Wewe unaye mtukana asikofu kwani amekukosea nini mtumishi huyu wa MUNGU ? Kama ni kwa uchawa wako na chuki binafsi kwaajiri ya kuwatetea mafisadi wanao kuhonga kanga,fulana,na kofia na vipeperushi basi wewe ni mlaanika na ni wakala au ajenti wa kuzimu na shetani
Hakika maaskofu wote wangekuwa kama wewe mbinguni tutaenda na Duniani tutakuwa salama siyo mtuhubirie habari ya kwenda kwa mungu wakati Duniani haki hakuna shida kibao tutafika tumechoka sana huko mbinguni
Wewe mwenyewe hata hujui ni askofu Wakanisa gani liongo kama Nini wajinga ndio wanashangilia mwache tundulisu aongee mpagani wangu aongee siyo huyo fara kujitambulisha eti ni askofu harafu mwingi hivo
Mtu na akili yake badala ya kuzungumza mambo ya maana anazungumzia kapu ambalo hatayeye SAMIA hajui nikwa ninikakwapuliwa haya mlinzi wakiume kuingia mskitini badala ya waislam kuchukizwa unalalamika wewe kama siyo chuki binafsi ? LIMEKISA WAUMINI LINATAPATAPA KWAKUKOSA SADAKA