Тёмный

KANUNI 4 ZA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 294 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 116   
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Год назад
Watching for the 3rd time be blessed brother @kenya
@nouryan0016
@nouryan0016 8 месяцев назад
Namshukuru mungu nimefanikiwa🎉🎉
@kurthummapande
@kurthummapande 8 месяцев назад
Mungu akubariki na akulipe mema kwa kutuongoza na kutuzindua
@AMONAKYOO
@AMONAKYOO 8 месяцев назад
[LAW OF BELIEF] bado sijaifanyia kazi vizury
@Mwinamila-3
@Mwinamila-3 10 месяцев назад
MUNGU akupe maisha marefi my bro
@MbarakaMasharubu
@MbarakaMasharubu 8 месяцев назад
Sina neno zaidi ya majuto kutokukufaamu mapema kk balikiwa
@samwelihale7232
@samwelihale7232 Год назад
Kaka unatujenga sana nataman kupata kitabu mm ni baba huruma sina kitu laki akija ndugu au rafiki anashda natoa hata akiba yangu nisaidie kuepuka hili
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Angalia video yangu inayosema jinsi ya kujenga nidhamu ya kutoa Fedha
@farajazungu7732
@farajazungu7732 Год назад
@@joelnanauka nahitaji kitabu chako...nakipataje
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 Год назад
😅😅😅😅kwakweli ila kuna video alipost mimi pia imenisaidia yani akija mtu analia shida naweza infia deni ili nimsaidie ila tokea niangalie hio video nimejifunza kitu na km sina bac changaiki na km ipo kwenye mipango yangu bac c hangaiki na shida ambayo sikuitarajia tena ya mtu
@MoreenSimkonda
@MoreenSimkonda 6 месяцев назад
Natamani kujua kama naweza kusoma vitabu vyako mtandaoni na navipataje🙏
@anethmajura
@anethmajura Год назад
Kaka unaniponya sana mungu akupe afya njemaaa na miaka mingi zaid uendlee kuniimarisha🙏
@YnnocentNikundana-cq7np
@YnnocentNikundana-cq7np Год назад
Nimeelewa kweli Mimi nipo Dubai ushauli wako nawupend
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 Год назад
Mungu azidishe baraka kwako na kizazi chako chore.Unatujenga wengi,unatuinua wengi
@mlingijames1917
@mlingijames1917 11 месяцев назад
Amen
@KMatrix628
@KMatrix628 11 дней назад
Stay blessed my motivational speaker of all time
@JosephinaMahenge
@JosephinaMahenge 3 месяца назад
KAKA JOEL WE GENIOUS SANA, UNAJUA KUTUPA MADINI 🎉🎉🎉
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Год назад
Unachoamini kwa hisia kinakuja kuwa uhalisia asante sana kaka ubarikiwe
@mushicat1288
@mushicat1288 Год назад
Duh!unanijenga sana.Mungu akupe mafunio zaidi.
@cleverofficial8708
@cleverofficial8708 Год назад
Cjui kw nn nmchelewa kukufam ila kw huu muda mchache nilioanza kkufatilia naanz kuon changes🙏
@LusanaJohn
@LusanaJohn 2 месяца назад
Naomba usimame na mm ndugu yangu unisaidie nimepamba sana rakini sipigi hatua kwa haraka ninavyo tarajia
@godzidendera3027
@godzidendera3027 Год назад
Asanteeeh kwakutupa chalupa cha ubongo
@FrankMwalah
@FrankMwalah 4 месяца назад
God bless you Mrs joel
@ZindunaAthuman-zn1fz
@ZindunaAthuman-zn1fz Год назад
Akili kubwa sana kaka unanijenga sana
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 5 месяцев назад
Asante coach wetu.... mungu azidi kukubariki 🙏
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Год назад
Za asubuhi... Whatever we believe it's comes true in our life's.. kila la kheri Joel...🤗
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Ahsante sanaa
@Siemawn
@Siemawn Год назад
it's all about the power of subconscious mind 💪👏
@mwamvitamyombo4466
@mwamvitamyombo4466 Год назад
Asante kwa mafundisho yako
@NusraJuma
@NusraJuma 5 месяцев назад
asante sana kwa somo zuri Mwalimu Joel nanauka. ila mbona law of imagination na law of correspondence kama zinafanana hivi kwa mujibu wa ulivyoeleza?
