😂😂😂 àsante sana kaka Joel kiukweli Mimi ni mhanga wa mipayuko, Yan daah niwe popote napokea tuu na sauti juu khaa Yan apa naona aibu wallah🤣🤣🙌🙌🙌🙌na naacha rasmi
Mungu atusamehe sana tume kosea watu wengi bila kujua, asante kwa somo nzuri sana, ya kuongeza ina omba mbele mtu anunue simu apate mafundisho kwanza, ✍️🇨🇩
Nashukuru sana kwa kufundisha hizi kanuni nimefurah sana ,pia nimejifunza kitu kikubwa hasa iyoo ya 7 aloooo huwa inakera sana lakn umenisaidia sana iyoo ya 8 ni mm kabsaa 😂😂
Asante sana kwa somo Zuri sana Life Coach, nishawah kukuta missed call 42, 38 za mtu Mmoja niliogopa sana nikawaza kapatwa na nn...🤣🤣 lakin hizi 4 za watu wa na baadae nilivyomrudia hakuwa na jambo kubwa sana. Kuna vitabia vingine vinakera 1. mtu anaepokea simu Kisha anakaa kimya anakusikilizia kwanza ww😂🙌🙌 2. Mtu anaepigiwa simu na ana muda wa kupokea lakn anaacha inaita mpka karibia ikate Kisha ndo anaipokea🤔
Kwa kweli zote ni muhimu sanaaaa lakini hiyo ya tatu ni kama dharau Kwa huyo aliyepo hapo maana haiwezekani unaongea Naye lakini AKILI yako bado inaendelea na Mengineyo Kwa mwingine 🎉🎉
Asante sana nimejifunza.Nimekutana na upo kwenye kikao unasikia simu inalia kama bomu, upo kwenye daladala unasikia anaongea kwa sauti asema mimii nipo Dodoma Mjomba kumbe yupo Dar.
Broo kwa asilimia kubwaa hivyo ulivyovizungumzaa nimekutana navyo au baadhi ya vyengine nimevifanya kwa Bahati mbaya, ila watu wanaonishangaza ni Waleee wanao ongea viasi vya pesa ndefu utasikia usiwaze hiyo MILION 60 ntakufoardia mda sio mrefu, wakati hapo una jero lako la nauli unalipapasa mfukoni kila wakati lisije likayayuka ukashindwa kulipa nauli ya daladala,😂😂 Ila hongera sanaa bro kwa kazi nzuri na Mungu akubariki sana.Ameen
Nimekutana na mtu kwenye mgahawa wakati twapata lanchi bc simu yake ikaiti daaah alipayuka huyo ooh kama hela yangu hamtaki kunipa bc mimi namwachia mungu daaah ilinikera
Mwl. Hii Elimu wengi hawaizingati na tunaoishi nayo tunaonekana tunadharau, na huwa tunaambiwa tutakosa Fursa. Mimi kuondoka mazabe haya nina namba mbili "block" na "unblock" nikiwa Kikao, darasani ninafundisha au mahali ambapo ninaona simu inaweza kuwa kwazo ninacall Block na inablock incoming calls zote, ila ntapokea Sms zinazoonyesha nilitafutwa, then nikimaliza shughuli husika ninacall Unblock naendelea na maisha ya kawaida. Kuna watu Simu ni zaidi ya mtoto wake 😅 yaaani ikiisha charge au mtandao hamna moyoni na akilini anahisi kama kuna kitu kimeondoka
Ninamjua jamaa mmoja ni rafiki yangu ngoja nimtumie hii aelimike,Yeye huongea kwa kupayuka sana sindani kama kuna mtu mwingine anaweza kuongea na cm kwa sauti kubwa kama huyu jamaa!
Nikweli mwalimi tunafaa kujivunza njisi ya kutumiasimu.hatatukiwa kwenye manyumba,yani kama bibi na bwana tusijifanye sana kuwa na simu kuliko kuwa na wenzetu,kwanihizi simi zimeharibu sana ndowa
Hata mimi huwa nachukizwa sana na mtu anakutafuta na anajua huna namba yake lkn hajitambulishi nachukia sana kwasababu mimi nikimtafuta mtu na najua hana namba yangu lazima nijitambulishe tena km namba nimepewa na mtu anayemjua lazima nimwambie ba nimepata wapi kisha nieleeze shida zangu ila watz hatupogo hivyo sijui kwann
Nilipanda bus na mdada tulikuwa tunatoka Morogoro kwenda Dar alikua anaongea personal issues hadi kero ile milioni 10 nitakupa ile pesa kwenye account imeingia yaan nilitamani kushuka
Watu wanapayuka sana na kutokujari wakiwa kwenye mazungumzo, ila Kuna watu unaweza ukawaambia nitakupigia Niko mahali sio sahihi wao wakazidi kuongea ukimkatia ahisi umemdharau je kwa huyo nifanyaje???
Kuna watu wanakera jamani. Anatoa maelekezo ya chakula Cha kupika nyumbani kwake akiwa kwenye bus. Anapayuka mno. Huyo kuku myonyoe vizuri na hayo maharage yasiungue😂
😂😂 niliyowah kukutana nayo niyakupayuka,nakumbuka nilikuwa kwenye daladala alafu mtu akaamekaa seti ya nyuma akawa anaongea kwa saut sana ila katika mazumzo yake akaongea...bhana sasahivi nina sim ndugu yangu uwe unanipigia 😂😂😂 basi nikajuwa siyo kosa lake