Тёмный

MKE WA MAALIM SEIF AFUNGUKA KILICHOMUUA MUMEWE/ TULIRUSHWA KICHURA/ NILIFUKUZWA KAZI KISA MAALIM 

Dar24 Media
Подписаться 724 тыс.
Просмотров 402 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#AweinaSinan #MaalimSeif #MkeWaMaalim

Опубликовано:

 

15 янв 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 322   
@pastorbonnyphillip8945
@pastorbonnyphillip8945 2 года назад
Narudia tena... Kaka unajitahidi sana ... Kwa neema ya Mungu utafika mbali. Wewe na Salim Kikeke mnafanya vizuri sana....
@hono1232
@hono1232 2 года назад
Mama nimekukubali kwamba watoto wa kike ndo walezi !! Hongera sana mama
@dottieray5435
@dottieray5435 2 года назад
BBC LEVELS indeed....Huyu mtangazaji is so underrated, levels zake ni za BBC...namna anavyostructure maswali yake, namna anavyoengage na huyo mama hadi anacheka, anakua confortable kujibu maswali is on another level...KUDOS for the goodjob.
@issaofficialvideo6375
@issaofficialvideo6375 2 года назад
Hata mm mwanzo nilizani Salim kikeke
@sadabkari5532
@sadabkari5532 2 года назад
Mashallah mama yetu awena Allah akupe kher na uvumilivu na upate mume mwema Kama baba yetu Almahrumu seif sharifu Hamad.
@mustafa-wh8gi
@mustafa-wh8gi Год назад
Allahuma amiin❤
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 5 месяцев назад
Awena ni.mke mwema,mcheshi, muangalifu,mvumilivu,msiri na akili nyingi.Mume mwingine wa nini Sasa? Atambulia uharibifu kimwili ,kiroho na mateso kwake. Abaki hivyo hivyo mama Awena akimuenzi mume wake Maalim Seif wakati alipokuwa hai na Leo akiwa amekufa. Ameongea vizuri lkn napata shida Zanzibar itawezaje kuwa huru kabla ya Pemba-,Tumbatu na unguja bila kudai uhuru na kila kisiwa kujiamulia mambo yake. Huu mtihani,dhambi ya ubaguzi Haina tabia ya kusimama,inakwenda kama moto wa nyika.muungano udumu milele😂
@user-dh6uv5lw6c
@user-dh6uv5lw6c 5 месяцев назад
Allah amjalie Kila la kheri kwenye maisha yake ya kaburini natunakukumbuka sana maalim seif mtetezi wa wanyonge
@hamishemed9396
@hamishemed9396 2 года назад
Mama makini sana Allah akujalie subra inshaallah
@inthekitchenwithnona4427
@inthekitchenwithnona4427 2 года назад
Ahsante sana mpenzi wetu, Allah akupe nguvu na wepesi Yarrab... Na babaetu Allah amkutanishe na maswahaba na ma walii Yarrab
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-EprbhEGwTPE.html
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Allah Amrehem Mzee wetu Maalim Seif
@Luweenamandal2911
@Luweenamandal2911 5 месяцев назад
Amiin Amiin yarrab
@jumabias4917
@jumabias4917 3 месяца назад
Allahuma aaamin yaa Rabb
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 2 года назад
Mama tumekuelewa na pole Sanaa na Tunamuomba allah Amrehemu marehemu aliko Akhera
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-LqTbbQPInMg.html
@Nassy2009
@Nassy2009 2 года назад
Allahuma Ameen yaa Rabbi
@sprettysalim4659
@sprettysalim4659 2 года назад
Allah Ampe Kauli Thabit Tumempenda Sana Maalim Saif hivi Sasa Hivi Natoka Machozi ,Pole Sana Mama Awena ALLAH atakupa Subra
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 года назад
Nafurahi unajistiri mtii mume wako Allah akukutanishe naye peponi inshallah
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
Amiin
@halley807
@halley807 2 года назад
Ameen
@user-hp6eh6oi2o
@user-hp6eh6oi2o 5 месяцев назад
Ammin🎉
@raykhalamour3666
@raykhalamour3666 2 года назад
Allah amrehemu maalim...bi Awena kajibu vizur..kwakweli very smooth short and clear..hongera kwa mtangazajiii..indeed ..he is very conving one...Anafaa kua international mtangazaji..BBC swahili wamchukue tu ...
