Тёмный

MTOTO WA MIAKA 9 ANAMUUGUZA BIBI YAKE KWA UJASIRI, HAJAWAHI KUMUONA BABA "NILIMFUATA NIKAPIGWA KOFI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 628 тыс.
50% 1

#millardayoMWANZA #mtotoJasiri
Shamsa Ramadhani ni mtoto wa miaka 9 kwa umri wa mtoto huyu ndie mwenye jukumu la kumuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka mitatu akimpatia huduma zote ikiwa ni pamoja na kumsafisha Bibi anapopata haja
Mtoto huyu anasilimua baada ya kifo cha Mama yake hajawahi kumuona tena Baba yake licha ya kuwa yupo hai lakini hiyo haijamfanya Shamsa kupunguza mapenzi kwa Bibi yake na hata wanapoishi wamehifadhiwa kwa muda tu na msamalia mwema

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
@tatumluv6054
@tatumluv6054 3 года назад
Mtoto mzuri alafu anamajibu ya kiutu uzima mashallah 😘😘
@ummuchumwashebby3752
@ummuchumwashebby3752 3 года назад
Yan anawashinda had mastaa wasojielewa kwa kujielezeaa,,,,,,
@robsondalink6206
@robsondalink6206 3 года назад
Heri kijana masikini mwenye hekima kuliko Mfalme mzee mpumbavu🤝Mungu akuinue na akusaidie katika njia zako zote
@michaelstephen3743
@michaelstephen3743 3 года назад
TUBAKIE hapo tuu
@dicksonnoel1004
@dicksonnoel1004 3 года назад
Amina
@elizayanga9756
@elizayanga9756 3 года назад
AMEN
@elividamtaki2760
@elividamtaki2760 3 года назад
Amen
@fransisigulu9761
@fransisigulu9761 2 года назад
Sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Na ana ujasiri MashaAllah🙏🙏🙏🙏🙏mungu amjalie Huyu mtoto..Mungu mkubwa,milango itafunguka tu,inshaAllah
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 3 года назад
Sn Inshaallah ameen yarrby
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 года назад
Ameeen mungu ni mwema sana
@latifaali5874
@latifaali5874 3 года назад
Aaamyn
@asha.mwambamwamba1774
@asha.mwambamwamba1774 3 года назад
Wanaume nyiee atariii
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 3 года назад
@@asha.mwambamwamba1774 somo Sn yn
@barekesteve8679
@barekesteve8679 3 года назад
This is what we call maturity the way she's answering the questions Kam mtu mkubwa ujasir wake MashaAllah Emung musaidie Mototo huuu
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 3 года назад
😭😭😢😢Allahu Akbar, Imeniliza MWENYEZI mungu Atakusimamia Mwanangu mtt Mzuri Jamani
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 3 года назад
Kiukweli huyu mtoto ametuliza wengi inatia huzuni Sana hii story ya hupi mtoto na bibiyake
@husnaally6776
@husnaally6776 3 года назад
Natamani ningekuwa jirani yake nimsaidie tu kaz maan pesa sina ..tungekula nnachopata ...am so sad 😭😭😭😭😭😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 года назад
@@husnaally6776 😭😭😭😭😭😭😭😭
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Duh Mungu amuimarishe Huyu mtoto!!!Mungu amnusuru bibi yake...maisha ndo yalivyo🙏🙏🙏🙏
@stellaprince4871
@stellaprince4871 3 года назад
Oooooh Mwenyewi Mungu gusa moyo wa Baba wa toto Huyu daaah 😭😭😭
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
@@stellaprince4871 Ameen Ameen Mungu amguse Huyu baba..jamani..Huyu mtoto kaniliza..ila Mungu mwema..labda hatuna uwezo ila maombi yetu yanaskika na kupokelewa inshaAllah
@anithaapolinary6391
@anithaapolinary6391 3 года назад
Shukrani sana Frola Nitetee Mungu wa mbinguni azidi kukuweka zaidi uwaone hata wale ambao bado hawajaonekana
@annanyoni1981
@annanyoni1981 3 года назад
Mtoto tena wakike analilia kwa ndani Mungu akupe maisha marefu yenye neema na baraka Mungu teremsha baraka zako juu ya shamsa
@gloryguren6887
@gloryguren6887 3 года назад
Kuna vitu vinaumiza sanaa kwenye hii dunia mtoto ameniliza huyu daah😢😢😢Mungu wa mbinguni akusaidie ufikie malengo yako,Hongera sana dada Flora Mungu akubariki sanaa.
