Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete ameeleza namna alivyoingia Ikulu kwa mara ya kwanza wakati akiwa Kiongozi wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Mlimani, Muhimbili pamoja na 'Morogoro Collage of Agriculture.'
12 сен 2024