Тёмный

KIMENUKA; MCHUNGAJI HANANJA AFICHUA YOTE YA TB JOSHUA, WAKRISTO WAMEPAGAWA NIGERIA IMESIMAMA YOTE .. 

Maks Media
Подписаться 140 тыс.
Просмотров 140 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

11 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 418   
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 7 месяцев назад
Kuanzia Leo nakuita Dr Hananja Hekima zako wengi hawana Big up!! babu yangu Kwa majibu yaliyojaa hekima ndani yake
@maliproductiontv5708
@maliproductiontv5708 7 месяцев назад
Nakuunga mkono atunukiwe na vyuo
@rahabuibrahim5324
@rahabuibrahim5324 6 месяцев назад
Huyu mzee tuna hazina aisee nilimchukulia rahiss kumbeeee duuuu dhahabuu kuliko watu naowajua kanibariki sana
@wiza2309
@wiza2309 7 месяцев назад
Mch Hananja ana Neno, ndiyo maana anaweza kujibu kila aina ya swali kwa Neno, wengibwetu hatuna Neno ila tuna maneno, ni kelele tu kwa jamii na mbele za Mungu. Mungu ambariki sana kwa kazi hii ya kufundisha kupitia mitandao, ni kazi njema na inawafikia watu wengi zaidi walio Wakristo na wasio Wakristo wote tunasikia Neno la Mungu kwa usahihi
@leahmollel6589
@leahmollel6589 7 месяцев назад
Mch Hananja Mungu akibariki sana! Wewe ni hazina kubwaaa👏👏👏🙏🙏🙏
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 7 месяцев назад
Hananja ni mchungaji mwenye uwezo mzuri wa kusimamia kweli ya Neno la Mungu
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 6 месяцев назад
Mchungaji nimekupenda sana Mungu akuweke na akupe maisha marefu na tusiitafute laana Kwa kuongelea vitu ambavo havipo kama wanaweza wapambane na walio hai
@petermbise
@petermbise 7 месяцев назад
Mchungaji Hananja nafurahia majibu yako yakiçhungaji Mungu akupe Hekima yakutoa majibu.
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 6 месяцев назад
Asante sana mutumishi wa Bwana kwa ujumbe muzuri, karibu tena kwetu IOWA, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
@josephmandelapenet4587
@josephmandelapenet4587 7 месяцев назад
This Man was an extraordinary he shook the world when he was alive and still shaking when he is dead
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 7 месяцев назад
Exactly 💯
@annastaziamwakasege1366
@annastaziamwakasege1366 7 месяцев назад
Very true
@jbm6309
@jbm6309 7 месяцев назад
He was a true man of God
@Theinspector21
@Theinspector21 7 месяцев назад
He was a high level witch doctor. Even Hitler did the same.
@kibandaumiza161
@kibandaumiza161 7 месяцев назад
Laiti kama TB joshua angekua Mzungu basi hio documentary ingekua ya masia wa Karne hii. Moja kati ya mkakati uliopo nikuopress the african Superiority. TB a was great Man of God.
@sweetlisious
@sweetlisious 7 месяцев назад
TB Joshua alikuwa anapinga ushoga na juzi papa aliongea kuhalalisha ushoga wameona makanisa ya kilokole mengi yamepinga sasa wameona wapitie njia ya kuchafua ulokole na wameshindwa.
@geofreymilinga2965
@geofreymilinga2965 7 месяцев назад
Kweli Kabisa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад
Yes, na mkakati mwingine ni kuua Imani ya kikristo! Hapa wala hoja sio tbjoshua
@apostle_AngazaGN
@apostle_AngazaGN 7 месяцев назад
uko sahihi kabisa,mtu mweusi awe chini kufuta legacy yake kabisa
@godson.gidion7338
@godson.gidion7338 7 месяцев назад
Mchungaji wetu,ni Yesu Kristo, Haya yoooote ni kuchafuana,Wapeleke huko Ushoga wao,kwani Mchungaji wetu Hananja, Yupo sawasawa, Yaani sijui hao wanaojitokeza kumchafua Mtu ambaye tayari ni Marehemu ATI inawasaidia nini ?