@fatmaalsharge3257
@fatmaalsharge3257 2 года назад
Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen ishallah
@nassorshaaban7295
@nassorshaaban7295 2 года назад
MashaAllah nawapenda Sana Dar 24 na hasa we Mtangazaji na Brother Shaban kondo
@user-nd9fk9gb8s
@user-nd9fk9gb8s 5 месяцев назад
M / mungu. Amfanyie wepesi. Mama Awena Tupo pamoja.
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 года назад
Hongera sana mtangazaji uko vizuri mashallah kwenye kazi yako
@bakarali9657
@bakarali9657 2 года назад
Pole sana dada yangu bi Awena M mungu akuzidishie subra In shaallah.
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 года назад
Allah akupe nguvu mama hongera
@hamoudabdullah5497
@hamoudabdullah5497 2 года назад
Mashallah. Aunt Aweina amejieleza vizuriii.
@allymunir5480
@allymunir5480 Год назад
Masha Allah
@nassorshaaban7295
@nassorshaaban7295 2 года назад
Habari zenu ni za uhakika Panapo Jaala ya Allah mtafika Mbali sana
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 2 года назад
Muna tz pole mama allah AKUZIDISHIE afya na uzima uzidi kuwa na furaha ndio amani kwa sote
@Nassy2009
@Nassy2009 2 года назад
Allahuma Ameen yaa Rabbi
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 года назад
Baba yetu mzee wetu Sheikh Seiff shariff Hamad Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 2 года назад
AMEEN AMEEN AMEEN YAARAB
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 года назад
آللهم آمین
@fatmas7338
@fatmas7338 2 года назад
Amin
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Ameen Yarabb 🙏
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 года назад
اللهم امين يارب العالمين
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 2 года назад
Innalillah wainnailaih rajiun Allah amlaze mahal pema pepon ammin 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔Maalim wetu hatuwezi kumsahau daima jaman 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
kaondoka lakini bado atabaki kuwepo ndani ya mioyo yetu
@Luweenamandal2911
@Luweenamandal2911 5 месяцев назад
Amiin yarrab
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 года назад
Daah!... yan mama la mama yan mama ni cute kwelikweli!
@muryd6999
@muryd6999 2 года назад
Maa Shaa Allah
@yahyaburhan4798
@yahyaburhan4798 2 года назад
Mama awena Mashallah Mashallah Mashallah umeongeya vizuri
@ashachanja8087
@ashachanja8087 2 года назад
Asante sister wangu mpenzi Mungu akuzidishie Subra na akupe furaha Daima Ameen love you Usijali Seif mdogo tunaye nakulelea
@mustafa-wh8gi
@mustafa-wh8gi Год назад
Allah amsamehe makosa yake maalim seif wetu😭😭😭😭😭😭 tunamuomba allah atuekee mama awena wetu❤❤❤ amuuondoshee mahasid
@chamchuuconsult4682
@chamchuuconsult4682 2 года назад
Mama yupo vizuri Sana sisi tulioowa walimu tunafaidi Sana full busara Nampa tano mama anajitambua Allah akustiri na kila Shari na watoto wako Allah amsamehe maalim seif amuingize Janna Firdausi.
@DamianDavid-hz5gp
@DamianDavid-hz5gp 3 месяца назад
Hongera mama Awena kwa ujasiri ulionao baada ya kuondokewa na mwenzi wako, Mwenyenzi akujalie maisha marefu
@msemwawalter837
@msemwawalter837 2 года назад
Wanasiasa mjue kwa Mungu ni mbali. Aiseee........
