Тёмный

Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2 

YahStoneTown
Подписаться 397 тыс.
Просмотров 293 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili.
Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafasi, na kama ujuavyo, mengine yote yamebaki kuwa historia tu tena, maana yametimia.
Mimi kama wewe tu, shabiki nambari moja wa Jakaya Mrisho Kikwete na kukutana naye, kukaa naye chini na kuweza kumuuliza maswali tuliyokua tumeyaandaa (kwa muongozo wao) ilikua raha isiyoelezeka. Mzee charming, mwenye roho nzuri na muelewa kabisa. Mengine yalofuata baada ya hapo ndo ambayo utayaona au kuyaskiliza katika maongezi yetu haya. Mengi yalikua ni juu ya yeye alivyokua na uelewa wake kwenye mambo mengi. I wish tungeweza kuongea nae kuhusu masuala meeengi zaidi kuhusu kiila kitu ila ki ukweli hii inatosha kwa sasa na Mungu atajaalia tutakutana naye tena siku nyengine In Shaa Allah.
Mheshimiwa JK aliongea nasi kuhusu Wazazi wake, elimu, uelewa wake wa mambo, yeye kuwa mwanajeshi. Jinsi alivyokutana na Mama Salma. Historia ya nyuma kidogo kuhusu mapenzi na jinsi Marehemu Mzee wake alivyomtaftia mke na kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza ambaye ni Ridhwan. Kuhusu kitabu chake, mapenzi yake na basketball na muziki. Pia Kobe Bryant na mapenzi kwa wajukuu zake.
Kama ilivyo kawaida yetu, yangu matumaini utapata kadhaa humu ya kukufunza jambo. Na napenda kuchukua nafasi hii kumshkuru kila mtu ambaye alisaidia hilo kutimia na zaidi team yangu yote ya ‘YahStoneTown’ ambayo ilifanya kazi iliyotukuka kukamilisha hili.
Nikutakie Kheri ya mwaka mpya na kila lenye Kheri nawe.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 705   
@emmanuelmsafiri4961
@emmanuelmsafiri4961 3 года назад
yaani Mungu kweli anasikia dua, niliwahi kutamani sana nikutane na mzee nimshauri aandike kitabu, imagine (you can't easily believe this), and now he's doing exactly as I wished, asante sana mzee nakisubiri kitabu kwa shauku kubwa sana.
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 года назад
Yaan mtu baki umshauri aandike kitabu? Unajua jk ni msomi? Msomi mwanasiasa? Hehee tupishe sie
@amoskagika8884
@amoskagika8884 3 года назад
@@masalakulwa7601 kwahiyo msomi hashauriki, au ukiwa msomi wewe unakuwa unajua kila kitu???
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 года назад
@@amoskagika8884 kuna vitu vya kushauri..kwanza Rais ana washauri ..eti umshauri msomi aandike kitabu😂😂😂....ni km umshauri msomi ajisomee
@pili3750
@pili3750 3 года назад
@@masalakulwa7601 😁😁😃😃
@arnoldnicholaus3835
@arnoldnicholaus3835 3 года назад
Oh my God. How did you manage to get the President. Yaani hii comment naindika huku nime pause video kwa maana imenichukua muda kuamini. You are the best who ever did it.
@allpotentials8420
@allpotentials8420 3 года назад
Boss salama c mtu wa kawaida Huyu dada,,sio interview tu hata birthday party yake iliyopita JK alikua mgeni mwalikwa kwa hyo nadhani suala la interview ilikua ni normal tu.
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
Huyo ni muandishi makhsusi. Anathamini na kuitendea haki tasnia aliyo ichagua. Kubwa zaidi ANAJIAMINI!
@mactongathe179
@mactongathe179 3 года назад
DAH HADI NMEKOSA NMSEME NINI WE jamaa umekamata bandle kwa muda na hii comment ! Salama ni Tishio la Program na Interview
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 3 года назад
Anything is possible just dream big and work at it, Allah hubariki. ♥️
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
@@CheupeEceJay Perfect!