@rayaahamad5502
@rayaahamad5502 3 года назад
😢😢😢😢😢
@rayaahamad5502
@rayaahamad5502 3 года назад
😢😢😢😢😢
@bashirkaitaba7465
@bashirkaitaba7465 3 года назад
2muombee kwa mung
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 3 года назад
Hii story inaumiza saaan... Flora nitetee alipo mungu ambarikii saan
@aishachambo8663
@aishachambo8663 3 года назад
Kweli kabisa
@ShebbyChipeta
@ShebbyChipeta 4 месяца назад
Jamani mahisha aya simuliasana yasikukute yanaumiza
@sarhkimboi9085
@sarhkimboi9085 3 года назад
Huyu, ni mke wa mtu mwenye ajili timamu kwa bdae, Mungu akutumie mdogo wangu
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 3 года назад
Sanaaaaa....yaani huyu ni future wife wa maana sana. Tatizo atakuja kuolewa na myu haoni faida yake. Maslay queen wanapata husband material😥
@veerdhaheer7288
@veerdhaheer7288 3 года назад
Mtoto anajua kujieleza mashAllah, Mungu awafanyie wepes
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 года назад
Tena kwa kueleweka kupita maelezo,ee Allah mja wako huyu una lengo nae kibianadamu tunakuomba umponye huyu Bibi na mfungulie huyu kiumbe mdogo kabisa
@queenbhanji4152
@queenbhanji4152 3 года назад
she is humble,,smat girl wth brain
@faineschisunga7421
@faineschisunga7421 3 года назад
Nijikuta nalia mwenyewe jamani mungu akutuze binti
@annapeter6065
@annapeter6065 3 года назад
Jaman mtoto nijasiri kumzidi mtu mzima, mungu ampe subra na mwongozo... Wanaoweza jaman Mungu awatumie kumsaidia ...
@boazjoseph6372
@boazjoseph6372 3 года назад
Huyo mke wa mjomba atafutwe maana kama anachukua pesa za bure shenzi type. I love you baby girl ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 3 года назад
Na mashaallah mtt anaoneshea anaakili sana ,mola atakuongoza mtt wangu ,atakupa kila unachostahiki inshaallah kwani yy ndio kila kitu hapa duniani na kesho akhera .ammin ammin
@عليغالب-ت5ر
@عليغالب-ت5ر 3 года назад
Can't hold my tears she's too young to do all those duties 😭😭
@irenemodesty
@irenemodesty 3 года назад
Omg😭😭😭😭I’m literally crying how they treat this babe I swear🥺🥺she is too young
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 3 года назад
I am getting quite emotional watching this video.
@immarimoy2039
@immarimoy2039 3 года назад
daha jamani. mtoto anamajukumu mengi
@babittoevance4415
@babittoevance4415 2 года назад
😭😭😭😭😭 mungu amnusuru huyu mtoto ila huyo baba inamaana hata hashtuki kwenda kumwangalia mwanae duuuh mungu atamjaalia tu
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
kashapata mawazo mengine sasa mwanxo alikuwa na mawazo. aje awe jeshi km babaake sasa anayaka afanye lazi za jamii mashaallah.
