Тёмный

Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 549 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Muda si mrefu iliopita nilirudi nyuma kidogo kwenye kumbukumbu ya mawasiliano ya kwanza kabisa kati yangu na moja wa wasaidizi wake Mheshimiwa Jakaya Mrisho wa Kikwete na hiyo ilinirudisha nyuma mpaka mwezi wa tatu mwaka 2020. Kama mtu mwengine yoyote hii ilikua ndoto tu ambayo kwa Rehema na Baraka za Allah ilibidi itimie. Kwa Baraka zake hizo mimi na wenzangu tunashkuru sana sana kwa kuweza kulikamilisha hili.
Shukran za dhati ziende kwa Doris Mollel ambaye kwa msaada wa Sadam ‘Almando’ Sanare alinimbia Doris anaweza akatu unganisha na mmoja wa wasaidizi wake ili tuweze kuona kama tunaweza pata hii nafasi, na kama ujuavyo, mengine yote yamebaki kuwa historia tu tena, maana yametimia.
Mimi kama wewe tu, shabiki nambari moja wa Jakaya Mrisho Kikwete na kukutana naye, kukaa naye chini na kuweza kumuuliza maswali tuliyokua tumeyaandaa (kwa muongozo wao) ilikua raha isiyoelezeka. Mzee charming, mwenye roho nzuri na muelewa kabisa. Mengine yalofuata baada ya hapo ndo ambayo utayaona au kuyaskiliza katika maongezi yetu haya. Mengi yalikua ni juu ya yeye alivyokua na uelewa wake kwenye mambo mengi. I wish tungeweza kuongea nae kuhusu masuala meeengi zaidi kuhusu kiila kitu ila ki ukweli hii inatosha kwa sasa na Mungu atajaalia tutakutana naye tena siku nyengine In Shaa Allah.
Mheshimiwa JK aliongea nasi kuhusu Wazazi wake, elimu, uelewa wake wa mambo, yeye kuwa mwanajeshi. Jinsi alivyokutana na Mama Salma. Historia ya nyuma kidogo kuhusu mapenzi na jinsi Marehemu Mzee wake alivyomtaftia mke na kuzaliwa kwa mtoto wake wa kwanza ambaye ni Ridhwan. Kuhusu kitabu chake, mapenzi yake na basketball na muziki. Pia Kobe Bryant na mapenzi kwa wajukuu zake.
Kama ilivyo kawaida yetu, yangu matumaini utapata kadhaa humu ya kukufunza jambo. Na napenda kuchukua nafasi hii kumshkuru kila mtu ambaye alisaidia hilo kutimia na zaidi team yangu yote ya ‘YahStoneTown’ ambayo ilifanya kazi iliyotukuka kukamilisha hili.
Nikutakie Kheri ya mwaka mpya na kila lenye Kheri nawe.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

7 янв 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 938   
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 3 года назад
Best interview in 2021 Kama umependa like apa tufurai pamoja
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@ludovicshirima1793
@ludovicshirima1793 Месяц назад
Safiii namkubali Sana kikwete hyu mzee anajua kujieleza tumpe heshima yake nafatilia sana mengi kuhusu legend hyu🔥
@KidotiTwiga
@KidotiTwiga 3 года назад
Tunaompenda baba JK gonga like
@medardkihekaabel2601
@medardkihekaabel2601 3 года назад
Kama unamkubali JK weka likes zako hapa tuone...
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@jaafarjacka9272
@jaafarjacka9272 3 года назад
Daahh huyu mzee ALLAH amuhifadhi ampe afya njema ampe mwisho mwema na amsaameh makosa yake...JK mtu mwenye moyo wa kustahimili
@kayandayona8496
@kayandayona8496 3 года назад
Jk pole kwamlipoko
@kayandayona8496
@kayandayona8496 3 года назад
Jk pole kwamlipoko
@mymussept3662
@mymussept3662 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-XUVR261lcZY.html
@allymuhammad325
@allymuhammad325 3 года назад
Hakika mwamba
@salehsimba5306
@salehsimba5306 3 года назад
Kila ninapomuona mzee Jakaya najivunia utu, unyenyekevu, heshima, upole, usikivu, wa sisi Wakwere.