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 3 года назад
Yani navyompenda baba JK hata la kucomment sina nimerudia 1&2 mara 2... Very humble mashaallah Allah amtunze 🙏🏽
@farajakyando6066
@farajakyando6066 3 года назад
A great honor to have a chance to interview such a great man may you be blessed more than what God gave you ur the best salama
@georgemkonge3031
@georgemkonge3031 3 года назад
@gemailPure
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 3 года назад
Amin kwa sote, Shukran Faraja
@macfelician8360
@macfelician8360 3 года назад
Kweli muheshimiwa alifaa kuwa kiongozi mfano wa kuigwa, nmemsikiliza sana nilichojifunza ktk kwake ni msikivu sana nmependa
@georgedaniel3911
@georgedaniel3911 3 года назад
@Zawadi Issa wakuda hawa poti mabongo wengi masnich.
@josephgomalo41
@josephgomalo41 3 года назад
ALISHINDWA KTK KUPAMBAN NA MAFISADI TU .. ! Haitoshi kuwa mpole na mnyenyekevu.. alitakiwa awashughuklikie hao pia..!
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Walaah tunampenda sana kwaajili ya Allah hilo halina ubishi, he is very humble walaah ❤❤❤❤🇹🇿🇨🇭
@emmanuelgastine9826
@emmanuelgastine9826 3 года назад
Baba Kikwete naikumbuka nyongeza yako ya mshahara ya mwisho nilijua baada ya miaka 5 nitakuwa mbali ,lkn baba you are done with leadership du!!
@J4UPro
@J4UPro 3 года назад
Unafikiri Ingekuwa kama unavyofikiri yaani tokea kipindi kile Watu waongezwe mshahara kila mwaka mpaka hivi leo itakuwa vipi mkuu!
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 3 года назад
Kwa sadala
@kabulakamotta3740
@kabulakamotta3740 3 года назад
My lovely presidaaaa! Of all the time! Love you Mr president Jakaya Mrisho Kikwete!!!❤
@vascongwale6783
@vascongwale6783 3 года назад
Nice Speech From Former President Mh:Jakaya Mrisho Kikwete!!! Nimejifunza Kitu and also I like the way he answer the Question, He answer question By using more knowledge
@eliakimwilson598
@eliakimwilson598 3 года назад
One day ill be president of this country and i want to be like him. Sincerely i love this man so much he is a very good and kind man i picture my dad kila nikimuona. Thank you dada salama for a nice and professional interview. We love you keep going mami. 👍
@alifaki5043
@alifaki5043 3 года назад
Salama: Kwanin tunakupenda? Jk: Hilo waulize hao wanaonipenda🤣🤣🤣. Salama: Lakin unajua km tunakupenda ? Jk: mm sjui bhanaa 🤣🤣🤣 najua tu hamnichukiii 🤣🤣🤣.
@chale0ify
@chale0ify 3 года назад
Kwenye hip-hop tunaita punch lines
@hemedykiboko2650
@hemedykiboko2650 3 года назад
😂😂😂mzee makini
@hemedykiboko2650
@hemedykiboko2650 3 года назад
Kwa sababu Sina ushahidi wa kuchukiwa
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 3 года назад
@@hemedykiboko2650 Yaani ana hekima sana na busara pia
@bongoupdates26
@bongoupdates26 3 года назад
Salama: Kwanini tunakupenda? Jk: Hilo waulize hao Wanaonipenda🤣🤣 Salama: Lakini Unajua kama tunakupenda? Jk: Mimi sijui bhanaa🤣🤣najua tu hamnichukii
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 3 года назад
Kazi yako safi Mr JK ... Thanks for your service .... Mungu aendelee kukulinda ...
