Тёмный

KIJANA TAJIRI ALIE MKATAA MTOTO KILICHO MKUTA KINASIKITISHA 💞 Love Story | DONTA TV 

Donta Plus
Подписаться 67 тыс.
Просмотров 123 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

10 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 163   
@khajumkhamis7910
@khajumkhamis7910 Месяц назад
Yaani sisi sijui tutaelimika lini , coz mtu baada ya kuangalia maudhui ya mchezo na kuangalia nini kujifunza, Bali ati anaomba like kisa yeye ni wa kwanza au ni wa pili, Ivi tujifunzeni jamani
@HappyDaudi-ub4hw
@HappyDaudi-ub4hw Месяц назад
Ni kweli tunaangalia hizi move Ili tujifunze na sio kuombana like 😂
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz Месяц назад
Hichi kitu kinanikwaza hata mimi
@OmegaNelson-ho1no
@OmegaNelson-ho1no Месяц назад
Wasiojielewa awa sijui hzo likes znausiana vp na mafunzo ya movie
@arafasalim679
@arafasalim679 18 дней назад
Hawajielewi
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Месяц назад
Nelly❤❤❤❤ Kitu Kizuri huja Wakati Ambao si Sahihi kwako kama Kweli vilee Nanukuu Maneno yako Nelly Acha niyahifadhii na ule Muda unao usubir upate chaguo huto kaa uupate kama nakuelewa vilee❤❤❤ kwahio wamanisha wakat ww upo tyr mwenzio hayup tyr baadae mnajikuta mnapishna Ndio mana ya Maneno Yako Allah Akuhifadhi Daimaa ❤️ nimeipenda snaa hio
@ENOCKTVSHOPSHOP
@ENOCKTVSHOPSHOP Месяц назад
Nahi penda donta TV kamanawewe unaipenda gonga like
@MonikaSaimoni
@MonikaSaimoni Месяц назад
❤❤❤❤
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h Месяц назад
❤❤❤❤❤
@msingamoshi
@msingamoshi 16 дней назад
​@@MonikaSaimoni😊😊😊😊😊
@user-ti1ol3ti9j
@user-ti1ol3ti9j Месяц назад
Vicky uko fresh sana nakupenda ❤❤❤❤
@VanisyJonathan
@VanisyJonathan 8 дней назад
❤❤❤ ndugu inabid mshauriane kama hivyo jamn kuna neno kwenye bible linasema "upendo wa ndugu na udumu" so nimependa mdogo mtu alivyo mshauri dada yake ❤❤❤❤ saaaana
@user-ei3sh3uo5k
@user-ei3sh3uo5k Месяц назад
Yani wah nawakubali tu sana
@user-pr8um8yo5n
@user-pr8um8yo5n Месяц назад
Ila hako kamtindo ka kuweka nywele mbele 😂😂😂😂ayaaaa
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 Месяц назад
Viki ndiyo maana nakupendagaa daimaa unajuwaa mpaka unajuwa tenaa love pia ilove you so much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ShukuruElizabeth
@ShukuruElizabeth Месяц назад
Nelly sikuizi unanifuraisha sana piya kama unampenda gonga likes tano apa🎉🎉
@user-xe4hc2ey6i
@user-xe4hc2ey6i Месяц назад
Kazi nzuri sana pokeeni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mahirmahir2407
@mahirmahir2407 Месяц назад
Safi sana vicki kwa msimamo wako ndio mana nakupenda mno afu sasa kidume kilolea mimba mkwala km wote 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ wp nyuki nipen like
@rubelinameena
@rubelinameena Месяц назад
Ndikelye imbwa indavilapasi ye nyisi
@HosianaJohaness
@HosianaJohaness Месяц назад
Wa mwisho Jmn naombeni like 🎉
@mhdmhng6817
@mhdmhng6817 Месяц назад
Wewe nyuki mmpuwuzi sana
@rukiahassan7001
@rukiahassan7001 Месяц назад
Fumzo zuri kwa wanao kataa mimba.angefata ushauri wako wakipumbavu wakutoa mimba ungemfata saa ngapi huyo mtoto wako.kwa nini usifate marehmu huko kaburini.