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 3 года назад
The best president ever jk wa msoga tunakupenda Sana mh rais mstaafu uishi Sana mzee wetu tukikuona tunapata faraja watanzania
@abdallahrashid1182
@abdallahrashid1182 3 года назад
Salama is very talented, the way anavyoongea na muheshimiwa ni kama binti anaongea na babaake, her facial expression and the way she is enjoying the moment with mr. President! It is lovely! She is my star
@bjzee1981
@bjzee1981 3 года назад
Amejikaza kucheka
@chidiberbatov3613
@chidiberbatov3613 3 года назад
Ukiskia wahenga ndio hao watu wa pwani wana maneno yenye busara kubwa ndani yake...like kwa rais wetu mstaafu
@mrsmbaga6082
@mrsmbaga6082 3 года назад
Raisi asiye ogopa kuhojiwa raisi mwenye kujitambua mcheshi daaah mic u our father
@J4UPro
@J4UPro 3 года назад
Mmmh hapa unamaana yake siyo!
@captendunga1392
@captendunga1392 3 года назад
Kwani huyo ni rais?? Au unataka kujenga hoja... nishajua unachotaka kumaanisha ni kwamba hata MAGUFULI akiachia kiti ruksa kufanyiwa intervew.
@anahna6788
@anahna6788 3 года назад
@@captendunga1392 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 года назад
Nionyeshe interview aliofanyiwa Kikwete akiwa Madarakani...! Acheni mbwembwe..!
@alistairelias536
@alistairelias536 3 года назад
@@chiefmahucha6847 Zipo sana! Fanya usearch RU-vid utaona.
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 3 года назад
raisi wangu bora kabisa kuwahi kumuona very humble, mtu mwenye moyo safi na roho kunjufu mwenyezi mungu akuhifadhi raisi wa watu.
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita 3 года назад
Hii customer service is extraordinarrrrry yani tumeletewa JK mezani...guys, let's send more tip!
@mymussept3662
@mymussept3662 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-XUVR261lcZY.html
@lazaromtui1355
@lazaromtui1355 3 года назад
Alafu kuna washenzi wamepress 👎. Watz tuna mdudu kichwani
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 3 года назад
@@lazaromtui1355 hawajielewi hao wanaopress
@nassororamadhani6353
@nassororamadhani6353 3 года назад
Jamani like zenu mimi ndo mara yangu ya kwanza kukoment kwa sababu hii ndio interview bora sio tu ya mwaka 2021 bari ya miaka 20 iliyopita na ijayo
@salumhamisi6706
@salumhamisi6706 3 года назад
Mbunge wangu wa muda wote wa Chalinze, Rais wangu Mstaafu na the best of the best, Mzee wangu na ninaye jifunza mambo mengi kwake. Mungu akujaalie ukamiishe kitabu chako ili tupate mambo yote ulopitia. Itakuwa bonge la kitabu
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 года назад
Dada usiwasahau Mzee Mwinyi, Mama Maria Nyerere, mama Fatma Karume na mama Ana Mkapa nk kuwapa kipindi kama hiki. Ni raha kuwasikiliza hawa wazee wetu. Tuwaenzi. Hongera sana.
@brendachibura6040
@brendachibura6040 3 года назад
Jmn kusem kwel mpenzi wa Mungu huyu mzee napenda sana anavyoongea natamani asiache kuongea......but Salama hongera sana🙏🙏
@asanatimrisho1816
@asanatimrisho1816 3 года назад
Nampenda huyu baba jamanii Allah amlinde
@mrsmbaga6082
@mrsmbaga6082 3 года назад
Heshima kubwa sana kwa my favorite pressident ww ni raisi wa dunia hizo interview wanafanya wakina obama
@psychtoday7732
@psychtoday7732 3 года назад
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PY8aLdvh0CQ.html
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 3 года назад
Baba yetu kipenzi m.mumgu akumpe umri mrefu na swalih na akusameh madhambi yako ameen.