@drnickysarapion134
@drnickysarapion134 3 года назад
Congratulations Salama. & big up to you for good interrogation with ma Beloved Honorable Rtd President JK 2005/15. I REALLY APPRECIATE HIM. GOD BLESS HIM ALWAYS
@gnmbi
@gnmbi 3 года назад
Jk anaongea mpk una hisi muda hautoshi yani katika interview zote za salama na hii naona ndio interview fupi kuliko zote it's been a long time since retirement of this great man
@hamzaalawy6694
@hamzaalawy6694 3 года назад
Kiukweli muda haukotosha hata kidogo
@allymtamilwa6899
@allymtamilwa6899 3 года назад
ni kweli muda ni mdogo kabisa
@vicentmtoni1728
@vicentmtoni1728 3 года назад
Hii ndio nimeingalia yote lkn nyngne ukiangalia kdg unaacha.
@henrymulisa6367
@henrymulisa6367 3 года назад
We mzee nitakukubali muda wote..huna stress kwakweli
@erickkundy5322
@erickkundy5322 3 года назад
I wish we could give you 10 years more. 10 yers tena. Such a magnitude of humility. Viongozi wetu wajifunze kutoka kwa hawa wastaafu na waache kuwakataza kuongea na watu baada ya kustaafu.
@saidnondo2623
@saidnondo2623 3 года назад
the best way y ]
@bibletv9818
@bibletv9818 3 года назад
Unasema?
@amanielastariko6722
@amanielastariko6722 2 года назад
Mmmmhhh hapana Ile ilitosha bwanaaa😂😂
@dennislukumay9261
@dennislukumay9261 3 года назад
Nmemiss Sana rais wang jakaya thanks salama kwa kutuletea leo
@erickkundy5322
@erickkundy5322 3 года назад
Great interview with a Great leader. JK kweli ni kiongozi- msikivu makini, mnyenyekevu, mkweli & mwenye upendo kwa watu. Tunasubiri hicho kitabu chake. Namtakia maisha marefu ili tuendelee kufaidi nasaha zake.
@josephgomalo41
@josephgomalo41 3 года назад
makinikia na tembo waliisha. WHY? UNYENYEKEVU NA MAFISADI ?
@germinapontian2037
@germinapontian2037 3 года назад
You are the most blessed talented wise ...interigent .... president ever......long live Mr President ......the love of Tanzanians..........
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE 3 года назад
Daaah mzee wa msoga, Mungu endelea kumweka huyu baba, tufaidi busara zake.
@Winstonfying
@Winstonfying 3 года назад
Salama hii interview, walau iwe na Parts 5 hvi, kuna mengi sana ya kusikia toka kwa mzee wetu huyu
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 3 года назад
Yeah, Hasa yahusuyo Presidency yake!
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
"The guy" is so Cool! So, Gentle! So Wise!
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 3 года назад
WE LOVE YOU JK , WE HAVE MISSED YOU BIG TIMES
@abdulkhalim5564
@abdulkhalim5564 3 года назад
So humble nd intelligent in tackling Aljabry's questions.
@plaxedanakazwe2944
@plaxedanakazwe2944 3 года назад
Amuite na bwana magu sasa
@mekujose8532
@mekujose8532 3 года назад
Nimeamini mungu anamtoa mtu mbali sana,Mungu akubariki sana Raisi wetu Mweshimiwa Dr Kikwete.
