@@nomar3708hao wazungu wanaosilimu hawajielewi. Wewe unayesema biblia ni upuzi pia hujielewi. Nguzo za imani ya kiislamu zipo sita unazijua? Mojawapo ni kwa kila muislamu kuwajibika kuamini vitabu ( siyo kitabu kimoja) vya Mwenyezi Mungu. Sasa ukiwauliza waislamu wavitaje watasema ni Taurat, Zabur Injil na Kur'ani. Biblia ni neno la kigiriki maana yake vitabu. Sasa vitabu vilivyopo ndani ya biblia ndio hivyo hapo ila Kur'ani haipo ndani ya biblia! Sasa ni wazi kuwa kila muislamu anawajibika kuamini Biblia pamoja na Kur'ani na siyo Kur'ani pekee. Sasa hapo nani mpuuzi kati ya biblia na wewe uliyesema biblia ni upuuzi?
Mzee simba ulanga ulikuwa inafanya vurugu Mazinge akiogea mnaongea baada yake kuvuruga mawaidha na saa zingne mlikuwa mnaita polisi kwa kusema kuwa mmefanyiwa vurugu. Nilikuwa nashuhudia pale msasani Mazinge alifanya kazi kubwa sana
Wewe umechanganyikiwa,kwani Waislamu tukisema Yesu ni Issa tunapata faida gani?Au Wewe ukisema Issa sio Yesu unapata faida gani?Sisi hatusemi Yesu ndiyo Issa kwa akili zetu wala matamanio yetu bali ni Vitabu ndivyo vinasema Yesu ni nani?SOMA QURAN 3:50-51/SOMA QURAN 19:30-34 Na Habari za Yesu na ukoo wake yako kwenye Quran kwa wazi kabisa soma Surat Ali Imran.Huyu Mzee nae amechanganyikiwa hetu Mwokozi;sasa Mtu hawezi kuwa Mwokozi?Jeshi la zima moto haliokoi?Labda atuoneshe ayah isemayo Yesu ni Mungu na aliumba viumbe sisi hapo ndiyo tutakubari lakini anapiga porojo tu haoni aibu kufa akiwa hajitambui?Swala la kuchinja sio matakwa ya Wakristo wala Waislamu tu Wenyewe bali ni sheria ya Mwenyezi Mungu :-QURAN6:118 Kama Mzee Simba Uranga unachinja nyama kwa ajili yako hakuna shida lakini kama unachinja kwa ajili kuwauzia Waislamu hiyo sheria hauna,Waislamu tunakula nyama inayochinjwa kwa Majina ya Mwenyezi Mungu sio Nyama inayochinjwa kwa jina la Mtume Yesu na Wanyama halali na vyakula halali kwa mujibu wa Quran:Soma Surat Al Maaidah aya ya 5 na kinachokufanya utumie nguvu nyingi kutunga vitabu vyako ni nini?Jibu ni kwamba unalazimisha kuisemea Bibilia maneno ambayo haikuyasema kwa mapenzi yako sasa Mimi ninakwambia hivi Quran haiitaji kusemewa na mtu kwa maneno yake ya pembeni:Quran sheiria zote zimo kwahiyo ndiyo ujue kuwa dini sahihi kwako Wewe Mzee na watu wote ni Uislamu sio vinginevyo!