@bekatv1009
@bekatv1009 3 года назад
Smart and hardworking gal i do salute her she's ma hero....thumb it
@halimamimarich3799
@halimamimarich3799 3 года назад
ya Allah amjalie shufh bibi🙏🙏mungu akukze mtoto mzuri😍😘ya Allah msaidie uyu bibi🙏🙏
@miselemanchimvuno5978
@miselemanchimvuno5978 3 года назад
Maskini😭😭😭😭😭
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 3 года назад
Daaaa imenitowa machozi hii habari ya huyu mtt ,ewe bb Mzazi wa mtt huyu muogope mola wako hebu mwangalie mtt wako ,mtt yatima wa mama ww bb upo hai kweli unamwacha mtt anasumbuka namna hii na bibi yake kweli?muogope mungu ww mzazi .mola akuoongoze ww Dd unaemsaidia huyo yatima mola atakufanyia wepesi kila penye uzito inshaallah ,
@mwazaninalapa8852
@mwazaninalapa8852 3 года назад
Dah mungu anipe maisha marefu nimlee bint yangu na mama yangu 😢😢😢😢
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
Amina lnshallah 🙏😢😢🤲
@aishaomari944
@aishaomari944 3 года назад
Amina
@mohamedally5672
@mohamedally5672 3 года назад
Amiinnn🙏🙏🙏
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 3 года назад
Amiin yarrab 😢
@anethwilson1884
@anethwilson1884 3 года назад
Jaman Mungu naomba umri mrefu nimlee binti yangu nakusihi Mungu
@abdulkhamis1170
@abdulkhamis1170 3 года назад
Nimelia kwa uchungu jisi mtoto mdogo havyoweza kusaidia bibi yake kunawatu wengi hawana huluma na familia zao tumsaidie huyu mtoto
@salhanassor5201
@salhanassor5201 3 года назад
Inaliza kwakweli na hao watoto wake hawajiskii ata aibu kuona mzazi wao anatunzwa namtoto ilhali wao wapo! dah dunia hii Allah atupe mwisho mwema kwakweli
@mutheuphilip4360
@mutheuphilip4360 3 года назад
Very strong kid may God of peace and grace akulinde siku zote tayari Bibi ashakupa baraka zote n zako
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭mtoto umeniliza moyo wangu unauma nikiangalia sina uwezo ningekuchukua wewe na bibi wote mngeishi kwa furaha lakini ndo hivyo nimejaliwa kidogo toeni namba nichangie hata kidogo nilichojaaliwa nimekupenda mno umri wa mwanangu wa kwanza Ee mwenyezi Mungu ninyime Mimi huyu mtoto apate 😭😭😭😭😭😭😭
@hujatswai5798
@hujatswai5798 3 года назад
Hakika Mwenyezi Mungu yuko pamoja na wenye kusubiri, mtoto mdogo anaupitia mtihani wake bila ya kuwa na hisia kali za huzuni juu ya kuachiwa jukumu la watu wazima, alikosa nafasi ya kumuuguza mama yake na sasa anamuuguza mama wa mama yake, SubhaanAllah, ShifaakAllah bibi, Mwenyezi Mungu amlipe mtoto Shamsa kila la kheri. Naitambua kazi nzuri ya marehemu Nellyson (video shot).
@godfreysizya3711
@godfreysizya3711 3 года назад
Babaake alikua bodgurd wa magufuli,tukumbuke family zetu tunapokua na uwezo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 3 года назад
Jamani kumbe baba yupo ananguvu zake, anamoyo gan 😭😭😭
@marthageorge559
@marthageorge559 3 года назад
Nyie wababa mungu anawaona
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 3 года назад
@@marthageorge559 😭😭😭😭😭
@marthageorge559
@marthageorge559 3 года назад
@@nuryatmussa9966 unajuwa awa wababa kunamisukosuko wanapata lakini awajui wanaipata kwa sababu gani,damu yako ikitoa machozi sijui kama mambo yako yanaenda vizuri,mungu atamsimamia uyo mtoto na atakuwa mtu mkubwa sana
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 3 года назад
@@marthageorge559kabisa watu hawajui tu baba unakula unalala sehemu nzur mtoto wako hujui anaishi vp😭😭mtoto anamajukumu makubwa
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
InshaAllah Mungu akusimamie usome shule zote umalize...🙏🙏🙏🙏
@bakarimasoudmasoud5138
@bakarimasoudmasoud5138 3 года назад
Aiiseee jamani. Mungu mkubwa
@batoulmwinshehe8787
@batoulmwinshehe8787 3 года назад
This is more than a pain wallah.... Allah Kareem
@husennyelenge6341
@husennyelenge6341 3 года назад
@@bakarimasoudmasoud5138 _¿.¿700 (
@haridjuma8307
@haridjuma8307 3 года назад
@@batoulmwinshehe8787 c. 8z
@chuwafamily496
@chuwafamily496 3 года назад
