Broo vip naiman uko salama dnyota nilikua naomba kuulizia kazi ya kuendesha aya magari makubwa je ipoje inalipa uko au? Sabab haujawah tuonesha kama inalipa au vip
Yes my brother nimekuelewa sana ila ungetuelezea na kazi ambazo unaweza kufanya bila makaratasi zinalipaje…??? Maana kwa mtu atakayekuja marekani lazima afanye kazi ambazo za chini ya kapeti
Inatakiwa uwe umefikia kidato cha sita kwa mfumo wa Tz, asikuongopee huyo, kama huna elimu hiyo bas uwe na ujuzi wa kazi wa zaidi ya miaka miwili, tena kazi ambazo zimeorodheshwa kwenye website ya wizara ya kazi ya marekani. Usipokuwa na hizo vitu viwili hupewi utapoteza nafas na pesa