Тёмный

KAULI ZA MAALIM SEIF’ ZILIZO GUSA WATU ZNZ -KABLA YA “KIFO CHAKE” 

KTV TZ ONLINE
Подписаться 377 тыс.
Просмотров 119 тыс.
50% 1

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 165   
@husseinmohammed2186
@husseinmohammed2186 3 года назад
Hatuna lakufanya zaidi yakukuombea duwa kwa mwenyezimungu nenda salama baba mng atakufanyia wepesi huko uliko amin👏👏👏
@alimsabah4921
@alimsabah4921 3 года назад
Hakika alikua mwisho mwema aliondoka na neno kubwa Sana na muhim Sana wazanzibari tuwe wamoja ALLA amrehemu na amekua na mwisho mwema mashalla
@tamemahmad9902
@tamemahmad9902 3 года назад
Allah amjaalie firdaus njema 🤲🤲🤲
@abuysalim7163
@abuysalim7163 3 года назад
😭😭😭 Allah akusamehe mazambi yako na akujalie uingie peponi amiin🤲
@raudhatmalik9285
@raudhatmalik9285 3 года назад
Innalillah wainna ilayhi rajiuni Mungu akupe safar ya kheri na akujaalie kwa rehma zake akulaze mahali pema peponi Aamin.
@binrashidsalim5667
@binrashidsalim5667 3 года назад
Ameen ya rabbil alamiyn
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 года назад
Innalillahi wainna ilayhi rajiun. Yaa Allah msamehe makosa yake makubwa na madogo tunayoyajua na tusiyoyajua na uyazidishie thawabu mema yake. Hakika ktk vifo vilonigusa kimoja wapo ni hiki. Allah ailaze mahala pema peponi roho yake. Duniani tunapita na kila mmoja anamadhaifu yake na mazuri yake. Yaa Rabb usiangalie madhaifu yake na ujaalie kauli yake hio iwe ni sadaka tosha ya kumnyanyua na kumueka kwenye firdausi, Amiin.
@mattarmuhammed1330
@mattarmuhammed1330 3 года назад
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah amsamehe madhambi yke na ampe makazi mema jannatul firdaus
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 3 года назад
kila nitakapokukumbuka dua nitakuombea kwa Allah inshaallah
@stonetown578
@stonetown578 3 года назад
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit na amsamehe makosa yake. Wazanzibari tumeumia
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 3 года назад
Innaalillaahi wainnaailaihi raajiuna.... Allah akulaze mahali peponi...Aaamin...hiii ni safari yetu wote ila ww ndo umetangulia na in 100% hakuna ataepukana na safari hiyo...muhimu ni kurudi kwa Allah tukiwa salama...
@aybkham5795
@aybkham5795 3 года назад
Allah AKUJALIE pepo na makazi mazuri Mwalim Seif atukutanishe tena pamoja peponi, Ammeeen... 😓😓😰
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 года назад
Amiin 😭😭😭😭
@tamemahmad9902
@tamemahmad9902 3 года назад
Amiin 🤲🤲
@maryamalmaskari1637
@maryamalmaskari1637 3 года назад
@@fatmamatuma4073 allahuma amee
@maryamalmaskari1637
@maryamalmaskari1637 3 года назад
🤲
@nasrakapama3670
@nasrakapama3670 3 года назад
Allahumma Aaamin
@omarkhamis1539
@omarkhamis1539 3 года назад
Allah akuingize katika pepo za juu inshaallah
@supumoto6819
@supumoto6819 3 года назад
ALLAH akuja'lie qauli thaabit
@imranmussa500
@imranmussa500 3 года назад
MAALIM KUMBE ULIKUWA NI AHLISUNNA MASHALLAH
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 года назад
Waislamu wote lazima wawe ahli sunna sii lazima mtu mpaka ajitaje kuwa yeye ni ahlisunna . Kwani masunni hawatekelezi sunna. Kwani maibadhi hawatekelezi sunna. Kwa mashia hawatekelezi sunna.
@alonealvin4534
@alonealvin4534 3 года назад
Mashia hawafwat sunna...