@timothykengere2535
@timothykengere2535 Год назад
Shukurani 📚📚📚📖📚
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Год назад
Unachokisema niukweli ,asante sanakwamafunzo yako mughuakupe ghuvu nanauka,uzidi kutufunza
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Ameen Nashukuru sana
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo Год назад
Sahihi Kaka unatusaidia Sana ndugu
@Rovanert
@Rovanert Год назад
Thanks 😊 ❤
@Deusmpili
@Deusmpili Год назад
Najifunza sana joe asante ubarikiwe Nipo karagwe kagera naomba unitumie kitabu chako money formula
@raheemkassim2324
@raheemkassim2324 Год назад
Brother Joel me kun vitu vinanichanganya Sanaa niwez kukutafut unisaidie
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Год назад
powerful speech nivizuri kuji nenea maneno mazuri ili yatokee ayoayo Asante kwa mafundisho
@hashimumchalo7613
@hashimumchalo7613 Год назад
Kwa kweli mm umenisaidia mambo mengi sana ila hii ya Leo imeingia Tena kwenye malengo yangu natamani kukununua gari fulani na ninaliona sana kiongozi kaxi nxuri sana nitakutafuta mana mm nimeanzia chini sana
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 Год назад
Kaka nimekukubali saana, nakumbuka niliwahi kuwambia marafiki zangu nilikua nikisoma nao masomo yetu ya dini nikowa Zanzibar, niliamini saana kua nitaenda OMAN kusomea huko. Na ukweli nilienda. Kwasasa ninandoto naowaza nakuiamini naomba Mungu anifanikishe niifikie in shaa Allah.
@antonymnapaaaantonymnapaa7939
Shukurani sana itoshe tu kusema hivyo! Maana nashindwa hata nieleze jinsi gani unavyo nitia nguvu🙏
@augustinepaul9692
@augustinepaul9692 Год назад
Imagination yangu ni kubwa sana na speed ya kufikia iyo ndoto ni ndogo hii hali inakua inaniletea stress
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 3 месяца назад
AHSANTE SANA KAKA JOEL MUNGU AKUBARIKI
@MOTecnology
@MOTecnology Год назад
Ahsante sana Joel A. Nanauka, Me nimejifunza kanuni ya Law of Belief.. Nashukuru Sana ALLAH akulipe kheri.
@dereckndasalama1002
@dereckndasalama1002 Год назад
Hey Joel nanauka is a christian avoid saying Allah
@tumainferisian8761
@tumainferisian8761 Год назад
Shukran sana kaka ushaur wako n mzuri sana tuki mtanguliza Mungu thanks
@HeriethSylvester
@HeriethSylvester Год назад
Ahsante sana kaka
@samnation8303
@samnation8303 Год назад
Unanipatia elimu sana kaka i apreciate you joel
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Thank you so much
@Rivadetalentboy
@Rivadetalentboy Год назад
Tupo pamoja,,,
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Год назад
Mungu akuweke Sana Mimi nimeweka akili Kwa mwanangu abadilike na mungu amesaidia Niko vzr mungu ni mwema na mambo yanaenda
@AfredaLupogo
@AfredaLupogo 10 месяцев назад
Kaka axante kwa mafunzo naamn xaxa ntafanikiw xana
@JanuarySikuku
@JanuarySikuku 11 месяцев назад
Nakukubali kaka
@danielmlwafu4380
@danielmlwafu4380 Год назад
Asante Nanauka
@alexmarwa941
@alexmarwa941 Год назад
Ubarikiwe Sana brother unatusaidia xn kubadilisha fikra zetu
@macmax3152
@macmax3152 Год назад
Heshima yako kaka wewe ni jiniaz na doctor
@bushambalvenasbushambal-ot3eh
kaka ubarikiwe Sana
@ismailmkumbanya5981
@ismailmkumbanya5981 Год назад
Kk upo vzr
@westside6470
@westside6470 Год назад
bom bom mano
@sundaymariba360
@sundaymariba360 Год назад
Brother Asante Kwa somo nzuri
@charliekavugho1849
@charliekavugho1849 Год назад
Jambo Kakangu ,mungu hakubari sana unanisaidiya sana .