@bjzee1981
@bjzee1981 3 года назад
Leo nimejua mengi. Nili guess tu atakua kafanana na mama. Watoto wengi wakufanana na mama hua cute
@mwajumamatinda2496
@mwajumamatinda2496 3 года назад
Nimejifunza vingi...kikubwa siyo mtu wa kujikweza JK! Angekuwa mwingine ungesikia nilikua mzuriii sana Shulen,Jeshin au ktk Basketball...ila Mzee yupo Humble
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
🤣🤣🤣😂Kumbe umeliona 🤣🤣🤣🤣😂😂😅
@hemedykiboko2650
@hemedykiboko2650 3 года назад
Ameulizwa ulikuwa focus Sana wakati wa shule? Akasema Nilikuwa naenda shule😂😂😂
@wazirituppa6739
@wazirituppa6739 3 года назад
Mwengine Kama Yupo 😂😂😂
@masalugusessa3702
@masalugusessa3702 3 года назад
@@hemedykiboko2650 aliposema hivyo walahi nilijikuta nacheka tuu
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 года назад
Raisi mstaafu mwenye upendo wk kwa waTz na mwenye Swagazzzzzzzzzzz zake big up Salama kwa interview nzuri🔥🔥🔥🔥
@Ax-xpress
@Ax-xpress 3 года назад
Man of the people.. Watu walikuwa na maisha na nchi ilienda..Raisi mzr
@batildaburian8299
@batildaburian8299 3 года назад
Mungu ampe maisha marefu ya afya njema mhe Rais wetu mstaafu JK. Ninamshukuru Mungu kwa neema zake na namshukuru sana kwa imani yake kwangu na kwa viongozi wenzangu. Nimejifunza mengi sana toka kwake. kuna msemo wake ule" Muongo mwongoze". Ninaupenda sana. Barikiwa sana. Ageing gracefully and handsomely🙏🏼
@shekhaissa9154
@shekhaissa9154 3 года назад
Very good and blessed interview. Sichoki kuisikiliza hii interview. Nzuri sana. Tumejifunza mengi. Huamini kama mtoto alokuwa akijificha kwa jirani kukimbia shule, later akawa President. Well done bit Jabir. Insh utuitie na Mzee wetu Mwinyi one day. Hongereni sana.
@godfreypaulo8355
@godfreypaulo8355 3 года назад
Salama na timu yako nzima ni watu makini sana ila nakuakikishia huyu mzee ameisha fungua njia ya hiki kipindi kuaminika na kuwa kikubwa zaidi na wata kuja watu wazito zaidi wengitu.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Hata jpm utuletee salamu km unaruhusiwa 🙏
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 года назад
kabisa hongera kwake team salama sio yule mpuuzi wema sepetu ata amualike hatoenda kwa ujinga aloufanya kwa yule mkwe wake wa hadithini mama kanumba
@godfreypaulo8355
@godfreypaulo8355 3 года назад
@@zuleikhakhamis3303 mpuuzi yule hana tim inayomuongoza, unaona salama hajauliza maswala ya kisiasa anajua ataribu.
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 3 года назад
Fact
@janestanslaus2517
@janestanslaus2517 3 года назад
Wazito zaidi? This is as heavy as it gets fam. Its going to be hard to beat.
@abdulfirst_pilot
@abdulfirst_pilot 3 года назад
Huyu ni mtangazaji wangu bora katika mwaka 2021 na mzanzibar pekee kwenye tathnia ya utangazaji aliye fanikiwa kumhoji rais mstafu wa awamu ya nne jk nime penda tena nime penda sana kiukweli haswaaa
@godfreypaulo8355
@godfreypaulo8355 3 года назад
Tena kumshawishi mtu kama huyo kuja kijiweni kwako unapopigia story niatua kubwa, wengine wangemfata lugoba
@godfreypaulo8355
@godfreypaulo8355 3 года назад
Tena kumshawishi mtu kama huyo kuja kijiweni kwako unapopigia story niatua kubwa, wengine wangemfata lugoba
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 3 года назад
Anyway! Asante Salama Kwa Interview hii. I would Swap Kikwete as the President in Tanzania 100 Times over!