@@halidimgonza5945 hata mkasirike na mpasuke , Isa hawez kuwa Yesu kamwe😅😅 soma biblia ya kiarabu utakutana na Yesoo Al Masih, na sio Isa ..huyo Isa wa kwenu nyieeee. Ila kwakuwa hata kusoma huwa hamsomagi mnasubiri mazinge ndio awasomee basii endelea kuwa hivyo hvyo
@@0badiaMwasongwe-rt1wr ww ndo umepotea kbs waislam tunafuata Qur-an na mafundisho ya mtume na mazinge ni muhadhir wetu anayekubalika kw7bu anawafundisha nyie MAKAFIRI na kuwatoka ktk kiza kuingia ktk dini ya kwel y kiislamu izo ni chuki tuu kw prof. Mazinge, soma vitabu uelewe usifuate mkumbo
Ukristo sio dini ni imani hapo tu kwanza tunashangaa wanavyo lazimisha kuwa ni dini. Wao kama wana dini sawa ila sisi ni YESU mkuu wa imani hii MUNGU ALIYE HAI
Kwa mtu aliefungwa akili na majini Yani mashetani hawezi kukuelewa nahasa hao wanaosemakwamba Yako mashetani mabaya na mazuri lkn unaeleweka sana tu mtu wa maana sana kazi Yako sio bure pambana Ili umalize vema tuko mwishoni barikiwa Mzee wetu
Yesu na ISSA ni watu wawili tofauti, biblia haijawahi kumuandika issa, kuzaliwa kwa issa na Yesu ni vitu viwili tofauti. Yesu ndio kweli yenyewe, haki inakuja ukianza na ukweli
Ni Mungu tofauti. Mungu wa wakristo. Amejifunua kwa wakristo katika nafasi tatu. Nafisi Baba, Mwana na Roho mtakatifu ambaye ni mmoja. Wasilamu Mungu wao mmoja Hana mtoto au hazai. Wakristo vitabu kama Ufunuo. Injil ya Yohane, Kitabu cha mwanzo, Isaya. Zaburi. Baadhi tu hutumia kuonyesha Kuwa Mungu huyo mmoja amejidhirisha kwetu kwa nafasi tatu. Melkizedeck kuwani aliishi salemu. Hakuzaliwa , Hana baba wala mama, Hana mwanzo na Hana mwisho. Ila alihishi duniani na alipkea sadaka za Nabii Ibrahim. Huyu alikuwa nani? Kama si Mungu au Nafasi moja ya Mungu kama wanavyokiri wakristo. Soma Injil ya Yohane na Kitabu cha ufunuo. Kinaelezea mwanakondo kuketi kiti kimoja na Mungu na kuwa na macho saba. Na macho hayo saba ni roho saba za Mungu. Tuumbe mtu kwa mfano wetu. Kitabu cha mwanzo. Wasilamu wanakataa Mungu huyo. Wao ni mmoja. Wao 1+1+1=3. Wanasahau kwamba ipo pia 1*1*1=1.
Mungu wa upande wa waislam anaonkana uwezo wake ni mdogo. Mungu wa wakristo anaonkana uwezo wake hashindwi jambo. Imani ya Islam ina swali la inawezekanaje juu ya Mungu. Ukristo wenyewe hauna hilo swali. Inampa Mungu uwezo na haki ya kutenda atakalo. Wakristo wanaamini kwamba Neno anayetajwa kwenye Kitabu cha mwanzo. Alivaa mwili ndani ya Tumbo la maria. Akawa mtu ili afanye ukombozi na kumtambulisha au kumfunua Mungu kwa wanadamu. Haya yapo kwenye vitabu vya injil zote. Mitume wa Yesu walitaka Yesu awaonyeshe Mungu Baba. Akawajibu kwamba amekaa nao mda wasimtambue?. Kivyo kwa Imani hizi mbili hazikubaliani umungu wa Yesu na Roho mtakatifu. Kwa asili ya uumbaji sote asili yetu ni moja. Baada ya Yesu tunaabudu Mungu tofauti. Na iyo aishangazi. Yesu alisema mtawala wa ulimwengu yuko na ameanza kufanya kazi.
Yesu mamaake maliam issa mamaake maliam embu tuwambie kwaelimu yako manabii wangap amezaliwa pasipo baba kama wanafika wawili utuambie uje utuletee tofauti ya issa na yesu alafu ao jamaa zako wanakusapot eti unaongea ukweli sumu ulio wapa watuwako ni nyingi uzee uo unakalibia kwenda kwa mungu fanya utubu baba kama pesa tayali unayo🙏
Kama hafananishwi, kwanini yeye MUNGU aliesema, tuumbe MTU kwa mfano wetu. Maana ya mfano ni nini? Viumbe wote hawafananishwi na MUNGU, isipokua ADAMU na wanadamu tu,, ndio maana hata malaika mkuu yule wa kwanza kuumbwa kabla ya viumbe wote, yaani shetani, aliamliwa kumsujudia ADAMU, na, akakataa,, swali! Kwanini ADAMU asujudiwe? Na anaestahili kusujudiwa ni nani? Nipe jibu. Na hilo, la shetani kuamliwa kumsujudia ADAMU, hata kwenye Quran yenu hiyo aya ipo.
