Тёмный

KAZI IMEANZA: WACHEZAJI WALIVYOWASILI AGA KHAN KWAAJILI YA KUANZA MSIMU MPYA 

Yanga TV
Подписаться 627 тыс.
Просмотров 71 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Спорт

Опубликовано:

 

7 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 148   
@KajunaJovinary
@KajunaJovinary 12 дней назад
Happy to see Nkaneeeeeee❤❤❤❤
@charsmaleko7460
@charsmaleko7460 12 дней назад
nimefurahi sana kuona dogo nkane bado anaendelea kua mwanafamilia wa timu ya wananchi
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 12 дней назад
Nkane Mungu amempeleka Yanga akasukume maisha yake. Ila amini kwamba pale hakuna mchezaji wa kiwango cha kukaa yanga.
@josephlorri431
@josephlorri431 12 дней назад
Ni mchezaji mzuri sana hasa kwa viwanja vya mikoani​@@beatbyrich2891
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu 12 дней назад
Wow nkane believing God
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 12 дней назад
Very happy to see Nkane! Maana nilikua na wasiwasi sana
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 9 дней назад
Acha kabisaa ,alafu hakati tamaa hata kama hachezi mechi nyingi.Mungu azidi kumpa moyo wa uvumilivu tu.
@user-bw1hs2nd8p
@user-bw1hs2nd8p 12 дней назад
Mungu awachunge nyote vijana wetu, hii ndio Dua yangu, awape siha njema na asiwapungukie muda wote.❤❤❤❤❤❤
@shaabanabdallahkhamisi4089
@shaabanabdallahkhamisi4089 12 дней назад
Nawaombea kwa mungu wachezaji wite wawe na afya njema
@Zainab-yn1iz
@Zainab-yn1iz 12 дней назад
Nimefurahi kumuona babu kaju maana wachambuzi waliweka anarudi Azam niliumia
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 9 дней назад
Yaani roho juu hata mimi nilisikitika niliposikia ile taarifa .
@MoTalentTz
@MoTalentTz 12 дней назад
Watu wa kazi🙏🙏🙏💪🏻💪🏻
@amaniomar1755
@amaniomar1755 12 дней назад
Wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi. Namuona Ali Kamwe anachochea vita ya namba kati ya Kibabage na mwenzie Boca.
@PaulMoyo-l4r
@PaulMoyo-l4r 12 дней назад
Boka mwaga maji zaid ya Lomalisa alifanya kazi xana
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 12 дней назад
BBD nimemuona smiling player kubali sana mwamba huyu
@mudywambash6684
@mudywambash6684 12 дней назад
Kazi kaziniiiiiii
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 12 дней назад
Im happy to see BBD the shark himself na kiungo bamia sure boy ishi sana mwamba 🎉
@babitojnr4886
@babitojnr4886 12 дней назад
Kama unaamini nkane ndio kiti wa yanga weka likes 😂
@sabrinakassimu
@sabrinakassimu 12 дней назад
naomba like
@zacharianyanda
@zacharianyanda 12 дней назад
ZA NINI UNATAKA
@abdallahrashid2899
@abdallahrashid2899 12 дней назад
Upeleke wap
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 12 дней назад
@@zacharianyandaila wabongoooo😂😂😂😂 😂😂 shikamooooo
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 12 дней назад
@@abdallahrashid2899😂😂😂😂😂
@anthonylister754
@anthonylister754 12 дней назад
Unakula?
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 12 дней назад
Hii Yanga haikosi kuna club itaweka impira kwapani,au ikubali 10😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@saumbakar7643
@saumbakar7643 12 дней назад
😂😂😅
@bravoremy
@bravoremy 12 дней назад
Yanga ijayo 🔥🔥🔥
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p 12 дней назад
Nawatakia maandalizi mema wachezaji wote na benchi la ufundi kuelekea msimu ujao wa mashindano yote, maandalizi bora ndio ufunguo wa mafanikio.
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 12 дней назад
Yanga Bwana mmemtoa Lomalisa mmeleta lomalisa😢😢😢, wanafanaa jamani
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 12 дней назад
Macho yako na yangu yana fanana kumbe umeona kama mim
@anithqpaul3923
@anithqpaul3923 12 дней назад
Mungu awabaliki wachezaji wote na benchi la ufundi
@user-nm5ff3ri8k
@user-nm5ff3ri8k 12 дней назад
Kazi njema mkapambane
@ommykiss7049