@emilianashayo5978
@emilianashayo5978 3 года назад
Me too
@alfredjohn5693
@alfredjohn5693 3 года назад
Mzee kikwete yupo peace sana,,,,we love you so much,,, hongera sana Salama kwa kipindi hichi unachozidi kukiongoza
@mirajikhamisi7954
@mirajikhamisi7954 3 года назад
Rais wangu bora wa muda wote Mungu akupe umri mrefu JK Aamin
@muniravellani3523
@muniravellani3523 3 года назад
Our very own Obama ❤️
@jackmeshack
@jackmeshack 3 года назад
Katika interview zilizopita na kutazamwa hii ni super interview congratulations #Salama_Jabir
@evakiwia6768
@evakiwia6768 3 года назад
Sijawahi kulike wala ku-comment ila Leo nakupa big up Salama
@msangy4230
@msangy4230 3 года назад
Kiongozi wa maana sana huyu...i wish angerudi tena ofisini he's a shinning star. Just adorable
@khalidoonmzakiru2042
@khalidoonmzakiru2042 3 года назад
Kweli mtiifu hufaidi tumejifunza mengi hongera sana Mr.JK tunasubir hiko kitabu 🔥🔥🔥
@ngidawangwe4901
@ngidawangwe4901 3 года назад
Namkumbuka sn huyu mzee alikuja shuleni kwetu nyamongo sec akanipa mkono na hela pia enzi za urais wake
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 года назад
Wanajeshi wanakukumbuka sana tuu, hususan kwenye mambo ya nyongeza 💸💷💶
@Mwinyi79
@Mwinyi79 3 года назад
YahStoneTown: Salama na JK is the best interview. Sidhani kama itatokea zaidi ya hii!
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 3 года назад
Interview nzuri sana MUNGU AKUJAALIE KILA LA KHERI MH. MRISHO JAKAYA KIKWETE NAKUPENDA SANA
@enisaswilla494
@enisaswilla494 3 года назад
Nice
@enisaswilla494
@enisaswilla494 3 года назад
.
@sophiamwita3424
@sophiamwita3424 3 года назад
very humble father almighty GOD bless him..stay safe
@abdulswamad9592
@abdulswamad9592 3 года назад
Allah tujalie tupate rais mwenye upendo na watu wake kama huyu..Allah akujaalie mwisho mwema Amiin
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 3 года назад
Kweli upendo? Mashekhe wetu mwaka wa nane wapo Jela bila la kosa lolote
@latifahjanja6679
@latifahjanja6679 3 года назад
Kipindi kimekua kikubwa hongera sana sikutegemea km utakua unaalika mpk watu wazitoo hvii tunajua mengi kuhusu viongoz wetu big up kwenu salama na (teamwork)
@dkt.mohammedsaid8337
@dkt.mohammedsaid8337 3 года назад
Jk umefundwa uongozi , umelelewa katika uongozi na ukaiva katika uongozi. Umejaa hekima na busara nyingi Sana . Mtu wa watu ,mwenye upendo wa dhati na watu bado wanakupenda . Haijikwezi . Unaongea kama mtu wa kawaida fawaida japo kuwa ni kiongozi mkubwa Tena Uliyepitia nyazifa nyingi Sana. Umekuzwa kisiasa . Na siasa ipo kwenye kinywa chako. Nilichokipenda kikubwa kurudi kuishi kijijini kwenu licha ya kwamba una uwezo wa kuishi popote upatakapo .
@hkmkuu8698
@hkmkuu8698 3 года назад
💯
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
Hujo "Jamaa" amekokea kila secta. Ukianzia na secta kuu ya utambuzi wa tabia ya mtu.. Secta ya MAADILI MEMA! Yuko vizuri sana kwenye hiyo secta
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 3 года назад
Salama leo huna uhuru wa kucheka jaman pole ila Asanteeni sanaa kwa kipindi kizur
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 года назад
Hapo pembeni kuna usalama wa Taifa.Hata ivo kajitahidi sana. Big applause for her🙏🙏
@n8thegoat
@n8thegoat 3 года назад
Mzee anamuelewa Chris Brown pia. #TeamBreezy 😂
@mzizirashid709
@mzizirashid709 3 года назад
Siku Moja Nataman sana nikutane na Salama Jabir Nikupe Hongera Zako Nataman sana Ningekuwa mtangazaji niwe Kama ww
@juliuspeter9525
@juliuspeter9525 3 года назад
The Guy was president for 10 years and He was Minister for more than 15 years the guys kafanya kazi na marais wote lakin pia kafanya Kazi na Current president. ........ naona kama kuna haja ya Interview nyingine. Anyway nakupongeza sana kupata chance ya kumleta kwenye kipindi.
