Kabisamaana lulu na hajaweza nahatoweza nibora wangempa kipande kingine nibora hatawangesema ni Mdogo ake femi nasiokua maria bado sana wamrudishe tu maria wetuuilio mzoea @@fatumakidoa4006
Lulu yupo super sana na atakuwa Zaid ya Mars,,kama Bill mpya tumemzoea na Maria mpya tumemzoea,,jumapili kaingiza vizur sana sana,,usihofu Lulu upo vizur sana watakuzoea tu kama bill
Nabado mtaisoma namba mtoto lulu anpiga na atapiga kaz jua Kali itaendea maria hawez kuasababish jua kali isiendee tup wengine tutaangalia wew kama hutaki bas wap wadau kibao wanaangalia mbon
Kifupi juakali saivi imekuwa mbaya alivyo toka Maria lamata mate wangu mrudishe maria Lulu nimzoefu wa kuigiza lkn kwa nafasi ya maria hajui kabisa kwakweli