari Sana Gaddafi arikua kiongozi mzuri
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Год назад
Never know what you got till it's gone.
@surujajwie4768
@surujajwie4768 2 года назад
inna illah waina illah rajiun Allah rehemakallh 😢
@babamarkom9881
@babamarkom9881 2 года назад
skay nakubali sana kazi yako wejamaa noma sana
@kevinmwamba1009
@kevinmwamba1009 2 года назад
I was waiting for this. GADDAFI WILL ALWAYS BE REMEMBERED
@aminamikidadi7754
@aminamikidadi7754 2 года назад
Inalillaih wainaillaih rajiuun ...
@thegreat.9869
@thegreat.9869 Год назад
Hii dhambi ya kumuua huyu mwamba itazidi kututafuna daima.
@rashidtwaha7699
@rashidtwaha7699 2 года назад
Waafrica tunachonganishwa wenyew na kuuwana wenyew... Leo hii Libya mko wap
@FadhilaJuvenari
@FadhilaJuvenari Месяц назад
Alimulilia mungu kamulipia mpaka wajute wakoswa fadhila ao
@shahakasimu9855
@shahakasimu9855 2 года назад
yani Africa inashida sana 😥
@dulaabdallarashid
@dulaabdallarashid 2 года назад
gadafication of africa rest in peace our hero
@YaaMnyad
@YaaMnyad Год назад
Huyu alikuwa kiongozi wakuigwa hapa Africa,,,,,,
@jemedarikalimasi5754
@jemedarikalimasi5754 Год назад
We we mtangazaji mjinga sana sijui ulisoma wapi nashangaa unasema toka mapinduzi yafanyike Libya kupo shwari, wakati toka Gaddafi afe maovu yote yapo Libya, ikiwemo njaa, vita, magongwa na makundi ya kigaidi yamejaa Libya, Mimi nakushangaa.
@mkwavi
@mkwavi Год назад
Amesema Amani kidogo sana baadhi ya maeneo kijumla alicho maanisha hakuna rudia tena kuangalia.
@user-ry8ky1tf1n
@user-ry8ky1tf1n 5 месяцев назад
Hatokeiekamagadaf libiya mugu awalanimpaka kiamawalokatishamaisha yagadaf amin
@KihangoIsmail-qn2uh
@KihangoIsmail-qn2uh 11 месяцев назад
Nadiliki kusema kwa uchungu hasa kwa sisi huku afrika tusiwasikitikie walibya kwa sababu walibya wamelaania naukiwaonea na wewe unapata laana kutoka kwa mungu
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 2 года назад
Wa Libya laana itawatafuna maisha Yao yote 😭😭😥
@hkmeme5437
@hkmeme5437 2 года назад
Wazungu sio watu ni wanyama,
@teulechristopher3934
@teulechristopher3934 2 года назад
Mbna uongelei ya kwenu magufur yuko wap
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 2 года назад
@@teulechristopher3934 😭
@airinsumeno2490
@airinsumeno2490 2 года назад
@@teulechristopher3934 maguful cku yake ilfka hakuuawa
@homeplusagencies8702
@homeplusagencies8702 Год назад
wana laana mpaka kiama
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 2 года назад
Iliniuma sana...
@sammysammy2001
@sammysammy2001 Год назад
Agalia sahii lana zina wapiga walio mtesa🎉🎉🎉nalia maana sipoa walivyo muuwa
@fredrickfilbert3922
@fredrickfilbert3922 2 года назад
Huu ni mwendelezo wa udikteta wa wazungu dhidi ya Mataifa ya Afrika. Demokrasia ni mfumo mbovu kabisa
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 4 месяца назад
Kwanza Walibya wameyata wenyewe angalia wanavyokufa na majaazi ndani ya maji kwa kukimbia nchi yao inatakiwa waachiwe wafe kwa sababu niwajinga wakuyupwa
@hellenrichard187
@hellenrichard187 Год назад
Uko vizuri bro
@gynae8407
@gynae8407 2 года назад
Hm! Hua sipendi kusikia habari ya Col. Kwani inaniuma kila nikisikia hii kumuhusu huyu mwamba wa Africa. Leo JPM tumepigwa machinga ni mashahidi.
@mwembehashiru8982
@mwembehashiru8982 9 месяцев назад
Tutamkumbuka mwamba huyu wa Afrika Raise wa kipekee.
@abuunyalioto1752
@abuunyalioto1752 2 года назад
Jamaa nakufatilia sana na huwaga ukeseagi kabisa sky
@erickswai698
@erickswai698 2 года назад
Ukwel unabaki kwamba Rais katika nchi ni kivuli cha watu wenye pesa nyingi wanaotaka kuongoza watu jins wanavyotaka
@petermshali5157
@petermshali5157 Год назад
Wa Libya wanajuta na watajuta kumuua Gaddafi
@aziza9093
@aziza9093 3 месяца назад
❤❤❤
@khamis9187
@khamis9187 22 дня назад
Chamtema kuni wanakiona wana Libya now ..