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 3 года назад
Baba yetu kipenzi 🇹🇿❤️✅
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 3 года назад
Watu wanaomshangilia Meko kuwa anafanya kazi kuliko Marais wote hao hao ndo naona wanakoment kummiss JK.Na kumuombea maisha Marefu kwa busara zake na uongozi wake uliotukuka, Watanzania tunapenda nini??!! Asante Sana Salama, Binafsi Viongozi Bora wa nchi hii Baada Ya Nyerere Ni Kikwete.
@leahmcharo7306
@leahmcharo7306 3 года назад
Hatari Sanaa's
@nicholausmaganza6192
@nicholausmaganza6192 3 года назад
Jk ni mcheshi Sana...m2 wa kufurahi, naenjoy sana kila nikitazama mahojiano yake, mungu azidi kumbariki na kheri juu yake
@bobrudala3784
@bobrudala3784 3 года назад
Nimefurahia sana historia nzuri ya kiongozi wetu Mungu azidi kumpa maisha marefu na afya njema,hongera zake dada Salama kwa kipindi kizuri
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 3 года назад
One of the best presidents ever in our country's history. His humbleness, decency, dignity and character are unbelievable!
@mikemrosso5679
@mikemrosso5679 3 года назад
Trueeee
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 3 года назад
Leo hii kwavile hayupo tena madarakani dah! Watanzania sisi sijui mchawi wetu nani, maana karika maraisi ambae ameshambuliwa na wanasiasa dah! Mh! Kikwete anaongoza maisikini alipewa majima kibao mpaka wengine wakafikia kumuita raisi wa wanawake maana ndio waliomkubali nahapa nanukuu maneno ya zito kagwe bungeni aliwahi kusema raisi gani kazi kucheka cheka tu na kula bata raisi kila kukicha ulaya hana muda na mambo ya ndani ya nchi, ni ubaridhifu wa fedha za watanzania, na akatoa mpaka kiasi cha fedha zinazotumika raisi anaposafiri na group lake na akasema tunahitaji raisi mkali asiecheka na mtu na hatutaki raisi kila kukicha ulaya hata akiumwa na mafua ulaya, sasa amekuja kinyozi ananyoa kwa msumeno, na anafuata walichotaka wanasiasa ila leo hao hao wanamsifia Kikwete, wakati kinyozi kipicha kwanza amemaliza miaka 5 hatapanda ndege kwenda ulaya na ameumwa ametibiwa hapa na hata mke wake amelazwa bongo sio ulaya mpaka amepona.
@jorampaulo7008
@jorampaulo7008 3 года назад
@@davidcurtis8556 jiulize kwanini wasisifiwe hao wengine?.kubali tuu kikwete is the best,kwangu Mimi namwita baba kumpa heshima stahiki
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 3 года назад
@@jorampaulo7008 huo ndio mtazamo wako kwa namna nilivyolelewa nilifundishwa niheshimu mtazamo wa mtu, pili soma japo mistari mitatu tu utanielewa nini namaanisha, hata huyu aliopo madarakani akitoka atasifiwa na kuambiwa hakuna mzalendo kama yeye.
@psychtoday7732
@psychtoday7732 3 года назад
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PY8aLdvh0CQ.html
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 3 года назад
Daah...dadaangu Salama hongera sana kwa kutuletea Mh. JK.
@whitneywhitney283
@whitneywhitney283 3 года назад
Hatareeee
@bongeone
@bongeone 3 года назад
Salama unahitaji heshima kubwa sana ktk tasnia ya utangazaji,mungu akuongoze...hii ni kubwa kuliko #JakayaKikwete💪
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 3 года назад
Salama hii interview umetutendea haki KABISA!
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 3 года назад
Hii niliisubiri kwa hamu kubwa sasa acha niangalie kwa amani ❤
@twalibuchilumbe7751
@twalibuchilumbe7751 3 года назад
Kumbe zile doji za xkonga tumepita na mapresd
@IsaacParuz
@IsaacParuz 3 года назад
Sijawahi ku comment kwa chanel hii.. It may take a lot to Express how I feel, but for few words (Thank you so much Guys, Mungu awabarikie team yote kwa kazi nzuri).. Si kwamba kutoku comment huko kwingine haina maana kwamba sijapenda kazi zenu, uwa nazipenda, Leo nilipoona hii nimezidiwa mahaba...hongereni salama na Team nzima..