@aminakupila3079
@aminakupila3079 7 месяцев назад
Tb Joshua is true man of GOD nimefadika sana ktk maombi hadi sasa. He told us before his death watch and pray 🤲🙏🙏🙏
@sweetlisious
@sweetlisious 7 месяцев назад
walidhani wataharibu ukristo ..ukristo utasimama kama Mungu alivyotupa imani
@TinaNicolaus
@TinaNicolaus 7 месяцев назад
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Una maneno ya hekima na busara sana.
@daphnemasogange7353
@daphnemasogange7353 7 месяцев назад
T b Joshua was a true sevant of God, we miss you our father
@dancanmwamafupa6806
@dancanmwamafupa6806 7 месяцев назад
Mungu ndiye ajuae usimsemee kwa mengi tutaona na tabia ya mtu si kuonekana unahubir tabia ya mtu ni pale anapokuwa peke yake kila binadamu ni mtumishi wa mungu jukumu la binadamu kuumbwa ni kumtumikia muumba wake
@sweetlisious
@sweetlisious 7 месяцев назад
Hananja una akili sana kwa kusimama na ukristo Mungu akubariki.
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg 6 месяцев назад
Asante sana baba kwaufafanuzi mzuri, jamani mtaraniwa kusema vibaya watumishi wa bwana. Mungu tusamehe.
@fatumaminyeko1875
@fatumaminyeko1875 7 месяцев назад
Amen Amen neno dokilakitu baba ubarikiwe Sana mtumishi
@janetkiewo351
@janetkiewo351 7 месяцев назад
Walimsema Bwana Yesu ubaya wa kila namna yeye akiwa mti mbichi watamwachaje T.B. Joshua? Shetani anatafuta kulipa kisasi alikanyagwa sana na T.B. Jishua. Hakuna jipya. Bwana Yesu aliwaasa wanafunzi wake kuhusu haya haya! Mungu ailaze pahali pema roho ya T.B. Joshua.
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 7 месяцев назад
Alikuwa wakala wa shetani
@goldmansun5859
@goldmansun5859 7 месяцев назад
​@@paschalsafari9747yesu alikuwa wakala wa shetani?duuh wew kwel duuh, rudi kuzimu muda wenu bado haujafika
@lellovenance5702
@lellovenance5702 7 месяцев назад
Watu walitishwa waliogopa kufa alikuwa na pawa haya yule aliyemfata akiwa anajirekodi mbona alijikataa tena mbona ni kikundi cha watu, lakin yesu alionya watakuja watatumia jina lake vibaya
@goldmansun5859
@goldmansun5859 7 месяцев назад
@@lellovenance5702 hivi wew kwa akil zako mtu anabakwa mara tatu, wanafunz wak weng tu wanapinga hiyo ishu, tb Joshua alishaingia kweny ugomv na media na magharib alipokuwa against ushoga bro, tatizo lilianzia hapo, fuatilia, Yesu mwenyew katukanwa na kasingiziwa mengi, soma talmud utajua, matunda ya tb Joshua meng ni mema, hta nafundisho yak,nafikir tujikite kweny mazur maana mengi sana achana kusuport huu uongo, pawa gan wew mbele ya bbc
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 7 месяцев назад
Siku za mwisho zinaambatana na watu wenye tabia hizi zinazoendelea hakuna jipya mtumishi.
@user-fu9sn1yr4x
@user-fu9sn1yr4x 7 месяцев назад
Mungu akubariki mch Hananja
@osianamwabuka2321
@osianamwabuka2321 7 месяцев назад
Hao ni mawakala wanatafuta kupotosha kanisa la Mungu,sio wakristo wala wanafunzi wa yesu kweli
@loemaangelo8779
@loemaangelo8779 7 месяцев назад
Mungu akuweke muda mrefu ili uendelefe kutuelimisha nakutufundisha hekima mungu awe pamoja nawe daima
@user-dm3sq2yw5b
@user-dm3sq2yw5b 6 месяцев назад
Ukiona vizuri hizi ni roho chafu zilizotumwa kushambulia watumishi wa MUNGU na kuwachafua,lengo ni kushambulia watu imani zao wasimwamwini MUNGU na YESU ili wasiabudu MUNGU, shetani awapate vizuri,..ni vita ya kiroho hii, na nyakati za mwisho hizi watumishi wengi wa MUNGU wanafedheheshwa na kudharirishwa sana..imani ya YESU inashambuliwa sana..