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 11 месяцев назад
😭😭😭😭😭maalim wetu kipenz chetu mtetezi wetu allah ampe jannah yaa Rab pole mama awena umeumia sana zaid ya sisi lkn allah atawakutanisha pepon
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 5 месяцев назад
Mashallah! Mama umejaaliwa busara mwenyezi mungu akupe kheri
@jumahamis227
@jumahamis227 2 года назад
Mama mvumilivu sana huyo anavyoonekana 😆, hongera sana dar 24 pia, wanasema ukitaka kuwaelewa viongozi vizuri, wahoji wake zao, wanawake wa viongozi wanapitia mengi,wanajua mengi, wavumilivu sana na wana siri kubwa ya kuelewa jinsi ya kuwalea viongozi.
@Nassy2009
@Nassy2009 2 года назад
Allahuma Ameen yaa Rabbi
@msuyarashid9482
@msuyarashid9482 2 года назад
Mama anaongea vizuri Inaonekana naye ana busara kama matehemu mumewe
@kassimally5515
@kassimally5515 2 года назад
@@msuyarashid9482 je?ukotayar tuje tuzibe pengo mma
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 2 года назад
Mungu ampe kauli thabit huko alikoo pamoja na sisi sote
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-EprbhEGwTPE.html
@aisharevelian6933
@aisharevelian6933 2 года назад
Mama bado mzurii kabisa yan...halaf anaongea vizur😍 mashallah
@muryd6999
@muryd6999 2 года назад
Maa Shaa Allah
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 2 года назад
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu ata walipia kwa uwezo wake yaarab
@yordanidigital5011
@yordanidigital5011 2 года назад
Mtangazaji 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@sophiafaith4750
@sophiafaith4750 3 месяца назад
Pole mama. Allah akupe nguvu. Yaaarabi. Mwenyezi Mungu akupe nguvu.
@allymwatima5401
@allymwatima5401 5 месяцев назад
Interview nzuri sana. Hongera mwandishi
@ebrahimosman5477
@ebrahimosman5477 2 года назад
Allah akupe kila la heri inshaa Allah🙏
@hemednassor2362
@hemednassor2362 3 месяца назад
mashAllah maam awena ni mtu wawap
@enterenter1921
@enterenter1921 2 года назад
Innalilla wainna Illayh rajiunah 😭😭Allah azid kukupandisha darja firdaus,, binafs nilikua nampenda kwaajili ya ALLAH,, ALLAH amjaze subr mkewe maalim Seif naawape furaha family
@yordanidigital5011
@yordanidigital5011 2 года назад
BBC levels🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Huyu Mtangazaji anajielewa saaaaaaaana
@barakambilinyi2507
@barakambilinyi2507 2 года назад
Mama yupo vizury.....apewe siku nyingi za kuishi
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
Vizuri siyo vizury
@user-wo2mm1rr7w
@user-wo2mm1rr7w 3 месяца назад
Mashalah mama ❤Awena umeongea vizuri sanaa
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 3 месяца назад
INNALILLAH wainna ilaih rajiuun Allah akupe shifaa mama yangu
@allykingu6954
@allykingu6954 2 года назад
Maashalah mama yupo vizur ,na Hongera bonge la mtangazaj
@salmasalim6055
@salmasalim6055 2 года назад
Pole sana mwalimu wangu
@gracemima5234
@gracemima5234 2 года назад
Siasa ni nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Год назад
Tunakupenda mama 😍😍😍Allah akulinde pamoja na family yako inshaAllah amiin
@jumamohammed5378
@jumamohammed5378 2 года назад
MashaAllah mungu akupe kila la khery mama
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 2 года назад
Na sikitika sana Malim nimeanza muelewa dakika za mwisho kabisa Allwah ampe makazi mema peponi
@zalhayahya5658
@zalhayahya5658 2 года назад
Amiin
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi Год назад