😢😢😢😢Imeniuma sana kama mzazi,Mungu awanusuru familia hii
@benedictmwakabungu6946
@benedictmwakabungu6946 3 года назад
Mwenyezi Mungu wa mbinguni akuzidishie baraka zake wewe mamii kama ambavyo mtoto uliyemsaidia anavyokuita. Umetenda lililo jema. Asante sana Mwenyezi Mungu ambaye umekuwa ukiwa siku zote ni kimbilio la wahitaji. Watoto wasio na walezi, wanaoonewa, wafungwa, wagonjwa na wahitaji wengine wengi. Baba umjalie mtoto huyu na bibi yake kuona tumaini kuu kwako
@fauziaabdullah3733
@fauziaabdullah3733 3 года назад
MashaAllah majibu mazuri mtoto mungu at akubarik na Dr flora mungu akupe moyo huo huo hata kosa kitu kwa mungu
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 года назад
Inshaa Allah mungu atasimama na huyu mtoto na bibi yake halafu kana akili sana kwa kujieleza vizuri mungu awasimamie wapate msaada
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 3 года назад
Kwanza jaman mtanisamehe sana huyu mtoto nishamsikiliza historia ake kwa Dada frola lauo uyu mtoto yupo vzur kujieleza ila swala langu linarudi kwa baba mzazi wa huyu binti hiv hiyo kaz anayofanya anafanya kwa aman kabisa bila kuwaza chochote kabisa baba anakazi nzur alikuwa akimlinda Mh hayati Magufuri aisee hili swala hapana aisee mama etu Raisi wetu Samia Hassan Suluhu amuangalie huyu mtoto na uyo baba ake sizan kama baba unae jitambua unaweza kumtelekeza mwanao anamuudumia bibi ake ungal ukiangalia ata shule asomi huyu mtoto baba anashindwa kutafuta ata mtu wa kumlipa hela ili amuangalie uyo bibi anamuachia jukumu mtoto kwer jaman kiukwer baba ake anakosea sana namuachia Mungu pekee ndo muukumu wa yote
@alexdukes5547
@alexdukes5547 3 года назад
Baba yake inawezekana sio wakutuhumiwa kafanya jambo la imani kumwacha mwanae kwa bibi yake ili amusimamie
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 3 года назад
@@alexdukes5547 hapana broo c kwa umri huo mtoto anaitaji vitu vngi sana fatilia kwa frola lauo mtoto anaitaji apate Elimu ila mtoto asomi ndo madamu anaitaji ampeleke shule na hapo ni kwa msaada wa watu ungali ukiangalia mtoto ana baba ake kabisa ukiangalia ata kishelia hiyo aijakaa sawa broo sawa aitaji kuukumiwa je mtoto anapata msaada gan kwa baba ungali baba ake anakaz nzur na anapokea mshaara mzur tu je mtoto ananufaika na nn kwa baba
@juditheliud4857
@juditheliud4857 3 года назад
Huyu baba ndo wakumtafuta kwanza kabla ya yote, manake huenda anatuma pesa za watoto kuna mahali zinaishia
@ricksonlyimo5594
@ricksonlyimo5594 3 года назад
@@juditheliud4857 hapo umenena japo ukimsikiliza waziri wa afya Dorothy Gwajima alivyokuwa akiongea na mjomba wa mtoto anasema kabisa kuwa baba ake alimtelekeza mtoto alikuwa atumi pesa kwa mwanae ndo maana nimesema siwez kumuukumu mimi baba ake hapana namuachia Mungu pekee ndo anae jua pengine kuna vitu nyuma ya pazia tusivyovijua sisi kwaiyo tusiwe waongeaji sana ila nitoe shukrani zangu kwa madamu Flora Godwin Lauo mkurugenzi wa Nitete foundation na mkurugenz wa chair foundation kwa kumshika mtoto mkono na kumpeleka shule bila kumsahau mkurugenzi wa shule hiyo kuwapokea na kusema atawalea watoto kama wanae
@DeogratiusMwanicheta
@DeogratiusMwanicheta 17 дней назад
Sisi Wanaume ndio chanzo cha watoto wanaoteseka 😢
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 года назад
Mwandishi wa habari umefanya kazi nzuri sana. Kongloele. Huyo dada aliyemchukua huyu mtoto na kumuuguza bibi yake, Abarikiwe na asipungukiwe furaha, afya wala mali.
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 3 года назад
Mungu akubariki sana,Mamii unayemsaidia huyu mtoto na bibi yake! Mungu yuko nawe , mtoto mzuri.
@adoniasamike2124
@adoniasamike2124 3 года назад
Huyo mumy ni frola nitetee kama huwa unafatilia crp zake anasaidia sana watu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 3 года назад
Eeeh ni yeye
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 3 года назад
@@adoniasamike2124 Mungu ambariki yy na uzao wake!