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 года назад
@@alonealvin4534 du 🤣
@truthspeaker2062
@truthspeaker2062 3 года назад
@@alonealvin4534 lkn hata masunni na maibadhi pia wapo wasiofata sunna.
@nooor1120
@nooor1120 3 года назад
Mnaanza tena
@hajihaji1000
@hajihaji1000 3 года назад
Mwenyezi Mungu s.w akupumzishe kwa amani...
@kibwetere8147
@kibwetere8147 3 года назад
Umeondoka kiongoz mwenye busara and hekima iliojaa ndan ya moyo wako hakika umeondoka tukiwa bado tunahtaji muongozo wako
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 3 года назад
Hakika
@maryamalmaskari1637
@maryamalmaskari1637 3 года назад
Hatutokusahai maneno yako milele
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Innalillaah wainna ilayh rajiuun, Allah amsamehe makosa yake na amuepushe na adhabu ya kabri na sie tuliobaki tunamuomba Allah atujaalie mwisho mwema, Allahumma amiiin Yarabb
@fadhilahaji8719
@fadhilahaji8719 3 года назад
@@oman7710 Ameen
@deleali6864
@deleali6864 3 года назад
Mmm naon maalim alijua huu ndio mwisho wamaisha yake ya dunian et ila amesisitiza sana umoja umoja mung akupe pepo kwa rehma zake hakika umefanya meng mazur kwa uwezo wa allah atakupa pepo kwa rehma zake amiin na ss atupe mwisho mwma amiin tulikupnda ila Allah kakupnda zaid
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 3 года назад
Innalillah wainna ilayhi rajiun,tunakuombea salama sana maalim,Allah akurehem na pepo iwe ndio makaazi yako
@zarnatmohd6635
@zarnatmohd6635 3 года назад
Amiiyn
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 года назад
Allahumma ameen yaarab
@zahorsalum663
@zahorsalum663 3 года назад
Allah akupe kauli dhabiti.ww.nikingozi bora nahatotokea tn
@fauzakassim2271
@fauzakassim2271 3 года назад
Mashaallah allah akujaalie uwe kwenye watu wema Amiin yaraby kwa sote
@cadabra7402
@cadabra7402 3 года назад
Allah akurehemu.
@saidhaji9700
@saidhaji9700 3 года назад
kwa hakika maneno yako maalim yamejaa hekima na busara .. na ni mawaidha tosha kwa waislamu wote .. umewashinda baadhi ya mashekh maana kazi yao ni kusemana tu ktk membari .. mungu akujaaliwe upate yale yaliomazr ambayo amewaandalia waja wema .. yaa Allah sisi tunashuhudia kwa mja wako huyu kwamba alikuwa ni mtu mpenda watu mwenye kuwathamini mweny huruma na uchungu kwa waislam na mchi yake pia .. tunakuomba yaa Allah umlipe km ulivyowalipa waja wako wema .. amiiiin
@nassrasuleiman630
@nassrasuleiman630 3 года назад
Kikubwa ni dua kukuombea ila maumivu tumepata lkn tunasema Alhamdulillah
@muniraalisaid2660
@muniraalisaid2660 3 года назад
Innalillah wainna ilayh rajiun Allah ampe safar ya kheir amsameh makosa yake na awape Subra wafiwa wote na wazanzibar kwa ujumla in shaa Allah pepo ya firdaus iwe ndo makaazi yake Amiin thumma Amiin Yaa Rabbiy
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 3 года назад
HUYU NI MTU PERFECT,,,NIKIONGOZI WA AINA YAKE NA WAPEKEE,NI SHIDA SANA KUWAPATA VIONGOZI KAMA HAWA.