@ommykiss7049 12 дней назад
Chama la wana 🔰💪
@malietamaliet
@malietamaliet 12 дней назад
Kibabage usichore matatoo mengine utakua vibaya kaa hivo hivo
@user-bl6rd4pq4k
@user-bl6rd4pq4k 12 дней назад
Mwenyezi mungu awatangulie kaktika safari yenu hii iwe ya yamafanikio🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 12 дней назад
Babu kaju ndani ya nyumba
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 12 дней назад
A wana mapinduzi haooo yang afirickas❤
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 12 дней назад
Denis Nkane 🙏
@abednegoklamian3977
@abednegoklamian3977 12 дней назад
Woyooo babu kaju bado tunae
@hussenshariff8420
@hussenshariff8420 12 дней назад
My team 💪💪💪
@HaithamHadji-tq3mk
@HaithamHadji-tq3mk 12 дней назад
Mungu akupeni afya njema
@masoudmongomongo244
@masoudmongomongo244 12 дней назад
Kuna waandishi wa hovyo hovyo kabisa kwenye hii nchi kazi yao ni kudanganya tu na kutunga habari za uongo.
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 12 дней назад
Mashaallh Alhamndulilah nawapendasana Allah akuzidishieni upendo Inshaallah
@user-qd6yl1ub8v
@user-qd6yl1ub8v 12 дней назад
Vp kuhusu master kiiiiiiiiiiiiii
@Emanuelimiyonjo
@Emanuelimiyonjo 12 дней назад
Nkane mwamba 🔰🔰🔰💛💛💛💚💚💚
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 12 дней назад
Furaha yangu kumuona denis nkane babu kaju na shehani ila sijamuona mkude mudathir na kibwana
@petrokonpetrokon
@petrokonpetrokon 12 дней назад
nimependa sana aina yawa chezaji waliosajiliw yanga msimu huu 💚💚💛💛
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul 12 дней назад
Sasa babu kaju akacheze no ngp Azam
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 12 дней назад
Lomalisa wa pili
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 12 дней назад
Kibabage mbona kama hana raha hivi Boka anamuogopa nn🤣🤣🤣
@williamlilangala7826
@williamlilangala7826 10 дней назад
Yanga Africa the club above all
@user-bl6rd4pq4k
@user-bl6rd4pq4k 12 дней назад
Watu muhim sana nyie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-kr2zi7du7y
@user-kr2zi7du7y 12 дней назад
Nkane anapenda kucheka
@user-kt7sx5rk2o
@user-kt7sx5rk2o 12 дней назад
Semajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤
@gilbertrutayuga4676
@gilbertrutayuga4676 12 дней назад
Wengine wanadhani kwenda kwenye nchi za watu ndo ujanja. Kweli yanga ni timu ya wananchi kweli mambo yote hapahapa nyumbani. Safi sana tupende vya nyumbani
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 12 дней назад
Lakini wanaenda South Africa!
@PriscaDalus
@PriscaDalus 12 дней назад
Waoooooooooo tum iendelee kwa sana
@mohdyussah825
@mohdyussah825 12 дней назад
Congratulations young Africans
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 12 дней назад
Kibabage Totoo imekaa mahala pake😂😂😂
@MariamuSalehe-q9e
@MariamuSalehe-q9e 12 дней назад
Waoo🙏🙏🙏
@JanethJuma-sv5pm
@JanethJuma-sv5pm 12 дней назад
𝙒𝙖𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤𝙤 𝙙𝙚𝙣𝙞𝙨
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini 12 дней назад
My team🎉🎉
@user-ng5bx9vk7h
@user-ng5bx9vk7h 12 дней назад
Tumetisha sana
@suleymanyaasin
@suleymanyaasin 11 дней назад
Kazini kwa kibabage kuna kazi. Jamaa hata halicheki
@trice_yanga
@trice_yanga 12 дней назад
hivi alikamwe anapumzika jamani😅
@OthnoShezume
@OthnoShezume 12 дней назад
Mwenye kazu golikipper mpya
@AdolophinaShawa-pd8yo
@AdolophinaShawa-pd8yo 12 дней назад
Watasema tu mwaka uu😅😅😅
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 12 дней назад
Allaah Akbar
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 12 дней назад
❤️🧡💚💛👍🔥
@IsayaTweve
@IsayaTweve 12 дней назад
@BensonMpomo
@BensonMpomo 11 дней назад
yani yanga bwana upendo mbaka umepitiliza unaweza sema ni watoto wa mama na baba mmoja
@chops63entertainment
@chops63entertainment 12 дней назад
Chama langu la ukweli hakuna kufeli ni juu
