Тёмный
No video :(

Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako 

Joel Nanauka
Подписаться 286 тыс.
Просмотров 159 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 291   
@jichofoundationtv6893
@jichofoundationtv6893 3 года назад
Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
@salhaoman5002
@salhaoman5002 3 года назад
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SwaibaZamgina-qs1sc
@SwaibaZamgina-qs1sc Год назад
Naomba unicheki
@SwaibaZamgina-qs1sc
@SwaibaZamgina-qs1sc Год назад
Kuna kitu umeongea kimenigusa
@stamiliantony6815
@stamiliantony6815 11 месяцев назад
A111
@febroniabernado9043
@febroniabernado9043 11 месяцев назад
Hongera Sana!!!
@estamichoromichoro5634
@estamichoromichoro5634 10 месяцев назад
Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana
@highzacknnko4002
@highzacknnko4002 3 года назад
"Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku
@fettymdoe2100
@fettymdoe2100 3 года назад
hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Amen,Songa mbele
@petermunuo1657
@petermunuo1657 3 месяца назад
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@official_rayob.8351
@official_rayob.8351 Год назад
nimeiskiliza kwa hisia sana hii
@anastaziagerad1646
@anastaziagerad1646 3 года назад
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
@merryjohn9520
@merryjohn9520 2 года назад
Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏
@marymgore6714
@marymgore6714 3 года назад
Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza
@baloziwawalemavu1146
@baloziwawalemavu1146 Год назад
Amen Amen Amen 🙏
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 года назад
Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele
@floraritha1454
@floraritha1454 3 года назад
Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.
@franksamson1718
@franksamson1718 2 года назад
Stand room
@denissanga454
@denissanga454 3 года назад
ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.
@deboramuhoja1777
@deboramuhoja1777 Год назад
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
@uwimananadia6066
@uwimananadia6066 3 года назад
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Ameen,Utukufu kwa Mungu
@wazirikosianga4120
@wazirikosianga4120 Год назад
Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki
@FredrickSeshahu
@FredrickSeshahu Месяц назад
I love this person because he is only my rolemodel to my life. Godbless him
@dazboy-sl7cm
@dazboy-sl7cm 2 месяца назад
Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana
@user-os9nb8ub6k
@user-os9nb8ub6k Год назад
Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤
@davidkengambi491
@davidkengambi491 3 года назад
Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Nashukuru Sana🙏
@masterkey536
@masterkey536 2 года назад
Sawaaaaaa pastor
@myahudichrisostom
@myahudichrisostom Год назад
Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏, You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪
@franknachimbinya7688
@franknachimbinya7688 3 года назад
Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA
@AishaOman-qz7tn
@AishaOman-qz7tn Год назад
Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏
@BilalHassan-jj8yo
@BilalHassan-jj8yo 4 месяца назад
Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 9 месяцев назад
Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana
@lilymatoli7117
@lilymatoli7117 3 года назад
Joel your among best motive speakers I have seen
@fredimwa5321
@fredimwa5321 2 года назад
Help me your nomber plz..
@nurdininanjota4056
@nurdininanjota4056 Год назад
Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.
@abdulrahmanis-hakka3347
@abdulrahmanis-hakka3347 3 года назад
Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 года назад
Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.
@polomondeniss5511
@polomondeniss5511 3 года назад
Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu
@dainesimkombo9218
@dainesimkombo9218 3 года назад
Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu
@johansenjackson960
@johansenjackson960 3 года назад
Amen ubalikiwe sana
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 года назад
Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli
@FelicianJacob
@FelicianJacob 23 дня назад
Ahsante mwalimu
@mathiasjohn9979
@mathiasjohn9979 2 года назад
Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana
@lauradeogratias3055
@lauradeogratias3055 Год назад
I am glad for you man of God
@VictorKamwera
@VictorKamwera 5 месяцев назад
Amina
@ireneinnocent4128
@ireneinnocent4128 Год назад
Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Год назад
Na ww umefatilia hiki kipind leo km mm hakika tutafanikiwa
@DiazPilipili
@DiazPilipili 5 месяцев назад
Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi
@YohanaMvungi-zm6gh
@YohanaMvungi-zm6gh Год назад
Unjua sana kaka
@deogratiasmakali5099
@deogratiasmakali5099 2 года назад
Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante
@thelesiapaulo7790
@thelesiapaulo7790 3 года назад
Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo
@barikikimaro9165
@barikikimaro9165 3 года назад
Kaka joel kwakweli MUNGU akubariki sana kwa mafundisho mazuri unayotupa
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Ameen Bariki
@daudidaniel230
@daudidaniel230 2 года назад
Ahsante sana kwa fundisho hili. Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona. Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.