@omarkhelef7631
@omarkhelef7631 3 года назад
Salama hongera kwa interview nzuri na mhe rais JK lkn nina maoni kidogo hapo mwisho ulikuwa ukipromote kitabu chake.... anyway nimeenjoy!!!
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 3 года назад
Sure, ASANTE. Hakijatoka lakini na bila ya shaka tutakiskuma kikishatoka In Shaa Allah, oh maybe he will come in to do just that? 🤔
@richardmollel2032
@richardmollel2032 3 года назад
Salama daaaaaah WEWE NAKUKUBALI Sana leo kwenye salama na umetuletea kikwete salunti kwako
@angelmaufi
@angelmaufi 3 года назад
GOD bless you Sir! Great interview dada Salama👏
@ramadhanikibana9867
@ramadhanikibana9867 3 года назад
Uchuro uo hahahahahah mr przdn
@riririri4983
@riririri4983 3 года назад
My love for JK ❤️is way too much I can take bullet for him meennnn This man is incredible 💪🏼
@idrisasaidi9080
@idrisasaidi9080 3 года назад
MUNGU akutunze zaidi mzee wetu Jakaya
@bronzal56
@bronzal56 3 года назад
Hongera sana Salama, that was the best! Na Mr president mwache tu aitwe Mr president.. so smart man!!💪🏽🙌🏽🙌🏽
@upendomtambo5103
@upendomtambo5103 3 года назад
Hahahaaaaa mimi nilikua nakwenda shule tu😆 ....hakika nimefurahia sana majadiliano haya
@sado3086
@sado3086 3 года назад
Kama mstaafu anaruhusiwa kugombea tena, nitapiga kura mara 20
@josephgomalo41
@josephgomalo41 3 года назад
Ili muendelee kupishana angani na tembo waishe? Huyo mzee anafaa kwenye kupiga stori na usuluhishi lakini katika utawala hafai.. aliwaacha wafisadi wafanye wanavyotaka huwezi kuendelea hivyo. Magufuli kawafunga wachina na wahindi. Kwani huyu mzee alikuwa hawaoni..?? makinikia yaiibwa alikuwa hajui au haoni?
@sado3086
@sado3086 3 года назад
@@josephgomalo41 magufuli ni nani?
@rajansharky3386
@rajansharky3386 3 года назад
@@josephgomalo41 unaongea kwa emotional, dig well huyu mzee ni kiongozi
@abbyjma7355
@abbyjma7355 3 года назад
Hata Mimi akigombea Nampa kura Kama zoteee
@mayanimlingwa1376
@mayanimlingwa1376 3 года назад
Nimesoma comment nyingi ila n wewe tu ndio nimekuona w tofauti mtoto wa hitler
@winfridamdaki5699
@winfridamdaki5699 3 года назад
Very humble, God bless you Daddy
@TheMandela21
@TheMandela21 3 года назад
JK still handsome in his old age
@jumannebundala2594
@jumannebundala2594 3 года назад
My roll model wachache sana tulio hivi like father kikwete nakukubal sana mzee wangu
@eliashishimwasha9946
@eliashishimwasha9946 3 года назад
I've never commented on any RU-vid pages but it's a good interview😍😍😍
@Process607
@Process607 3 года назад
Kweli umelitendea haki jeshi mzee wangu sikupingi
@jabarithegreat6292
@jabarithegreat6292 3 года назад
Salama asanteee kwa Kaz yako nzr,,,,Mungu ajarie siku moja utuletee na Magufuri itapendeza Sana✍️
@mwanamngombe1688
@mwanamngombe1688 3 года назад
I love everything about this show..keep it up Salama..long live JK
@jackyjacob2105
@jackyjacob2105 Год назад
Congratulation dada salama nakipenda sana kipindi chako asante pia Kwa baba yetu bado tunaushi na nasaha zako mungu azidi kukuongezea miaka mingi tuzidi kufrahiya uwepo wako baba 🥰🥰
@emilianashayo5978
@emilianashayo5978 3 года назад
Japo watz hatupendi kusoma but kitabu cha JK I can’t wait, he inspires me a lot 👏💪🙏
@nelsonmwombeki5243
@nelsonmwombeki5243 3 года назад
Dah Salama ni noma, Mheshimiwa Jakaya ni very humble person, this is the best interview aisee. I like every second of it.
