Тёмный

MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19.. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 75 тыс.
50% 1

MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..
GLOBAL Publishers tumekuandalia makala ya maisha na enzi ya Hayati Maalim Seif Sharif toka alipozaliwa, maisha ya kisiasa mpaka alipokutwa na umauti..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 96   
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 3 года назад
My tears can not stop forever...Maalim Seif...I have nothing to say now cs mdomo wangu umeishiwa na la kusema...Yaaa Rabbi tunakuomba umswamehe dhambi zake na umlaze mahali pema peponi Aamin
@salyali7807
@salyali7807 3 года назад
Allahumma ameen
@fadhilahaji8719
@fadhilahaji8719 3 года назад
Ameen
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 года назад
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 3 года назад
Namkubali sana Maalim Seif pia na huyu Mtangazaji Historia
@muhidinali8180
@muhidinali8180 3 года назад
اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
@mpendaamaninahaki165
@mpendaamaninahaki165 3 года назад
Munayataja mambo ya siasa tu. Lakini hamuyataji alikuwa mtu wa aina gani. Naona mumesahau hikma zake, misaada yake na uaminifu wake. Wana siasa karibuni wote wanamajumba ya horofa na utajiri mwingi kwa kuiba mali ya uma. Yeye alikuwa anaishi maisha ya kawaida hakuwa na ubinafsi.
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm Месяц назад
Nikimuona maalem machozi yananitoka allah akurehemu maalem
@haroubmbarouk7831
@haroubmbarouk7831 3 года назад
Muko sawa mumeniliza kwakunikumbusha kifo Cha raisi wangu maalim seifu nitamkumbuka sana
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 16 дней назад
Sijaona kiongozi mwenye moyo mzr kwa sasa baada kufa kwake. Allah amrehemu
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 года назад
Pumzika kwa aman baba yetu mpendwa tulikupenda sana😭 ila mola wetu amekupenda sana😭😭🙏
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 3 года назад
Hata ww mwenyew hujaifahamu vzr historia ya Maalim Seif Global TV mngeenda kuisoma vzr kwnz halaf ndo mkaileta hapa
@deusimasasila5424
@deusimasasila5424 3 года назад
Kwanini unasema ivo
@khulayfnassor6938
@khulayfnassor6938 3 года назад
Kuna mengi kayawacha kuliko ayoyasema hapa
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 года назад
Si wame mdhulumu haki yake mbona tuna ona wazanzibari wanavyo mlilia maallim Seif. Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, allahumma ameen yaarab
@ibnismail8831
@ibnismail8831 3 года назад
Hii historia bdo kbsaa yaan bdoo hswaa ifuatilie tn historia yke vzri maan umepndisha pindishaa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 года назад
Mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu za kaburi insha Allah.
@suleimanrahim5273
@suleimanrahim5273 3 года назад
innalillahi wa inna ilayhi raajiun , Allah akupe nuru katika kaburi yako, ajaalie Ramadhani hiyi iwe ni neema katika kaburi yako , Allah aitukuze nyumba yako ya milele , Allah akupe marafiki wema malaika wake , pumzika kwa amani inshaallah tutaonana , kila nafsi itaonja umauti
@rajaburamadhanisheburudha3398
@rajaburamadhanisheburudha3398 3 года назад
Allah akufanyie wepesi
@AshaAli-px3ln
@AshaAli-px3ln 23 часа назад
Mung amlaze pema pepon amin
@swahifaabdijuma2782
@swahifaabdijuma2782 2 года назад
Nimezaliwa 20o1 lakini nampenda Mwalim sef kma nimezaliwa mwaka mmoja na yy😥ckuona ujana wake.ila uzee wake nimeujua utu wakee .Kila nikiangalia na nikikumbuka kifo chake machozi yananitoka .Allah amsamehe na ampe pepo ametutetea na ametetea wazazi wetu wa Zanzibar
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 года назад
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@zuleikhaseifu3952
@zuleikhaseifu3952 3 года назад
Pumzika baba kw salama tulikupenda ila Allah kakupenda zaid
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 16 дней назад
Allah amrehemu Amiin
@kiliboykilimanjaro377
@kiliboykilimanjaro377 3 года назад
Yani ipo ivi maalm alishinda karibia chaguzi zote na hii story bado embu wananchi tuungane kwawingi ili watuwekee story yote yaseif hapa🙏🙏
@fatumajuma1157
@fatumajuma1157 3 года назад
Nikweli hajawai shndwa uchaguz
@abcdabcd1605
@abcdabcd1605 3 года назад
Ni kweli hakushindwa lakini haya yote ya nini na kuna haja gani ya kuyaeleza??!! tuyaache tu yabaki ktk nyoyo zetu lkn hakuna haja ya kuyaeleza mbele ya mitandao hayataleta faida zaidi ya kutuchafulia amani, ikiwa sisi tunampenda maalim bas tumuenzi kwa kuwa pamoja bila kubaguana na kuheshimu kifo chake kwa kutenda mema aliyotuachia tuyatekeleze sio tuanze tena maneno yasiyo na maana yaliyopita yamepita tuangalieni haya tuliyonayo sasa 😭😭😭
@fatumajuma1157
@fatumajuma1157 3 года назад
@@abcdabcd1605 nikwl
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 3 года назад
Dah hamjaitendea haki historia yake kuna mengi mmeyaacha, fatilieni tena historia yake mje mtuwekee hapa
@familylove5417
@familylove5417 3 года назад
Thank you
@pilabiliani9394
@pilabiliani9394 3 года назад
Tuwekee wewe unayeijua vizur
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 3 года назад
@@pilabiliani9394 mie ntaiweka kwenye nn na sina channel, nimetoa tu ushauri kwasabab kuna mengi yameachwa pengine wanaogopa kusema lkn kapitia mengi sana yule Mwamba.
