@@FikiriMloka-ft3yf Hakika tukifanikiwa napia baraka zake MWENYEZI MUNGU huwa zinafuata sehemu zenye maombi ya wengi.Naamini 2030 Mkuu Paul Makonda yatatimia
Metaphorically namuona mama samia alikua amekaa kinyonge sana watu wanamchukulia poa ghafla akasema mnanijua kwel?? Akatoa AK47 akafyatua risasi, ile risasi iliyotoka pale is MAKONDA. GOD BLESS THIS MAN
Mkuu Mr mackonda ujio wako wakuja Tanga tunakuomba fika wilaya ya korogwe Kijiji Cha mazinde Kuna shida nyingi zinasababishwa na diwani Kuna lushwa imekisiri Kila upande juu ya diwani malalamoko mengi yanamhusu njoo tufunguke ujiskilizie keamaskio naikiwezekana uondoke nae
Kuna wakati nakuchukia sana unapojibizana na wanasiasa.wewe fanya ya mungu Ili taifa letu lipone na laana. Nakumbuka shuleni. Kuna kauli ilikuwa inasema Ili tuendelee twahitaji vitu 4 watu ardhi siasa safi na uongozi Bora je hayo yapo.please simamia Ili