Тёмный

"UKIMUIBIA HUYU MZEE UNAZIKWA, MAZIWA YA NYOKA" KIKONGWE ZANZIBAR ASIMULIA MAKUBWA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 179 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 257   
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 года назад
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
@Awatee
@Awatee 2 года назад
Amiin yaraby
@Awatee
@Awatee 2 года назад
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
@vampire9464
@vampire9464 2 года назад
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
@shamzone388
@shamzone388 2 года назад
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
@amemasudi5735
@amemasudi5735 2 года назад
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
@fuadsaadbiladiboy1785
@fuadsaadbiladiboy1785 2 года назад
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
@angeljoseph922
@angeljoseph922 2 года назад
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
@ashajumbe9039
@ashajumbe9039 2 года назад
Mashallah huyu mzee namjuwa sana Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
@mudrickabdallah7251
@mudrickabdallah7251 2 года назад
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 года назад
Amin
@Sidik-d7e
@Sidik-d7e Год назад
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 года назад
Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@christercheru8328
@christercheru8328 2 года назад
Mtunze tu baba
@waktiahmad2503
@waktiahmad2503 2 года назад
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 2 года назад
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
@binbarwan7401
@binbarwan7401 2 года назад
Babuyako uyu mmefanana😀
@khayriyamussa682
@khayriyamussa682 2 года назад
😊😊Amiin
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
@binbarwan7401
@binbarwan7401 2 года назад
😂😂
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 2 года назад
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu. Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
@madhuru2554
@madhuru2554 2 года назад
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
Amiin yarrab
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
Amiin
@malikshafii8431
@malikshafii8431 2 года назад
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@madhuru2554
@madhuru2554 2 года назад
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri! Baadaye ndio umri Nafkiri umeelewa .
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 2 года назад
Amina
@hellertv1477
@hellertv1477 2 года назад
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda. Tujuane wapiga makachu hapa
@macharosandra9467
@macharosandra9467 2 года назад
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 года назад
Tena anazitafuta sana
@filmflm5389
@filmflm5389 2 года назад
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 года назад
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
@luganostewart8320
@luganostewart8320 2 года назад
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@najashjejeje6216
@najashjejeje6216 2 года назад
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 2 года назад
Yeah kabsa
@salimselemani4861
@salimselemani4861 2 года назад
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@luganostewart8320
@luganostewart8320 2 года назад
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@motasimali9053
@motasimali9053 2 года назад
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 года назад
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
@suleimansuleiman1127
@suleimansuleiman1127 2 года назад
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
@msquare283
@msquare283 2 года назад
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him Mariam sulaiman albrashdi here
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 года назад
una uhakika ?
@msquare283
@msquare283 2 года назад
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 года назад
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@msquare283
@msquare283 2 года назад
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 2 года назад
not jas in case of Islam but he's my real uncle
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 2 года назад
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
@abdulbora812
@abdulbora812 2 года назад
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
@faridaabdallah2213
@faridaabdallah2213 2 года назад
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
@christercheru8328
@christercheru8328 2 года назад
😁😁😁keep left
@adamsoud4862
@adamsoud4862 2 года назад
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
@actwazalendo1131
@actwazalendo1131 2 года назад
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
@fuadsaadbiladiboy1785
@fuadsaadbiladiboy1785 2 года назад
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 года назад
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
@jacintaitumo5571
@jacintaitumo5571 2 года назад
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 года назад
A nakaa mji mkongwe
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 года назад
bongo zozo naye ananunua
@giddyyunky7025
@giddyyunky7025 2 года назад
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
@abdullaabubakar7165
@abdullaabubakar7165 Год назад
Nicee
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 6 месяцев назад
Huyu mzee namjua sana
@aminahussein1224
@aminahussein1224 2 года назад
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
@godfreykweka640
@godfreykweka640 Год назад
www vbs
@godfreykweka640
@godfreykweka640 Год назад
tb
@RumaitharSalum
@RumaitharSalum 5 месяцев назад
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 года назад
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 2 года назад
Ameen
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
Amiin yarrab
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
@nguvuyafikramedia1202
@nguvuyafikramedia1202 2 года назад
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
@jafarinahonyo7349
@jafarinahonyo7349 2 года назад
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
@shikaocharles8991
@shikaocharles8991 2 года назад
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 2 года назад
🤣🤣
@aishatarimo6780
@aishatarimo6780 2 года назад
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
@vampire9464
@vampire9464 2 года назад
Kweli kabisa
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 2 года назад
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 2 года назад
Much love mzee wngu
@alialibablly7010
@alialibablly7010 2 года назад
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 года назад
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
@goalnews7394
@goalnews7394 2 года назад
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
@jacksonamos2008
@jacksonamos2008 2 года назад
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
@salmabrown1250
@salmabrown1250 2 года назад
anapatikana wapi?
