Тёмный
No video :(

MAGOTI ASIMULIA RAIS SAMIA ANAVYOKESHA NA MAFAILI IKULU, ALA KIAPO "RAIS HALALI SISI TUNALALAJE?" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 28 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 79   
@user-ey1yp6jk7g
@user-ey1yp6jk7g 2 месяца назад
School met wangu Mh Magoti kwa sasa Mungu akusimamie katika kazi zako na hakika atabariki kazi ya mikono yako.School met wenzio wa Secondary wanakuombea. Twende kazi.
@kimchi-91
@kimchi-91 2 месяца назад
Mh.Magoti yuko smart sana ,2035 tempe urais wa Tanzania 🇹🇿
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Safi sana Speech imetulia sana. Simfahamu ila nimemkubali hapa hapa tu. Ila ipo siku nitakutana naye Mimi niko Kigoma Mjini.
@user-fj5qu1qy4u
@user-fj5qu1qy4u 2 месяца назад
DC magoti HONGERA sana mwenyezi mungu akuongezee hekma na busara akutangulie katika majukum Yako Amina
@ashrafrushaka2358
@ashrafrushaka2358 2 месяца назад
Nskskskskdk
@JumaMatiko-zp5nm
@JumaMatiko-zp5nm 2 месяца назад
Good speech.Hakika Mh.rais wetu amefanya vizuri kukuteua kaka wasaidie wananchi wetu hiyo ni imaani tosha kwetu wananchi na Mhe.@Samia Suluhu Hasani Rais.
@hassanngayaga3202
@hassanngayaga3202 2 месяца назад
Big up
@darweshk7342
@darweshk7342 2 месяца назад
Mate km mate big up sn😊
@user-dy8ss4ly8z
@user-dy8ss4ly8z 2 месяца назад
Hongera kwa speech nzur
@FelisterNdoghwe
@FelisterNdoghwe 2 месяца назад
Ni sawa Rais akifanya kazi Kwa bidii.
@mgulusaidkiyanga
@mgulusaidkiyanga 2 месяца назад
Mungu akuongoze kaka nimeanza kukujua kipindi cha magufuli hongela sanaaaa mama samia
@RenatusSylivester
@RenatusSylivester 2 месяца назад
Mungu akusaidie ndg
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 2 месяца назад
Magoti ni kiongozi Nawaombea sana
@claveryrwego7550
@claveryrwego7550 2 месяца назад
NChi yetu chini MAMA SAMIA RAIS WETU MPENDWA ITAFANIKIWA SANA KIMAENDELEO TUMUAMINI NA MITAMO TENA NI MAMA YEYE NI CHAGUO LA MWENYEZI MUNGU IKIBIDI TUBADILI KATIBA AONGOZE MIAKA ISHIRINI MWENYEZI MUNGU MLINDE RAIS WETU MAMA SAMIA.
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 2 месяца назад
Kaka big up umenigusa sana.maneno yk yaliflec
@jifunzehapa8643
@jifunzehapa8643 Месяц назад
Ukisikiliza speech ya magoti na maneno yake utamkumbuka Magufuri
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Wewe ni mchwa mkubwa sana wala hutafika katika mauchawa kama haya. Masindikiza kunyanyasa wamasai na kumaluza ardhi ya Tanganyika kwa warabu.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Acha uchoko wewe
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 месяца назад
We ni msenge sana eti wamasai
@dayana5513story
@dayana5513story 2 месяца назад
Mungu akamtangulie katika kaz yake
@jifunzehapa8643
@jifunzehapa8643 Месяц назад
Huyu jamaa anaongea kama magufuri
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 2 месяца назад
Uwe kama Makonda au kama Jerry Slaa hapo hapo tutakufahamu mchapa kazi sio maneno mengi vitendo hamna
@user-gh2xf6st6q
@user-gh2xf6st6q 2 месяца назад
Mtu wamanaa kabisaa
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 2 месяца назад
Mmh!!!
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 месяца назад
Huyu alikuwa Ikulu ndo alikuwa anamwandikia Rais speach kwa hiyo razima awe na hotuba nzuri
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w 2 месяца назад
Hongera sana Kaka magoti mwanayanga mwenzetu.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад
Sasa utopolo inaingiaje hapo? Punguza kuwehuk kiakili.
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w 2 месяца назад
@@MilloWamilonga-ft8ir acha kutukana huu ukweli nitakutrack changia cio matusi
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад
@@user-mq4yq6rw1w kwenda zako wewe shoga uliyepuvuka, kuma ya kibuyu zwazwa wewe
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад
@@user-mq4yq6rw1w halafu wewe shoga la kikenya unachangia kitu gani humu wewe pimbi
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 2 месяца назад
Mhmmm kuamini ni ngumu kwa sababu unayoyatamka ni tofauti na yanayoonekana kwa wananchi yamkini Rais yupo sawa je nyie mnaomzunguka mnamsaidia? Mbona mnaiba sana? Report ya CAG kuna upotevu wa mabilion wamepiga lakini hawachukuliwi hatua
@judyngowi391
@judyngowi391 2 месяца назад
Mbona mkateua marehemu sasa kama mnakesha
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 2 месяца назад
Inaleta maana sana kama unacho ongea umekifanyia utafiti.Wewe unayesema Rais kauza nchi kwa Waarabu, unaudhibitisho? Kama huoni maendeleo uanayofanyika inawezekana hauko sawa kichwani. Mashule,barabara,hospital,madaraja,ndege,meli sgr na mengine mengi. Tunajivunia uongozi wa rais wetu na waliomtangulia
@apollokwilabya7682
@apollokwilabya7682 2 месяца назад
Sina uhakika na comment ya kuwa anakesha akisoma mafile, that need to be confirmed 😮
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Kutuuza ndiyo kunamfanya kukosa usingizi siku moja the story will be retold
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Ukimnyooshea Samia kidole kimoja Vincent vinakuelekea wewe mwenyewe! Mind me! Kila mchimba shimo hutumbukia mwenyewe! TUNASIMAMA NA MAMA!❤❤❤
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Violence vinne! Sorry!
