School met wangu Mh Magoti kwa sasa Mungu akusimamie katika kazi zako na hakika atabariki kazi ya mikono yako.School met wenzio wa Secondary wanakuombea. Twende kazi.
NChi yetu chini MAMA SAMIA RAIS WETU MPENDWA ITAFANIKIWA SANA KIMAENDELEO TUMUAMINI NA MITAMO TENA NI MAMA YEYE NI CHAGUO LA MWENYEZI MUNGU IKIBIDI TUBADILI KATIBA AONGOZE MIAKA ISHIRINI MWENYEZI MUNGU MLINDE RAIS WETU MAMA SAMIA.
Mhmmm kuamini ni ngumu kwa sababu unayoyatamka ni tofauti na yanayoonekana kwa wananchi yamkini Rais yupo sawa je nyie mnaomzunguka mnamsaidia? Mbona mnaiba sana? Report ya CAG kuna upotevu wa mabilion wamepiga lakini hawachukuliwi hatua
Inaleta maana sana kama unacho ongea umekifanyia utafiti.Wewe unayesema Rais kauza nchi kwa Waarabu, unaudhibitisho? Kama huoni maendeleo uanayofanyika inawezekana hauko sawa kichwani. Mashule,barabara,hospital,madaraja,ndege,meli sgr na mengine mengi. Tunajivunia uongozi wa rais wetu na waliomtangulia
@@sskondopoleani9616 acha kabisa kusema iivo mimi nimiongoni mwa nyumba yangu niloimlza january hii na imebolewa mwezi huu ni majonzi mengi ninayo nalia sanaaa
Hivi hii mitaara yetu ya elimu ina tija katika taifa retu kwanini tusi ige nchi zinazo enderea zenye mitaara bora za kujiari na kuajiriwa hio ndio itakua nzuri rakini mitaara yetu ni A kuajiriwa sio A kujiari bado sana
Inaanzia mbali hii nchi ilikuaga ya kijamaa kwa miaka mingi sana na hata ilipotoka kwenye ujamaa ni kama ililazimishwa ndo maana mtu huamini kuajiriwa tena serikalini ni heshma na jambo la ushindi bila kuangalia atalipwa mshahara bei gani na akistaafu angojee mafao ya kikotoo ambayo miaka the thelasini ya utumishi unapewa milioni sabini ulijiriwa ukiwa kijana unatoka mzee unakuta hukubaliani na kustaafu unaishia kupata kiharusi na kisukari kwa mawazo maana unabaini muda ulienda hela ndogo unajiingiza kwenye biashara Mara uibiwe ndo mana tz hakuna mstaafu mwenye furaha ni wachache mnoo ustaafu ni umaskini ndo mana mizee kama mkuchika hadi Leo inapambana kukaa kazini ivyo ni kubadili mitazamo kwanza ili vitu viwe tofauti