Тёмный

KIKWETE ALALAMIKA KUKOSA PAPA WANANCHI WAMJIBU "USHINDWI NA JAMBO" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 66 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

20 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@CK-ri1mo
@CK-ri1mo 7 месяцев назад
Kama kuna aliyemuona kikwetw anaxbr chenj agonge like hapa
@bilioneabichwa
@bilioneabichwa 5 лет назад
Kikwete, kikwete ,kikwete , yàaani! Miss u so much mzee! Mungu akubariki na uendelee kwa na maisha mazuri
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 5 лет назад
Kama umekuja hapa kwa AJILI ya kukosa P PAPA,,gonga#imbatokamoyoni,, KISHA LIKE
@mohamediiddi761
@mohamediiddi761 5 лет назад
Pangani yetu Hiyo mungu Aibariki kama umezaliwa Pangani Gonga like.
@benedictkiteji5089
@benedictkiteji5089 5 лет назад
MUNGU akupemaisha marefu mstafu kikwete tumekumiss
@dainesigebo7019
@dainesigebo7019 5 лет назад
Hehehehe zamani ungenunua hivyo vitu kweli au ungekwenda kununua ulaya Asante 👏
@geofreykajengile1788
@geofreykajengile1788 4 года назад
Safi mtu wetu jakaya baba mwenye nyumba dah nakuamini sana mzee
@mashamwaki6384
@mashamwaki6384 5 лет назад
Pangani yetu mashaallah mungu akujaalie umri mrefu muheshimiwa jakaya
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 5 лет назад
Allah akupe afya JK
@Communication863
@Communication863 5 лет назад
Duhhh hal ngumu kwel mzee hajaacha hta change😂😂😂😂
@ramazubery8396
@ramazubery8396 5 лет назад
Hatariiii
@saidjuma9782
@saidjuma9782 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@ameknews2315
@ameknews2315 5 лет назад
Si mulisema mm mpole mpole sasa nawaletea chuma hichi kinatema cheche aaaa mstaafu kikwete daima tutakukumbuka ww ni genius in politics
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
lakini hatukusema tunataka dikteta.
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
amek -02 AMEIR Mmmh kweli mburula hawaishi.
@ameknews2315
@ameknews2315 5 лет назад
Wataisha wala usijali kwan tumeona for 7.1% of GNI per capital ilivyokuwa
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
@@freddymello3227 :.GDP inayotangazwa na TBC, isiimini tena. Toka wakataze independdd statistic , sasa kila ni propaganda tu ili isiinekone serikali inafanya vibaya au kukosea. Mwezi uliopita Gazet la citizen, limetangaza.kuwa Tsh imeshuka, likafungwa wiki moja. wakati ukienda kwenye data za kimataifa ni kweli. Serikali huko kusini imeshindwa kununua korosho, ukisema utaambiwa mpotoshaji. Hatusemi JKM alikuwa safi, lakini afadhali yeye alikuwa mkweli na muazi, na kuacha wananchi waongee wanavyotaka na.kulikiwa na amani. leo unaweza ukasingiziwa kesi,.mahakam ikalazimishwe ikufunge au ukateswa, au kupotea au kuwawa na Polisi kituoni . Huoni hatua zozote zikichukuliwa au kukemewa. Tumefungwa 🤐 magufuli midomoni. Heri enzi ya JKM, Tulikuwa tunalalamika na furaha. JKM alikuwa always happy.
