Hii inchi kila kiongozi anatoa amri awe mdogo awe mkubwa yaani ni maajabu kama kiongozi wa chama anaamulisha police huku tunaambiwa asikari tunaambiwa asikari.hana chama🎉s i maajabu
Mimi ningepemda kuiona Tanzania nzima mijijini na vijijini kila Barabara imejengwa kwa kiwango Cha Rami..Ningependa kuiona Tanzania yenye Nyumba zilizo jengwa kwa kufuata musitari na zimepangika.Nchi yenye maeneo ya makazi ,maeneo ya wafugaji na wavuvi.Mimi Ningependa kuona ziwa Victoria linalidwa na Mamlaka husika kama zilivyo ,TANAPA,SENAPA na KINAPA.Katika miaka 25 ijayo Ningependa kuziona shule za msingi Tanzania zinafundisha Masomo manne tu Kusoma,Kuandika,Kuhesabu na Lugha yoyote ya Taifa au ya Kimataifa.
Hao ndio polisi wa Tanzania ni kama chama cha siasa waonevu sana polisi wa kilwarod wameua mtotowangu kwa lisasi tulikuta ameshakifa. Tulipohoji wanatutisha na kutupiga wanyonge sisi tulichukua maiti tukazika ninauchungu sana wahuni ni wengi polisi waungwana wa hache yatima hawa nani atawalea naumia sana
Pole sana lkn njia ya kumaliza maumivu hayo ni mbili tu. Moja kuomba kwa mungu kwa iman na kufunga na kumlilia mungu awaue wote waliohuska.2 nikutafta dawa za kuroga wote waliohuska, km nikweli huku kwetu tunaita kuwasumba wote wanakufa
Viongozi wetu wanatakiwa wajitasimini kwa kina sana hii nchi ya leo , sio ile ya 60 . Jeshi la polisi waache kukopi kwenye jeshi lakikoloni hilo lilikuwepo kwa ajili ya kuwaogopesha raiya enzi hizo sio leo . Polisi acheni kukopi jeshi la polisi la kikoloni fanyeni kazi na tazameni nyakati iliyopo . Tofauti na hivyo ipo siku nyie polisi hamtailinda hii nchi itawashida .
Kwan wakisusa kuna shida gan? Kwanza serikali yenyewe ina waandishi wa habari! Yaan viherehere kama ninyi ndyo mlisababisha mauaji ya kimbari huko Rwanda waandishi feki ndyo waliochochea habari za mauaji ya wenyewe kwa wenyewe! Hiv bongo kuna waandishi wa habar au makanjanja? Unajiita mzalendo ww kwenda huko
Huyu naye jamani. Hajaona waandishi wa habari wakiuwawa uwanja wa vita? Anafanyaje utafiti? Si Vema polisi kufanya hivo. But, si vema kusema uongo. Hata majuzi tu Palestine waliuwawa wakiwa na badges na jackets za utangazaji.