@ibramiddo4863
@ibramiddo4863 3 года назад
Allah akufnyie wepes ktk safar yko akupe kauli thabit
@alawiali3475
@alawiali3475 3 года назад
AMIN
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Allahumma amiiin Yarabb
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 года назад
Kila kitu amekiweka safi Maalim..ameshakamilisha his destiny ndo maana Allah amemchukua
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 года назад
ALLAH AMPE KAULI THABEET INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAJ🙏🙏🙏🙏🙏 INNA LILLAHI WAINNA ILLAIH RAJIIUNI
@alisele5299
@alisele5299 3 года назад
Kamaliza kazi yake kweli
@hamzamohamedKeslivol
@hamzamohamedKeslivol 3 года назад
Allah amlaze mahali pema alifika kuhimiza ummoja na kuwacha tofauti zetu. Haya maneno mazito Sana
@salimshaib879
@salimshaib879 3 года назад
Jemedari wa kweli Allah akupe makaazi mema in shaa Allah
@NasserNassor-cd5pm
@NasserNassor-cd5pm Год назад
Allah akusameh amiri wetu
@mwanahassan6947
@mwanahassan6947 3 года назад
Allah msamehe makosayake hii njiya tutapita soote wewe mbele na sisi tuko nyuma yako bila ya wewe kusingekuwa na amani Zanzibar umeona jitihada zako tuta kukumbuka daima Allah wape subra wafiwa izidishe amani Zanzibar
@kunchelilemangweto3867
@kunchelilemangweto3867 3 года назад
ALLAH amsamehe dhambi zote na amhifadhi peponi
@khalfanlogo3198
@khalfanlogo3198 3 года назад
Da kila nikimuona machozi yananitoka da kazi yamungu haina makosa
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 3 года назад
Umeondoka baba zanzibar umeachia Allah subkhallakh wataallakh
@mamukizee9360
@mamukizee9360 3 года назад
Uyu mzee alibashiriwa nin, naona kajisafisha kiaina
@ebraheemawadh2257
@ebraheemawadh2257 3 года назад
Allah akujaalie bustani kwenye kaburi lako akujazie nuru
@dabywolker5352
@dabywolker5352 3 года назад
mungu akulaze mahalapema peponi amin
@nguruduali2014
@nguruduali2014 3 года назад
Mungu huondosha kitu nahueka kitu nawashauri wezangu tue nasubra mungu atatupa kipezichengine Kama yeye au kuliko
@hemedikombo2842
@hemedikombo2842 3 года назад
Sisi tulikupenda ila m.mungu amekupenda Zaid tutakukumbuka milele daima
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 года назад
Inna llillah wainna illayhi rajiuon Allah awasameh wazazi wetu walotangulia mbele ya haki
@fatmas7338
@fatmas7338 3 года назад
Amin
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Allahumma amiiin Yarabb
@kekaakekaa7898
@kekaakekaa7898 3 года назад
Nalilia taifa langu la zanzibar mungu akulaze mahalapema ppn
@allythabiti8150
@allythabiti8150 3 года назад
Yaa Allah Umpe nuru na umrehemu Maalik seif.
@adamstour5736-kb6zq
@adamstour5736-kb6zq 7 месяцев назад
ALLAH ajaalie uwe ni miongoni mwa wenye kupewa kitabu chako kwa mkono wa kulia inshaallah
@dzekocheko4437
@dzekocheko4437 3 года назад
Mungu akupe Kauli dhabit katka kaburi yk
@malikhabibali4651
@malikhabibali4651 3 года назад
Allah (s.w) akurehemu kipenzi chetu
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 3 года назад
Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat
@nassirmohd2851
@nassirmohd2851 3 года назад
Allah akurehem kipenz chetu
@ameameir2538
@ameameir2538 3 года назад
Mungu akuondoshe azabu za kabr
@salmaabdulla7797
@salmaabdulla7797 3 года назад
Inna lillah wainaa ilayhi rajiun MWENYEZI MUNGU AMJAALIE KAULI DHABIT
@nassirmohd2851
@nassirmohd2851 3 года назад
Allah atakulipa kwa nia yako nzuri Allah anaangalia nia
@mekisonshirazy7791
@mekisonshirazy7791 3 года назад
Yaani muda mchache lakini alichokiengea ni zaidi ya madini. Ndio maan alikuwa na ushawishi mkubwa katika Siasa . Allah amlaze mahali pema .