@SijaliChisunga-b3k
@SijaliChisunga-b3k 5 дней назад
Nashukulu sanaa mungu aniwezeshe lakini mungu akupe maisha marefu
@luluproches5107
@luluproches5107 3 года назад
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia RU-vid tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
@makandaigarobi4765
@makandaigarobi4765 Год назад
Asante
@WitinessJoseph
@WitinessJoseph 14 дней назад
Umenipa ujasiri Sana na kuuza imani yangu sana
@DoctorEvarist
@DoctorEvarist 10 месяцев назад
Asante San kwa elimu yako father 🙏
@winifridaleo4443
@winifridaleo4443 3 года назад
Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 3 года назад
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
@denismtui7833
@denismtui7833 3 года назад
Blessed Nanauka 🙏
@neemakweli461
@neemakweli461 3 года назад
Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@sifamdaki966
@sifamdaki966 3 года назад
I'm crying😭😭mimi nasemaga kwamba siku moja nitakuwa mtu mkubwa sana, nitakuwa mfanya biashara mkubwa sn wananicheka ila hawajui nguvu ilioko ndani yng hawajui jinsi ninavyojiona😭asantee sn kaka Joel unanipa nguvu zakufikia ndoto zang hakuna anae nimini ila ipo siku nitatoa ushuhuda nitaisimulia dunia na kunyesha watu mbele za mungu hakuna kinachoshindikana
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Ameen Sifa na itakuwa
@work24onme
@work24onme 8 месяцев назад
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼
@lucyjuma8478
@lucyjuma8478 2 года назад
Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 Год назад
Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@user-wh5co1oc4s
@user-wh5co1oc4s 4 месяца назад
sema nn bro 👊👊👊
@sangasadick3350
@sangasadick3350 3 года назад
nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona
@official_rayob.8351
@official_rayob.8351 Год назад
upo makin sana kaka🎉
@ednaednamillanzinia2826
@ednaednamillanzinia2826 Год назад
Inspiration, aleluyah
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 Год назад
Still learning be blessed brother @kenya
@imanndambo2918
@imanndambo2918 3 года назад
Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki
@elijahanthony7667
@elijahanthony7667 3 года назад
Wow the God of mercy is working
@andrewkszinza7047
@andrewkszinza7047 3 года назад
Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD
@sadickchatila2130
@sadickchatila2130 3 года назад
Amina mtumishi neno LA Leo linaenda kubadilisha maisha yangu ubarikiwe sana
@aminakesi3740
@aminakesi3740 2 года назад
Nitapata vip hiki kitabu
@paschalinasulle6233
@paschalinasulle6233 3 года назад
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
@breshnyanjwa3102
@breshnyanjwa3102 3 года назад
Oooh God I'm denying all the delays in my life I'm nt a failure
@hawamusumba431
@hawamusumba431 2 года назад
Am the Head nt atail in Jesus name na jitangazia ngambo ya pili
@mwajumayunus2041
@mwajumayunus2041 3 года назад
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
@RoseMandai
@RoseMandai 5 месяцев назад
Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza
@visionelectricals
@visionelectricals 2 года назад
Thanks so much
@tinawangwe2332
@tinawangwe2332 3 года назад
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Ameen,🙏
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 4 месяца назад
Nakataa kuwa mtu wa chini ❤
@chrissally2397
@chrissally2397 3 года назад
Àhsañte Sana kaka JOEL NANAUKA
@barakaephraimu7503
@barakaephraimu7503 Год назад
Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako
@chotark1881
@chotark1881 Год назад
huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana
@eliezermtokoma4134
@eliezermtokoma4134 3 года назад
MUNGU akutunze saana
@joelnanauka
@joelnanauka 3 года назад
Ameen
@jkyamba3200
@jkyamba3200 3 года назад
Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU
@liobajoseph8255
@liobajoseph8255 3 года назад
Great brother Joel, I admire you
@tobycolt4726
@tobycolt4726 3 года назад
You all probably dont give a shit but does anybody know a tool to log back into an Instagram account? I was stupid lost the account password. I appreciate any tricks you can give me!