@kiri5807
@kiri5807 3 года назад
Mungu ni mkubwa . kaka kafariki umebaki wewe for reason . uje umsaidiye bibi . Alhamdulillah
@onexofficial95
@onexofficial95 3 года назад
Eee mwenyezi mungu utusaidie na uwasaidie wote wanaopitia magumu kama hayo 🙏🙏🙏🙏
@mamamchina1931
@mamamchina1931 3 года назад
Siku moja mungu atatenda miujiza mtt mzur mungu akutunze kwa kwel
@ramayasly4584
@ramayasly4584 3 года назад
Nawasalim sana ndugu zangu. Watu wengi tumekua wanyama. Hatuna upendo ona mtoto mdogo Mungu atatuchapa kiboko kwa haya tunayo yafanya
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 3 года назад
Ooh my God,, Poleni Mungu awape Nusra 😢😢 Mtoto mzuri anajua kujieleza 🤗
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 3 года назад
Sn
@rehemaelisa4938
@rehemaelisa4938 3 года назад
Pole bibi, pole mtoto mzuri MUNGU AKUTIE Nguvu bibi apone haraka
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 3 года назад
Sana
@amlimamouris..a9411
@amlimamouris..a9411 3 года назад
""Time traveler"" Huyu mtot n wa pekee sana Mungu akusaidie Mungu ana Jambo na wewe Anko..!!
@abrahamrashid4282
@abrahamrashid4282 3 года назад
Mashallah Mummy Allah akuzidishie kote ulipopungukiwa
@wizanakitvonline6190
@wizanakitvonline6190 3 года назад
Jamani , unapokula ukashiba ukavaa na kunywa bia ukajiona mjanja , Nakumbushatu Mungu anakuona endapo jirani yako unampita huku ukimcheka wakati unajua kinacho msibu , Mungu wasaidie hii familia , Huyo aliyekuwa mlinzi wa Magufuri , Mungu anakuona wewe jamaa , mwisho upo tu , Aiseee 😭😭 so sad
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 3 года назад
yaani hiyo bia umeweka kuogeza msisitizo? hahahahaah
@maryamsemaganga328
@maryamsemaganga328 3 года назад
Yarrab tunusuru waja wako
@augustinojob939
@augustinojob939 3 года назад
Huyu mtoto amesema babaake alikuja sikia moja na msafara wa magufuli na anasema alipomwona alikimbilia lakini kina mtu akampiga kofi. Lakini baadaye anasema walikutana na babake na wakalala hotel. Kwanini serikali ulisifanye mpango wa kumtafuta?
@EnockIsdori
@EnockIsdori 13 дней назад
Poresana Mtoto Mungu Akuweke Sehem Anayotaka Yeye Kwani Ndiyemuweza Wayote Amina
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 3 года назад
Pole sana Shamsa mungu amhurumie bibi yako in shaa Allah 🙏
@babaluxe8626
@babaluxe8626 3 года назад
Duuu kumbe baba yake ni mtu mkubwa tu walinzi wa, jpm khaaaa🙈🙈🙈🙈
@snipershort6988
@snipershort6988 2 года назад
Ewe mwenyez mungu unipe moyo kama huu, hongera mtoto mungu ni wetu sote, sidhani kama anapenda uishi maisha haya, kwani uo ndo mlango wako wa kutokea, amini iyo ni ibada ya kweli
@afropatriot7769
@afropatriot7769 3 года назад
Alafu Kuna mjinga asipotumiwa buku ya vocha anaona ameonewa duniani hapa,
@charlesobinya
@charlesobinya 3 года назад
Kwanza pole mtoto. mungu atatenda miujiza na baba atajileta mwenyewe kupitia hii vdo , kama ni kweli kunawatu wanapokea pesa kutoka kwa babako wakizani wakoright now mungu kawaumbua mungu akulinde AMEN
@jayjay4313
@jayjay4313 3 года назад
Da, natamani huyo mlinzi wa Magu aliyekupiga kofi awe anaangalia habari hii ili imsute. Japo baba ake alimsakizia mwanae kwa Magu, labda mzee Magu angewafanyia maajabu.