@fredydonald1610
@fredydonald1610 3 года назад
Wewe kama unatak upepo kwenye nyumba ya makuti kajenge yako uishi... Hahaa we miss you hon JK
@faustinamahenge3563
@faustinamahenge3563 3 года назад
Kanichekesha
@khamissaid1156
@khamissaid1156 3 года назад
Hawa wazee wamefanya kazi kubwa sana nchi hii,tunapaswa kuwapenda ,kuwathamini ,kuwaheshimu, na tuwaombee mwisho mwema .
@ramadhanmohamed8851
@ramadhanmohamed8851 3 года назад
Hii nimeipenda salama your the best ww ni mwisho kwa kweli hakuna kama wewe
@jrsingham
@jrsingham 3 года назад
Daah kumb hata president alikuwa hataki shule duuh chama la utoro tumepata mwenyekiti 🤣🤣
@jamesmgalla3504
@jamesmgalla3504 3 года назад
Hahahahà hahahahaha 😂😂😂😂😂
@cosmaskimati730
@cosmaskimati730 3 года назад
Mjumbe apa no 3
@hermanaaron1320
@hermanaaron1320 3 года назад
Hahaha Duh imebidi nicheke
@annasamo7063
@annasamo7063 3 года назад
Hahaha
@editherkigabo9541
@editherkigabo9541 3 года назад
Hakika hii ndo interview ya kufungulia mwaka2021
@psychtoday7732
@psychtoday7732 3 года назад
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PY8aLdvh0CQ.html
@ramadhanseif4564
@ramadhanseif4564 3 года назад
All the best jk rais wangu bora kuwahi kutokea tanzania hakuna cha nyerere wala magufuli
@charlesphillip1855
@charlesphillip1855 3 года назад
hujaulizwa hilo acha chuki za kijinga
@rithapaschal8141
@rithapaschal8141 3 года назад
Mwenyezi MUNGU akutunze baba yetu tunakupenda ,tunakukumbuka sana kwenye uongozi wako thabiti na wenye huruma kwetu
@melkizedecknicodemus7020
@melkizedecknicodemus7020 3 года назад
Hii video inaenda kua trending mapema sanaa, Hongera sana salamaaa🔥🔥🔥
@mudymudy9989
@mudymudy9989 3 года назад
Duu yni kikwete mungu aendelee kumlinda jmani na mtangazaj salama jabir
@mymussept3662
@mymussept3662 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-XUVR261lcZY.html
@ellieayamba5299
@ellieayamba5299 3 года назад
yoooooo..... salaaaamaaaaa you brought us J.K.... Nimeshangilia kama naangalia mechi ya simba na Yanga... Love him😍
@mymussept3662
@mymussept3662 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-XUVR261lcZY.html
@ecabelmwai3474
@ecabelmwai3474 3 года назад
This is Major
@leonardinabalenzi4005
@leonardinabalenzi4005 3 года назад
JK kama JK. Tunakutakia maisha marefu uendelee kutulea kama mmojawapo wa wazazi wa taifa letu. Feeling blessed
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 года назад
Nampenda Sana huyu babajamani.I wish nikutane naye sikumoja.ntafurahi Sana. Nimcheshi,halingi,mzuri,tabasamu tamu.Mungu akulinde baba.
@naslee1010
@naslee1010 3 года назад
Dada yanagu #salama nakubali unacho kifanya hadi #mrjakaya duh! hii #kubwa kuliko🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@amosmahona433
@amosmahona433 3 года назад
Jk Mungu azidi kukujalia afya njema ili uzidi kutufundisha mambo mengi ya mazuri katika huu ulimwengu nimependa Sana mahojiano haya. 🙏🙏
@siyamyovela4356
@siyamyovela4356 3 года назад
Baba yetu Mungu akutunze saana was Tanzania tubakupenda saana
@omariamiri5556
@omariamiri5556 3 года назад
Miss you JK wallah Allah akupe afya bora na maisha marefu yenye baraka ndani yake
@msokeentertainment5720
@msokeentertainment5720 3 года назад
Aliyemaliza adi Mwisho Kama mm 👍
@jacksonmtumishi2157
@jacksonmtumishi2157 3 года назад
Mungu wa hajabu sana Jk , Umenikumbusha mbali sana . uliyoyapitia mengi Mzee nimeyapitia Dah !!!