@ruthgloriaobonyo
@ruthgloriaobonyo Месяц назад
Funzo kwa wengi❤❤❤ Nyuki vuna ulichopanda😢
@TraifonGaspar
@TraifonGaspar Месяц назад
Ni kweli jmn hata mm naipenda maana inatuburudisha sana sana
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 21 день назад
Ni fundisho siyo burudani
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz Месяц назад
Hii isikie tu kwa mtu maumivu aliyonayo vick yanawapata wanawake wengi sana huwapata lkn Mungu ni wa ajabu sana anakila njia ya kufanya mama na mtoto wakaishi
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Месяц назад
Wanaume wakikupa Mimba bila wao kutaka Ndio wapo hivo
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz Месяц назад
@@jamilashabani8580 alivokua anapanda alijua havitaota
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz Месяц назад
@@jamilashabani8580 alivokua anapanda alijua haviataota
@NasraNgoda
@NasraNgoda Месяц назад
Wee nyuki mjinga sana unamkataa mtoto kweri❤❤❤
@florencekanze
@florencekanze Месяц назад
Hii roho yanyuki tuombesana isipate wapenzi wetu mana nihatari sana
@ashamwanganzi6400
@ashamwanganzi6400 Месяц назад
Daaah pole san vick ndo maisha ya cku hiz hayo😢😢😢😢😢
@Ngoybanza15
@Ngoybanza15 Месяц назад
Wa kwanza marecani mimi na Donta tv si lali
@user-zy1dw6ko7u
@user-zy1dw6ko7u Месяц назад
Nikekumbuka mbal sana😊
@JavanTresiah
@JavanTresiah Месяц назад
Wangapi wame comments bila kumaliza move hebu acheni like mukipita 😂😂😂😂😂😂😂
@user-rq3yd8fx6r
@user-rq3yd8fx6r Месяц назад
Hahaha 😂😂😂 hiii tabia yang kbx Huwa naangalia comment kwanza nikiona watu wameisifia ndy naiangalia😅
@JavanTresiah
@JavanTresiah Месяц назад
@@user-rq3yd8fx6r hahaha 😂😂😂😂😂 tuko wengi kumbe
@doreenkerubo7056
@doreenkerubo7056 Месяц назад
Da vick ambia mtoto babake alienda Nairobi matembezi kw bahati mbaya akaenda n mafuriko😂😂😂
@florencekanze
@florencekanze Месяц назад
😂😂😂kumekucha Sasa mwenye kukosa baba akamtafute Nairobi🏃🏃🏃
@doreenkerubo7056
@doreenkerubo7056 Месяц назад
@@florencekanze 😂😂😂😂nakwambia
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 Месяц назад
​@@florencekanze🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-xo7ns7bc8c
@user-xo7ns7bc8c Месяц назад
😂😂😂😂
@HappyDaudi-ub4hw
@HappyDaudi-ub4hw Месяц назад
😂😂😂 ila nyuki ndo kicheko gani hicho Jamani 😂😂😂 all in all nawapenda sana ❤️❤️❤️
@user-qv4kw4bq1s
@user-qv4kw4bq1s Месяц назад
Huyu jamaa nely Kila move kaziyake kutoa ushauri tu yey anashauliwa na nan😂😂😂😂
@AsmaAsma-og6ul
@AsmaAsma-og6ul Месяц назад
Vick umeupiga mwingi san ongel Kwa misimamo pia nelly na lovenes ongelen Kwa maneno Mazur mnampa frah san vick
@user-pv5cc1uz1f
@user-pv5cc1uz1f 11 дней назад
Nyuki mtoto ni baraka kutoka kwa mungu acha vicky aleee mtoto
@user-cr6qo6du6s
@user-cr6qo6du6s Месяц назад
Mbona unakufuru we nyuki pengine hata hwefika kuachizwa🎉🎉
@user-gf7he2lv9e
@user-gf7he2lv9e Месяц назад
Like zangu jamani
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Месяц назад
Da Vick vumilia ww si wakulia lia❤ nyuki una vituko et Vick kamitegeshea Mimba
@MajuvaMajuva
@MajuvaMajuva Месяц назад
Safi sanaaaaaa imenifurahisha ndomjifunze wanaume mliyekuwa natabia kama hizi
@DeborahFuraha-ho4yk
@DeborahFuraha-ho4yk Месяц назад
Yewe wikurula kimugabo cyane koko akauraginza pe dina koko buizagarukirahehe amaherezoyawe nayeric nayahe shance napatrick namue muduhe inyushyu birarenze
@YvonneWanyonyi-gh4pw
@YvonneWanyonyi-gh4pw Месяц назад
Much love donta TV❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-tj5zs5dj3y
@user-tj5zs5dj3y Месяц назад
Hi move wameniigizia me au mbona maisha yng yn jitu Lina miaka 35 huko linasema bado linatafuta linataka kuitwa baba au Babu ila wanaume kuingia Mbinguni kazi xn
@user-kp8sv4hw3e
@user-kp8sv4hw3e Месяц назад
Nakupenda vik yani ww mu dada unawogeya pweti
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Месяц назад
Anawogeya pweti
@mariaphilipo
@mariaphilipo Месяц назад
@@sikudhanimohammad7692 😂😂😂
@mariaphilipo
@mariaphilipo Месяц назад
@@sikudhanimohammad7692 😂😂😂
