Тёмный

HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA WOGA ADAI RAIS SAMIA ANAHONGA PIKIPIKI NA GESI ILI APIGIWE KURA 2025 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 159 тыс.
Просмотров 23 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Huyu Askofu Mwanamapinduzi Machumu ni balaa, aanika siri nzito ya Rais Samia, adai anahonga pikipiki na mitungi ya gesi kwa Wananchi ili apigiwe kura uchaguzi ujao, wananchi wathibitishankupokea mitungi ya gesi.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

2 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 88   
@thadeusmateru1356
@thadeusmateru1356 Месяц назад
Zimwi la Magufuli litamtafuna Mama Samia
@BartonyMwasambili
@BartonyMwasambili Месяц назад
Simba
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Месяц назад
Fisiyemu tulieni sindano iwaingie
@user-iy8mq9ii8t
@user-iy8mq9ii8t Месяц назад
Msisumbuke alilopanga Mungu HATA watu wasipolipenda litatimia tuu msijisumbue Kwa neno lolote Bali kila neno kusali kuomba pamoja na kumshukuru Mungu yeye atosha haleluya
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Месяц назад
Fisiyemu halijitambui watanganyika tunajitambua tumewakataa hata mkiongea. Humu mautumbo yenu hamtaeleweka
@ntulimwakimonga6966
@ntulimwakimonga6966 Месяц назад
Kesho utasikia yuko lupango" mchochezi" 😮😮
@hassannuru7399
@hassannuru7399 Месяц назад
hakuna mwenye time naye. hayo yalikuwa ni ya kipindi cha yule mwendazake.
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Месяц назад
AA WAPII
@IssaMohamed-mp4hj
@IssaMohamed-mp4hj Месяц назад
Mchungaji atapotezwa na ccm
@user-uq5vm2ge4q
@user-uq5vm2ge4q Месяц назад
Safi sana
@paulalubini8930
@paulalubini8930 Месяц назад
Watu tumechoka na maisha magumu ya huyu Raisin samia
@emmanuelkaale6448
@emmanuelkaale6448 Месяц назад
Ukipewa chukua piga kura kwa anayetetea rasilimali
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Месяц назад
Biblia nzima ukiisoma mgogoro mkubwa uliokuwepo ni baina ya viongozi wa kidini na serikali. Hovyo viongozi wa dini Wana wajibu wa kuingilia kati pale serikali inapokosea
@jacksonndiu1070
@jacksonndiu1070 Месяц назад
kweli alitakiwa ajiuzulu
@user-mh9hj3lx7q
@user-mh9hj3lx7q Месяц назад
Mama samia rudi kwenu znz
@EzekielKaminyoge
@EzekielKaminyoge Месяц назад
Usutumie vibaya neno la Mungu askofu
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад
Watu wa mungu acheni siasa. Hubirini injili
@allymusira2153
@allymusira2153 Месяц назад
Haya maneno angekuwa kayasema sheikh sasahivi angekuwa keshabambikwa kesi ya ugaidi
@IssaMohamed-mp4hj
@IssaMohamed-mp4hj Месяц назад
Kweli maisha magum sana tz
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
Kweli Ajihadali Maguli.alisem@
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 Месяц назад
Askofu Big up!
@venceslausmtanila93
@venceslausmtanila93 Месяц назад
Sio askofu huyu
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Месяц назад
Kachanganyikiwa na udini huyu cio kosAlake tumuombe amuongoze halafu askofu sijui hao anaowaongoza wakoje huu mtihani mungu Samia urais Kapewa na mungu wewe huwezi kulitengua Hilo na chuki zako binafs
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm Месяц назад
Mh samia atareta Vita ya wazanzibar na watanganyika kwa kuwasaport wazenji tuuu inchi itakua kama Rwanda kwa ujinga wake samia
@kassimualli1755
@kassimualli1755 Месяц назад
Mkundu wako
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 Месяц назад
Askofu pokea 100% kwako,
@KhamisiSalimu
@KhamisiSalimu Месяц назад
Faida ya mungano huo munauziwa nchi yenu sasa na bado pumbavu kwa nini munataka mungano
@miraabdul7470
@miraabdul7470 Месяц назад
Huyu akawaulize wa Pemba na unguja, walifikia wapi. Upinzani uchwara hautachukua dola kwa vikaratasi vya kura
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
😢ombeni.kura.punguzeni.maneno.mkali.sera Zuri.mafundi sho Juu.uchaguzi.waamke.wasids
@allyalsubhy6899
@allyalsubhy6899 Месяц назад
Sasa Samia ni rais wa Z,bar we mpumbavu Nini na Kwa uchochezi huo naaoa kama mtapata ushidi,
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 Месяц назад
Mpumbavu ni wewe boya wewe
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
Umejaa matope kwenye ubongo
@AdamShaban-uu4en
@AdamShaban-uu4en 28 дней назад
Watanzana amkeni ccm ni sawa na nguo ya zamani au nguo mtumba shauri yenu
@AnaniaBulaya-rc3jv
@AnaniaBulaya-rc3jv Месяц назад
Yaani askofu u nahimiza watu kubeba silaha mungutuepushe.
