Yaani sisi sijui tutaelimika lini , coz mtu baada ya kuangalia maudhui ya mchezo na kuangalia nini kujifunza, Bali ati anaomba like kisa yeye ni wa kwanza au ni wa pili, Ivi tujifunzeni jamani
Nelly❤❤❤❤ Kitu Kizuri huja Wakati Ambao si Sahihi kwako kama Kweli vilee Nanukuu Maneno yako Nelly Acha niyahifadhii na ule Muda unao usubir upate chaguo huto kaa uupate kama nakuelewa vilee❤❤❤ kwahio wamanisha wakat ww upo tyr mwenzio hayup tyr baadae mnajikuta mnapishna Ndio mana ya Maneno Yako Allah Akuhifadhi Daimaa ❤️ nimeipenda snaa hio
❤❤❤ ndugu inabid mshauriane kama hivyo jamn kuna neno kwenye bible linasema "upendo wa ndugu na udumu" so nimependa mdogo mtu alivyo mshauri dada yake ❤❤❤❤ saaaana
Fumzo zuri kwa wanao kataa mimba.angefata ushauri wako wakipumbavu wakutoa mimba ungemfata saa ngapi huyo mtoto wako.kwa nini usifate marehmu huko kaburini.
Hii isikie tu kwa mtu maumivu aliyonayo vick yanawapata wanawake wengi sana huwapata lkn Mungu ni wa ajabu sana anakila njia ya kufanya mama na mtoto wakaishi
Yewe wikurula kimugabo cyane koko akauraginza pe dina koko buizagarukirahehe amaherezoyawe nayeric nayahe shance napatrick namue muduhe inyushyu birarenze
Hi move wameniigizia me au mbona maisha yng yn jitu Lina miaka 35 huko linasema bado linatafuta linataka kuitwa baba au Babu ila wanaume kuingia Mbinguni kazi xn