Hongera sana bi Awena, hicho ndio kipimo halisi cha uvumilivu kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwako kwa vizazi vyetu vijavyo, Allah akubariki 🙏🙏
@aishakh5046
@aishakh5046 2 года назад
Pola sana Ati yangu pole sana dada yangu misimba miwili kwa mwaka moja Allah akupe subra wazazi wetu hao nikombali nanyiyi ila Allah atatukutanisha insha'Allah
@Maryam-yt8lw
@Maryam-yt8lw 2 года назад
Mashaallah dada etu Allah amlaze mahali pema peponi mzee wetu Amin
@amirybeka9602
@amirybeka9602 10 месяцев назад
Mashaallah mamaa. Allah akufnyie wepes ktk kbri lake. 🎉
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 2 года назад
Allah akupe nguvu mamaetu kipenzi ila mm nalia bila kituo nakumbuka madhila na mateso tuliopitia wazazinzibar mungu atakupa nguvu zaidi na team DAR 24 MEDIA YETU PENDWA TANZANIA 🇹🇿 ila brother lambat levo yako sio kufanya kazi Africa bbc .dw. au voa sauti ya 🇺🇸
@sadabkari5532
@sadabkari5532 2 года назад
Mtangazaji mashallah saut cute 🥰🥰🥰🥰🥰
@anawa4326
@anawa4326 2 года назад
Pole sanaaa Mamaaa
@jafaribori5428
@jafaribori5428 2 года назад
Pole Mama Awena nimekukubali kwa maelezo yako
@assumptamuzima2745
@assumptamuzima2745 4 месяца назад
Mama yetu huku anaongea vizuri saana mstarabu saana kwa kweli ahsante saana mama
@abdelnasseraq7133
@abdelnasseraq7133 2 месяца назад
الله يغفرله ويرحمه ويدخله فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون
@HamadHamad-oy7mp
@HamadHamad-oy7mp Год назад
Nakupenda sana mama Awena
@jumannerajabu6324
@jumannerajabu6324 2 года назад
mwanandishi kweli umeenda darasa upo vizuli
@goodluckriwa3425
@goodluckriwa3425 8 месяцев назад
Mama Ana jielewaa kweli Yuko vizuri Sana kichwani , Mungu amjalie Maisha marefu,
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera mama nimekubali maoni yako
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 2 года назад
Mama awena nakusalimia mashallah
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 года назад
Ahsante mama
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 года назад
Inavyoonekana Wazanzibar ni Wapole sana na Wenye busara.
@ummusamira3518
@ummusamira3518 2 года назад
Nikweli wengi tuko hivyo ila hakuna kizuri kikakosa kasoro na tabia yapili pia wapo ila hawana nguvu kubwa kwasababu asili yetu ni hivyo shukran
@hassanally4960
@hassanally4960 2 года назад
Shukran yote ni kwasababu ya imani ya uislam
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 2 года назад
Wazanzibari ni wakarimu....kutoka mombasa salaam kwenu
@getitdoneright1938
@getitdoneright1938 2 года назад
Pole sana Mama wa taifa
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 года назад
Mama ni smart mno, nimependa na majibu yake ,ingekuwa mwingine angekurupuka kuongea ovyo lakini mama anajua kuongea kutokana na wakati uliopo,hajamlaumu wala kukashifu mtu.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 2 года назад
@sheshi beshi umeshakula mirungi!!😅
@gracemima5234
@gracemima5234 2 года назад
Siasa nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini.
@abduliauni8048
@abduliauni8048 2 года назад
Mama nakupenda san nakuwona kam mama yangu Allah atakupa tahfiki
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 года назад
I didn’t know the guy but the government machinery walimtesa sana huyu mzee. How ha survived, I don’t know
@Hassanali-sq2dm
@Hassanali-sq2dm Год назад
❤❤❤❤hongera mama etu mpendw upo mchesh na umejibu vzr sana mama
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 4 месяца назад
Nimempenda sana mama mstarabu sana.mwenyezi mwenyezi Mungu amjalie na busara hizo.