Mpaka Leo Bado wakristo mkoa wa rukwa (w) ya nkasi kule Kilando . Wananchinja wao nakuuza katika bucha za wakristo. Mdahalo mwingine ulifanyika sumbawanga mjini pale msakila alikuwepo kinyogoli shafii na mazinge Simbaulanga nikidume kweli😁😁😁😁🤣
Profesa MUSSA NGOGO NA PASTOR IMANI PETRO HAWA NIWAKRISTO WASOMI WALIACHA UKRISTO NAKUWA WAISLAMU ...NITAJIE WAWILI WALIOACHA UISLAMU NAKUWA WAKRISTO...KISHA TUWAPIME...ACHENI UONGO NINYI SIKU YAKIYAMA NINZITO MNO.
Katika ukristo unahubiriwa ili umpokee yesu, hakuna vitisho vya mauaji endapo atahama dini, upande wa pili ni shida mtu analazimishwa kinguvu awe dini hiyo na yule anayehama yupo hatarini kwa kifo . Kule Iran watu wanaingia ukristo kimya kimya ole wako ujulikane. Ulaya hawalazimishi watu wawe wakristo, nenda arabuni uone. Maajabu wahamiaji wanawakimbia ndugu zao katika Iman na kukimbilia kwa makafiri ulaya. Yaani hawajui kinachowavuta ni upendo wa kristo kwa watu wote walioupokea watu wa ulaya
Wakati hizo nikisoma form five na six Dar Sheikh Mazinge na Simba ulanga msasani .Mzee simba ulanga akipinga uislamu na watu wanasilimu tu nafikiri ilikuwa 2000 mpaka 2004 ndio nilikuwa Dar
Mzee wetu Simbaulanga bado ana nguvu, nashauri awe anafanya mafundisho au mafafanuzi ya mada mbalimbali alizoandika kwenye vitabu vyake. Awe anarusha kwenye You Tube na mitandao mingine, atasaidia sana wakristo kuelewa kwa undani ukweli wa imani yao vs imani ya Kiislam.
Hakuna kilichogeuzwa wakristo watazame kinachosemwa kama hakimo wao hupokea kinachotungwa na wachungaji na kukataa wanachokiona kwa macho wakristo bhana 😂😂
Yesu hakuoa Issa alioa Yesu ni mwana wa Mungu,Issa hatujui ni mtoto wa nani Yesu alifufuka Issa hakufufuka Yesu alihubiri habari njema ya uokovu ,Issa alikua nabii wa kiislamu Jina la yesu linaokoa ,jina issa ni la kihistoria na nabii wa waislam Yesu yu hai anaishi hata leo,issa alishajifia huko Msilazimishe wafanane hawa ni wawili tofauti kitabu chenu kimeandikwa kwa kuiba iba kwenye biblia ili vifanane
Hayo huwezi kuyaelewa kwa sababu huijui biblia unasomewa na hao mashehe ubwabwa kama unataka kuelewa soma vizuri hivo vitabu vyote kwa lengo la kuelewa utapata ukombozi katika maisha yako
@@afropatriot7769soma vizuri hakuna hizo tofauti. Ukweli ni kwamba tujisomee hivi vitabu vya kiimani wenyewe kwa makini sana. Lugha za kimungu zinahitaji ujuzi sana. Nilishangaa sana kwamba Yesu wa bible kwamba akiludi atahukumu wazima na Wafu. Pia kile kitabu cha ufunuo kinasema ule Mji yeye atakua ndiye taa na Mungu ndiye hekalu la huo Mji.Watakatifu na wote watasujujudu kwake na Baba. Bible inashangaza kidogo tena, kwamba katikati ya watakatifu na katikati ya kiti cha enzi alimuona mwanakondoo aliyechinjwa akiwa na macho saba na ndizo roho saba za Mungu. Basi ni Nani basi?. Bible inataja kisa cha Ibrahim kukutana Na kuhani mkuu Melkizedeck kule Salem, leo hii Jerusalem. Huyu kuhani bible inasema yeye Akuzaliwa hakuwa na mama wala baba. Hana mwanzo au mwisho. Tena anafananishwa na Yesu katika agano Jipya. Huyo kuhani ni nani?. Kwa nini Hana mama au baba. Kwa nini Hana mwanzo au mwisho?. Ni Mungu mwenyewe?. Quaran nayo ukifuatilia baadhi ya mambo nayo inaibua maswali mengi tu. Unaweza kuhitimisha kwamba upo ubinadamu tu. Wengi wetu na sayansi tunaelewa kuwa Radi ni umeme. Inakuwaje quaran tukufu itwambie ni malaika au ni kwa nini Mungu asahu uumbaji wake?. Kufanana kwa watoto na wazazi kwa Quaran mbona ni kinyume na sayansi. Ishara ya mwezi kugawanyika Ili Mtume tumwamini ni kweli mwezi sayansi inasema umegawanyika?. Dhana ya uadilifu kwa kiongozi ikoje?