@abaskhatoon9425
@abaskhatoon9425 3 года назад
Hapo kwa wajukuu nimefurahi sana na kuamini neema ya kuwaona wajukuu.ALHAMNDULILAH.
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 3 года назад
Favorite! We got a president in him!
@hamzaalawy6694
@hamzaalawy6694 3 года назад
Salama Allah akubariki. Mimi nishabiki wako katika vipindi vyako. Kiukweli nakupenda sana ikiwa kwenye majukwaa ya vipindi vyako.
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 3 года назад
Salama Umeogopa Sana Kuulza Maswal Ambayo Tulitegemea Ila Tumefurah Kumuona Mpendwa Wetu Rais Mstahafu🙏
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 3 года назад
Mawazo yetu yana fanana
@samyjohn2389
@samyjohn2389 3 года назад
Remember he is the prev president so lazima wasaidiz wake nao wareview the questions, huwez anza muuliza maswal ovyo ovyo tu
@catherinemoshi4347
@catherinemoshi4347 3 года назад
@@samyjohn2389 on point
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Nimefurai sana jmn hongere salama kutyuretea mweshimiwa musitafu mashallah 🤗🤗🤗😍😍😍❤️
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 3 года назад
Intavyuuu nzuri saaana, (kwa usalama wa Mstaafu walinzi wameamua asile kitu chochote na hata Maji nadhani wamekuja nayo wenyewe 😁)
@johnjmanyika1872
@johnjmanyika1872 3 года назад
Exactly
@highthemetv7857
@highthemetv7857 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-QccCtAt53vQ.html 👆👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue 😭tazama wanawake wanavyotobolewa viungo vyao 😨 bila huruma gusa link
@alphaabdallah1406
@alphaabdallah1406 3 года назад
Nimependa Mh kuunganisha majina ya babu zake wote na kuyatumia yote, i like it sana sana....i wish niige yan hata kama sio kwangu basi kwa mwanang
@goodluckjoseph8238
@goodluckjoseph8238 3 года назад
he talks the life........ such a great man
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 3 года назад
Interview nzuri na kitabu tunasubiri cha muheshimiwa mpendwa
@abdallahngowi1349
@abdallahngowi1349 3 года назад
Kikwete ana vitu vitatu nimevichukua 1.kikwete ana nidham. Nidhamu yake iko kila mahali shuleni, kazini na hata kwa jamii 2.kikwete hana tabia ya kujikweza kabisa japokuwa ana mambo kayafanya ambayo wengine wangejikweza 3.kikwete ana subra sana. Tuchukue mfano mzur wakat anamhitaji mama salma
@mactongathe179
@mactongathe179 3 года назад
Yaani ile kuona clip za Walkt-into studio nkajua tu huyuu ni MZEE JK, But NIMEPENDA Salama anavomuita BABA. Asante TENA SALAMA, Umeuliza maswali 60% nngepata nafasi ya kumuona huyu BABA nngeuliza pia. (SECRET BEHIND HIS SMILE) hua naitafta sanaa. KEEP MOVING NIMEKOMA KUKUFANANISHA NA YEYOTE DUNIA HII SALAMA. DAH..!