@loveadventure1957
@loveadventure1957 3 года назад
🥰much LOVE to our old president❤
@ramadhanimohamedisheshe7073
@ramadhanimohamedisheshe7073 3 года назад
JK THE SECOND ALLAH AMPE UMRI MREFU HUYU MZEE....
@adidjakhalfani2661
@adidjakhalfani2661 3 года назад
Nimekuja apa sababu ya kikwete Allah akupe umri mrefuuuu🤲🤲
@abdallahsaidi2942
@abdallahsaidi2942 3 года назад
Safi sana
@BenjaminFMosha
@BenjaminFMosha 3 года назад
Kazi nzuri salama unajua kuhoji haumkatishi mgeni big up
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 3 года назад
He’s humble and charming 🇹🇿❤️
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 3 года назад
Nampenda sana JK wallah... My all time favorite person 😍 JK
@prophetsjeremiah1063
@prophetsjeremiah1063 3 года назад
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name.
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 3 года назад
😁😁😁😁😁😁
@chumayahaya9095
@chumayahaya9095 3 года назад
Wemzee umepitia mengi ndyomana mjanja sana unaelewa sana mtaa our former President Dr jakaya mrisho kikwete
@mtemi
@mtemi 3 года назад
Aisee hongera mno Salama. This is huge. Nakupea zawadi ya subscription mamangu
@Winstonfying
@Winstonfying 3 года назад
Safi sana, heshima kwako Mzee JK, nimefurahi kumuona hapa 👏🙏
@mwanaidhassan229
@mwanaidhassan229 3 года назад
Rais mu handsome africa nzima ❤️😁🇹🇿
@official_python.oglife2154
@official_python.oglife2154 3 года назад
Akifuatiwa na Barack Obama...
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
@@official_python.oglife2154 obama alikuwa raisi wa africa? 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
@official_python.oglife2154
@official_python.oglife2154 3 года назад
@@timothmwakakusyu4563 ila ukizungumzia waafrica waliowahi kuwa maraisi,yeye pia yumo..... ama hukuliona hilo
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
@@official_python.oglife2154 hapo sawa
@agnesmwita2474
@agnesmwita2474 3 года назад
Sure
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 2 месяца назад
Watanzania wengi wamegubikwa na unafiki apa kwa kuwa mko kwenye media mnaanza mungu akuweke mungu akunze mkitoka apo mnakaa mitaani mara rimonti ipo msoga akuna naye msadiki kukoment Kutoka moyoni mh shimiwa raisi mstafu raia wako tumekosa misimamo Kutokana na Hari zetu kiuchumi😢😢
@cheupemwanga3326
@cheupemwanga3326 3 года назад
Nakupenda sana JK
@davidnchoji
@davidnchoji 3 года назад
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakupenda sana.
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 года назад
A symbol for Democracy....In Tanzania and Africa....
@psychtoday7732
@psychtoday7732 3 года назад
Jinsi ya kumlea mtoto na afyaExtra ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PY8aLdvh0CQ.html
@gaspamwalukasa5900
@gaspamwalukasa5900 3 года назад
Angekua harmonize apa tungekoma na kingeleza mzee anajua kingeleza lakin atumii
@sniperislam4547
@sniperislam4547 3 года назад
Nice interview Nyumba zamn ndo 120 duh
@sultantany6091
@sultantany6091 3 года назад
Salama nilikuona jana ivi ulikua unashabikia azam ama mlandege? Alaf hongera kwa kumpata huyo mzee jk
@prosperkullaya4529
@prosperkullaya4529 3 года назад
Lol! Nice hair style keep up
@abdallahrashid1182
@abdallahrashid1182 3 года назад
Respect to Our lovely President, respect to Salama jebir!
@robertsemaganga9168
@robertsemaganga9168 3 года назад
Mh yupo huru sana . i like it
@haikaruwakrekamoo49
@haikaruwakrekamoo49 3 года назад
Jk a very good definition of a leader,so friendly,if I were to select again I will still choose you.