@edgarnandonde48
@edgarnandonde48 2 года назад
tusharudi mwanakwerekwe tuwekee tena 😅😅😅😅😅😅😅😅duuh aisee mutu nyeusi noma sana
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 2 года назад
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
@haniiniramzan9989
@haniiniramzan9989 2 года назад
Mashallh Babu
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 года назад
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
@fadhroshlove1511
@fadhroshlove1511 2 года назад
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
@maisarasid8670
@maisarasid8670 2 года назад
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
@dorahwillson1807
@dorahwillson1807 2 года назад
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
Amiin
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 года назад
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 года назад
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 года назад
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 года назад
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
@maisarasid8670
@maisarasid8670 2 года назад
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
@aminaamina3972
@aminaamina3972 2 года назад
Amin inshallah
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 года назад
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
@sitimakame1490
@sitimakame1490 2 года назад
😂😂😂
@geofreyshaurimoyo5918
@geofreyshaurimoyo5918 2 года назад
🤣🤣🤣
@africanafrican9461
@africanafrican9461 2 года назад
😂😂😂😂😂
@hamisimtamike9583
@hamisimtamike9583 2 года назад
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Hahahahaha
@marygregory7566
@marygregory7566 2 года назад
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
@nooroman2535
@nooroman2535 2 года назад
Inshaallah
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 Год назад
Nimempenda sana babu 😍😍❤
@ahmedsalumomar5002
@ahmedsalumomar5002 2 года назад
My best friend
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Awesome 👌🏽💜
@perismwangi1921
@perismwangi1921 2 года назад
Usha fahamu
@Specialonejr
@Specialonejr 2 года назад
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
@rahelnchagwa7959
@rahelnchagwa7959 2 года назад
Jaman wasimuibie jaman
@aliaboud9202
@aliaboud9202 2 года назад
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
@zenadadi1768
@zenadadi1768 2 года назад
Naomba namba za uyo babu
@aminaothman2136
@aminaothman2136 2 года назад
Babu kachangamka mashallah
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 года назад
mashallah sio vijana wa siku hizi
@idarousphotography6727
@idarousphotography6727 2 года назад
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@saidabdala4980
@saidabdala4980 2 года назад
@@samiaalriyami3488 Samiya uko wapi
@tingbatuuka7278
@tingbatuuka7278 2 года назад
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
@chidyboytz48
@chidyboytz48 2 года назад
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆‍♂️😂😂😂😂😂😂
@الرعدالصغير-ت1ش
@الرعدالصغير-ت1ش 2 года назад
Nilimuonaga💓💓💓
@Crazy.Rapper
@Crazy.Rapper 2 года назад
🔥🙏🙏🙏 Nime jifunza kiti kutoka kwa babu..
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 года назад
Mashallah Allah
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 года назад
Home sweet home kiponda zanzibar
@lumumbasankara6388
@lumumbasankara6388 2 года назад
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
@zenadadi1768
@zenadadi1768 2 года назад
My Nina shida namba zake nitazipataj
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
nitakupatia subir
@saidsalim2561
@saidsalim2561 2 года назад
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
@hassankisuke5356
@hassankisuke5356 2 года назад
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 года назад
Nikajua haoni kumbe anaona!
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Месяц назад
Kweli hufungilawa ktk kitovu kurudisha
@dioufgaxa5779
@dioufgaxa5779 2 года назад
Noma
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 2 года назад
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
@DjohnSkills
@DjohnSkills 2 года назад
@bongozozo aje kununua Pesa apa
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 года назад
Hiyo ndio maana halisi ya MKWARA 😆😆
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 года назад
Huyu mzee White Sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Mwarabu huyo
@upendomassawe7477
@upendomassawe7477 2 года назад
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
@aliyulukiza8857
@aliyulukiza8857 2 года назад
Huyu mzee yuko makini sana
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 2 года назад
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
@herculesthepower1544
@herculesthepower1544 2 года назад
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
@ibrahimkhaleel2804
@ibrahimkhaleel2804 2 года назад
Hongera kupata Baraka ya mzee
@ahmadzubeir2605
@ahmadzubeir2605 2 года назад
Wallahi watu wabayaa.wabayaa..maana nimecheka kidogo. Yaani bada ya kuandika tu siku ya pili mzee kapigwaa?? Dahhhh!Dahhhh!
@Awatee
@Awatee 2 года назад
Subhana ALLAH mtihan eti tusharudi 🤭wala siakucheka
@sakinat2527
@sakinat2527 2 года назад
😀😀😀
@Awatee
@Awatee 2 года назад
@@sakinat2527 Hatari lkn salama
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 2 года назад
@@Awatee 😃😃😃😄KWELI SI YAKUCHEKA
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 года назад
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
@johnsadik5060
@johnsadik5060 2 года назад
wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena
@ayoubharoub5807
@ayoubharoub5807 2 года назад
Tusharudii wahuni sio w2 poa
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Месяц назад
Mie ninaxo NOTE ZA KUMI NA ZA TANO ZA K8ZAMANI KWA ANAYEMYEZITAKA KUNUNUA.
@juliankamugisha9886
@juliankamugisha9886 2 года назад
Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 года назад
😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
hahahha
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 5 месяцев назад
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
@pinkladylady707
@pinkladylady707 5 месяцев назад
Innalillahi wa inna ilayhi raijun amjalie kauli thabit 🥺
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 года назад
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
@الرعدالصغير-ت1ش
@الرعدالصغير-ت1ش 2 года назад
Daah
@samiaalriyami3488
@samiaalriyami3488 2 года назад
Millard ayo@ muunganishe na Mama samia ombi lake
@saidabdala4980
@saidabdala4980 2 года назад
Nataka namba za milad ayo
@raiye5621
@raiye5621 2 года назад
Huyu babu kafumba macho ndio mna anaibiwa maskin wee 😃 😀 😄
@sakinat2527
@sakinat2527 2 года назад
😀😀
@faaabuboy1900
@faaabuboy1900 2 года назад
Muangaz unampa shida
Далее
Mfuga Komba wa Unguja
2:32
Просмотров 20 тыс.
aespa 에스파 'Whiplash' MV
03:11
Просмотров 22 млн
WATANI WA JADI | Tatizo Tarehe
5:47
Просмотров 475 тыс.
KWANINI BEI YA SAMAKI ZANZIBAR NI GHALI............?
10:33
DUNIA INA FISADI - ZANZIBAR OLD TAARAB
11:52
Просмотров 93 тыс.