@salmaelhinai833
@salmaelhinai833 3 года назад
Innallilahi wainailahi rajioun Allah amsamehe makosa yake amlaze mahali pema peponi
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 года назад
Amiin
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Amiiin
@ibugharib389
@ibugharib389 3 года назад
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN ALLAH AMFANYIE WEPESI KATIKA SAFAR YETU HII NA SISI ATUPE MWISHO MWEMA, ewe ndugu yangu muislam maisha ya dunia ni sawa kivuli namuomba Allah kwangu na kwako ATUPE mwisho MWEMA
@ehlamkhamis3110
@ehlamkhamis3110 3 года назад
Maneno mazitoo .. Mashaa Allah ..... Allah akurehemu akhera ulipo
@fuadyakoub5428
@fuadyakoub5428 3 года назад
Allah mlaze pema peponi mpendwa wetu maalim
@salimkassim6020
@salimkassim6020 3 года назад
Amiin
@khairatsuleiman4917
@khairatsuleiman4917 3 года назад
Innalillah wainnaillah rajiun Allah akuepushie adabur ya kabri
@abeidsalim7456
@abeidsalim7456 3 года назад
Allah amtilie nuru kabur yake amin.
@bxrkeshorts738
@bxrkeshorts738 3 года назад
Hakiii nimelia mimi usiku huu was saa nane usiku na 47 minute nikiiyangalia hii vide
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm Месяц назад
Allah akuingize peponi bila ya hisabu amin
@khamisabedi9009
@khamisabedi9009 3 дня назад
ALLAH AKUREHEMU AKUPE PEPO YA FIRDAUS AMIN
@salmaseif1070
@salmaseif1070 3 года назад
Mungu akulaz mahala pemaa kipnzchetu
@biramsakh9212
@biramsakh9212 3 года назад
Anasikitisha sana maalim
@FahmatFarmat
@FahmatFarmat 4 месяца назад
Allah akurehemu kiyongoz wetu
@nurudinjafferji
@nurudinjafferji 3 года назад
Innalillah wainnaillah rajiun May Allah rest his soul in peace and bestow Jannat Amen
@albatawiynassir
@albatawiynassir Год назад
0
@HusseinMohamed-jq7hu
@HusseinMohamed-jq7hu 11 месяцев назад
اللهم غفرله ورحمة
@musitemusite4316
@musitemusite4316 3 года назад
Allah akulehemu babaetu
@hanifakhamisi4522
@hanifakhamisi4522 3 года назад
Tutakukumbuka daima kipenzi chetu
@jumaaomary4949
@jumaaomary4949 3 года назад
Allah ampe kaulithabit mzee wetu
@hasanmakame6999
@hasanmakame6999 2 года назад
Hatutampata daima ..pumzika
@MmangaKombo
@MmangaKombo День назад
Exactly 💯
@komboali8203
@komboali8203 3 года назад
Innalillah wainnaa ilah rajium, dah mcba mzito kwa kweli haulezeki
@ALIKHAMIS-un4fv
@ALIKHAMIS-un4fv 2 месяца назад
Ni maneno mazuri mno yenye busara Allah akusamehe makosa yako kwa kuwaunga watu umoja ni muislamu kwa waislamu
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 3 года назад
Bi awena Allah awe nawe ss tulimpenda maalim lkn weye ni no 1 kwako
@hamzamohamedy3806
@hamzamohamedy3806 3 года назад
Kwel
@jumamanzi4531
@jumamanzi4531 3 года назад
Lazima tusimame pamoja bila kumwogopa yeyotee kwaajili ya maendeleo ya taifa letu... Tanzania Na kua kiongizi sio kujua kila kitu...wanakosea wanahitaji kurekebishwaa,wanawaongiza watanzaniaa,wameteuliwa na watanzaniaa wakubali kukosolewa na watanzaniaa,kwanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi raisii Tanzania nguvu moja ,🇹🇿🇹🇿
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Год назад
AMEEN
@mohameddahir8743
@mohameddahir8743 3 года назад
Inaa lilaah ma inaa ileih rajiun rest in peace and ma allh grant him his janatul firdows in sha allah
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
Pumzika kwa aman mzee wetu
@imranmussa500
@imranmussa500 3 года назад
HAPA LEO UMEONGEA MANENO MAZITO