@Leo-kg2lt
@Leo-kg2lt 3 года назад
@@khatibuhijja459 asa huna channel umekoment vip huku ndanii mkuu
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 3 года назад
@@Leo-kg2lt sina maana sina sehem ya kupost na kila sehem ina utaratib wake
@salmaabdulla5214
@salmaabdulla5214 3 года назад
Innalillah wainah Rajiun 😭😭😭😭😭
@yassirrashid7802
@yassirrashid7802 3 года назад
Maalim seif tutamkumbuka daima
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 8 месяцев назад
Allah akupe nurru kwenye kaburi lako maana hukupumzika, hukupumzika, hukupumzika kudai Haki za wazanzibari hadi ukaingia kaburini😢
@jamilaalfarsi7712
@jamilaalfarsi7712 3 года назад
Maalim hakuna uchaguzi hata mmoja aioshindwa ispokua wizitu uliokua ukifanyika na dhulma wamesahau kua cheo kinamdawake uyo salmini nawengineo walomdhulumu saivi wakowapi siwalitumikia namdawao ukaisha mbona hawakubakia hadileo wakazidi kutamba ikulu na majukwaani mwisho yy kawakipofu atakula km hajashikwa mkono bc analalanayo wamebakia nahao wengine ss nao mungu anawaona
@drhalimalmaskari
@drhalimalmaskari 3 года назад
Sote tunajua mara zote alishinda Rest in peace our teacher our icon of democracy n peace
@alawiali3475
@alawiali3475 3 года назад
Kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi ktk chaguzi zote hizo ndio sababu ya kupindua matokeo zanzibar mwenye kushinda anapangwa kushindwa na mwenye kushindwa anapangwa kushinda coz hata ukiangalia mpishano wa asilimia za ushindi ktk chaguzi zote 5 unaona kabisa ni matokeo ya kupangwa(ubabaishaji)
@swahifaabdijuma2782
@swahifaabdijuma2782 2 года назад
Amoin
@alimshindobakar4358
@alimshindobakar4358 3 года назад
Allahakunawirishie kaburi lako Mwalim Seif
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 3 года назад
Allah atamlipia dhulma aliyofanyiwa yeye na Wazanzibari. Sera inatolewa ni ya kuogopa serikali. Poleni .Mutafaulu siku za Usoni. Muwe na subira. Subira huvuta kheri
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 3 года назад
Umeyandaa histolia kwakulupka kutaim wenye fani hiyo
@cadabra7402
@cadabra7402 3 года назад
Forever
@hamishamis9905
@hamishamis9905 3 года назад
Innallillahi wainnaillaihi rajiun 😭
@dotomohammed6662
@dotomohammed6662 3 года назад
Makubwa tusio yajua huruma pole Sana maalim
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 года назад
Mengine sio kweli
@yasminjuma663
@yasminjuma663 3 года назад
Wamemtesa Sana.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
Wanajua ila kwenye wasifu hawajasema
@mundhiraliy1307
@mundhiraliy1307 3 года назад
Hawaachi kujuta haoo walio mdhulumu Allah alitie Nuru Kaburi lako Sef wetu🙏 Tutakukumbuka daima baba yetu Wazanzibar 😭😭😭😭
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 3 года назад
Tunakupenda baba yetu, tutaendalea kukumiss😭😭😭
@makamealimussa2528
@makamealimussa2528 3 года назад
Nyie GB Tv Kwanza kaisomeni tena historia ya Maalim seiff.
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
Ukisema bila mafanikio muongo hakuna uchaguzi alioshindwa walimuibia tu na watakwenda kumlipa haki yake huko mbele anawasubiri yeye keshatangulia na wao wajipange kumfata kwenda kumpa haki yake
@highvoltages4169
@highvoltages4169 3 года назад
Watampaje haki?
@depaolo3461
@depaolo3461 3 года назад
Akili mavi
@subiramohd1895
@subiramohd1895 3 года назад
@@depaolo3461 kama yako au ndo yenye harufu mbovu mm yangu yananukia udi na asumini
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 3 года назад
Hahaha... aiseee, who told u kuna maisha mengine?