@mwamvitamyombo4466
@mwamvitamyombo4466 Год назад
Asante Joel Nanauka kwa mafundisho yako
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Ahsante sana kwa kufuatilia
@tongwe
@tongwe Год назад
Asante sana kaka
@sendamachenge6311
@sendamachenge6311 Год назад
Kweli ww ni Tanzania One, Una maono makubwa sana ndugu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Awesome Ubarikiwe sana
@kevincrown4554
@kevincrown4554 Год назад
bro bless sana naimani nitanijenga kwenye maisha yangu
@Udindigwa
@Udindigwa Год назад
AMINA
@tumainferisian8761
@tumainferisian8761 Год назад
Thanks
@annamallya8756
@annamallya8756 Год назад
Ahsante sana 🙏🙏
@emanueleugen9463
@emanueleugen9463 Год назад
Law of corespondance this is the problem in my life
@hamisikambona-wp1oz
@hamisikambona-wp1oz Год назад
My Mentor ,Najifunza Vingi Sana Kupitia Wewe Kaka Mkubwa Kupitia Hiyo "LAW OF BELIEF" Nimefanya Vitu Vingi Sana Na Vimekuwa.
@lebahatikeiya8666
@lebahatikeiya8666 Год назад
Be blessed bro
@boscobalame8018
@boscobalame8018 Год назад
Mungu Akubarik Kwel Hii Ni shule isiyo hitaji karamu ya wino😂
@rogathennana473
@rogathennana473 Год назад
Postivity
@cutting_timeless_barbersho1701
Kanuni ya tatu iyo
@abdulmakongwa3856
@abdulmakongwa3856 Год назад
Kaka m nakushukuru Sana aisee Kwa maana ya kwamba maranyingi unanijenga kimsingi Sana.. hata ivo tafadhl sana naomba yako ya whatssap tuweze kuwasiliana.
@rubbenmacha7254
@rubbenmacha7254 Год назад
Mm na amini katka mafanikio makubwa
@yoshuasaiba4652
@yoshuasaiba4652 Год назад
Get it well🙌
@edommdende4309
@edommdende4309 Год назад
You bless me more kaka joel
@lilianwilfred3271
@lilianwilfred3271 Год назад
Thank you Joel
@omarymyula
@omarymyula Год назад
Nimekuku Bali kak
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 Год назад
Kaka Jo Ukweli Ni kwamba Inasaidia Sana Watanzania na Walimwengu kwa Ujumla. Tunajivunia Sana Kwa Namba unavyo tuaa Maarifa haha Muhimu.