Hoja. Kimsingi nani wa kuaminiwa zaidi Kati ya Mtu anaye simuliwa jambo na yule aliyeshudia kwa macho?. Islam inaonekana kuanzishwa miaka 610 AD. Injil zote agano Jipya zimeandikwa na watu waliomwona Yesu na kufanya kazi naye. Mtu ambaye kaja miaka 610, ushaidi wake unawezaje kuaminiwa zaidi?. Kwanza haya moja ilitelemshwa na ilipoonekana akidhi Mungu alitelemsha iliyo bora zaidi?. Unakutana na Hadithi za kiimani kwa nini usione shaka?.
Wazungu wenyewe wameacha ukristo na wanaingia makundi kwa makundi kwenye dini ya haki, uislamu. Mumebakia nyie tu waafrika mnashikilia uongo ulioandikwa na paulo
Boya wengi tu, Imani ni jambo gumu sana. Quran inasema Jua huzama na kuchomoza wapi?, haramu kutoka kwenye uso wa Dunia kwenda anga za mbali? Kufanana kwa watoto na na wazazi hutokea vipi?. Radi nini?. Mtu mzima mwanaume kunyonya?. Mvua hutoka wapi?. Kuoa mateka wa vita?. Maji ya zam zam?. Shetani kukaa usiku kwenye pua?. Shetani kuishi chooni?. Elimu ya makini?. Haya nayo ni ukafiri?
Mathayo 12:34 [34]Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake. NDIYO YALIYOJAA MOYONI.
Mkirsto hana dini akichinja ni umekula mfu. Na mkiristo hana hoja ndiomana wanamiminika kwenye uislam.lini ukaona wakiristo wanamiminika kweny uislam?ukweli ni uislam pekeyake
Mtu,akitaka kumjua MUNGU kuwa ndio YESU Mwenyewe aokoke awasikilize wanaomwabudu ili wajue kweli. Kwa maana akizungumza asiyoyajua ni kwa sababu hajui Mambo yote na kweli ni wazi hayajajifisha,Mungu yupo yaani YESU KRISTO,wataomwamini wataokoka na kuingia mbinguni wasiomwamini Watakwenda kwenye ziwa la moto (jehanamu) .Ukihitaji msaada katika hili maine mchungaji Aliye mwamini YESU,mfano Mchungaji Ulanga n.k
ww mzee simba ulanga unawapotosha MAKAFIRI wenzio lkn ukwel unaujua km ukristo si dini ya mwenyezi Mungu mtakuja chomwa motoni nyie na unamuogopa mazinge kuliko chochote
isa sio kiarabu.... musijichanganye... isa ndio jina original kama musa na yusuf..yakub, ishak ibrahim yote si ya kiarabu ila yameandikwa kwa lafudhii ya kiarabu
@@FrankMushi-cs5js ah we nawe wewe si unasema yesu ni mungu? ametairiwa vile? so anayo chululu ? acha kuniambia jambo kama mungu wako ametairiwa na viumbe wake..