@omanomy1757
@omanomy1757 3 года назад
Kabisa watamlipa allah hasinzi wala halali namungu niwetu sote
@zamzamrashid9534
@zamzamrashid9534 3 года назад
Yaani mumejititumuwaweeee kwanin musingefanya utafiti wa wahistoriya yake hivi hamuoni hamumtendei haki yaani ktk storiyke nyinyi global. nisawa nakudondosha chozi ktk bahari kwenye stori yake yaaani storiyayake nikubwa mnoo mnoo mnoo atahamjawaza ila mupewe pongezi alau kidogo
@zamzamrashid9534
@zamzamrashid9534 3 года назад
@Adrash Abdallah umesoma vizuri? nakubali binaadamu hatunashukrani ila rudi usometena ujumbe wangu nafkiri haujaufaham huenda ukaufaham angalizo usikurupukie kitu usichokifaham
@marryjonathan7735
@marryjonathan7735 3 года назад
Huyu mzee wazanzibar walimpenda kwa takwimu hizo zinaonesha alikua mahindi sema duniani Kuna mambo
@abuunuswaibahahmadi8288
@abuunuswaibahahmadi8288 3 года назад
bado hujaijuwa histriya ya malim wwe unazugatuu
@marysichinsambwe7708
@marysichinsambwe7708 3 года назад
🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 3 года назад
Matokeo yote ni fake, ni matokeo ̂ya kubadilkshwa, 2020 Maalim Seif ameshi nda lakini ZEC na Usalama wa Tanganyika wàkamapa Ushindi Hussein.
@amanmohd9435
@amanmohd9435 3 года назад
Mwenyekiti yupi na Lipumba alikwisha jiuulu...MAALIM HAKUA NA MGOGORO NA LIPUMBA MANA LIPUMBA ALIKUA KESHAJITOA..KILICHOTOKEA NIUHUNI TU ULIOTENGENEZWA NA WATAWALA
@biramsakh9212
@biramsakh9212 3 года назад
Wala husemi alivo pata mateso
@khalfanalrawahi3082
@khalfanalrawahi3082 3 года назад
Kila mmoja wetu Ataulizwa kuhusu umri wake siku ya kiama.
@abdulkibamba679
@abdulkibamba679 3 года назад
Msimulizi umefili uyu mzee alishaongoza Zanzibar kama makamu wa kwanza wa raisi selekali ya sheni 2010 hadi 2015
@ashirafali1117
@ashirafali1117 3 года назад
Historia bado
@stevenmajoge4644
@stevenmajoge4644 3 года назад
We umekurupuka naona huijui historia yake vizuri.
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 3 года назад
Yan huyu alikua anataka awe wa kwanza kutoa historia yake lakini wala hajui mengi
@salimrizikijaji1281
@salimrizikijaji1281 3 года назад
Hahika Huyu mkombozi wetu
@lidiaashu828
@lidiaashu828 3 года назад
😕😕😕😕
@omarmhmammed216
@omarmhmammed216 3 года назад
HAKUNA HIYO HISTORIA YA KURA NI UONGO HAWAJAWAHI KUMSHINDA MAALIM SEIF KWENYE CHAGUZI ZOOOOTE ....NA UKWELI WANAUJUA
@maryamsuleyman7848
@maryamsuleyman7848 3 года назад
😭😭😭 kwa dhulma aliozulumiwa kila miaka 5
@biramsakh9212
@biramsakh9212 3 года назад
Historia gani io nayo ovyoo usituzingue
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 3 года назад
Wanafika watu WA TV hizi. Mtu akiwa Hai hata kutaka Jina lake tuu wa naogopa. Akifa ndio wanamwaga sifaaa
@arafahassan5257
@arafahassan5257 3 года назад
Shkamooo
@Hamy1109
@Hamy1109 3 года назад
Kwenye stori hujazungumzia nafasi yake ya umakamu wa Rais wakati wa Dk Shein.
@masoudmaulid7514
@masoudmaulid7514 3 года назад
Fanyeni utafiti hamkuipata historiaya yake
@suleimanmohamed4367
@suleimanmohamed4367 3 года назад
😭
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 года назад
CUF ya JAMES Mapalala ni ipi na CUF hii ni ipi ,lkn Bora mtuma post hii umejitahidi kueleza vizuri maana wengine hawasemi Kama aliwai japo kukamatwa
@hafidhmohammed4653
@hafidhmohammed4653 3 года назад
Jecha ypo,wp,naon,hatumsikiy tn
@rsa9817
@rsa9817 3 года назад
Bado history yako hamjatendea haki fatilieni tena
@badrumohd5066
@badrumohd5066 3 года назад
Bado hmjapata historian yake
@mpendaamaninahaki165
@mpendaamaninahaki165 3 года назад
Nendeni mukafuatiliye historia ya mwalimu ya haki baadaye mutoe part 2
@Madam.s.
@Madam.s. 3 года назад
Weziwakubwe mmenyanyasa sana maalim
@mubaboyonline5879
@mubaboyonline5879 3 года назад
Mueka fup
@riyadahmad8300
@riyadahmad8300 3 года назад
K
Далее
Ustadh Ilunga - Wazanzibari wamjitambua Part One 3/5
34:09
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Просмотров 36 млн
UTAWALA WA DK SALMIN AMOUR-MAKALA MAALUMU
22:46
Просмотров 61 тыс.