@mrishobhaya8965
@mrishobhaya8965 Год назад
Noel unamaliza kila siku MB zangu za thamani ya elfu Tano. Lakini baada ya muda furani nikapata milioni Tano ajabu kabisa na sichoki kukusikiliza maana unateka sana sehemu ya ubongo wangu
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 Год назад
Safi sana Nanauka
@gibsonmnun887
@gibsonmnun887 Год назад
Nimegundua kosa lang., Law no.1&2 niko vizuri ila kwenye law no.3&4 watu wa karib yang wananirudisha nyuma sana kwa kunipa negatives. Sasa ntaamin ktk mm nisiwasikize
@feisalhamza1589
@feisalhamza1589 Год назад
Thanks brother kakuni ya tatu inanisumbua sana Low of correspondence
@feisalhamza1589
@feisalhamza1589 Год назад
Kanuni ya tatu brother
@frankjonh-tz2qq
@frankjonh-tz2qq Год назад
Nipo songea nashida na kitabu naomb nitumie namba yako tuwasiliane kaka
@Patricia800
@Patricia800 Год назад
❤❤
@Rivadetalentboy
@Rivadetalentboy Год назад
Im violin player🎻 unani encourage Sana 🙏🙏🙏
@ufahamuzaidi2343
@ufahamuzaidi2343 Год назад
Great
@MOTecnology
@MOTecnology Год назад
Now Naanza Kusikiliza Kwa Umakini Ili Nijifunze Kitu Kutoka Kwa Joel A. Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Karibu sana
@MOTecnology
@MOTecnology Год назад
Shukran.
@iddyrashid7132
@iddyrashid7132 Год назад
Bro sina mengi ya kusema mungu akulinde uzidi kutuelimisha
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Ameen Ameen nashukuru sana
@KelvinMjuni-ob2pv
@KelvinMjuni-ob2pv Год назад
Mawasiliano yako ni muimu ili kujifunza zaidi
@paulkihenzeva754
@paulkihenzeva754 Год назад
Ndiyo maana Kila ninapohisi kuteleza Huwa nakimbilia video zako chap kurudisha maarifa .
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 Год назад
Ni kitabu gani naweza kukipata nankunipatia kwa maelezo yake.kwa.kirefu
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
0762 31 21 71 tuwasiliane
@jacquellinepaulmatiku8645
@jacquellinepaulmatiku8645 9 месяцев назад
this background voice is an obstacle
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Asante sana
@jeniphersanga2306
@jeniphersanga2306 Год назад
Kanuni ya law of belief jmn mimi mda mwingi akili yang imekaa kuwaza na kuamin kushindwa sijui shid Nn naomba unisaidie mwalm ktk hili nataman hali hii initoke
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Endelea kuangalia hizi video utaishinda hiyo hali.
@jeniphersanga2306
@jeniphersanga2306 Год назад
Asante sana my mentor🙏🙏
@bensonbarnaba1431
@bensonbarnaba1431 Год назад
Asante , je nawezaje kupata mafundisho yako wasap?
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Tuma Hii meseji Watsapp 0756-094875
@asternjulius890
@asternjulius890 Год назад
Aiseh niliweka imagination ya kununua crown athletes ndo nikaanza kuziona nyingi kila sku
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 Год назад
👆👍👏👏👏
@ibrahmabdallah5148
@ibrahmabdallah5148 Год назад
Ivi kuna uwezekano wa kupata no yako I mean group WhatsApp ?
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
0756 094 875
@kelvinmwakatobe2174
@kelvinmwakatobe2174 Год назад
Nanauka wewe ni Maana halisi na picha ya mtu alienufaika na elimu aliyoipata. Me tips zako naziiishi maana ni positive Tips
@joelnanauka
@joelnanauka Год назад
Shukrani sana Kelvin
@mayungasaid5394
@mayungasaid5394 Год назад
Low of correspondence
@gracesizya
@gracesizya Год назад
Kaka ubarikiwe sana
Далее
Siri 4 Za Kuvutia Watu Muhimu Kwenye Maisha Yako.
9:48
Гаджет из даркнета 📦
00:45
Просмотров 266 тыс.
На самом деле, все не просто 😂
00:45
Исповедь / Мася
2:47:10
Просмотров 190 тыс.
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Просмотров 16 тыс.
Siri (8) za Kufanikiwa Kiuchumi Na Reginald Mengi
11:32
UNACHO TAKIWA KUFANYA SASA -JOEL NANAUKA
14:39
Просмотров 1,2 тыс.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Просмотров 105 тыс.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Просмотров 389 тыс.
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Гаджет из даркнета 📦
00:45
Просмотров 266 тыс.