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
Paul Porubsky ,Nakushukuru kwa hoja nzuri sana ulizoainisha. ila sidhani kama unafahamu namna ya mwenye maduka ya Home shopping centre alivyofanya hapa nchini.na sijui kama umehoji yalipoishia maduka Yale.... kifupi tuu nikuambie kuwa J.P.M ni zaidi ya hao wote waliowahi kuikalia hiyo nafasi.huwezi mlinganisha kwa maamuzi,ubora wa fikra,na ukweli na uwazi na yeyote. nchi hii ilikuwa shamba la bibi.jamaa wamejitajilisha kwa kukwepa ushuru wakishirikiana na viongozi wa juu katika Taifa hili.ila J.P.M kadhibiti wizi wote na kampuni feki zilizofanya wizi kwa miaka mingi zimepotea. Tujifunze kuwa wakweli na wenye shukrani. kwani usipomshukuru Binadamu mwenzako hata mwenyezi Mungu huwezi mshukuru. J.k tulimpenda tena sana kama watanzania,alikuwa kijana mcheshi n.k lakini akatuacha kwenye mataa. Taifa likawa soko la madawa ya kulevya.(walioharibika ni kaka na Dada zetu)mf.Mangwea,Masogange,Matonya ,Ray c n.k J.P.M kamaliza biashara hii haramu.Leo hata mateja mitaani ni wakuwatafuta. Watanzania tuache hangover ya mapenzi kwa watu walioshindwa kutusaidia.tumthamini huyu aliyemikononi mwetu mwenye nia ya dhati kutukomboa kama Taifa.asiye mlanguzi wala mfanyabiashara wa madawa ya kulevya au mkwepa ushuru au fisadi kama tulivyozoea. J.P.M simba wa Tanzania "hapa kazi tuu!!!!"
@sonyomohmed2178
@sonyomohmed2178 5 лет назад
Man of the people.
@lucasmbuba3149
@lucasmbuba3149 5 лет назад
Uko poah sanaaaa kikwete
@Itarusii
@Itarusii 5 лет назад
Hii ndiyo faida ya Tanzania. Rais unastaafu kwa raha zako
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 лет назад
Wewe unajua izo nchi nyengine wanaostafu wanakua hali gani
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
alistaafu bila kungangania madaraka kwasababu hakumuonea mtu, hakumpiga mtu risasi, hata wale waliompinga aliwalinda.
@Itarusii
@Itarusii 5 лет назад
@@hamedmaskari518 temebea uone nchi nyingi za Africa.
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 лет назад
Dah sa hivi ningekuwa meamia kwenye nyumba yangu ila dah mebki kueka kibubu mh nwaka wa nne sasa
@magdalenakidumbuyo1505
@magdalenakidumbuyo1505 5 лет назад
Mic u mr president
@ramamudi749
@ramamudi749 4 года назад
morelife
@fatumamuba5580
@fatumamuba5580 5 лет назад
We miss u
@yohanamuumbe4628
@yohanamuumbe4628 5 лет назад
Raisi kikwete wetu safi!!
@emmanuelgavile2737
@emmanuelgavile2737 5 лет назад
Raisi rafiki
@ibrahimcharlesswaleh
@ibrahimcharlesswaleh 5 лет назад
Pangani nyumbani kwetu..
@fatmamasoud2969
@fatmamasoud2969 5 лет назад
We miss you JK❤️
@brysonsabun4657
@brysonsabun4657 5 лет назад
Naona watu wanajisikia furaha kabisa kukutana na huyu rais mstaafu, nadhani ni video nzuri
@jackinno8287
@jackinno8287 5 лет назад
Huyu mzee noma san
@jrabuudaldaa2682
@jrabuudaldaa2682 5 лет назад
video cyo quality
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 лет назад
Good baba
@sponsor7882
@sponsor7882 5 лет назад
SOCIAL PRESIDENT EVER IN TZ
@noelmichael2855
@noelmichael2855 5 лет назад
Eti nn?? mzee baba kakosa #PAPA 😂😂😂😂😂
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 лет назад
Hii pangani.duh nimekumis sana nyumbani.30.03.19.
@kaloli12masawe69
@kaloli12masawe69 5 лет назад
Mzee anatufundisha maisha ya kawaida tu ni mazuri kabisa.
@makungudominic6163
@makungudominic6163 5 лет назад
Wabongo tuna visa
@isayakilangi5888
@isayakilangi5888 5 лет назад
Love you jk wetu
@aishaail4455
@aishaail4455 5 лет назад
Gigy alisema papa samaki ,leo mh.kikwete amekosa papa,tena papa umuunge nazi.