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 7 месяцев назад
Ukichunguza mamilioni ya wanawake waliokua wakimuendea TB joshua atawabaka wangapi au alikua na nguvu za kiume za kiwango gani.hamna binadamu wa hivyo nafsi inakinai chakula au kinywaji hata kiwe kizuri kwa kiwango gani.kwa umaarufu cheo haiba na pesa aliyokua nayo mchungaji hakuna mwanamke yeyote ambae angeombwa akachomoa.Ukiwa na pesa hata ukiwa na sura mbaya unaonekana HB mtanashati.labda wambake wao.
@annasolomon9855
@annasolomon9855 7 месяцев назад
😅😅 umeongea point nzuri Sana 😊
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 7 месяцев назад
Yani Watu wa Africa tunasumbuliwa vitu 3 Umaskini,Ujinga na Fikra hasi. Yani Hawa watu wa BBC uwa nawaita Bible Bandit Church Uwa Ni shirika la Shetani ambao wanasubiri watumishi wa Mungu hasa wa Kiafrica wenye uwezo mkubwa kuliko wao kiroho wafe au wawaue ndo wake na documentary za kuingiza pesa nyingi izo pesa wamewekeza kwa waafrica tena ili wazidi kuwachafua wenzao. Angalia Hawa ndio wanaoeneza ushoga kwa Kasi Africa kwa pesa alafu angalia mashoga walikuwa wakienda kwa TB Joshua kufunguliwa na wengi hasa wa kutoka Africa kusini walihacha ushoga. Ilikuwa Ni Vita ya away Wa BBC naTB Joshua. Angalia vijana wakiislam waliohacha kupambana na chi zao waliofunzwa na magharibi ugaidi.Alafu bado eti Ni wachunguzi. ?😊N😊😊
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад
Wapuuzi kweli
@mwanobruno
@mwanobruno 7 месяцев назад
Hakika Hawa watu wanaibua makaburi Kama waliuona anawatesa au anawbaka walitakiwa wamwendee na kumwambia
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 7 месяцев назад
Sasa BBC hawahawa wanaotetea ushoga wana nini la maana la kutwambia bwana!!!!
@dorcasmasinde7349
@dorcasmasinde7349 7 месяцев назад
Asante sana mtumishi wa mungu kwa majibu ya hekima kama ya mfalme Suleiman mungu na akubariki sana.
@user-fw1nv1nt4n
@user-fw1nv1nt4n 6 месяцев назад
Mungu akubariki mchungaji Ananja kwa hekima ya Kiungu
@angle3600
@angle3600 7 месяцев назад
Nimecheka nimecheka hapo pa watumishi kuhaha,utadhani mganga kaona msekule😂😅
@mauajuma3762
@mauajuma3762 6 месяцев назад
Asantee Baba Mchungaji kwa Hekima zako,wengi tungejua hivi
@noeldismas7340
@noeldismas7340 7 месяцев назад
Dr. Hananja, umebarikiwa na hekima kubwa, Mungu akubariki mnoo, endelea kuelimisha jamii
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 7 месяцев назад
Mwanangu alipokea uponyaji 2016.Na mimi nilipokea blessing nyingi mimi na familia yangu.YOTE YANAYOSEMWA NI UONGO .HAO WALIFUKUZWA KANISANI KW UTOVU WA NIDHAMU.MAAJENTI WA SHETANI.
@brendajulius2995
@brendajulius2995 6 месяцев назад
Kwani waganga hawaponyi wala kubariki ?? Ndugu chunga sana yule mwovu asikupokonye
@PhilomenaStephern
@PhilomenaStephern 7 месяцев назад
NI NJIA YA MPINGA KRISTO. WANACHAFUA WATU WA MUNGU ILI KONDOO WATAWANYIKE. NA WATUMISHI WENGINE WASUBIRI YAMETABIRIWA NA WAKRISTO WENGINE MAMBO YANAWAIJIA OMBENI SANA MAMBO YAMEANZA MTAONA NA MTASIKIA MENGI. TUOMBE SANA SANA WAKRISTOTUKO VITANI TUOMBE SANA.