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 Месяц назад
Hatujafikia steji ya kutumia siraha za jadi kwenye uchaguzi mnatutisha sisi wapiga kula tusiende hata kupiga kula siku ya uchaguzi mtaenda wenyewe wewe ni mchungaji unatakiwa kuhamasisha amani sio machafuko na swala la ccm kuiba kula kwakutumia vyombo vya dola kama wewe mtumishi wa Mungu unatakiwa ulikemee nakumuomba Mungu aingilie kati haki itendeke hakuna kisichowezekana kwa Mungu
@hassannuru7399
@hassannuru7399 Месяц назад
acha uongo mchungaji.Hakuna mtu anakataliwa na mungu.huna hoja mchungaji.kangombee uone kama utapata kura hata moja,kama kuna mtu anakataliwa na mungu kama unavyosema labda ni huyo aliyekufa akiwa ofcn.
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 Месяц назад
Mungu kashaa ombwa Sana haki itendeke na haikutendeka Hadi Leo. Sasa nikummaliza tu atakaejaribu kupora haki.
@EmmanuelKuzenza
@EmmanuelKuzenza Месяц назад
Mtukutu haishi kwa maombi. Fimbo hutumika kumwelimisha mtukutu.
@venceslausmtanila93
@venceslausmtanila93 Месяц назад
Hana kanisa kanisa kwanza
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k Месяц назад
Samia naona amechanganyikiwa.Maana hata polisi wamemsaliti.
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g Месяц назад
siku mkirudi njooni G Lema
@user-rd2no1sm2u
@user-rd2no1sm2u Месяц назад
😅
@NayratOmar
@NayratOmar Месяц назад
Umeyakamyaga
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Месяц назад
Asikofu mjinga anapingana na mungu wewe Kama Nani mungu hajamkataa samia ila wewe mpumbavu aliekwambia bandali zimeuzwa nani wewe unachuki za kidini sio acha uongo askofu mzima unamused mjinga
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 Месяц назад
Mjinga ni wewe kenge wewe. Askofu kasema huyo kakataliwa na Mungu, wewe unasema mungu, sasa huyo mungu ni shetani. Jifunze ili uelewe boya mkubwa
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Месяц назад
Wenye akili timamu tutaenda misukule ibaki. Nyumbani
@user-ry3zq8vp5c
@user-ry3zq8vp5c Месяц назад
Kweri wewenichawa wasamia mpaka unasema mungu samia
@abuuazhar3738
@abuuazhar3738 Месяц назад
Chadema UDINI UTAWAMALIZA.
@erickmsigala138
@erickmsigala138 Месяц назад
Utahira wako ndiyo unawaza udini
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Месяц назад
HABARI NDO HIYOO
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Месяц назад
Pole sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Месяц назад
pole sanaaaa huwezi kuisinda Ccm hata ufanye pamoja na uaskofi wako
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 Месяц назад
Kuisinda😂
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
Kwani ccm ni MUNGU?
@janengaga2928
@janengaga2928 Месяц назад
Askofu wewe huogopi.
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Месяц назад
Ujinga wa askofu huyu .Mheshimiwa Samia hahongi pikipiki kwani vitendea kazi vya CCM vinakuhusu nini .Siasa na dini hiviendi njia moja .Askofu uliyechanganyiikiwa kama Tundulisu.Mungu hajakwambia hayo nimajukuu .
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Месяц назад
Huyu ni askofu au mwanasiasa?
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 Месяц назад
Gwajima yeye unamusemaje
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Месяц назад
@@philemonsnyanda9450 ulishawahi kumuona Gwajima anavaa nguo za kiaskofu na misalaba katika majukwaa ya kisiasa?
