😅😅😅😅kwakweli ila kuna video alipost mimi pia imenisaidia yani akija mtu analia shida naweza infia deni ili nimsaidie ila tokea niangalie hio video nimejifunza kitu na km sina bac changaiki na km ipo kwenye mipango yangu bac c hangaiki na shida ambayo sikuitarajia tena ya mtu
Kwa kweli mm umenisaidia mambo mengi sana ila hii ya Leo imeingia Tena kwenye malengo yangu natamani kukununua gari fulani na ninaliona sana kiongozi kaxi nxuri sana nitakutafuta mana mm nimeanzia chini sana
Kaka m nakushukuru Sana aisee Kwa maana ya kwamba maranyingi unanijenga kimsingi Sana.. hata ivo tafadhl sana naomba yako ya whatssap tuweze kuwasiliana.
Noel unamaliza kila siku MB zangu za thamani ya elfu Tano. Lakini baada ya muda furani nikapata milioni Tano ajabu kabisa na sichoki kukusikiliza maana unateka sana sehemu ya ubongo wangu
Nimegundua kosa lang., Law no.1&2 niko vizuri ila kwenye law no.3&4 watu wa karib yang wananirudisha nyuma sana kwa kunipa negatives. Sasa ntaamin ktk mm nisiwasikize
Kanuni ya law of belief jmn mimi mda mwingi akili yang imekaa kuwaza na kuamin kushindwa sijui shid Nn naomba unisaidie mwalm ktk hili nataman hali hii initoke