@ndalokacha7885
@ndalokacha7885 3 года назад
Jk tuna kukumbuka sana tupata raha ya maisha
@mikemrosso5679
@mikemrosso5679 3 года назад
👏👏👏
@avancavan4240
@avancavan4240 3 года назад
And another good thing about my favorite president he is a good narrator LIVE LONG MR PRESIDENT
@Exclusive22updates
@Exclusive22updates 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-BAGyXHcRN-k.html
@jackmeshack
@jackmeshack 3 года назад
Najaribu kumtafsiri JK. Mtu ambae hajioni, hajisikii, anajua utu. Nashangaa hawa wasiopenda kujadiliana na jamii
@dizzboss7526
@dizzboss7526 3 года назад
Hao wengine usiwaulize acha kabisa
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 3 года назад
Akikusikia dr ulimboka atakudharau sana
@danielalphonce1653
@danielalphonce1653 3 года назад
😂😂😂😂😂😂 kina nani hao hawataki kujadiliana na jamii? Sema upole wake ndo ulifanya akafeli kwenye utawala wake.
@hammylove1268
@hammylove1268 3 года назад
@@danielalphonce1653 usichokijua ni kwamba kila rais anatekeleza ilani ya chama alipoishia kikwete ilikuwa lazima aishie hapo vitu vinafanywa kwa utaratibu maalumu acha kuropoka au mpaka afe ndio mtamsifia?
@danielalphonce1653
@danielalphonce1653 3 года назад
@@hammylove1268 we unaelewa nini? Kikwete kafeli na ukweli lazima aambiwe, mwenzie sa'iv anapata shida na lawama kwa sababu yake. Mambo mengi angechukua hatua kama mkuu wa nchi wala Magufuli asingepata tabu ya kuliongoza Taifa...we yaelekea umesahau zama za JK... - waziri akiboronga anaombwa kujiuzulu tena kwa lugha ya kubembeleza. Any way tumuache apumzike, hata tukiongea sana haitasaidia lakini bora aelewe yeye ni Rais KIVURUGE aliivuruga nchi..
@khadeejaalmahri6217
@khadeejaalmahri6217 3 года назад
Mash Allah big up mstaafu wetu mungu akupe Maisha marefu hizi ndio ndoa alizotuusia mtumie wetu s aw hongera baba mungu amekupa mafanikio ya dunia na akhera inshalla
@davidnchoji
@davidnchoji 3 года назад
Salama wewe ni mkali sana, nimependa sana jinsi unavouliza maswali, Nakuoenda sana.
@cathberttomitho3761
@cathberttomitho3761 3 года назад
Interview nzuri sana. I like the courage
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 3 года назад
Nampenda Sana Rais Jakaya, my best role model
@bkmuba2079
@bkmuba2079 3 года назад
Tuta kukumbuka Sana baba yetu mwenye busara
@barakachalres9316
@barakachalres9316 3 года назад
Waoooooooooooh leo coment ya 7 asante sana dada Salama kwa kutuletea mtu mashuhuli na kipenzi cha watu kama huyu
@mabulamayunga4938
@mabulamayunga4938 3 года назад
Wisely man, politely man & strong politician
@ezralangborn214
@ezralangborn214 3 года назад
Nice
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 3 года назад
Very humble man 🙏🏾 Asante Salama kwa interview tumejifunza mengi
@victormichael6791
@victormichael6791 3 года назад
Niaje brooo
@kingchavala
@kingchavala 3 года назад
Hongera sana Salama! Umeweza!💪 Hii Nimeipenda! Haya mambo ya kijamii tu tunahitaji kuyasikia wakati mwingine! Na leo Nimejua kuwa Mimi na JK wote tumesoma Tanga School😅
@ashiraally527
@ashiraally527 3 года назад
Yaani huyu baba hazeeki mashallah kweri kuwa na furaha ni afya
@kanyika14kanyika16
@kanyika14kanyika16 3 года назад
Jamani muheshimiwa anazungumza vizuri 😍😍 we still missing you 😙😙
@estarkapinga6126
@estarkapinga6126 3 года назад
Nampenda Sanaa mh kikwete mungu aendelee kukutunzia wew
@dicksonchobanka1922
@dicksonchobanka1922 3 года назад
Nikimuona JK najifikiri leo Ningekuwa nafanya kazi gani. I love u my Hon.President
@abdallahomari9860
