Fahamu kwa undani chanzo cha kuvunjika kwa kundi maarufu la muziki la nchini Nigeria, P-Square linaloundwa na mapacha wawili, Peter 'Mr P' Okoye na Paul 'Rudeboy' Okoye
Shukrani sana sky na vijana wako kwa kazi nzur mnayo ifanya M.MUNGU awabarik mzidi kuimarika zaid..shukran za upendeleo broo sky MUNGU Azid kukusimamia kwa kaz unayo ifanya
Katika vitu ambavyo huwa najivunia katika Tasnia hii ya habari ni wewe brother #SKY na nimekuwa nikifatilia hatua zako Sana na nataman nije kuwa wa aina yako the way unavyo relax Sana katika kutangaza ama kutolea ufafanuzi habari fulani.... Naimani unapata sifa stahiki kipindi hiki uko Hai kaka naweza nikasema, wewe ni Presenter pekee Tanzania unapewa sifa zako nzuri kipindi hiki uko Hai.... Hongera Sana ila Ombi langu Moja tu jaribuni kufanya kutualika basi mashabiki wenu, Wana #SNS wa kindaki ndaki angalau tuje Studio walau tupate picha ya pamoja nimekuwa nikiomba Sana Sana hilo lakin no respond, although naelewa hiyo ni Kazi pia ni biashara lkn pia ni Ombi tu!.. Yote Kwa yote Idumu milele #SNS #ONELOVE
Diamond anaheshimika sana aisee. Yani wameungana kufanya ngoma kwa kumuheshimu tu. Diamond is a legend guys, huyu mdau tumthamini sana na kumjali kabla hajafa
Thank U brother sky for Ur information watching from CD and soon I will be there in TZ, I wish to see you. Kweli kwa TZ kama sija pata habari fro SnS or Millard Ayo uwa siamini coz all social media is just umbeya tuu, God bless SnS and all presenter. #SnS for life
Mi siwajui kwa majina Ila mwenye Rasta anajua Sana sana. Amefanya hit kibao as solo artist. Uyu mwengn anaimba rnb Sana na kucheza zaidi.. all in all wana vipaji
Kweli kabisa pesa inavunja undgu pesa inaharibu kila kilicho chema na kuonekana hakifai tena pesa ni kitu hatar sna inatengeneza na kuharibu pia. Yote kwa yote kabla hujafata matamanio ya nafsi yako lazma ukumbuke uhai ni dhamana inayoondoka muda wowte. Pia kwa liliomy tujifunze kuto kumdharau mtu hujui kesho kipi kitatokea japo hakuonyesha moja kwa moja kuto kumdharau simba lakin uandishi wake tu jinsi alivokua akimwita ilitosha kujua alimchkuliaje
Kwa kweli nawaombea warudi pamoja. Maana mapacha ni nafsi moja hawa. Mungu awarudishe pamoja. Kaka yao sio mtu mzur waridiane tu. Please please I love you my sons be together.
Katika vitu ambavyo huwa vinaniumiza saana nafsi kwa Hawa mapacha wangu nihiki chakutengana kwao wanapendeza Sana wakiwa pamoja namuomba Sana mungu awarudishe pamoja Tena Kama mwanzo.
Peter aliwahi kuandika alikutana na lola marayakwanza anakuja ku booking show ndio walijuwana hapo it means huyo mwanamke ndie virus mpaka kundi kuvunjika
Siku zote nyoka ni mwanamke hawa jamaa walikuwa ndugu wenye upendo ila walivyo oa tuu ndio waka anza kuzinguana shkamoooo wanawake na midomo yenu mirefu 🤣😂wake ndo huwa wana leta mtafaruku kwa ndugu
Ata shemegi pia huwa ndo chanzo na yote hutokana kaka akimzidi ndugu ndugu huchukia na hutaka mali ziwe chini yao bila kujali kua na yy kashaanzisha family yake shemegi pia matatizo sana yashanikuta ndio maana
Katika watu nilikuwa nawafuatilia kwa ukaribu sana ni p square nilikuwa nawapenda sana niliumia sana walipotengana Mwenyezi Mungu asaidie ili warudi kama kama ndugu kama mapacha jmn Ila peter ndo mwenye kiburi Shukrani kw sky your best presenter
Daah ! Maskini mm nawapenda hawa watu na mziki wao wafanye wayamalize 2 waendelee kutupa raha sie maugomvi kwenye familia mbona ni kitu cha kawaida popote pale muhimu ni kusameheana ili maisha mengine yaendelee.