@angelojoseph7476
@angelojoseph7476 5 лет назад
Huyu ndiyo jamaa yetu kipindi chake mtu akikuomba 2000 Unampa 5000 sasa hivi mtu ukimuona ndugu yako ana kuja nyumbani unaanza kutafuta njia ukiofia kuombwa pesa duuuuuhhhhhhh JPM Legeza kidogo tupate kupumua.
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
People's president👆😁
@simbabbq4427
@simbabbq4427 3 года назад
Kikwwte anatakapapa azidishe munkari siombaya
@mdaomasalimu
@mdaomasalimu 5 лет назад
uyo jamaa amepiga mule mule swal 😂😂
@williamkitengai3608
@williamkitengai3608 5 лет назад
Upole sio kosa ila ukatili ni dhambi, nimepamisi sana Pangani, Mkwaja Sadan
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Месяц назад
Angekuwa mpole Babu seya angeozea jela? Acha uchawa huo
@hemedwow8802
@hemedwow8802 5 лет назад
Jamaa jibu kapiga palepale yani😁😁
@mako331
@mako331 5 лет назад
Msilete uchonganishi aisee, Jk alifanya yake akamaliza ngoja Jpm naye afanye kazi yake, tunawapenda viongozi wetu wote kwa sababu wanaitakia Tanzania mema
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
Viongozi wanayoitakia mazuri Tz, inatakiwa wajue tuko mil55. na kila mtu ana mawazo tofauti, na yote hayo matofauti ni ile nchi ieendelee. Sisemi kwamba kiongozi asikilize kila kitu, lakini waTz tunata tuwe na uhuru wa hoja bila woga. na kila mtu aheshimiwe siyo kunyanyaswa na siyo kila mtu aseme " tumsifu JPM, CCM oyee" . Nobody is perfect. Mimi nipigwe risasi au siyo mzalendo kwasababu naona ni vizuri tutumie gas ya Mtwara badala ya kujinga bwawa kwa matrilion la SG? nk...
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 5 лет назад
Mkuu anataka papa wameshindwa kumuuzia
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 5 лет назад
Papa?haya baba😂😂
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 лет назад
Jk♥️♥️♥️
@stephanomchenya6344
@stephanomchenya6344 5 лет назад
Kikwete nomaa
@honestbalilo9519
@honestbalilo9519 5 лет назад
Ukiwa mwema kwa wananchi hawawezi kukutupa. Hivi mkapa alienda wapiii.
@atukuzweluhanga7401
@atukuzweluhanga7401 5 лет назад
Honest Balilo nahic mkapa ndo rahic pendwa ukiacha nyerere
@honestbalilo9519
@honestbalilo9519 5 лет назад
@@atukuzweluhanga7401 Labda kinafiki kama inavyoendelea sasa.
@omaredhasaidal.obthani4775
@omaredhasaidal.obthani4775 5 лет назад
Tunakumiss baba rudi ugombee tena
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Месяц назад
Agombee nn? Ili majizi yaendelee kushamiri? Sasa kuna jipya gan la kurudi agombee? Tunataka vijana wazalendo kama akina Makonda kuchukua nchi hii
@omaredhasaidal.obthani4775
@omaredhasaidal.obthani4775 8 дней назад
Wazalendo wa media wale sio wanchi hii
@simonaugustino6327
@simonaugustino6327 5 лет назад
Tumefarijika sana kwa ujio wako wa Pangani
@PETERJOSEPH-zz4bq
@PETERJOSEPH-zz4bq 5 лет назад
mtu wa watu
@alistairelias536
@alistairelias536 5 лет назад
Hamna hata maelezo chini ya caption kueleza mheshimiwa alikuwa wapi na kwa sababu zipi? Kuwa na weledi Millard Ayo.
@alexchungu8823
@alexchungu8823 5 лет назад
Mjomba
@masungajacob2628
@masungajacob2628 5 лет назад
Huyu tunamkumbuka sana, ila meeengi sana alifeli ktk uongozi wake
@jorampaulo7008
@jorampaulo7008 5 лет назад
Masunga acha kuvuta bangi.JK kashindwa mambo gani?,kama sio usukuma wako unakusumbua.