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Acha umalaya
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 месяца назад
Umeuzwaaaa nani kakununuaaa !???? Kichaaa kweli mpka uuzwe ulikua wapiii!??
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 месяца назад
​@@dorothmsuya1686Huyo ni mama yako been getting kweli
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 месяца назад
magoti muongo sana Anakeshaje na mafaili huyo mke wa mtu Ana mme wake Aache uongo wake ni muongo
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w 2 месяца назад
Unatakaje ?
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 месяца назад
@@user-mq4yq6rw1w ukiwa CCM akili inaoza mapema Uongo mtupu umetawala watu CCM
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 2 месяца назад
😂😂😂😂😅😅
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 2 месяца назад
mtu makin
@gregory6165
@gregory6165 2 месяца назад
yuko online kama anachat je? we uliasume yupo online anafanya kazi?
@AminaKova-ig3mi
@AminaKova-ig3mi 2 месяца назад
Mkuu wa mkoa vipi ameruhusu pwani kubomolewa kote so sad🤨
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 2 месяца назад
Usilo lijua litakusumbua. RC hana UWEZO wa KURUHUSU Pwani KUBOMOLEWA
@AminaKova-ig3mi
@AminaKova-ig3mi 2 месяца назад
@@sskondopoleani9616 acha kabisa kusema iivo mimi nimiongoni mwa nyumba yangu niloimlza january hii na imebolewa mwezi huu ni majonzi mengi ninayo nalia sanaaa
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 2 месяца назад
Magoti piga kazi.
@WinifridaMaduga-su1jt
@WinifridaMaduga-su1jt 2 месяца назад
Mmmh
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 2 месяца назад
Mmh
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Magoti piga KAZI
@lusakaone7782
@lusakaone7782 2 месяца назад
Unakusudia nn unaposema kiongozi wa chama, hii nchi ni ya vyama vingi vipo kisheria, nao wanastahiki pia
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 месяца назад
Hakuna vyama ni CCM tu wengine ni takataka tu
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 2 месяца назад
Hivi hii mitaara yetu ya elimu ina tija katika taifa retu kwanini tusi ige nchi zinazo enderea zenye mitaara bora za kujiari na kuajiriwa hio ndio itakua nzuri rakini mitaara yetu ni A kuajiriwa sio A kujiari bado sana
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 месяца назад
Inaanzia mbali hii nchi ilikuaga ya kijamaa kwa miaka mingi sana na hata ilipotoka kwenye ujamaa ni kama ililazimishwa ndo maana mtu huamini kuajiriwa tena serikalini ni heshma na jambo la ushindi bila kuangalia atalipwa mshahara bei gani na akistaafu angojee mafao ya kikotoo ambayo miaka the thelasini ya utumishi unapewa milioni sabini ulijiriwa ukiwa kijana unatoka mzee unakuta hukubaliani na kustaafu unaishia kupata kiharusi na kisukari kwa mawazo maana unabaini muda ulienda hela ndogo unajiingiza kwenye biashara Mara uibiwe ndo mana tz hakuna mstaafu mwenye furaha ni wachache mnoo ustaafu ni umaskini ndo mana mizee kama mkuchika hadi Leo inapambana kukaa kazini ivyo ni kubadili mitazamo kwanza ili vitu viwe tofauti
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
And ikawe basi vizuri! Mitaara ndio nini!??
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Andika vizuri ueleweke! Mitaala sio mitaara bwana!
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 2 месяца назад
@@dorothmsuya1686 SI umerewa ukiandika vzr chawa
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 2 месяца назад
Haya bwana magoti
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 месяца назад
AMEEN ❤
@malickmgongolwa6978
@malickmgongolwa6978 2 месяца назад
😅
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 2 месяца назад
hayo hayatuusu raisi halali sababu anawaza kupiga dili
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 месяца назад
Anapiga dili na mama yako msenge wewe
@user-mq4yq6rw1w
@user-mq4yq6rw1w 2 месяца назад
@@halimamasai2234 kweli kabisa kwani lazima achangie?anapiga dili kivipi ?umejua kumjibu hy.
@matukutajuma156
@matukutajuma156 2 месяца назад
HIVI NI KWELI MH RAIS HAJAFANYA JEMA HATA MOJA?? TUWE WAKWELI JAMANI,!
@user-jc8el6je5e
@user-jc8el6je5e 2 месяца назад
Mafaili yanajaa kwasababu raisi anasafiri Sana njee.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 месяца назад
Ulitaka usafiri wewe punguza chuki za kisenge fala wewe
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Milimlaumu Magu kua hasafiri anajitenga kimataifa! Leo mama anajichanganya duniani mshaanza ooo! anasfiri sana! Watanzania kwa maneno! SHIKAMOONI
@user-dy8ss4ly8z
@user-dy8ss4ly8z 2 месяца назад
Hujapata nafasi tu ht ungekuw wewe ungesafiri tu nani hapendi raha
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
'Itifaki na protocols', nielewesheni
@mizumo6935
@mizumo6935 2 месяца назад
Usalama hao
Далее
KULA 'APPLE' BAADA YA NUSU SAA- PROF. JANABI
2:47
Просмотров 12 тыс.