Тёмный

KIJANA MTANZANIA APEWA EKARI 65 ZANZIBAR ALIME VANILLA ,RAIS SAMIA NA MWINYI WATAJWA "KILO MILL 2" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 66   
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Kuna udi wa vanilla mzuri sana
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 Год назад
Kaka Millard, niaeza kupata contact za huyu jamaa maana nina tons kadhaa za Vanilla
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 Год назад
nikipata hizo contacts nitakuwa sehemu nzuri sanaa
@zahormohammed4476
@zahormohammed4476 Месяц назад
Huyu ndio Yule aloshitakiwa kuwatapeli wananchi wawili mbele ya mheshimiwa makonda
@omarkapula588
@omarkapula588 Месяц назад
Hawa waandishi wa habari wengine sasa unaposema mtamzania amepewa hizo heka zanzibar unamaanisha nini kuwa zanzibar sio tanzania ujinga ni mzigo
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 11 месяцев назад
Kaza but vanilla nzur sana ndo maana ghali 💐💐
@ussiussi3413
@ussiussi3413 Год назад
Hiyo ni pilot wise tu, bado kabisa kilimo cha vanilla, na hakujawa na uhamasishaji. Vanilla farming si kilimo cha mzaha kama kinavyofikiriwa, chukueni mfano wa Madagascar mjifunze.
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
Well done, mfano wa kuigwa
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
Sisi watanzania siwaelewi sababu ni mzawa basi comments za wengi humu ni kukatisha tamaa angekuwa mgeni sifa tele. Tuibadilike tutiane moyo. Nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe.
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Год назад
Kweli kabis
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Ahsante kwa kuona madhaifu tuliyonayo, yani ngozi nyeupe tu nawaona mungu mtu, Ina kera🇹🇿kwanza🙏.
@ahadisalum1989
@ahadisalum1989 Год назад
Dar bro we unajitam ya sana sana tunge lijua Hilo tungefika mbali 🤝🤝
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 3 месяца назад
Hakuna kukatisha tamaa ni fikra zako tu kwani wakawa wangapi wameekeza asilimia kubwa ni wazawa wageni ni kidogo
@ahadisalum1989
@ahadisalum1989 Год назад
🤝🤝
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Год назад
Nimejalibu kufuatilia soko la vanilla duniani hakuna hicho kitu, haya ndo mambo ya Babu wa loliondo na siasa tu. Wa Tanzania tulime vitu vyenye tija na sio ubabaishaji.
@alextercisio
@alextercisio Год назад
Mwenye kununua wa campuni hiyo ya vanilla ndiye amepeana zabuni ya kulima vanilla Sasa unasema hakuna soko na hiyo campuni ndio inanunua ?
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 Год назад
Kwamujibu Wahali Zadunia Au Kama Binadamu Hauwezi Kujua Kilakitu. Maranyingine Ile Hali Yakukaa Kimyaa Ndio Bora Naunaweza Kujifunza Kitu.
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K Год назад
Ur not correct I'm the one who receives several order vanilla from industries from overseas several asked vanilla for essence and several pest and power for export not for used in bakeries evej medical companies and price is start lower is 400,000 tsh pet kg upto 1mil depending on. Vanilla plant so is trueth in this vanilla plants
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K Год назад
Sometimes if ur not businessmen or even no idea of something stopping commenting fake politics will going go keep u in issues and Rip our president may be ur mistakes his the one welcoming this investors for vanilla manufacturing companies and said stopping bringing. Goods from overseas or foods from overseas minwhile is Tanzania processing this raw materials and going overseas and coming back we buying same essence fake vanilla minwhile is plant 🌿 which growing in tz so his the one welcoming investors and said we need manufacture industry not ensembles companies ,we need farmers to processing upto manufacturing to been plant in Tanzania and Tanzanian can learn and getting labour his the only president do all and our mother nation mama samiha she tried to reach and complete his tusk where he promised Tanzanian to work on it so please don't said wrongly ,support ur country dear don't monopolies public and Tanzanian
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 Год назад
Caption haiendani na ukweli, pesa za watu tusubirie mwisho wake, hizo media ni propaganda tu
@hmk..
@hmk.. Год назад
tunaomba revisit after 1 year . watanzania tuwe tuna follow up hii miradi after ku trend.