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 лет назад
@@jorampaulo7008 mwambie afahamu
@salumsaleh6186
@salumsaleh6186 5 лет назад
pangani kwetu naona mjomba rajabu mng'ombe anampa maswali jk
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 лет назад
Kikwete mtu wa watu.
@nurdinhemed6
@nurdinhemed6 5 лет назад
Mzee katinga shati lakijani kabisa...alijua kuna neema...wakat mkuu kesha staaf
@jamesjames5129
@jamesjames5129 5 лет назад
Jembe letu hilo
@hasamlawatv9790
@hasamlawatv9790 5 лет назад
Pangani
@augustryann365
@augustryann365 5 лет назад
Wamuulize gigy kapeleka wapi Papa.
@kadijahhussen7072
@kadijahhussen7072 5 лет назад
😂😂😂😂
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 5 лет назад
mzee huyu bhana
@ramadhanbahati5519
@ramadhanbahati5519 5 лет назад
Mzee kikwete mtu wa watu
@mjakaoswams4102
@mjakaoswams4102 5 лет назад
Duuh!! Kuvua pp 16m??
@zackjr3177
@zackjr3177 5 лет назад
c kukosa papa 2...wa2mish 2mekosa hata nyongeza bado 2nalipwa uliouacha shemeji...
@chrisantgeorge3677
@chrisantgeorge3677 5 лет назад
Ndo huyo mlimtukana sana akiwa rais
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 лет назад
Mtu hana thamani mpaka aondoke hapo alipo
@fredrickswai2566
@fredrickswai2566 5 лет назад
Namuona jaji kwa mbali...
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 5 лет назад
Hii ni kile kipindi bado yupo madarakani kulikua hakuna njaa km kipindi cha awamu hii
@yudamwinami6011
@yudamwinami6011 5 лет назад
Shaaban Ramadhan nabado kwanza ukame unaanza nchi nzima mvua shida
@rosemarymsulwa203
@rosemarymsulwa203 5 лет назад
@@yudamwinami6011 dodoma inanyeesha.
@abuuchaula6961
@abuuchaula6961 5 лет назад
Kipenzi chao
@TheAlman
@TheAlman 5 лет назад
We still remember you mr president
@makongorojulius4965
@makongorojulius4965 5 лет назад
Kama arudi kwenye kiti chake hivi
@chrisantgeorge3677
@chrisantgeorge3677 5 лет назад
Arudi kutukanwa?
@hamedmaskari518
@hamedmaskari518 5 лет назад
Vp mzee huna mazoezi mbona kitambi kiko juu
@emmanueljohn6765
@emmanueljohn6765 5 лет назад
pombe nimashine yakazi huyu mzee alikuwa mpole sana
@piusgadau6328
@piusgadau6328 5 лет назад
kila mtu ana pray part yake mkuu
@aristidespendazungu9275
@aristidespendazungu9275 5 лет назад
eeh mwenyezi mungu mpe Afya njema Rais wetu mstaafu
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 лет назад
anapray ama anaplay😅😅😅
@jorampaulo7008
@jorampaulo7008 5 лет назад
Kwa taarifa yako Emmanuel Jk ndiio rais bora kuliko wote na ndio maana akipita mtaani ana mvuto kwa watu.roho yake hainuki damu
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 5 лет назад
Uhuru mzuri bwana ukiwa kiongozi unabanwa sana sasa hureeeeee.
@nurdinnswebe1905
@nurdinnswebe1905 5 лет назад
Mmmmh huyo mkuu wawilaya
@williamkeita1519
@williamkeita1519 5 лет назад
Ukiacha madaraka TU Ndio utapendwa nakumbuka koment kipindi ukiwa kama Jpm
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 5 лет назад
Raisi wa watu
@fatumamuba5580
@fatumamuba5580 5 лет назад
We miss u
Далее
Rusiya Prezidenti Vladimir Putin Bakıdadır
00:32
Просмотров 262 тыс.
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
Просмотров 551 тыс.
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
Просмотров 290 тыс.
Rusiya Prezidenti Vladimir Putin Bakıdadır
00:32
Просмотров 262 тыс.