@majebelemathis9991
@majebelemathis9991 Месяц назад
Huyu mtawala hatumtaki kabisa ila analazimisha tu
@kassimualli1755
@kassimualli1755 Месяц назад
Mkundu wew
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 Месяц назад
​@@kassimualli1755acha matus boya wew
@kassimualli1755
@kassimualli1755 Месяц назад
Kafiri mkubwa huyu analeta uchochezi wa wazi kuma la mama yake huyu askofu
@erickmsigala138
@erickmsigala138 Месяц назад
Umelaaniwa kwa laana huna Mungu wewe ni shetani umekosa elimu kichwani umejaza kinyesi ndiyo maana huoni haya kutamka matusi matandaoni hujuwi madhara yake kwasababu u mjinga tu
@emanuelmkama1325
@emanuelmkama1325 Месяц назад
Wew imetokea wap kwa mam ako
@user-wt7vz1xx6c
@user-wt7vz1xx6c Месяц назад
Mapema tulia sindano ningie
@AdamShaban-uu4en
@AdamShaban-uu4en 28 дней назад
Unamtukana askofu wewe ni shoga hujielewi unafirwa na ccm
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm Месяц назад
Askofu mwana mapinduzi Mungu yupo na Wewe tanganyika irudi Zanzibar iende Mungu aripanga sio Nyerere mbweha
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Месяц назад
Nyie ni wadini sana Na ndio maana wakirusto wenzenu wakiongoza hamsemi chochote. Nyerere ndio Raisi anaeingoza kufanya hali ya watanzani kuwa mbaya tena kwa muda zaidi miaka 20. Mkapa.alibinafsisha vitu vingine vya umma na hamkusema chochote
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward Месяц назад
Sio kweli,ukitaka kufanya kubuka historia mkapa alipingwa kwa sera ya ubinasaj, mchanga wa dhaabu kupelekwa nje ulipingwa rejea doc za bunge, Tics ikija bandari mkurugenzi wa badandari alilamika mbele yake akikataa uwezaji. Mbunge aloys kimaro alitaka Kwa hoja mkapa ashitakiwe. Huyo mbuge mali zake arushwa Ilihujumiwa. Magu alipingwa kila kona na akitwa dictator. Vyombo ya habari kama BBc, hazikukosa habari ya kukosa kila leo. Mwl Nyerere historia inaonyesha alikuwa apinduliwe. Sisi tuna kasumba ya kumjadili mambo ya kutupotezea mda. Kama mzalendo hoja mfano kwa nini kiwanda kinateneza chupa za glass kwa kutumia maligafi za nje wakati Ziko hapa nchini? Kwa nini hua hatuoni haya?. Kwa nini tusifufue viwanda vya mikakati kama general tyre. Hivi hawa tunaowatetea kwa Imani Zetu kwa nini tushauri kwa Watoe uongozi wao Raia tufufue viwanda. Kule nchi ya Ethiopia bwa la umeme limejengwa kwa hisa za raia. Sisi hapa hoja uchwara na ukuwadi wa mali, rushwa.
@edosha3137
@edosha3137 Месяц назад
Wote walikuwa Watanganyika hawakuuza kwa Waarabu.
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Месяц назад
@@edosha3137 wameuza kwa wazungu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Месяц назад
​@@edosha3137 Msenge wewe, kwahiyo nchi ilivyouzwa Kwa wengine hiyo ni Sawa, kuuzwa Kwa waarabu ndio tatizo? Msenge sana wewe
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Месяц назад
Hao akina mkapa waliuza kwa nani? Kwahiyo wewe mtu akiwa wa imani mwenzako, hata kama ni jambazi, utamtetea, hii tanganyika ni mkate wa wote, sio wachache wamege pakubwa, wengine wakose, kwa nyie waislamu hamna jeuri ya kuipinga serikali, sababu ni waoga sana,, wapinzani wenye nguvu duniani kote ni wakristo. Hata katika vitabu vya dini, manabii wengi wa MUNGU walizipinga tawala za miaka ile kwa uzalimu waloufanya.
@user-vl4rz6lf6d
@user-vl4rz6lf6d Месяц назад
Acha uaskofu uwe mwanasiasa yani wee dogo umekuwa aibu na unalitia aibu Kanisa na kwataarifa yako samia atapita kwa kishindo 2025 unapoteza muda wako bure Bwanamdogo utakufa na kijiba cha roho
@user-ry3zq8vp5c
@user-ry3zq8vp5c Месяц назад
Naonamachawa mnamzoga asikofu mtapatauteuzi waobarozo hata wanyumba kumi asante
@edosha3137
@edosha3137 Месяц назад
Kama Chawa wake mtaiba kura. Na haipendi Tanganyika yenu.
@edosha3137
@edosha3137 Месяц назад
Hamuipendi Tanganyika. Mnapenda kutawaliwa na Wazanzibar
@PetroMpunga-rt7hv
@PetroMpunga-rt7hv Месяц назад
Katiba mpya
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Месяц назад
Uaskofu ni kazi,na kazi mojawapo ya askofu ni kuwasemea wasioweza kusema
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 Месяц назад
Hivi vitabu vya Mungu nchini. Tanzania vinaruhusu unafiki hivi sasa Dunia inakwenda wapi ? Ona huyu mchungaji wa Mungu kweli? Mbona anawapeleka kondoo wake kwenye mto wenye mamba ili wakaliwe ivi Baibo la Mungu kweli limeandikwa hivyo kweli ? Jamani hii njaa wa Tanzania itatupeleka pabaya. Ndiyo maana Tanzania wachugaji wanajitundika kwa kujinyonga ndiyo kama hayo anayoyafanya kama huyojivisha ngozi ya kondoo huyu sio mchungaji bali ni mtu anayetafuta lana kwa Mungu. Emen
@user-iy8mq9ii8t
@user-iy8mq9ii8t Месяц назад
Sio lazima umkubali anyesema usiyopenda.bali Mungu atasmama na kweli daima
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Месяц назад
Uko sahihi
Далее
Суши из арбуза?!
00:34
Просмотров 677 тыс.
🎙️А не СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?
3:12:39
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27