MUNGU atakupa hela nyingi sana dada, mama na baba ni watu wa khchunga sana, cha msingi ni kypambana kufanya kazi, atakutuma kubaya kwa haliyo, shetani ameingia hapo. Muite MUNGU akupe wepesi.
Laan haiwez kukufika kam hujamfanyia kosa mie nipo uarabun pesa natuma nisipo tuma naambiw nitakulaan namie huw nacheka tuy huw na mwambia ww nilaan badae anasem nisamehe hiv mungu atawasaidia laki ten dar nilifanya kaz kwa mtuy nikaw nalipwa elf thelasin lakin sai nina kilo moja
Mie niko ulaya lakini mamamgu ananipigia simu nichukue ulaya nipe pesa ninunulie honda msaidie mjomba ako sijui nifanyenini na hataki kuongea na mie kisa nimfanyie yote hayo na ukimuambia sina anakuambia kama mimi ndio mamako nilokuzaa usiponsaidia mjomba wako mie sio mamako hawa wazee wanatumia umama na hiyo laana ndio kimbilio lao ujue huku tuna bills na chengine kama unataka nikufanyie ayo yote Vipi nitakuchukua wakati sina pesa kwa account wazee muda mwengine wanakosea lakini utasikia mlezi hakosei lakini Mungu ndioanaejua