@mamysalum5122
@mamysalum5122 3 года назад
Hajawah kuongea pumba et
@idrisaabdillahibpxkijykbs4162
@idrisaabdillahibpxkijykbs4162 3 года назад
Jamaa amezungumza hapa
@ismailsaidsalim296
@ismailsaidsalim296 3 года назад
إنّا للّه وإنّا إليه راجعون
@HassanHassan-pz4ki
@HassanHassan-pz4ki 3 года назад
Maneno yamenigusa اللهم ٱغفرله ورحمه
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 года назад
Maalim Allah Akurehemu akulip fridausi
@imsimk.khamis574
@imsimk.khamis574 3 года назад
Wale wote waliofiwa na ndugu zao Allah awape wepec, kauli thabit marehemu wote. Na wagonjwa awape shifaa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 года назад
Amiin
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 года назад
Ameen
@alhamud2721
@alhamud2721 3 года назад
Amiin
@mmadiausiy9810
@mmadiausiy9810 3 года назад
Nenda salama mpendwa wetu nasi tupo nyuma
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 3 года назад
آمين يارب العالمين
@aminasanzu4954
@aminasanzu4954 3 года назад
Inna Lilah wa innalilah rajiun
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul 2 месяца назад
Nenda kapumzike cc hatuwezi kuzuia ucondoke bali bado tutaendelea kuyaishi maneno yk na matendo yk kw hakika mdomo wako mda wote unatowa hrf ya misk umeondoka mwk wa 3 sasa bd tunayaish mameno na vitendo na md wote tunakutakia duwa tupo tyr wznzbr km zmbi zinagaiwa tungegawana ukaenda msafi ila ht hvy tunakuombea allah akuswameh
@ahmadarton_tz3229
@ahmadarton_tz3229 3 года назад
Innalilah wainna ilah rajiun
@issamohd9955
@issamohd9955 3 года назад
Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiun
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 года назад
Shein alikua anachagua mskiti...kipenzi cha wazanzibar. ..ameondoka
@mohamedmande3958
@mohamedmande3958 3 года назад
رحمه الله
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 года назад
Inna lillahi wainna ilahi rajioun
@zuhrateyn593
@zuhrateyn593 3 года назад
Sasa hivi ndo amekuwa wa mana sana mwanzo mbona hajaoneshwa mungu yupo lkin kwa kila hatuwa
@edyamir1257
@edyamir1257 3 года назад
Binadamu huwa galiwa mwisho wake atamalizia vp sio mwanzo upo
@masudsulemansalim3706
@masudsulemansalim3706 3 года назад
inalilahi waiinailahi rajiuuni
@abdallamasoud7734
@abdallamasoud7734 3 года назад
Innalillah wa innailayhi raajiuun
@samadu90online23
@samadu90online23 3 года назад
Pumzka kwa Amani mwamba wa Zanzibar
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 года назад
Mungu mkubwa pingo.kwa wa zanzibar
@kibwetere8147
@kibwetere8147 3 года назад
In a lilac wayna ilahi
@mimimalsh9139
@mimimalsh9139 3 года назад
Innalillah wainna ilyahi raajiun😞😞😞
@mohammedhamad9392
@mohammedhamad9392 3 года назад
Mother umefariki lakini maneno yako yatanifanya upo tu hapa moyoni na machoni.msimamo wako wa zanzibar wewe nitaasisi pekee innalillahi wainnailahi Raaj un
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 года назад
Kwann unamuita mother?wakati huyu ni mwanaume?
@hamzamohamedKeslivol
@hamzamohamedKeslivol 3 года назад
Allah amsamehe na amlipe yaliomema
@mohammedsuleiman5066
@mohammedsuleiman5066 3 года назад
Jembe limetutoka innalillahi wainna ilahi rrajiun
@FrankJMkama
@FrankJMkama 3 года назад
pumzika kwa amani baba
Далее
MAALIM SEIF AJIVUA UMAKAMO WA RAIS ZANZIBAR
10:09
Просмотров 78 тыс.
ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?😁​⁠​⁠@osssadchiy
00:20