@user-wm8ng4ob9z
@user-wm8ng4ob9z Месяц назад
Wow ❤❤❤❤
@AsmaAsma-og6ul
@AsmaAsma-og6ul Месяц назад
Jaman mi Nelly Vick love wananifraish san km mna no zao nipeni
@nurumwinyi796
@nurumwinyi796 24 дня назад
Kwa hii move namuona loveness amefubaa au ni macho yangu
@veronicaoman8764
@veronicaoman8764 25 дней назад
Ni nzuri inaujumbe
@user-pw2vm4it7w
@user-pw2vm4it7w Месяц назад
Good job
@RehemaElendela
@RehemaElendela Месяц назад
Nawapenda sana
@amaninarwahi
@amaninarwahi Месяц назад
N'a mimi natama i kuwaona nyinyi wote wana donta tv
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Месяц назад
Nely yupo vizuri kwa ushauri nyuki kimemlamba😂
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Месяц назад
Vick kapata mme mwema mashaallah❤
@JanetRiziki-ut2is
@JanetRiziki-ut2is Месяц назад
Vicki nakupenda sana kwa msimamo wako ❤❤❤❤❤
@DismasFaustine
@DismasFaustine Месяц назад
mimi ni wa 8
@user-zn4lo1gt2j
@user-zn4lo1gt2j Месяц назад
Aisee inauma san pole sana vick
@MaryMwamkamkamba
@MaryMwamkamkamba Месяц назад
Munaomkubali hii movie mwaga makopa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Месяц назад
vick nakupenda dear hakuna kutoa mimba hapo lea mimba dear asikubabaishe huyo badae mtt atakuw rais atakusaidia kweli inauma
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Месяц назад
yaani vick kama nakuona hapo mjamzito umempenda mme kweli kweli hapo watamani uwe nae karbu wampigia sim anakukatia dah roho inauma jamani sikia tu😢
@justerissaya9165
@justerissaya9165 Месяц назад
Duh jamn alitakiwa kushukur sana mana alipewa nafac ya kumfanya mwanae amtambue kama baba
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 Месяц назад
😂🤣😂🤣 we nyuki
@AsmaAsma-og6ul
@AsmaAsma-og6ul Месяц назад
We nyuki bhan unatuchangany we ingekuw utaki kuchomwa na miba Si ungevaa viat ili usichomwe na miba jman
@user-fq6yh2ej4v
@user-fq6yh2ej4v Месяц назад
Hilo ni funzo kwa wanaume wengine
@MuhacheJane
@MuhacheJane Месяц назад
Wa kwanza Leo kutok kenya
@JenniferBaya-zu5cr
@JenniferBaya-zu5cr Месяц назад
Ah. Mungu. Tudaidie. Sisi. Wanawake
@joycemuenimutua4506
@joycemuenimutua4506 Месяц назад
😂😂😂😂Nyuki kimekuramba baba❤❤🎉🎉🎉🎉😅😅🇰🇪
@AsmaAsma-og6ul
@AsmaAsma-og6ul Месяц назад
Jaman mi naomb kuuliz kumbe mimb inaingia Kwa kutoa taarif ? Maan Vick mimb yke Aina taarif
@JescaMakatu
@JescaMakatu Месяц назад
Pole mdg wangu kila jambo Lina wakiti wake welea mimba yako
@DeborahFuraha-ho4yk
@DeborahFuraha-ho4yk Месяц назад
Kabisa wanaumue wamezoweya kufanya hovvo haki kure rana wanawake nakusema kuwasema mubaaa
@user-co8tl4yz6c
@user-co8tl4yz6c Месяц назад
Donta jmn sipendi vicky apate changamoto yyte pls
@BertaAtanasio
@BertaAtanasio Месяц назад
Yaan ww nyuki akili huna unakataa mtt kisa hutaki kuitwa baba wakati una hitaji hupati utakuj kujuta mpuuzi kweli
@user-xo7ns7bc8c
@user-xo7ns7bc8c Месяц назад
Nyuki majuto ni mjukuu ulimuapia Vicky asikutafute saa hii unamtafuta ww
@Byaunda-zi7ue
@Byaunda-zi7ue Месяц назад
Good night love you too
@sophianyamvula7080
@sophianyamvula7080 Месяц назад
❤❤❤❤kazi nzur
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Safi sana
@user-rj4cd7oc4x
@user-rj4cd7oc4x Месяц назад
Nyuki umechekaje hapo😂😂😂
@MarcoJohn-hv1jw
@MarcoJohn-hv1jw Месяц назад
Saf San da Vicki msimamo wako mzur san
@user-pb6lv2kq1g
@user-pb6lv2kq1g 15 дней назад
Kweli baadh ya wanaume hukumbka shuka kumekucha
@Inea-ig4on
@Inea-ig4on Месяц назад
Vik bhana na begi kwa kitanda
@AsmaAsma-og6ul
@AsmaAsma-og6ul Месяц назад
ILO nifundisho Kwa wanaume wot
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Месяц назад
Hapo kwenye mke wa mtu kuongea na mwanaume mwingine haijakaa sawa. Kwann alivyokuja tu asimuite mumewe? Ni ushauri tu
@AsmaAsma-og6ul
@AsmaAsma-og6ul Месяц назад
Yan mijanaume mikatil tz ndo imejaa
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h Месяц назад
Saf san nawakubal san 🎉🎉🎉🎉🎉
@user-eb4vj3xy6y
@user-eb4vj3xy6y Месяц назад
Nice
@bas2823
@bas2823 28 дней назад
UBSOLUTLY WRIGHTS👌"!