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b 12 дней назад
Muda wetu
@FredyPeter-rn2il
@FredyPeter-rn2il 12 дней назад
Safiiiii
@hussaynrajab6776
@hussaynrajab6776 12 дней назад
No mistakes
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 12 дней назад
Safari hii watasema sana
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 12 дней назад
Timu la wazee
@monicalucas3738
@monicalucas3738 11 дней назад
Navyoona asilimoa lubwa ya mashabiki tunampenda Nkane maana kila comment naona watu wamefurahi walivomuona, ni kijana mmoja mpambanaji sana MUNGU amlinde🙏
@Cutenaah
@Cutenaah 12 дней назад
AZIZI KI NA PACOME WAKO WAPI CHAMA HATUMUULIZI TUNAJUA ATAKUJA TUU, WAONESHENI MAKAMANDA WETU PACOME NA AZIZI KI
@Shadia544
@Shadia544 12 дней назад
Miee azizi ki tuu jamaniii nimuone 😊😊😊
@Antelius-ew6it
@Antelius-ew6it 12 дней назад
Nakubali Mr Privaldinho😂
@user-ot3vz6gw9f
@user-ot3vz6gw9f 12 дней назад
Kane pambana kijana nakufanananisha na ngasa
@FarajiMkoto
@FarajiMkoto 12 дней назад
🔥🔥
@AminaAshraph
@AminaAshraph 12 дней назад
Mungu awalinde
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu 12 дней назад
Yaaan jamaa kama lomalisa du nakuombea gem ikukubali
@ceciliadaudi1632
@ceciliadaudi1632 12 дней назад
Amina jmn 🙏🙏
@user-er1dk6zj6u
@user-er1dk6zj6u 12 дней назад
Mabingwa wa muda wote
@PatrickMalema-f9s
@PatrickMalema-f9s 10 дней назад
Jesh la kijani na njano
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 12 дней назад
💛💚💛💚100%
@user-lp7uq9ql2p
@user-lp7uq9ql2p 12 дней назад
Naomba muwe mnaandika na majina ya kila mchezaji anaepita kwenye kamera
@FabiolaSommy
@FabiolaSommy 12 дней назад
Nmefrah kumuona nkane🎉🎉🎉
@AsmaAmeir-s3b
@AsmaAmeir-s3b 12 дней назад
Mchezaji mbona anapenda mapicha huyu au ndo sharo
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 12 дней назад
We Sio mwananchi
@YusuphBupamba
@YusuphBupamba 12 дней назад
Yanga wakimuacha Joseph Guede watakosea xana ile ndo cf ya msimu ujao angefunga sana
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 12 дней назад
Kibabage jeshi huende
@fahadrashid9754
@fahadrashid9754 12 дней назад
Najikuta tu natabasam
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 12 дней назад
Andunje kibabage mambo😅
@user-qm5un9yc8r
@user-qm5un9yc8r 12 дней назад
Nice
@AdamRamadhani-w8m
@AdamRamadhani-w8m 12 дней назад
😢
@GvanyFamily
@GvanyFamily 12 дней назад
Wana Yanga
@CratusmwendaMwenda
@CratusmwendaMwenda 12 дней назад
Good play
@husseinabdallahmkupulo1784
@husseinabdallahmkupulo1784 12 дней назад
❤❤❤❤
@user-qg8bf7my8m
@user-qg8bf7my8m 12 дней назад
Timu ya wakubwa ina ludi kikubwa
@husseynomar9523
@husseynomar9523 12 дней назад
Unyama 🎉🎉🎉❤
@FarajiMkoto
@FarajiMkoto 12 дней назад
5:43
@mathiasmwamba5872
@mathiasmwamba5872 12 дней назад
Yanga chama lang la ukwer
@AbshirMubaarack
@AbshirMubaarack 12 дней назад
Oh Kibabage ushaanza kuwa mkongo sasa na mitatuu km yotee 😅😅😅
@BeckahNassibu
@BeckahNassibu 12 дней назад
NAIPENDA YANGA TAMU
@MariamLigoha
@MariamLigoha 12 дней назад
Kutibiwa au kambini?
@katalisajuka-fl3st
@katalisajuka-fl3st 12 дней назад
Wachezaji au Kibabage?
@MonicaEssero-n7w
@MonicaEssero-n7w 11 дней назад
Boka unafanana na Lomalisa
@karenlema4317
@karenlema4317 12 дней назад
Nita miss skudu sana kama hayupo😢
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 12 дней назад
Wakitembea kama wamechoka, nwakiwa kazini weeeeeeeeeeeeee..........
@user-qg8bf7my8m
@user-qg8bf7my8m 12 дней назад
Hahaa boka alikuwa ana muogopa ally kamwe Lijua niwale jamaa wa kuiba wachezaji airport
Далее
His reaction 😳 (via @kaitlyn.b0506/TT) #shorts
00:10
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
Просмотров 43 млн
Yamal & Williams 😍
0:26
Просмотров 9 млн
Ronaldinho 100% Humiliating Nutmegs 👑🇧🇷
0:45
Knee Slide Fails 😂
0:26
Просмотров 15 млн
Ronaldo's Kindness Helps Messi Become GOAT !
0:28
Просмотров 19 млн