@abuusufian6506
@abuusufian6506 2 года назад
💔💔💔 walibya walibya walibya 💔💔💔
@husnahassan2124
@husnahassan2124 2 года назад
wanateseka hao ckuhizi balaa
@yusuphmakangemakange4474
@yusuphmakangemakange4474 Год назад
Ndy ivyo wamarekani wakija Africa tuna watetemekea kama wafalum ila kiukwely awana msada wowote kwetu ss ivyo viongoz wetu wa tz wana chakujifuz sio tujiachie sio kila ushauri wanao toa wa marekan tunatekekez
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 4 месяца назад
Mimi mtazamo wangu watu wa walibya Mungu awalani sana kwa kudanganywa mataifa ya njee na kumuua mzee wetu Gadaffi na kumuanika adharani kila mtu amuone hiyo itakuwa laana kwa kizazi hadi kizazi na tabia ya waarabu kudangawya tu na wazungu ujue watakuua hata Sadam Husseni ni hivyo warabu wanalana kama hivi sasa wapalestina wanauwawa wao hata kukemea wapo kinywa tu ni hirani peke yake Saudia kama nyumbu akiliwa na simba wanaangalia tu ndiyo Saudia
@saadaamous4362
@saadaamous4362 Год назад
Walibya watakukumbuka maisha yao
@assanibutoto9208
@assanibutoto9208 Год назад
Gaddafi angelikuwa hadi leo kama ni raisi wa afrika nzima
@RandB_Channel
@RandB_Channel Год назад
So sad
@shuzashadyproduction8438
@shuzashadyproduction8438 2 года назад
Majarida Yatamuandika Sana Huyu Mwamba🤲
@husnahassan2124
@husnahassan2124 2 года назад
Kabisa
@mkwavi
@mkwavi Год назад
late
@peninacharles9757
@peninacharles9757 2 года назад
MAREKANI Ndio walio Muua✍️✍️
@erickswai698
@erickswai698 2 года назад
Obama ndiye aliyemuua
@lilpumpvideo4214
@lilpumpvideo4214 2 года назад
I love you so much sns
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 2 года назад
Thank you fam
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 2 года назад
#GADAFFI💪🏾🙌🏽
@masesamasesa1844
@masesamasesa1844 Год назад
Pumzika aman babu yangu tunajifunza mazuri ulioacha
@edithakimuna8701
@edithakimuna8701 2 года назад
nmekumbuk wale walinz wake wale wadada wachokoze utajua huwajui😂
@kiningashukran5177
@kiningashukran5177 2 года назад
😭😭😭😭😭😭😭
@MaulidRajabu-nn1xn
@MaulidRajabu-nn1xn 4 месяца назад
😭😭😭😪
@Elihosea
@Elihosea 3 месяца назад
Africa bado tuna tanatawaliwa kingozi ikiwa mzulitu wanamuwa
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Год назад
Ao ndio binadamu atukumbukagi mazuri 😮hua tunakumbuka mabayatu😏
@kaizamandike8771
@kaizamandike8771 2 года назад
Walibya Walibya 😥😥😥
@wilbroadgrarcian1259
@wilbroadgrarcian1259 2 года назад
Muammar Gaddafi
@jut1161
@jut1161 2 года назад
Sasa hivi wazungu Wana eba mafuta tu
@nassirjuma6308
@nassirjuma6308 2 года назад
Daaaah
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu Год назад
Acha wafe tena waishe kizazi cha kinafki ndio wanaona isha wao na watoto zao
@edithakimuna8701
@edithakimuna8701 2 года назад
😭
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 Месяц назад
USA ni laana hpa dunian
@tatujuma8781
@tatujuma8781 Год назад
Ivi wanakufa baharini kukimbilia ulaya
@jamesvmusic2677
@jamesvmusic2677 2 года назад
Safi
@ommydia2734
@ommydia2734 2 года назад
🥺🥺🥺😭😭😭
@zabibuamissi1141
@zabibuamissi1141 2 года назад
Adi leo Libya ahijakuwaga na amani
@erickswai698
@erickswai698 2 года назад
Ila kuna demokrasia ukilinganisha na NATO wanavyoona saiv
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 2 года назад
Huyu kama jpm angetokea kuwa hivyo
@issaissah8832
@issaissah8832 2 года назад
Wazungu ni watu wa baya Sanaa wamesha I chafua libia na Sasa wao wamekaa pembeni daaah
@khadijashabani5509
@khadijashabani5509 11 месяцев назад
Wapiii walikuja kummaliza jpm
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@freddybaziraomari
@freddybaziraomari 2 года назад
😭😭
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 Год назад
Wew pekee ndo unaejua vyem chanel hii wengin utopolo tu coz naon kuna saut zingine zinakimbia kama gali
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Год назад
NA laana hii itawaumiza mbaka dunia itaisha
@mkarawizemtasher4897
@mkarawizemtasher4897 2 года назад
Sns tunaomba utuletee story ya ol' dirty bastard au (ODB)
@tabuabdallah7980
@tabuabdallah7980 Год назад
Huyu alikuwa mwamba wallah dam yake ilomwagika kwenye hiyo arzi itawalilia usiku na mchana ona wanvyo teseka kwa sasa
@asddsa5076
@asddsa5076 Год назад
Maisha ya kipindi ca kadafi inchini Libya Hayajawahi kutokea inchi yoyote duniani WATU wakiwa na neema Hawaiyoni 🤦🏽‍♂️
@peterngigi734
@peterngigi734 2 года назад
That's a dictator
@mkwavi
@mkwavi Год назад
Sawa sasa hivi kuna Demokrasia ipi Thamani ya Demokrasia,,,, hapo nchi haikaliki kula na kulala shida ndiyo thamani ya demokrasia hiyo,,,?
@Qqambaa
@Qqambaa Год назад
@@mkwavi nakubaliana nawe bro
@imaralu9680
@imaralu9680 2 года назад
😭
@mbembelatv
@mbembelatv 2 года назад
😭
Далее
Wolfram Physics Project Launch
3:50:19
Просмотров 1,7 млн
Wife habit 😂 #shorts
00:16
Просмотров 61 млн
Can You Bend This Bar?
01:00
Просмотров 3,9 млн
나랑 아빠가 아이스크림 먹을 때
00:15
Просмотров 1,7 млн
MFAHAMU Rais GADDAFI_Ananias Edgar &  Denis Mpagaze
27:25