@annaemmannuel2101
@annaemmannuel2101 3 года назад
Huyu mtoto anaakili Sana Sana. Hongera mwanangu uko vizuri na Mungu akuinue kwa viwango vya juu
@prudenceleeheung4487
@prudenceleeheung4487 3 года назад
Oooh Duh Mungu akusaidie mtoto jasiri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 3 года назад
😪😭😭Mwenyez Mungu amzidishie imani na afya njema
@annat8509
@annat8509 3 года назад
Huyo baba kama katelekeza mtoto Mungu amfukuzishe kazi kabisa,inauma sana nimelia mpaka basi,flora Mungu akupandishe kiwango
@alexdukes5547
@alexdukes5547 3 года назад
Msikilizeni vizuri mtoto baba hajamtelekeza mwanae bwana hivi fikiria kama anaemia hapo bibi yake angesaidiwa na nani japo ni mdogo jamani upande wa wanae ndo ulaumiwe watoto wake baba yuko vizur kafanya imani yake
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
Huyu mtoto kajieleza vizuri sana baba yake anatoa pesa ila wanakula ndugu zake so yeye baba aelewi kma pesa anapata mtoto wake au laaaah naisi baba yake baada ya kuona interview hiii nazani ata kuja wasaidia pia mungu amsimamie yallab nimelia sana mtoto bado mdogo sana 😢😢
@sukariyao6537
@sukariyao6537 3 года назад
@@revocatusemmanuel162 kasema ndugu wa baba au ndugu wa baba yake Shangazi yake sijui au nimesikia vibaya ngoja nami niirudie tena ila baba yake wala ana shida kwa kutoa huduma yu atoa shida hawa ndugu njaa mbele mtihani 😔
@AlesiaKayoka
@AlesiaKayoka Месяц назад
Hapo baba hajamtelekeza wenye makosa ni wajomba zake,baba Aliko mwenyezi Mungu amfungue akili arudi kuangalia maendeleo ya mtoto
@fatumasaleh8048
@fatumasaleh8048 3 года назад
Daah! Yani Kuna watu wanapitia magumu kiasi hiki.. hii stori imeniganya nilie wallah 😭😭😭 flora mungu akuzidishie moyo wa upendo dada yangu, na akulipe lililojema.
@samkiria450
@samkiria450 3 года назад
She's so confident 🥰 Mungu amsaidie sana huyu mtoto. I'm just so speechless. My heart is bleeding 💔😢 sorry beautiful soul 😢
@simwalasimwala8286
@simwalasimwala8286 3 года назад
Daa ayo tv kwanza kabisa na mpa pole mtoto wangu pia nawapongeza sana kwa kazi nzur mnazo zifanya namhombea mdgo angu uyo maisha marefu yenye hekma na busara Wantanzania wenzangu tujifunze unapo tungisha mimba ujue nayakesho mtoto anatoa mchozi hv baba ndo uko baa jaza meza.
@sarahorina2163
@sarahorina2163 3 года назад
Mungu akulinde Sana shamsa , you make me cry baby girl.
@evancekimath7405
@evancekimath7405 3 года назад
Daaah, Godbless you mtoto,bibi namamii Mwenyez Mungu amjalie afya njema na uendelevu wa moyo wakumsaidieni ...Amina...
@ddfatma4281
@ddfatma4281 3 года назад
Dada flola mungu akubalik akupe kila hitaj la moyo wako na akupatiye mwisho ulio mwema
@TALLUBOY
@TALLUBOY 3 года назад
Hatal sana alla Msaidie uyu bibi na mjuu Wake Waishi vizl Saaaana Uko mbelen Aamen
@doramkolo1745
@doramkolo1745 3 года назад
I cant hold my tears😭😭😭😭 miaka tisa ni mtoto wa kucheza rede na kwenda shule...uwii huyu kawa hadi kama mtu mzima Mungu muonekanie binti huyu
@shifophilipomapunda4699
@shifophilipomapunda4699 3 года назад
Daaaa mungu akusaidie wewe mtoto kweli baba mwenye uchungu na mtoto unamwacha mtoto wewe unakula la kweli daaaa pole sana brother mungu akusaidie mwanangu mungu atakulipia
@fsaad5116
@fsaad5116 3 года назад
Maskini majukumu makubwa subhhannah Allah Allah protect this family. Na huyo baba hana hata haya mtoto mzuri kesho kuna hesabu kwa Allah. Wajiandae
@lamerckjesus5404
@lamerckjesus5404 3 года назад
kweli kaka
@stevenkikoti3651
@stevenkikoti3651 3 года назад
Daaaaah aisee huyu mtoto anajitahd Sana na mungu amtie nguvu Sana na ashukuliwe Sana shamsa kwa kumsaidia huyo bint🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏
@francisanania1765
@francisanania1765 3 года назад
Pole Sana.