@benjaminsteven4818
@benjaminsteven4818 2 года назад
Mungu akupe nguvu mama katupa somo
@hamishassan6784
@hamishassan6784 6 месяцев назад
Historia hii ya Mama inatuwazisha kubadili Namna ya uendeshaji wa Siasa Zetu. Kutofautiana kisiasa kunakuwapo lakini baadhi ya madhila ya kisiasa yasio yalizima haukunahaja ya kuyaendekeza. Hasa Haki za Msingi za waambata wa kisiasa na wale wanaowazunguuka. Nimpongeze sana Rais Mwinyi kwa mabadiliko chanya ya Siasa Zetu Upande wa Visiwani. Ninamatumaini yajayo yanafurahisha
@yussufdarus
@yussufdarus 6 месяцев назад
Hongera mama kwa kujibu maswali ipasavyo Allah akupe kilichobora zaid
@geraldtarimo2550
@geraldtarimo2550 2 года назад
Mama Samia msaidie kazi huyu mama
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 2 года назад
Mama awena mlezi wa watoto na mlezi wa marehemu wa maalim seiif
@magwinahimself7316
@magwinahimself7316 2 года назад
Mwandishi nakubali sana mahojiano yako una uwezo mkubwa
@user-qu1iu7fl9v
@user-qu1iu7fl9v 4 месяца назад
Mh maa pole sana, mshkur mungu tu
@sheikhsaid4108
@sheikhsaid4108 2 года назад
Mungu akusameh baba yetu
@bonylove6192
@bonylove6192 2 года назад
Mungu akubariki mkewe masrimu seif
@mohamediamil3365
@mohamediamil3365 2 года назад
Kama ningekuwa kiongozi ningemtafutia nafasi sirikalini.
@rajabseifabdalla710
@rajabseifabdalla710 5 месяцев назад
Allah akupe subra mama Awena
@mombasa0076
@mombasa0076 2 года назад
Hongera mama
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 года назад
Pole sana mama kwa mitihani ulioipata💔
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 2 года назад
Wewe mwandishi huwa uko very smart yanii nakupendaga sana
@AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
Pole sana mama pamoja na watoto wko pia poleni sana watoto mliopata sulubu hiyo ila nawao waliowatesa watoto hao mungu atawahukumu mpka kiama
@mohamediamil3365
@mohamediamil3365 2 года назад
Da safi sana mama unajuwa kuongea
@user-hp3kj1bu6b
@user-hp3kj1bu6b 4 месяца назад
Wewe mama unaongea vzur km mumeo mashaallah
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 года назад
Allah ampe kauli thabit Amin.Maalim seif Hamadi 😂kutoka🇰🇪001county mambasa
@Nassy2009
@Nassy2009 2 года назад
Allahuma Ameen yaa Rabbi
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
Amin
@activetravel7412
@activetravel7412 2 года назад
Ameen
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 2 года назад
@sheshi beshi wewe senge la mtwapa acha kutangaza tarabu zako hapa
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 2 года назад
@sheshi beshi huna heshima yani watu waongea ya maana ww watuma tarabu zako how senge la mtwapa mombasa ww nakujua vizuri sana
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 года назад
Wanawake wa viongozi oyeee😂👌👌👌👌🙏wanakula kiapo kuwatunza waume zao safi....
@blue8media644
@blue8media644 2 года назад
Good job
@mudathirmkubwamselem5650
@mudathirmkubwamselem5650 2 года назад
Mama awena mim nakukumbuka haukua ivoo wew ulikua mnene mashallah kipindi kile tunapita tunaenda chuoni kwa malim abasi mtoni kidatuu
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 года назад
Sasa ulitaka awe je ? Huo ni udhalilishaji eti ulikuwa mnene kamlishe basi anenepe
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 2 года назад
MashaaAllah
@allyboka4264
@allyboka4264 Год назад
Mama anaekima sana jaman tumuombe mung ampe maisha marefu
@ameussi5879
@ameussi5879 2 года назад
Inshallah allah atakulipa kwakila jambo
Далее
Maalim Seif amlaani Haji Omar kuteswa watu Pemba
7:34
Send this to an artist… 😉 #shortsart
00:19
Просмотров 6 млн
skibidi toilet 76 (part 1)
03:10
Просмотров 14 млн
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 1,1 млн
Send this to an artist… 😉 #shortsart
00:19
Просмотров 6 млн