Yani mim nikionaga hivi huwa machozi yananitoka kwasababu nafahamu vizur historia ya nchi hii 😭😭😭😭😭😭😭 acha tu maisha yasonge tufe basi lakin mengi yanafanyika daaah haya bhana.
Kwa mara ya kwanza nimesikia asili ya jina la Tanganyika. Niliwahi kumsikia Mwalimu Nyerere akisema alishindwa kabisa kujua jina la Tanganyika lilitokea wapi licha ya kutafiti chanzo chake lakini hakufanikiwa. Mzee leo ametoa asili ya jina la Tanganyika. A remarkable piece of history of Tanganyika.
Watu ht huruma hawan pumbav sana rangi ya mboga mnamuacha vip mtu namna hii ..c huyu tu wako wengi kama haw ...leo eti kina polepole wanachonga sana pumbav...
Wewe ulimjua huyu mzee?au unajuaje kama aliuchuna tuu miaka yote,kumbuka mambo mengi yameanza kujitokeza kuanzi aMagufuri aliposhika nchi,unakumbuka hata yule mzee wa Nembo ya taifa alivyosaidiwa?hakukuwa na mtu aliyemjua, kuna mambo mengi hatuyajui bila ya mwenye jambo kujitokeza atakufa tuu bila ya kujulikana mchango wake
@@timbukwa9771 labda wewe ni mgeni wa mambo ya historia ya tanganyika, huyu mzee amehojiwa muda mrefu na hata video zake zipo humu usitake kumpa mtu sifa isiyo yake.
Asante kwa hili,msiishie kuhoji tu,mpelekeni, kwa bitiku,(kigoda cha mwl,nyerere)historia yake iandikwe naamini wapo wengi,hawa ndo wafia nchi,ombi lake lifanyiwe kazi,magufuli Kama utapita waite wazee hawa wa karne,utabarikiwa
Historia imefchwa Sana Kama mzee anavyosema ukiifukua sana utajifunza roho zakikatili zaviongoz wetu walio tangulia natoa pole Sana kwamzee wetu pia namshauli akaushe tu Mambo yasiwe mengi
@@hassanmfaume4522peleka Kule,, Hawa walifungwa kwa sababu waliendekeza udini na kutaka kulifanya Taifa kuwa la dini Moja.. Nyerere alitaka usawa kwa Kila mtu bila kujali dini ua ukabila
Tuirudishe historia ya nchi yetu sehemu yake, Tuache ushabiki wa imani zetu. Mwalimu alikaribishwa kwenye harakati za kuleta UHURU wa Tanganyika. Yeye sio mwanzilishi wa harakati za UHURU. Familia ya Sykes na wengine ndio waanzilishi wa harakati za uhuru. Soma kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ndio utaona kuwa historia ya Tanganyika ilipotoshwa!
Ramadhan A Ahungu ni kweli upotoshaji na uongo umetawa hadi sasa na hii imesababisha tuchukiane, inasemekana hata historia ya dini zipo sehem amebadili, maana nabii Suleiman inasadikika alikua mtu mweusi.
Ramadhan A Ahungu Lakini Nyerere hakuwa na makosa kuwafunga baadhi ya waloshiriki uhuru, maana Nkruma,Lumumba,Sankara,Samora,Karume, Gadafi,Hailleselasie nk walichelea kuchukua hatua kama za Nyerere ndio maana waliuwawa.
namba zake zinapita hapo kwenye screen unaweza kumpigia kuongea nae au kumtumia hela lkn kingine kikubwa ni kutambua uwepo wake na mchango wake kwa taifa letu.
Unajua shida ni pale ambapo WAANDISHI wa historia ya nchi hii nahisi walipotosha Sana,maana wazee Kama Hawa hawaandikwi na Wala serikali wakati zinasherkea miaka kadhaa ya Uhuru wa nchi Mara nyingi hutajwa mmoja tu kumbe Kuna wazee Kama Hawa amabao wameipigania nchi yetu.NAAMINI KABISA TABORA,TANGA,MZIZIMA,ZANZIBAR PANA HISTORIA NZR SANA ILA BADO WAANDISHI HAWAJAFANYA WAJIBU WAO Vzr
kila siku huwa namlaumu Sana nyerere, na nitaendelea kumlaumu, najua kuna wanaompenda ila mm namshukia Sana, duniani huwez kupendwa na wote , ila mm nnasababu zangu kwann namchukia nyerere
I do not know why the true history of Tanganyika is not told. Why does no body remember Mzee Suleman Takadri. A man who struggled for the independence of Tanganyika, and at the end of his life he was awarded misery and poverty. Sad indeed sad. Also Mr Aly Sykes who was ahead for the independence not even mentioned now.
Even my Grandpa Felician Malunga Sendama (1924-2007), had done manything till he lost his sight when Arusha declaration started 1957. He was amoungst the Ujamaa/(socialist) activist.Due to the struggle he finally got an accident which caused by the boomb explotions which affects his sight, from that date He couldn't be able to view better till he ware his big lenses glasses. May He rest in eternal peace for fighting for independence of our Nation.That is untold story. God bless our strong leaders.Amin.
Kweli kbsa Seikali ilitazame hili, wazo hili ni jema mno kujenga ama kumjengea nyumba si nyumba tu lkn pia mnara ujengwe. Kwa kumbukumbu za nchi hii na pia kumuenzi Mwl. Jk. Nyerere na mzee huu. Lakini kwa sasa nendeni mkatafute history kwa huyu mzee, msije mkamsifu baada ya kifo chake, huu ndio wkt wa kumpongeza mzee huu
Nchi hii ina historia kubwa na kuna watu wengi sana walihusika kuitengeneza lkn haikuandikwa wala haiandikwi hadi leo,wazee Kama hawa walistahili kuwa vizuri wamepitia mengi sana magumu wakati mwingine hadi sisi kuikuta Tanzania hivi ilivyo.