@omarykasongo6211
@omarykasongo6211 3 года назад
Du! Nimeisikiliza hii Story hadi machozi yamenilenga ,hakka huyu Mtoto Jasiri Sana niimani yangu atakuja kuwa na maisha mazuri sana sk za usoni.Kila mwenye Subra yupo karibu na mwenyezi Mungu.
@emanuelsamkinda2893
@emanuelsamkinda2893 3 года назад
2:27 much respect kwa uyu dgo
@nathanielsteven2186
@nathanielsteven2186 3 года назад
Nakupongeza millard kwa kazi kubwa hii unayoitendea jamii zetu,unamulika jamii na kuionyesha kile unachokimulika ili Tanzania na dunia itambue mapito magumu wanayopitia ndugu zetu🙏Mungu ni mwema yuko na huyu mtoto pamoja nyumba yao#Atakuja kuwa kama anavyoona na zaidi ya hapo,Mungu amlinde.
@nicelyrutakyamilwa4388
@nicelyrutakyamilwa4388 3 года назад
Kasaidiwa na Da Frola wa nitetee...mungu amulinde Sana huyu dada
@bellaki4392
@bellaki4392 3 года назад
This was Dr. floras story..of nitetee...she was the first one to air this story...
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 3 года назад
So what??
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 3 года назад
How does it concern with us...fool!
@bellaki4392
@bellaki4392 3 года назад
@@abdulkheri7322 Your English is funny....You need some classes dude....
@bellaki4392
@bellaki4392 3 года назад
@@mrambadiana9678 So other reporters are gaining mileage on her effort...That's why...anything else you wanna know???
@mariammwamaso3984
@mariammwamaso3984 3 года назад
Mweeeeeeeeeh!!! Umenifanya nilie. Kama Baba alikua anamlinda Magufuli bas ana nafas kubwa awasaidie ikiwemo kumpeleka mtoto shule. Mtoto yuko vzr sn, pole mtoto mzr ipo ck yataisha tu Mung ni mwema. Nakupenda bure ww mtoto Mung akutunze 😘😘😘😘😘
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 3 года назад
ama kwel dunia ina meng sana mungu tunusuru na wape shufaaa hii familia....🙏🙏 SHAMSA 😢😢😢
@عباسعباس-ش9ه4ت
@عباسعباس-ش9ه4ت 3 года назад
Mashaalah mungu amuhifadhi uyu mtoto na ampe tahfifu bibi jamani😭
@mercymmbone4605
@mercymmbone4605 2 года назад
Mtoto.jasiri
@ignassindabaha1813
@ignassindabaha1813 3 года назад
Mbali na majukumu ya huyu mtoto anaconfidence ni genius,wafanye jinsi ya kumsaidia tu.
@felisterandrew8741
@felisterandrew8741 3 года назад
Mungu Amtunze Mtoto Awe na umri mrefu wenye Amani Amponye na Bibi Waishi na mjukuu wake kwa furaha😭😭
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 3 года назад
Dada Flora Mungu akujalie wepisi wa maisha 😘😘😘😘
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 года назад
Allah akulipe Mumy ,kwa kweli Allah akubariki na barka nyingi
@christinachriss9231
@christinachriss9231 3 года назад
Nimelia Sana Mungu ambariki Sana Flora nitetee na akuzidishie
@anithaapolinary6391
@anithaapolinary6391 3 года назад
Omg 😭😭😭😭😭😭😭. Im speechless to this little angel.
@lucypeter2315
@lucypeter2315 3 года назад
Allah akujalie
@lucypeter2315
@lucypeter2315 3 года назад
😭😭😭😭
@mimamambo9537
@mimamambo9537 2 года назад
Allah amjazie Kheri na nguvu Insha Allah 🙏 kwa ujasiri wake
@scolabahame2214
@scolabahame2214 3 года назад
Huyo mtoto analiza watu dah nimelia kwa uchungu Jamani dah pole Sana mtoto Jamani ukikosa mzazi hasahsa mama hauna samani tena nani kama mama Jamani 😭😭😭😭😭😭😭
@sarahorina2163
@sarahorina2163 3 года назад
She make me cry
@aminaadam9914
@aminaadam9914 3 года назад
Mungu amjaalie apate kusoma na bibi apone 🤲🏾
@vickyedward
@vickyedward 6 месяцев назад
Mungu akubariki dada umefanya kazi nzuri
@tatumluv6054
@tatumluv6054 3 года назад
Nataka niwe kama mamy Flora Mungu akubariki 😭😭😭
@rachelmbeyu4385
@rachelmbeyu4385 3 года назад
Amewatoa pabaya mtoto anashukuru nakutaka kua kama yeye
@kulthumabdalla9035
@kulthumabdalla9035 3 года назад
Hadi machozi yananitoka ya allah mzidishie imani mtoto huyo azid kukuw na moyo huo pia azidi kumtia nguvu amina yaa rabbal alamiin
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 3 года назад
Pole sana bibi na umepata mjukuu jasiri sana anaejielewa masha Allah
@maryberege3093
@maryberege3093 3 года назад
Mungu wa mbinguni msikie mwanao na maombi yake yakapate kibali mbele zako. Nimeumia haswa na inaumiza sana mungu tusaidie na vizazi vyetu.