Wakristo wanaehamia uislamu, ni wale wasio jua kitu, au kwa tamaa zao za kimwili! Akiwa mwanamke,, sababu kapata mwanaume muislamu,, na akiwa mwanaume amepata mwanamke wa kiislamu,,, mkisto mwenye nguvu ya KRISTO nafsini mwake hababaishwi na vitu vya kimwili, maana hivi vipo duniani tu! Kwa upande wa sisi wakristo wenye nguvu ya KRISTO nafsini mwetu, hata angekuja mwanamke mrembo kuliko malaika, siwezi kumwacha YESU, na hata nipewe pesa na thamani zooote za dunia hii, sitamwacha YESU kamwe! Maana nilikuja uchi, na nitarudi uchi, nilikuja bila mke, wala pesa, na thamani, nitaenda peponi hali nikiwa sina hivo vyote va duniani,,, Sasa kwenu nyie waislamu ni sawa kulinganisha vitu va kidunia na pepo yenu,, maana pepo yenu nyie mmeandaliwa wake 1000 wa kuwakaza huko. Sisi wakristo pepo yetu haina kuowana.
Pole,, sana,, kwakua unamacho ya kutazama, lakini, huoni, una masikio, lakini hutasikia kamwe,, uislamu ni dini ya kurisi, na UKRISTO unatafutwa kwa nguvu! Na Si kwa kurisii,, MUNGU mwenye enzi, anatuthibitishia kuwa,, wenye nguvu ndio wataiteka pepo.
Hakimu wa kiyama ni YESU KRISTO,, na sio muhamadi! Siku ya hukumu,,, hatasimama, ibrahimu, musa,daudi, sulemani, ismaili, wala muhamadi,, wote tutahukumiwa na bwana YESU.
Hakuna muislam anapindisha biblia umri wote huo Mzee unasema uongo ingia kwenye mihadhara upinge kwa maandiko kama unasema kweli usizungumzie vichochoroni
Wakristo hawashindani kwa hoja ili kutafuta mshindi bali kuelimishana na kusaidiana uelewa juu ya kumtafuta Mungu anayesikia na kuelewa ni sawa na asiye elewa pia sawa maana ni ukweli dhahiri kwamba Imani moja huweza kuwa uwendawazimu kwa Imani nyingine
Uongo ni jadi yenu,kigoma nilikuwepo,waisilamu ndio mliandamana mkatishia kuwaua kwamba wanadhalilisha uisilamu wenu,ilikuwa viwanja wa kanisa la moraviani
Kuhama Imani ni kawaida sana. Mwanadamu amepewa karama ya kushawishika na kufanya maamuzi binafsi. Lakini kuhama aina maana ndio umeingia mbinguni. Bible inasema mwana wa Adam akirudi atahukumu wazima na Wafu. Huyu ndiye wa kuhamia tu. Islam imeiga kazi hiyo ya Yesu siku ya mwisho na kumpa Allah. Mwanadamu tunatafuta ukweli wakati wito.Yesu ndiye mwenyewe mamlaka ya mwisho kwa wenyewe mwili. Kila Goti litapigwa kwake
Yesu sio Issa , na Issa hawezi kuwa yesu kamwe, huo ni mpango wa shetani kuleta mtu anayefanana na yesu ili kupotosha. - Mama yake issa ni mariam ambaye ndugu wa haruni ambaye aliishi kipindi tofauti kabisa na ujio wa yesu kristo duniani. Yesu aliteswa msalabani , aliishinda mauti na akapaa mbinguni. Yesu atarudi kuja kuchukua walio wake(na wewe unalijua hilo) wakati huo issa anangojea hukumu. Yesu ni alizaliwa kwenye holi la ngombe wakati issa alizaliwa chini ya mtende . Pia sauti siku zote yesu ilitoka juu wakati issa anazaliwa sauti ilitoka chini. Mimba ya mariam mama wa Yesu kristo ni miezi tisa, lakini inaonesha mimba ya mariam mama wa issa ni muda huo huo alipata mimba akashikwa na uchungu na kwenda kuzaa. Ref: Maryamu" (19) kuanzia aya 16 - 35. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipojitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.(Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mcha Mungu. (Malaika) Akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako ili nikubashirie tunu ya mwana aliyetakasika. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanamume yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba? (Malaika) akasema: Ni kama hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lililokwishaamuliwa. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningelikufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa! Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji! Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu. Basi kula, na kunywa, na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu yeyote basi sema: Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ya kufunga; kwa hivyo leo sitasema na mtu. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu! Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi? (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai. Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapolihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.