@nestasanga8433
@nestasanga8433 7 месяцев назад
Umenena mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana,wanapigana na imani Yetu Ili kuzika ukristo na Imani zetu,hawataweza
@stellahebenezer6729
@stellahebenezer6729 7 месяцев назад
Mchungaji hatujaharibikiwa kwa kwenda kule. Mimi nilikwenda kule kwa ajili ya uponyaji nilipona. Na kiwango cha imani kilipanda. Mtumishi yeyote wa ukweli wa Mungu aliye hai lazima apitie hayo yote. Accussations, intimidations, etc. Kama aliyopitia Bwana Yesu. Hiyo vita ni ya ukristo sio ya TB Joshua. Wanataka kuanzisha dini moja dunia nzima, sasa laxima watafute mbinu za kuwapata waumini. Na wenye imani haba na wale walio kuwa affected na vita hivi watapatikana. Prophet TBJoshua ni nabii wa ukweli wa Mungu. Na amevuna nafsi nyingi sana dunia nzima kwa Yesu Kristo.Sasa zile nafsi zilizovunwa ndio tatizo. ZilitakiwA kubaki kwa shetani. Sio vita ya TB Joshua ni vita against ukristo.
@otaibonny8835
@otaibonny8835 7 месяцев назад
Wewe bora kujitolewa kwa hio kiza, hakuna kitu cha Bure kutoka shetani… najua walioenda huku na baada waliongezeka bahati mbaya.. usidanganywe huyu alikuwa mchawi mkubwa kabisa.
@lankemeleji2158
@lankemeleji2158 6 месяцев назад
Umenena ukweli...
@davidbochela1441
@davidbochela1441 6 месяцев назад
Ukiona mtu haoni shida kudhihaki jambo asilojua basi Hilo sio hali ya kawaida​@@otaibonny8835
@mwameposanga2973
@mwameposanga2973 6 месяцев назад
Ameni
@user-gd7lt8bb9r
@user-gd7lt8bb9r 5 месяцев назад
Mnakuwa chawa mpaka katika ishu za TB
@patrickagri185
@patrickagri185 6 месяцев назад
Thank you baba umenena vyema, Mungu akubaliki
@user-xw5yz9cw3i
@user-xw5yz9cw3i 7 месяцев назад
Mungu akubariki mchungaji,Maombi yangu kwako...uanzishe mahubiri ya mtandaoni..ili wengi tupate kulijua Neno la Mungu kweli..na kweli ituweke huru
@rosepodi4127
@rosepodi4127 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂Ameen I love this pastor ❤❤
@leahmollel6589
@leahmollel6589 7 месяцев назад
Nawaza tuu kwa sauti! Haya yanayosemwa kuhusu mtumishi huyu Joshua hivi kwa wazungu kwao hayapoo! Waafrika na wakristo Mungu atupe jicho la tatu😭🙏
@WiselightOfficial
@WiselightOfficial 7 месяцев назад
Baba mwenye hekima ambaye namsikiliza ❤
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 7 месяцев назад
Ukihangalia vizuri hili ni boom lililotengenezwa ili kuharibu u kristo maana ingekua kweli lwanini hawakusema mapema watu wote hao amekosa hata mumoja wakutoa siri kweli Mungu atupe uelevu wa kiroho Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻 hii ni vita ya kiroho pia ni kazi ya shetani tuwe makini sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@daslamonline4665
@daslamonline4665 7 месяцев назад
Kwa hiyo hata Mackenzie angekufa mngekanusha kwanini yeye Tu wamekufa wangapi wasafi hatukusikia ya hivyo 👉 Acha watu wajue aliyo Fanya nyuma ya bible usafi WA ulimi sio usafi wa nafsi,,
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 7 месяцев назад
Well said Mchungaji.
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 7 месяцев назад
Umenena vizuri Mchungaji HANANJA
@rosemneney3244
@rosemneney3244 7 месяцев назад
Huyu mchungaji au chawa wa wasanii hovyo kabisa
@lightnessmushi8137
@lightnessmushi8137 7 месяцев назад
We ndo feki
@beatricenangale5439
@beatricenangale5439 7 месяцев назад
Wakristi wajihadhari sana, kwa maana wanashambuliwa kuua Ikristu Bilaa kujijua, 1. Mata T.B Joshua, 2. Mara Mwamposa 3. Mara Papa Francis anapakaziwa hivi, tofaiti kabisa na maneno aliyosema Hizo ni mbinu, amkeni wakristu
@Sifam634
@Sifam634 7 месяцев назад
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki mutumishi
@mohamedmkumbwa
@mohamedmkumbwa 7 месяцев назад
True..Mchungaji Hananja..