@jameskileo955
@jameskileo955 3 года назад
Inauma sana jamaniii kwanini binaadamu tumekuwa wanyama hivi lkn
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 года назад
Subhannahllah pole sana mdogo wangu kwaunayopitia Allah akufanyie wepesi amuondolee bibi yako maradhi yanomsibu.
@kinghusseinabdallah8771
@kinghusseinabdallah8771 3 года назад
Subhannallah ,,, allah wape shufaa kwa kila hatua wapitayo🙏🙏🙏
@lunique08
@lunique08 3 года назад
Big thanks kwa DADA FLORA LAUO...ulipomtoa huyu binti na bibi yake,MUNGU akubariki sana @floranitetee
@marifaadolphine3571
@marifaadolphine3571 3 года назад
Mungu akubariki dada Flora na team yako nzima.
@mussamc641
@mussamc641 3 года назад
Da ! Baba wa mtt mungu anakuona . Ona yatakuaje maisha yake ya baada sipati picha .viuatu vyako vizito sana mtt ....baba chukua na lea mtt wako ..
@mohammedimshihiri4435
@mohammedimshihiri4435 3 года назад
There’s a reason why the Almighty is making us wait. It’s never to make it hard on us but to develop our character. Remember, patience doesn’t happen overnight. It needs to be nurtured. It takes time. So have a good attitude while you wait. He has promised great rewards and The Almighty will be with you ma young sister
@thompsonkeshanto2556
@thompsonkeshanto2556 3 года назад
Mungu wa mbinguni huwa anajuwa na unajibu kwa wakati sahihi....pole bibi,hongera daer shamsa na asante sana dada Flora Mungu akulipie na akutunze uzidi kusaidia....nawapenda
@irenemodesty
@irenemodesty 3 года назад
Omg😭😭😭😭I’m literally crying how they treat this babe I swear it not fair🥺🥺🥺
@happynapunigwa723
@happynapunigwa723 3 года назад
Amini baba tunakukumbuka wanyonge Anália matei Haya mungu wasimamie Mtoto huyu Asate mfaziri amsaidie tu mungu aendelee kuwapigania kwa. Lila njia. Mungu tuwangalie
@josephsijaona4510
@josephsijaona4510 3 года назад
Matatizo yanaongeza uwezo wa akili sana
@mariamrobart4198
@mariamrobart4198 2 года назад
😭😭😭
@stellakatega2033
@stellakatega2033 3 года назад
Inauma sana mtoto anaakili Mungu amtuze 😭😭😭 da frola Mungu akupe umri mrefu mumy
@jasminjuma6390
@jasminjuma6390 3 года назад
Subhana Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭. Pole mtoto mzuri
@jessiemia25
@jessiemia25 3 года назад
Nakupenda saana wewe mtoto unamoyo wapekeyako mungu akulinde ,nimelia Sana majukumu yako ni mazito kulingana na umriwako mungu atakubariki ckuzote z umri wako nakupenda mtoto mwema.
@rajah9328
@rajah9328 3 года назад
Insha'AllAH Mungu atakufungulia moyo w kheri atkupatia elimu zote kw uwezo wake ya dunia n akhera
@mwasitisefu7866
@mwasitisefu7866 Месяц назад
Daah nimeumia sanaa, mwanangu mungu akutete sanaaa jaman kunawatoto wanapitia magumu sanaa ktk familia zao.
@sapic121
@sapic121 3 года назад
God bless you little soul
@saidmasika8738
@saidmasika8738 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️ nakupenda mtoto wangu mm sina la kukwambia Allah atakupa hars
Далее
MWANAFUNZI MCHAWI |1|
9:03
Просмотров 5 млн