@cartoonpati2914
@cartoonpati2914 Месяц назад
Vicky napenda msimamo wako
@jamesmaro7665
@jamesmaro7665 Месяц назад
Wa kumi meme😂😂
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k Месяц назад
Nmewahi jamani
@AliMohamed-bp5ji
@AliMohamed-bp5ji Месяц назад
Yaawa, chakufanya wewenyuki tafuta mke araka, uoe iliupate mwanyo, nawewe uitwe dadiiii natakapipiiiioo.
@DeborahFuraha-ho4yk
@DeborahFuraha-ho4yk Месяц назад
Nyuki wende uisema viki hagusitahili
@AliMohamed-bp5ji
@AliMohamed-bp5ji Месяц назад
Na nyinyi dadazetu, mnafanyaharaka, kufanyamahusianon, kwa ajiliyatamaa bilakumchunguzakwanza.
@appsplay4324
@appsplay4324 Месяц назад
❤❤❤❤
@user-nz7kl1to2y
@user-nz7kl1to2y Месяц назад
Nyuki wewe😢😢
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 13 дней назад
Ila wanaume bhana
@user-qh2ij3kj8s
@user-qh2ij3kj8s Месяц назад
Nyuki kicheko hcho jmn 😂😂😂
@MesahMwachepha
@MesahMwachepha Месяц назад
Viki umecheza km wewe yn kazana apo apo usitoke
@GraceMbungu-hn7oi
@GraceMbungu-hn7oi 22 дня назад
Mwambie mtoto baba yake amekufa na fonga,,machimbo
@NdukuMwambua
@NdukuMwambua Месяц назад
Akika vipaji aliwapa Mola
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 Месяц назад
Tajiri gani anae ishi chumba kimoja
@user-mr4kq1vl8u
@user-mr4kq1vl8u 17 дней назад
❤❤❤
@shakilasharifa9
@shakilasharifa9 Месяц назад
Nyuki 😅😅😅😅
@annamnyazi8206
@annamnyazi8206 Месяц назад
❤❤❤❤❤
@mulumbademulu7028
@mulumbademulu7028 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 Месяц назад
Loveness ni kabila gani ?
@user-oz1bb8gc1c
@user-oz1bb8gc1c Месяц назад
Nyuki ww uko kama wale wanaume wajinga walokataa viumbe vyao, sija kutusi Bali kwauigizaji ulivyo ibiza movie hii,Pole lkn
@IbuniKilapaya
@IbuniKilapaya Месяц назад
Hiyo saf kabsa
@MarimGodifrey
@MarimGodifrey Месяц назад
❤❤❤❤❤❤
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
Wakwanza mimi jamani nipewe mauwa yangu 🎉🎉🎉🎉
@numpefikimwaipopo
@numpefikimwaipopo Месяц назад
Upewe maua Kwa lipi mnatusumbua mnavoomba like wakati hamjafanya kitu wewe ndo utoe like Kwa wahusika au comment au shukrani
@clariszawadi2010
@clariszawadi2010 Месяц назад
Nyuki nini mbaya na wewe
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/ #love
30:06
Просмотров 24 тыс.
SHEMEJI ANATAKA TENA 💞 Love Story | DONTA
31:50
Просмотров 258 тыс.
HOUSE GIRL  EP 37 || love story💞💕
21:32
Просмотров 55 тыс.
TALAKA FULL MOVIE ( TARAKA)
42:50
Просмотров 2,1 тыс.
CHOZI LANGU 💞 Sad story | DONTA TV
30:04
Просмотров 592 тыс.
KIFO CHA MAPENZI FULL MOVIE | love Story 💕   |  NYUKI TV
1:23:35
MCHAWI WA KIJIJ CHA LUAGALA
36:38
Просмотров 193 тыс.
PENZI LA MSUKUMA 💞 Love Story | DONTA TV
26:42
Просмотров 182 тыс.