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 7 месяцев назад
Nashukuru kwa hekimayako Mzee wetu ❤
@danielmushi5755
@danielmushi5755 7 месяцев назад
Hao wanaosema kuhusu TBJOSHUA ni waovu mno ,mie nilifika Kanisani kwake,nilikutanaye naye ,aliniombea na nilipona.Lengo la hawa wahuni ni kupinga Ukristo.
@elizabethkitundu1936
@elizabethkitundu1936 6 месяцев назад
Neno la Mungu litaendelea kusimama hata kama TB Joshua amelala,walijua kanisa lake litafungwa kwavile yeye hayupo ndio kwanza mafuriko ya watu kutoka pande zote za dunia na hakuna anayewezakuvunja kazi hii!
@user-io1dm2kc3e
@user-io1dm2kc3e 6 месяцев назад
This man be protected for all costs ❤
@maryamsuleiman1509
@maryamsuleiman1509 6 месяцев назад
Asante sana Baba
@lilianmoyo316
@lilianmoyo316 7 месяцев назад
Ubarikiwe mchunganyi kwa hekima kubwa
@gracesylvester3717
@gracesylvester3717 7 месяцев назад
TB JOSHUA 😘😘😘😘 NI PRACTICALLY YESU MWENYEW NDANI YA MWILI WA MWANADAM..
@brendajulius2995
@brendajulius2995 6 месяцев назад
Weee Acha makufuru khaaaa😮
@gwizalandkingaru6732
@gwizalandkingaru6732 6 месяцев назад
Hao wote ni watu wa mungu ndio maana ukweli wa kanisa unauchambua vilivyo na mwisho watu wanawatengenezea kesi kwa ukweli wao wa kumtangaza mungu
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 7 месяцев назад
BBC waongo Sana wanachonganisha dini na WAUMINI
@esthersongambele3497
@esthersongambele3497 5 месяцев назад
Uko sahihi wachonganishi Sana, wanataka tuharibikiwe na Mungu wetu ni mwema Sana hatarihusu hayo juu yetu
@jeaninekabano9190
@jeaninekabano9190 7 месяцев назад
Huu ni upinzani wa ukristu wa wazi na Huduma ya T B Joshua Mama Evelyn T B Joshua Mungu atamtumia kwa kiwango cha juu yatapita tuu Wakristo kuweni macho ❤
@emmanuelthomas4967
@emmanuelthomas4967 7 месяцев назад
Wewe mtumishi wa MUNGU kweli, wafundishe wachungaji wanaofundisha uganga badala ya NENO. Barikiwa sana Baba.
@mercylema8327
@mercylema8327 7 месяцев назад
Ubarikiwe Mch umesema ukweli Binadamu wengine hawaonagi mema ni kutafuta mabaya tu
@ip_header
@ip_header 7 месяцев назад
Well said 👏
@oliviawakaba5649
@oliviawakaba5649 7 месяцев назад
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana.
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 7 месяцев назад
Asante Asante baba kabisa, Hiyo ni roho ya wivu.
@jaotetv6308
@jaotetv6308 6 месяцев назад
Pastor unahekima sana Mungu akuzidishe zaidi.
@user-ef2gv8ny7l
@user-ef2gv8ny7l 7 месяцев назад
Kwakweli baba yangu nakushuru kwa hekima Mungu aliyokupa barikiwa kwa ufafanuzi na hekima iliyotukuka Mungu akutunze na akupe hekima iliyo ya juu sana
@ulisajajk4464
@ulisajajk4464 7 месяцев назад
Ubarikiwe sana mchungaji. Hekima uliyo ionyesha ni ya kipekee. T.B Joshua aliwahi kusema kwamba "Midomo ya watumishi wa Mungu ina mamlaka ya na mamlaka hiyo ni kujenga na wala sio kubomoa"
@joshuaalsel5828
@joshuaalsel5828 6 месяцев назад
Maombi yakusimanga, umeniuwa na cheko. Pasta Mungu akubariki
@anza-amenndossa4403
@anza-amenndossa4403 6 месяцев назад
Hawa wote wanaomsema vibaya TB Joshua ni Wafuasi wa MPINGA KRISTO
@francismbotomrutu2784
@francismbotomrutu2784 7 месяцев назад
TBJOSHUA alikuwa hakika Mtumishi wa Mungu. BBC imetoa Uongo mkubwa ulioongonzwa Bisola mwanamke wa Roho ya Jezabeli. Sasa ukweli unatoka uongo unajitenga.
