Тёмный

Kazi kuendesha baskeli kwa wiki dolla $1400 sawa na Milion 4, kwa mwezi million 16 😮. Kazi nzuri 

Dnyota usa
Подписаться 15 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

18 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@tonytony329
@tonytony329 Год назад
Uishi sana bro angu, nafurahi zaidi nikickia unatenga na bajet ya kutuma kwa familia God bless you.
@SesiliaMlonganile
@SesiliaMlonganile 14 дней назад
Naomba kazi ya usafi wa barabara
@HusnaMsalanga
@HusnaMsalanga 25 дней назад
Vip kaka yangu niuganishe nitumie no Yako
@rastapeace9616
@rastapeace9616 2 месяца назад
Nakutafita
@nadiromar9794
@nadiromar9794 Год назад
like 100 kwa Dullnyota
@sadickmwinyi1084
@sadickmwinyi1084 3 месяца назад
❤ more life kaka Dnyota
@MasolaFarm
@MasolaFarm Год назад
Nakufatiria sana kaka live
@gioblu7860
@gioblu7860 Год назад
Words of god your advise u kweli big motivation asante sana dnyota from Italia
@josephjames4587
@josephjames4587 Месяц назад
Hayo majengo balaa
@athumanizaidi8560
@athumanizaidi8560 Год назад
Thanks brother..for your inspirational information.
@MasolaFarm
@MasolaFarm Год назад
Safi sana kaka
@jacquelinepalangyo412
@jacquelinepalangyo412 8 месяцев назад
Ina maana haukatwi tax dula yan kodi,maana kl ukipiga hesabu sisikii ukitoa kodi ya seriklai.
@sharifukilongo2565
@sharifukilongo2565 Год назад
Dnyota,appreciate bro
@MasolaFarm
@MasolaFarm Год назад
Kaka asiye kuwamini nimpummbafu sana kaka yaani vitu live kaka
@saidbajoun4374
@saidbajoun4374 5 месяцев назад
Kaka wewe uko nchi gani
@princegray9164
@princegray9164 Год назад
Fatilia na michongo UK af uwe una tuambia tu kaka tuwe na taarifa
@user-br8kt3nb4u
@user-br8kt3nb4u 18 дней назад
Pamoja mpambanaji
@user-lo5gg8jk8g
@user-lo5gg8jk8g 6 дней назад
Mimi hata masaa kumi na 15 nafanya
@user-le7mh1bb1j
@user-le7mh1bb1j Год назад
najipanga
@MasolaFarm
@MasolaFarm Год назад
Tunajipanga kaka tunakujaa kaka
@yussufdjumaissa2291
@yussufdjumaissa2291 7 месяцев назад
Broo vip naiman uko salama dnyota nilikua naomba kuulizia kazi ya kuendesha aya magari makubwa je ipoje inalipa uko au? Sabab haujawah tuonesha kama inalipa au vip
@noellazaro763
@noellazaro763 Год назад
Iyo kaz inahitaji social security number?
@jacquelinepalangyo412
@jacquelinepalangyo412 8 месяцев назад
Na je kwahyo ukiamua kufanya kazi hadi jmosi inawezekana?na kl kazi zinafanyw hadi jmosi au ni baadhi ya kazi tu.
@mussaagrey5679
@mussaagrey5679 Год назад
Bro umefika bongo atuna number zako tumekucheki kupitia comment lakin nimegundua uzisomi
@Azariahmark3
@Azariahmark3 Год назад
Yes my brother nimekuelewa sana ila ungetuelezea na kazi ambazo unaweza kufanya bila makaratasi zinalipaje…??? Maana kwa mtu atakayekuja marekani lazima afanye kazi ambazo za chini ya kapeti
@zakayodionis7748
@zakayodionis7748 11 месяцев назад
Ila kaka hapo kutuma Hela nyumbani laki tano ni kidogo tuma hata milioni maana laki tano kwa gharama za sahii maisha yako juu sana
@victor-xk6yr
@victor-xk6yr Год назад
Tunajipanga nyota tutakuja huko
@wakuitwangosha
@wakuitwangosha Год назад
Bado bill ya gesi,bill ya internet,bill ya maji
@jeanboscoharumukiza4183
@jeanboscoharumukiza4183 Год назад
Mimi nimuburundi kunatakia nini wara kama unamtu darsrama dupe nanba tuonane nae kwasababu minakua darsrama kirawiki naendesha rori
@user-di8oh3th6c
@user-di8oh3th6c 9 месяцев назад
Broo me and miaka are trying to get me l need a job out there l can get it broo l want to succeed broo l need a job broo
@ZainabAbdurlhaman
@ZainabAbdurlhaman 10 месяцев назад
Tattoo kujua mitaa
@GRANDMUSICKOMEDIAOG
@GRANDMUSICKOMEDIAOG Год назад
Mm nipo kambini
@r-g-bchanal4963
@r-g-bchanal4963 Год назад
kambini.wapi?
@GRANDMUSICKOMEDIAOG
@GRANDMUSICKOMEDIAOG Год назад
@@r-g-bchanal4963 Nyarugusu ndio mm nipo
@charlesmkinda6946
@charlesmkinda6946 Год назад
Sorry kaka,nikipata mwaliko,wa kuja huko nawezapata makaratasi yakufanya kazi
@victor-xk6yr
@victor-xk6yr Год назад
Eti nyota kuaply Green card inatakiwa kidogo uwe umesoma
@gregorymassawe1441
@gregorymassawe1441 Год назад
No
@victor-xk6yr
@victor-xk6yr Год назад
@@gregorymassawe1441 yaani G unamaanisha ata ukipata bahati ya green card siku ya interview elimu ya secondary haitakuwa soo
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 Год назад
Inatakiwa uwe umefikia kidato cha sita kwa mfumo wa Tz, asikuongopee huyo, kama huna elimu hiyo bas uwe na ujuzi wa kazi wa zaidi ya miaka miwili, tena kazi ambazo zimeorodheshwa kwenye website ya wizara ya kazi ya marekani. Usipokuwa na hizo vitu viwili hupewi utapoteza nafas na pesa
Далее
Story kidogo ya mambo yetu
14:10
Просмотров 2 тыс.
Njia ya visa kwa bei rahisi
8:16
Просмотров 4,4 тыс.
Штаны легионера
00:44
Просмотров 190 тыс.
Документы для озокомления😂
00:24
I Built a EXTREME School Bus!
21:37
Просмотров 7 млн
Nyumba za kupanga marekani mjini NewYork
17:51
Просмотров 3,2 тыс.
Maisha ya Ughaibuni
14:23
Просмотров 2,9 тыс.
Штаны легионера
00:44
Просмотров 190 тыс.