@callendarian3313
@callendarian3313 3 года назад
@Toby Colt instablaster ;)
@amakamraqterry5920
@amakamraqterry5920 2 года назад
Amen mtumishi thanks
@neemaprisca7126
@neemaprisca7126 3 года назад
Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo
@michaeltimoth366
@michaeltimoth366 2 года назад
Word....nabadilisha nnavyojiona
@gastomasawe9176
@gastomasawe9176 2 года назад
Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo
@priscajoseph261
@priscajoseph261 Год назад
Nitafaulu,sitaaibika,mi ni mshindi na mwenye nguvu
@deboraclass9282
@deboraclass9282 Год назад
Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.
@festoelias7884
@festoelias7884 3 года назад
Asante sana ubarikiwe na Mungu
@johariphilemon8630
@johariphilemon8630 3 года назад
j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako
@joelparmwat6029
@joelparmwat6029 7 месяцев назад
Amen god bless you 🙏🙏
@abdullahbarwani8306
@abdullahbarwani8306 3 года назад
Kazi nzuri sana kaka asante
@rozimwasi6137
@rozimwasi6137 3 года назад
Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu
@user-sn2in5oi9c
@user-sn2in5oi9c Год назад
Asante postor
@emmanuelziro4205
@emmanuelziro4205 Год назад
Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me
@frankaloyce6438
@frankaloyce6438 11 месяцев назад
Greatest speech never seen before 🤝🤲🔥🔥🇹🇿
@pialafrance7922
@pialafrance7922 Год назад
😢😢😢😢Barikiwa sana mpendwa hakika nmejifunza mno😢
@ELIASMANCHAN
@ELIASMANCHAN 29 дней назад
Amen
@zainabozainaty6188
@zainabozainaty6188 3 года назад
Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 года назад
Amen
@lucymathias9045
@lucymathias9045 Год назад
Powerful speech🙏joelnanauka
@peterjoseph997
@peterjoseph997 3 года назад
KAKA nashukuru sana kwa mafundisho yako maana kupitia hayo nami nazidi kuwa msahada kwa vijana wengine katika jamii yangu, nimependa sana somo hili maana linainua na kufufua akili za vijana na kwa upande wangu limeniamsha tena na kunifanya kuzidi kusimama zaidi " MUNGU akubalike sana " karibu mwana kaka..
@emmanueljumbe58
@emmanueljumbe58 Год назад
Ann cn🙏🙏
@kenyantotoz4244
@kenyantotoz4244 3 года назад
Sauti peke yake ni Baraka kwako,,, congratulations bro
@hellyfridy
@hellyfridy 10 месяцев назад
Be blessed. Amen🙏🙏
Далее
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Просмотров 83 тыс.
НЕДОВОЛЬНА УСЛУГОЙ #shorts
00:27
Просмотров 20 тыс.
AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA
17:14
Просмотров 100 тыс.
#Live :  [06.09.2024] MATENDO MAKUU
Просмотров 189
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Просмотров 179 тыс.
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Просмотров 10 тыс.
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Просмотров 67 тыс.
Njia Tano (5) Za Kurudisha Thamani - Joel Nanauka
10:21