@berthamushi6891
@berthamushi6891 7 месяцев назад
Mtumishi Mungu Akubariki maana Mungu amekufunulia mambo Makuu tena roho hizo zipo nyingi mno za kuwasema watumishi ila kwa ambaye ameshatangulia mbele za haki ni kwamba wanataka kupunguza Nguvu ya Ukristo ili wafanye mambo wanayoyataka.
@tinertv1382
@tinertv1382 7 месяцев назад
Kabisa mtumishi wache wamseme mimi sitanyanyua mdomo nilipokea uponyaji
@geofreymilinga2965
@geofreymilinga2965 7 месяцев назад
Tupo pamoja na mm nilipokea Uponyaji ambao madaktar bingwa walishindwa
@gasparpeter4049
@gasparpeter4049 7 месяцев назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Kwakweli wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli na msema kweli.
@macharosandra9467
@macharosandra9467 7 месяцев назад
T.B Joshua alinipinga sana ushoga,.. ndio maana wanamchafua
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 7 месяцев назад
Kweli ukigusa ushoga watakula na wewe saani moja
@user-pp2tc1rw7n
@user-pp2tc1rw7n 6 месяцев назад
Jamani jamani watanzania acheni kuwachafua watumishi wa Mungu
@vibetz9991
@vibetz9991 7 месяцев назад
Huu ni moja ya mchakato wa kudhoofisha imani ya ukristo duniani ili agenda ya shetani ipate nafasi,,,,Ndo mana papa mwenyewe amebariki ushoga,,,,Lengo imani ya kweli ya ukristo ife,,,,,Kumtangaza Tb joshua kwa kiasi hicho manaake Wakristo wasiamini watumishi wao wa mungu kabisa
@gerkombo6512
@gerkombo6512 7 месяцев назад
HANANJA THE GREAT!
@laninjeje8290
@laninjeje8290 7 месяцев назад
Na huu ujinga upo kwa Pascal Casian na kikosi kazi, kila siku ni stori za Freemason na kutukana wachungaji wengine😂😂
@annasolomon9855
@annasolomon9855 7 месяцев назад
Mjinga yule Kila mtumishi kwake ni freemason.. unajua simwelewagi.. 😊😊
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад
Ni juhudi za makusudi kuchafua Ukristo Yesu alishatupa angalizo kuwa tutakuwa na wapinzani wa Kristo
@allythabiti8150
@allythabiti8150 7 месяцев назад
Polen wakristo kuchafuliwa ila BBC wangempumzisha marehemu maana wanamsakama saana
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 7 месяцев назад
Hawatusumbui hawa BBC maana tumeishawajua lengo lao ni kueneza ushoga na usagaji
@faithe4063
@faithe4063 7 месяцев назад
Nampenda huyu pastor, ni kwa nini waongelee marehemu waache apumsike kwa Amani Yesu ndiye atahukumu
@stellahzacharia8743
@stellahzacharia8743 6 месяцев назад
Waseme wasemavyo wamepungukiwa na maono mnao msema mtumishi wa Mungu hali hayupo mlikuwa wapi akiwa hai wanao msema vibaya ninyi wenyewe siku yenu ipo mtasemwa na mtatoa hesabu wachumia matumbo mnakazi yeye kamaliza je ya kwenu mmeyaficha
@marinemodest1798
@marinemodest1798 6 месяцев назад
Barikiwa Mch. Barikiwa sana
@joycekashalaba3575
@joycekashalaba3575 7 месяцев назад
Asante mchungaji Mungu azidi kukubariki
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 7 месяцев назад
"Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo utakapoweza toa boriti kwenye jichonla mwenzake....."! Kweli masengrnyo, fitina, uchochezi na uchonganishi vimetamalaki, upendo, undugu na umoja umeparaganyika kwenye makanisa!
@anethmapima3901
@anethmapima3901 7 месяцев назад
Walidhani kulala kwa TB Joshua kanisa litakosa nguvu sasa wanaona huduma inaendelea.
@judicalosika7642
@judicalosika7642 7 месяцев назад
Una AKILI SANA Mch. HANANJA. UNASEMA KWELI KABISA KABISA.
