RC hajamwelewa huyu dada yeye kampa mzee fedha kwa kuwa alitaka kuuza eneo na kumwondoka mke wake arudi kwao ndipo binti akaona ni heri ampe baba hela ili mamake abaki hapo home. Sasa RC abamzingua huyo dada nahisi anamchanganya. Pili kwa nn asimwite Mtendaji amnyoshee maelezø kama hajaelewa.
Huyu dada nae mzee kishaonesha nia ya kumdhulumu mama yenu tena unakwenda kumpa na pesa eti ununue nyumba kwanini km ana pesa asiende kununua sehemu nyingine mnakwebds kununua hapo hapo kwenye tatizo!
Daaaah hapo RC umepata kiboko yako ni huyu mzee😂😂😂😂😂😂😂😂😂ww dada hapo ilipofikia wachana na hiyo shamba kama una uwezo mnunulie mama sehemu ingine maana wote ni wazazi my advise
Huyu mkuu wa mkoa haoni kama hapo ni mfumo dume na nyanyasaji wa mwanamke? Kwani huyo mama hana mamlaka ya kumiliki hicho kiwanja? Mkuu wa mkoa akili yako ngumu kama mawe humuelewi tu huyo dada point yake
Wengi mnamlaumu Hapi bure lakini hapo hakuna kesi...kwanza shamba lianze milioni 30 mpka milioni 3...alafu pili shamba ni la mzee kwaiyo akiamua kuuza atauza na sidhani kama alikubali kuuza kitu cha milioni 30 kwa milioni 3.Bidada nae kaona ni kitonga hiko kajilipisha milioni 3 fasta fasta..unanunuaje shamba kwa mzazi wako kweli..hio kesi hapo si mahala pake..wakamalizie sebleni tu.
Yani hakunaga kitu sikipendi kama litoto kuangaika na mali za wazazi wakati linamikono sukomaetu nje ya famlia ukifanikia mungu asante likibuma pia mungu asante
huyu mkuu wa mkoa mbona mambo ni rahisi sana na unachukua mda kupata ufahamu, mzee alitaka kuuza nyumba, ambayo ilikua ikimsaidia mama yake na huyo binti, kumaanisha hata kama wasingenunua hao watoto bado angeuza tu kwa mtu yoyote yule, sa hapo kama binti kaamua kuilipia yeye mwenyewe ili izidi kubakia mikononi mwao imsaidie mama yake shida iko wapi? apewe nyumba yake bana manake baba yake tayari anae mke mwingine.
Hata mm ndo navyoona hivyo huyu baba anataka kumzulumu mkewake , kashashikwa skio na mkewake mpya sasa gar kanunua kaweka kwa mwanamke mwingine , eti anawadai treckta akalie kwa faida ya mke mdogo wakat mama yao hana sehemu pa kukukaa , utampa babaako gar akatembelee na mwanamke mwingine wakati mamaako hana pa kukaa ukiuliza kakuzaa , hiyo haiwezekan yy kashaamua kuhamisha virago bas amkatie huyo mkewake eneo na kama hataki hiyo pesa ilotolewa hati iandikwe akabidhiwe mama yao na hao
Nimemfatilia huyu mkuu wa mkoa kila atua lakini kwa hili naona kaniboa sana Binti kafanya kitu cha busara sana na kuhusu huyo kaka aliyeandikisha hilo jina lifutwe liandikwa la mama au la binti
CENT DAMONSTA Michael aise!! Anko magu sio muweza wayote kumbuka nae ni binadamu kama wewe na Mimi muweza wayote ni mmoja tuu nae ni mungu alie umba aridhi na mbingu pasi na nguzo na vilivyomo ndani yake naisi ume nielewa
viongozi jitahidini kutoa majibu kwa busara sikiliza vizuri kama ni ngumu kuamua kwa muda huo lielekeze sehemu sahihi wakasikilizwe uletewe mwafaka, munaboa .walitakiwa tu waelekezwe sehemu sahihi then wewe mhe utapewa mwafaka na utapata mda wa kulielewa vizuri sijapenda kwa maswali mnayomuluza huyo dada hata attention haipo hamuwezi kujua sinerial kamili.
Issue kama hiyo ni rahisi sana kuitatua ukitumia utamaduni wa diplomasia ya ukoo,wajomba nk,Ila ilivyokaa haina afya kilichobaki mzee nikumloga mtoto mtundu kwenye Mali take.
RC alikuwa mzito sana hataki kutulia asikilize aelewe ndipo aulize na kutoa msimamo. Document zinatakiwa kutoka ofisi za Mtendaji so Mtendaji ndo aulizwe amepokea 3M kwa mamlaka gani?
Wagonjwa hao watoto mali yk mwenyewe mumpangane baba yenu tafuten chenu mbona hana makosa baba Utu wake tu kukuachine mali zake Ndio mutafute maisha yenu,,Mbona mazingira hayo Zanzibar hakuna
Happi kazi yako nzuri sawa lakini uwe unasikiliza Kwanza kabla ya kudakia dakia,unapoteza mtiririko wa Mambo siku zote.Mimi nimeangalia sana clip zako nyingi huwa unadandia haraka haraka Sana kiasi kwamba haileti mtiririko mzuri
Warudishiwe hizo milioni tatu kuna nyumba gani inauzwa milioni tatu acheni kumlaghai baba yenu alafu unataka iandikwe jina lako wewe dada ushindwe kabisa!!!
Mheshimiwa anashindwa kumsikiliza akamuelewa Dada ameona kuliko kulikosa eneo kabisa kwa kununuliwa na mtu mwengine Bora alinunue yeye ili mama ake asiangaike pakuishi
RC unachemka wewe ni mwa sheria kitaaluma ambacho uelewi hapo ni nini kinaendelea punguza kiki fanya kazi vikao hivyo vinahitaji majibu sio kuwadhihaki watu