Wanajua vizuri ila nahic majina yao yakewaponza maana nilifatilia nikakuta wakina mzee saksi, tapaza, takadiry, kirashti wengi nawalifungwa nawengine kufukuzwa kusaidiwa huyo mzee tusahau. Aliegundua tanzanaity tu kaambulia ml 💯.hataile filam anayoomba Ally kiba sidhani kama itafanikiwa labda iigizwe baada yauhuru. Maana watu wanajua historia yataifa vizuri tu ila hatutaki kuelezea maana italeta machafuko nasiokitu kizuri. Chamsingi tuwaenzi kimyakimya itakua vizuri.
FISIEM badala ya kuwathamini wazee kama hawa wao wako bize kuwalipa wasanii kwenye kampeni dah wenye nchi yao hata historia tu haiwataji wakati shukeni tulitakiwa tufundishwe kuhusu wazee hawa wazalendo. TANGA-Mambo ya baharini NYIKA-Mambo ya nchi kavu TANGANYIKA OUR COUNTRY
Nakushauri milad ayo uendelee kuchukua historia ya nchi hii kwa mzee huyu ana mambo mengi Sana. Na huenda ikawa sababu ya yeye kutambulika hapa nchini na akapata matunzo hata kwa uchache kwa kipindi kilichobakia.
Wakuu,viongozi/Serikali mmemsikia mzee huyu??Hapo mlipo huyu mzee ni mmoja wa aliyesaidia Chama na Serikali hii kuwepo na kunemeka,naomba sana mama Samia Rais wa Tanzania, mama msikivu mtupie jicho la huruma mzee huyu. Mama leo hii unaweza kufanya kitu/wema kwa mzee huyu aliyeisaidia Tanzania kuwa huru mama nakuomba mjengee nyumba huyu mzee,mfute machozi alifanikisha kwa nguvu zake na mali zake kuhakikisha waasisi wetu wa Taifa wanapata uhuru,mama Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuomba nakupigia magoti mvalishe nguo baba/mzee huyu,mkumbuke angalau kwa kujengewa nyumbani na moyo wake utaburudika na atakuombea na utabarikiwa Rais wangu.
Interview imekuwa fupi Sana na hatujaona yooote anavyosema Mzee wetu. But ni vyema Ayo TV mnapoamua kufanya interview basi hakikisheni watu kama hawa wanapewa msaada. Natoa changamoto Tu Kwa Millard... Please Anzisha foundation ya Charity kusaidia watu unaowahoji ikiwa wapo katika Jambo Fulani gumu na kweli wanahitaji Msaada. Tunaweza kusaidiana watu kama hawa wakapewa heshima zao sio lazima serikali ifanye. Ahsante
Huyo kuna wakati alihojiwa au ndio hii imerudiwa? Wapo wengi walio gombea uhuru uzuri wa Nyerere alikuwa makali. Nyerere alikuwa anaamini binadamu wote ni sawa kutoka moyoni ndio maana aliwakubali wahindi wazungu na wengine na ndio maana tumekuwa wamoja. Hawa wazee walikuwa wanampinga na wengine walitaka utawala wa majimbo. Wakati wa Nyerere ponda, Lisu na wengine wanao hatarisha usalama wa nchi wangekuwa jela. Huyu mzee nakumbuka alitaka kuingiza uislam kwenye serikali au waislam watambulike kwa namna fulani na nyerere msimamo wake wa kupinga udini na ukabila ndio wakagombana. Lakini kwasababu bado yupo hai wamsaidie. Lakini kwa dar es salaam mbona walioshiriki ni wengi waliokuwa wanachangia nauli na kwenda kumpokea Nyerere akitoka UNO na wanaishi maskini au wamekufa masikini ni wengi.
Je wote walioshirikiana na nyerere walidai udini? Tukubaliane tu mzee nyerere kawadhulumu wenzie tu tusifichane, leo hii sherehe za uhuru hazinogi mana ukweli umefichwa sana
Ukiwa unaandika habari hizi tumia hekima na busara ,huwezi kulaumu upande mmoja bila kusikiliza upande mwengine so msikurupuke tu kuandika bila kujua impact
Hiyo ndo shida ya mwafirika akipata uongozi husahau kabisa aliokua nawao si Tanzania tu uganda pia ni vile vile kenya mambo ni hayo hayo na Kenyatta wako wazee mpaka sasa wanalia
KUNA HAJA YA WASIMAMIZI WA HISTORIA YA TANGANYIKA KUFANYA JUHUDI ZA MAKUSUDI SANA KUANDIKA UKWELI JUU UA HISTOROA NA WANAHISTORIA WA NCHI HII,SIO KUDANANYA WATU KWA HISTORIA FAKE AMBAZO ZINAPOTOSHA WATU.asante Sana ayo tv kupitia ninyi tutajua Yale amaboyo hayakuwekwa wazi.Keep it up.
Woga huu Tanzania! Yaani mwandishi ashindwa hata kuendeleza maneno nyeti muhimu ya mzee. Kwa nini aliwekwa kizuizi ni na Nyerere? Kwa nini Nyerere alikuja akamwomba msamaha? Ni maswali relevant sana katika interview hii.
Naamini ipo story nyuma. Mzee Jk alikua hataki LOLO. Bila ukali wake na kufanya aliyofanya amini tungekua pabaya sana. Udini ukanda ukabila vingeshamiri. Mzee alikua akikuona una huo upepo lazima akusweke. Hadi utoke akili inakukaa sawa. BADO NAMSHUKURU MWL NYERERE KWA YOTE ALOFANYA KWA AJILI YA HILI TAIFA. NO MATTER WHAT.