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 3 года назад
The man is too real aiseee... Nimefurahia Sana interview
@abelmshanga7519
@abelmshanga7519 3 года назад
Sasa ivi chamoto tunakiona jk kweli alikuwa rais mwema sasa ivi tunapelekwa kama bora twende
@abedkirway8668
@abedkirway8668 3 года назад
Kiongozi bora kuwahi kutokea dunian JK nakuombea kwa Mwenyez Mungu maisha marefu amin tunakupenda baba sana
@olivakatabazi2578
@olivakatabazi2578 3 года назад
Kaka .yangu nimemkumbuka alivyokuwa na roho ya upendo enzi tuko.ofisi ya siasa kwa mama jeni nikiwa mmoja wapo wa kumchapia ma kablasha ya mapeo ya siasa hapo upanga yangu uliptuhama ukasonga mbele hatujaonana tena ila mungu akutie nguvu na maisha meme Mimi sasa hivi ni mtumishi wa mungu. Amina
@noelandrealucas5130
@noelandrealucas5130 7 месяцев назад
Very proud my President ,🎉
@khamissaid1156
@khamissaid1156 3 года назад
Huyu mzee wetu ni fundi sana wa kujibu maswali magumu halafu anajibu kwa wepesi sana
@jackjudy9182
@jackjudy9182 3 года назад
Keep it up #Salama huko vizuri sana.Najivunia Rais wangu🇹🇿
@fumotv7914
@fumotv7914 3 года назад
Mbn bendera ya Jamaica ss?
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 года назад
@@fumotv7914 Wote Ni viumbe.
@jackjudy9182
@jackjudy9182 3 года назад
@@fumotv7914 🇹🇿 hii hapo
@fredahkishenyi84
@fredahkishenyi84 3 года назад
We are humble to have you here H. E JK
@chrismwanakwetu3677
@chrismwanakwetu3677 3 года назад
Nakuelew sn Mh Kikwete Salama upo good pia kwa midaalo unayoiongoza
@victormalinga639
@victormalinga639 3 года назад
Salama Next Interview Fanya Na Mzee Mwinyi Tupate Hazina Zao Wazee Wetu Hawa Wa Nchi Yetu Wenyewe...!!!
@pendomarco8928
@pendomarco8928 3 года назад
Baba mstaarabu Sana huyu
@abdimoha3514
@abdimoha3514 3 года назад
Hivi salaama ujuwe kuliza maswali kwa wazee tujuwee mengii political pple plzz, nashukuru sana kumuona Baba JK Mungu akupi afia na maisha marefuu((salama narudia tena plzz jaribu ku ulizaaa maswali )))))))))
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 3 года назад
Hiyo nimeipenda waulize wanaonipenda
@colinjames570
@colinjames570 3 года назад
Leader Legend Papa
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 3 года назад
Rais Bora kuwahi kumshuhudia ktk nchi yetu Mungu azid kumlinda
@evancekimath7405
@evancekimath7405 3 года назад
Hongera sana salama,Mh. JK nimejifunza mambo kadha wa kadha. Interview imekaa poa kweli kweli....!!
@ajaxjunior4151
@ajaxjunior4151 3 года назад
Hongera sana Salama na Mheshimiwa Jakaya Kikwete excellent interview kama vile Baba na mtoto wake Big up
@mashakamrisho2696
@mashakamrisho2696 3 года назад
Much love to my presida..Allah akupe umri mref!
@festongonyani152
@festongonyani152 3 года назад
Mh.kama kweli hujui Kama Tunakupenda,unatukosea Watanzania Tunaokupenda...Ila a siyo mbaya labda kweli hujui Kama tunakupenda basi lichukue hilo kutoka kwa aliyetuwakilisha tulio wengi Bi Dada Salama kwamba TULIO WENGI TUNAKUPENDA SANA MZEE..na tunakutakia uishi maisha marefu
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 3 года назад
Salama kama hujamtendea mzee haki maswali kama mepesi mepesi sana
@ismailmwanjala4830
@ismailmwanjala4830 3 года назад
The president i never hate him because he was charming allah bless you.
Далее
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
Просмотров 556 тыс.
How many can you smash?🍫 IB : Florin
00:19
Просмотров 3,2 млн
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30
Mkasi - SO7E02 With Chidi Beenz
29:55
Просмотров 263 тыс.