@samweljudica3233
@samweljudica3233 Год назад
Hivi vanila ndio nini kwanza? Maana mnanichanganya
@sarajames768
@sarajames768 Год назад
Hahahahah
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Kweli zafarani inauzwa ghali sana , limeni na hiyo
@yohanemellau3220
@yohanemellau3220 Год назад
Tupate ujuzi zaidi inaonekana kilimo kizuri Cha biashara
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Viongozi Wengine Sijui Vipi Mnaacha Kuwambia Wananchi Walime Vitu Vyenye Tija Kwao Mmevukia Vanila Zao Ambalo Alina Chakula Kwao Ebu Angalieni Faida Ya Chakula Kwanza Nasio Kuwajengea Tamaa Wananchi Wawe Malimbukeni Siku Za Mbere Walie Njaa
@raiderking4637
@raiderking4637 Год назад
Mambo madogo ayo
@mudarisuburhan7182
@mudarisuburhan7182 Год назад
Naitwa mudarisu nakuomba uone kazizangu you tube bonyeza hiyo M ya Blu kwenye acaunt yangu utazipata samahani kwa usumbufu
@mudarisuburhan7182
@mudarisuburhan7182 Год назад
Naitwa mudarisu nakuomba uone kazizangu you tube bonyeza hiyo M ya Blu kwenye acaunt yangu utazipata samahani kwa usumbufu
@salehaliy7198
@salehaliy7198 Год назад
Yule mzee wa mtambwe je mnamfikiriaje?
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Год назад
Bora upande nyanya utatengeneza kachumbari
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Год назад
😆😆😆😆😆😆😆
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Hongera kwake
@Ali-uh9wb
@Ali-uh9wb Год назад
Vp Mwana tz upo
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
@@Ali-uh9wb nipo, vipi na wewe?
@Ali-uh9wb
@Ali-uh9wb Год назад
Upo wapi
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
@@Ali-uh9wb Unguja
@Ali-uh9wb
@Ali-uh9wb Год назад
@@mwanatz5980 woooo kwetu hpo lkni mm niko nje ya Tz
@joviangeofrey6918
@joviangeofrey6918 Год назад
Nililima Zaid ya Miche 200 ikaanza kutoa matunda Kwa msimu wa pili. Ila Sasa ivi naumia kuona mtalaka wangu kazingoa zote. Nataman nilime upya coz f this video
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Год назад
Me sijaona vanilla zaid ya vichaka
@maryamaliy8509
@maryamaliy8509 Год назад
Hujui kit et
@raphaelrwakimwaga7995
@raphaelrwakimwaga7995 Год назад
😀😀😀😀
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Год назад
Nilikua simuelewi huyu jamaa lkn naaza kumuelewa hiv
@baumbachogero9410
@baumbachogero9410 Год назад
Polepole ataeleweka tu. Tusubiri siku ya kuvuna!
@abuukamugisha5994
@abuukamugisha5994 Год назад
Vanilla inalimwa kwa wingi huko bukoba inauzwa sio zaidi ya laki na nusu
@najmaulaya8819
@najmaulaya8819 Год назад
Saf
@raiderking4637
@raiderking4637 Год назад
Kiki hizo
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Год назад
Mimi Nina shamba heka1.mbegu z vanil zinauzw shiling ngap??
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Год назад
Jekibah ulipanda hilozao l vanil zinaotaa??
@tanzaniansangalala9623
@tanzaniansangalala9623 Год назад
Vipi mbegu Za vanila twazipata wapi?
@abuukamugisha5994
@abuukamugisha5994 Год назад
@@tanzaniansangalala9623 nenda bukoba zinalimwa kwa wingi
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Duh hii ingekuwa rahisi hivyo kila mtu amekuwa tajiri
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Na mimi nimetamani kujifunza je nafika je huko? Napenda Sana kilimo.
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 Год назад
Kilimo gan
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
@@jofreymsigwa85 wanacholima hapo shambani Ndicho nitakacho jifunza, Niki elewa vizuri na mimi nianze kilimo biashara🙏.
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 3 месяца назад
​@@aishaamwalimu2887uje Zanzibar
Далее
Kilimo bila udongo Zanzibar
3:45
Просмотров 702
Kilimo cha Vanilla Bagamoyo.
31:10
Просмотров 7 тыс.
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
Просмотров 30 тыс.