@abdallahomari9860 3 года назад
Ikulu Kam ikulu sasa. Msooooooogggaaaaaa. Mojaaaa JK Master
@TemuTV
@TemuTV 3 года назад
Wat a Big Move On podcast Ohh I can't believe ni yeyeee Mr President. I love this game congratulations salama kubwaaa sana hii
@nassorkatongo3621
@nassorkatongo3621 3 года назад
0k
@saidimatawilo2689
@saidimatawilo2689 3 года назад
Good interview
@bahatisichone6182
@bahatisichone6182 3 года назад
nampenda sana huyu mzee
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 3 года назад
Rais wetu uyo yupo simpo sana,, Mungu akusimamie kwakila jambo JK
@edwardobreymarunda496
@edwardobreymarunda496 3 года назад
We miss you JK.. Thank you Salama
@NELSON64916
@NELSON64916 3 года назад
Baba CJ. Mjomba anakunyoosha nini? Hahahah
@Exclusive22updates
@Exclusive22updates 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-BAGyXHcRN-k.html
@hamambuka5616
@hamambuka5616 3 года назад
Kazi nzuri sana Salama. Love from 254👍👍
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 3 года назад
Great Salama...kumkaribisha huyu Mkuu wetu.... I've learned a lot!!!!
@baumbachogero9410
@baumbachogero9410 3 года назад
Maelezo ya Rais Mstaafu JK yananikumbusha na mimi historia hiyo ya mfumo wa elimu ya mkoloni hadi 1965. Asante JK kwa kuwaelimisha wa leo mfumo huo wa elimu ya kikoloni. It was challenging and interesting.
@morganmunis6501
@morganmunis6501 3 года назад
The legendary himself! JK
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Nimecherewa lkn ngoja nitizame japo muda umeenda nakupenda sn salama 🤗😍
@itikaadam9756
@itikaadam9756 3 года назад
Salama kma salama Asnteee dadaake kwa kutuletea mtu muhimu kwetu ...🙏 Jk 2021 tunaburudikaaa
@chesadennis254
@chesadennis254 3 года назад
What a humble man!!! Former president kwa talk show ya vijana? Kenya haijaai tokea.
@binarytanzania
@binarytanzania 3 года назад
Wa tanga school tulike hapa
@trifainanjalika9643
@trifainanjalika9643 3 года назад
Dah jaman mrx prezda penda sana wew jaman we missed u jaman
@joycefelix9047
@joycefelix9047 3 года назад
Hi Salama Kindly Invite Mama Salma Kikwete/Dr Asha Rose Migiro/ Mama Samia Suluhu
@makamoarea5270
@makamoarea5270 3 года назад
Mzee huyu mwenyezi mungu ampe maisha marefu sana ntampa jina la JAKAYA
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 3 года назад
Mzee wangu Mwenyez Mungu akupe kla la kher na miaka mingi. Iwesh urudie urais
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 3 года назад
Kama unadhani utapata upepo kwenye nyumba ya makuti nenda kajenge yako 😂😂😂
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 3 года назад
Hahahahaha nimecheka bila kutaka yaani mzee huyu mcheshi sana
@zaitunkikoti5540
@zaitunkikoti5540 3 года назад
Mungu kampa mh mstaafu Jk hata Akisema neno kali lina toka soft
@bjzee1981
@bjzee1981 3 года назад
Lakini ki ukweli nyumba za makuti zina uzuri wake.
@jacquewilbert3636
@jacquewilbert3636 3 года назад
Hahahaaa
Далее
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
Просмотров 288 тыс.
His reaction 😳 (via @kaitlyn.b0506/TT) #shorts
00:10
Hamster Kombat 20 July Mini Game
00:13
Просмотров 10 млн
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
Просмотров 1 млн
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
Просмотров 1,3 млн
MPOKI NA MASANJA : MJOMBA KAJA NA DEMU | Part 02 |
10:48
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1
41:27
Просмотров 468 тыс.
Заячий Стон - Рот пятничный
0:55
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
Просмотров 56 млн