@eben_ezer8853
@eben_ezer8853 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂Ila huyu Baba nampenda sanaaa
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
@KulekatsengeHaruni-sb6qc 7 месяцев назад
Ubarikiwe pasta
@aishanelly2026
@aishanelly2026 7 месяцев назад
Jmani achani maneno..Africa acheni kurubuniwa Ukiristo wet ahuuu wapi Africa!,,, waanatafuta kuendeleza ushoga Africa Mtafuteni Yesu wetu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🧚🏿🧚🏿🧚🏿
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 7 месяцев назад
❤❤❤❤❤much love
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 7 месяцев назад
Asante baba umenena vema.
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 7 месяцев назад
Points sana
@estersilver9872
@estersilver9872 7 месяцев назад
Mwenye masikio amesikia... Jikomboe ki fikra upone
@MaryPamela
@MaryPamela 6 месяцев назад
Asante kwa hekima yako.
@anitavictoire1212
@anitavictoire1212 6 месяцев назад
Nakuamini Ka Bisa
@JuniorLameck-ek5es
@JuniorLameck-ek5es 2 месяца назад
Mzee nakukubali sana
@neemambunda2004
@neemambunda2004 6 месяцев назад
Heshima yangu kwako mtumishi
@maulidmtowi3937
@maulidmtowi3937 7 месяцев назад
Huyu mzee ukiweza kumuelewa basi ujue akili yako imekomaa
@iamdivineimage
@iamdivineimage 7 месяцев назад
Not always
@caritasmushi8896
@caritasmushi8896 7 месяцев назад
Kweli Mtumishi siku zote mbona hawakusema ?? Wamwache Senior Prophet apumzike kwa amani. Hii yote ni kulichafua kanisa ili kuwapunguzia watu imani. TBJ ni mtumishi wa kweli wa Mungu.Tunampenda hata amekufa.
@annasolomon9855
@annasolomon9855 7 месяцев назад
Huo ni upumbavu wa wazungu kwa sababu wanataka kuendelza ushoga .. wapumbavu Sana
@irenesanga1255
@irenesanga1255 7 месяцев назад
Ukristo haufi kwa kashfa za Joshua. Walikuwa wapi? Mungu ndiye hakim wa Joshua ni Mungu. Ukristo daima
@anethmapima3901
@anethmapima3901 7 месяцев назад
NITAMPIGA MCHUNGAJI NA KONDOO WATATAWANYIKA. NINACHOKIONA MIMI NGUVU YA UKRISTO AFRICA IMEKUWA KUBWA SANA LENGO HAPA NI KUUDHOFISHA MWILI WA KRISTO KATIKA ZILE NGUZO TANO.
@wilfredchomo3294
@wilfredchomo3294 6 месяцев назад
NAKUPONGEZA MCH.HANANJA KWA UKWELI WAKO KUHUSU TB JOSHUA.WALIOHUDUMIWA NA TB JOSHUA ,WANAFAHAMU WALICHOTENDEWA. AMINI UKIAMINICHO.
@cassyrex2023
@cassyrex2023 7 месяцев назад
Kwa tamaduni na desturi ya waafrika aliyeenda zake awe mwema au mwovu achana naye apumzike.🙏
@speciozakaloli
@speciozakaloli 6 месяцев назад
Wivu tu unawasimbua
@vukoni1
@vukoni1 6 месяцев назад
😂😂😂😂 Kila mtu ayingiye uwanjoni ku ingiza goli.... Ubadiliko ya sauti ni kujifanya kama mtu amesha jua bibilia tayari... Uwo mahojiano ni hatari kwa wadanganyifu ya ulimwengu ya leo... Baadhi ya walewanao uwezo la kudangaya Kwa ajili ya kutendea biashara neno ya mwenyezi mungu, wakae stareh siku ya ukumu. Shukurani zaidi Mchungaji
@h.jrugashaula1296
@h.jrugashaula1296 7 месяцев назад
Mzee amezungumza kwa hekima sana
@enesskatiti3818
@enesskatiti3818 6 месяцев назад
Mch huyo mwanamke atubu vinginevyo ana laana kwa kumchafua marehemu joshua
Далее
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20
Слабый пол
0:16
Просмотров 1,2 млн
ДЕЛАЛИ ПОД СЕБЯ
0:33
Просмотров 6 млн