Тёмный

MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 62   
@PeterJustin-ke5mk
@PeterJustin-ke5mk 3 дня назад
Pastor h nakukubali sana unahekima ya ajabu Mungu akutunze
@privaushaki7395
@privaushaki7395 День назад
Huyu ni mchungaji na mwalimu mwenye busara sana
@amosmwangela1878
@amosmwangela1878 2 дня назад
kijiji bila wazee ni uhuni,mzee kanyoosha vizuri sana
@henryj3304
@henryj3304 День назад
Safi sana Pastor Hananja. May God bless you and your family ❤❤❤
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 18 часов назад
Umesema kweli Rev: Hananja
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 2 дня назад
MashaaAllah MashaaAllah mchungaji hananja mwenyezi mungu akutangulie kwenye maisha yako inshallah
@ShukraniChomolla
@ShukraniChomolla 2 дня назад
Mungu akutunze mchungaji, nimecheka eti hata congo wangepelekwa wachawi
@Fred-Ma
@Fred-Ma 3 дня назад
Nafurahi sana kukutana na mtu mwenye akili anayeniimarisha😅
@NkindaOnen
@NkindaOnen 3 дня назад
Hananja professional Bible study
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op 2 дня назад
Amina baba mm nimejifuza kwa kutoa Vifungu katka bibilia
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 День назад
Kwa kweli makanisa mengi niyakichawi ndiyo sababu nikibo ko ya wachawi mara wamenasa wachawi mara apa kanisani pana mchawi atoke mara mtu katoka anatoa ushuuda mimi ni mchawi huo ni usanii siyo dini hiyo
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale День назад
dah! mch Hananja biblia Yuko vzr co wale wanaotuchezea sinema eti miujiza!
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 дня назад
Nafurahi kusikia wachungaji mkijibu upumbavu unaoenezwa kwa kasi
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 2 дня назад
Hizi ibada yakuwa kiboko yawachawi nk nibiashara tu wala sio ibada ambayo tumeelekzwa kufanya kuwa ndio kuabudu. Huku ni kufeli kwasababu tumeletwa duniani kumuabudu Muumba now kinachofanyika ni uzushii tu napia leo watu wamekumbwa na stress kutokana na maisha kuwa magumu now ndio naona h nibiashara na watadanganywa wengi
@Mlokoz_twangalatwz
@Mlokoz_twangalatwz День назад
Safi kabisa mchungaji
@gastonmbarila9458
@gastonmbarila9458 2 дня назад
I love this man, sabubu ua anatoa pia maandiko
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w 2 дня назад
Kweli kabisa sasa hivi mahubiri ni uchawi tu,wanaboa sana.Serikali iangalie hili kwa makini.Tunakoelekea ni kubaya sana
@modernmwamtobe-lq8rg
@modernmwamtobe-lq8rg 2 дня назад
Asante sana paster.kwa hekima ya majibu yako kibiblia kwa busara.
@samuelbahati7976
@samuelbahati7976 3 часа назад
Ubarikiwe sana Mungu akubariki sana
@hildalyatuu2710
@hildalyatuu2710 3 дня назад
Yaani hapa ndo mwisho wa matatizo.
@tinertv1382
@tinertv1382 День назад
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
@CalistaMartin-v7m
@CalistaMartin-v7m 2 дня назад
Shida kubwa watu wanapenda mazingaumbwe kuliko kupenda kwelii
@user-gn7xd1yg3t
@user-gn7xd1yg3t 3 дня назад
Hakika Pastor unaweza kutuweka sawa asie elewa hatoelewa kamwe
@paulojohn5504
@paulojohn5504 День назад
Ubarikiwe mtu ws mungu sana
@mbalilax162
@mbalilax162 3 дня назад
huyu mchungaji ni noma, anaongea kidogo anakazia na andiko kwa kila atakachokisema. Biblia imelala kichwan duuh
@milliardere9177
@milliardere9177 День назад
Nakubali maandishi
@costantinemgalle1910
@costantinemgalle1910 3 дня назад
Nakukubali mchungaji!
@eliasilwimba187
@eliasilwimba187 День назад
Tz raia wengi ni vilaza jamani.
@christianmwasakogo5579
@christianmwasakogo5579 2 дня назад
😅😂mzee mengine mengi yupo sawa na ukakasi kidogo humo kuhusu vita,vita ipo rohoni tuanzie Waefeso 6:11-12
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 День назад
Na kweli kiboko ya wachawi anahubiri injili chonganishi
@eliasilwimba187
@eliasilwimba187 День назад
Nimecheeka saa.
@andrewkaswagula3367
@andrewkaswagula3367 День назад
Kama Manyumbu 😂😂😂😂
@tinertv1382
@tinertv1382 День назад
Kwanini hafungiwr kanisa mabar? na sehemu za starehe hazijafungwa mwacheni mradi anahubiri Yesu kuna tatizo gani!
@frenkfarm1139
@frenkfarm1139 День назад
selekali hiii niyawooo wala hawawezi kuwafukuza inge kua nihaki haipendi dhuluma
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 3 дня назад
Wewe ni Mchungaji wa kweli
@eliasilwimba187
@eliasilwimba187 День назад
Serikari ifute usajiri wa kanisa la Dominic kiboko ya wachawi haraka sana.Hata kama analipa kodi.
@milliardere9177
@milliardere9177 День назад
😂😂😂😂 hela weka kichwani
@eliasbihita4041
@eliasbihita4041 2 дня назад
Ni manyumbuuu tu hayoo
@Jophley
@Jophley 3 дня назад
Sitaogopa hofu ya usiku
@servulytarimo
@servulytarimo 7 часов назад
🙏🙏🙏🌹🌹🌹
@josephatdeos1792
@josephatdeos1792 2 дня назад
Kila anchoongea anakitetea kwa maandiko hawa ndio wachungaji tunao wahutaji
@MaxonSelestine
@MaxonSelestine 2 дня назад
❤❤
@RamondLema-po6py
@RamondLema-po6py 2 дня назад
TUKATAE MAFUNDISHO YA HOVYO HOVYO
@LazaroHaule-tr5cl
@LazaroHaule-tr5cl День назад
Kula chuma hicho
@karimmveyange280
@karimmveyange280 2 дня назад
HAWA WAJIITAO WACHUNGAJI AMBAO KAZI ZAO KIROHO NI -VE WANABAKIA KUWANANGA WACHUNGAJI WENGINE,SIJUI NIKWANINI? WASHIKILIE KILE WANACHO KIAMINI,WAACHANE NA ANAYE JIITA KIBOKO YA WACHAWI. VINGINEVYO TUTAJUA KUWA WACHAWI WAMEPATA WATETEZI
@user-vb7tu5zs9d
@user-vb7tu5zs9d День назад
Wapotosha watu acha waambiwe ukweli
@CalistaMartin-v7m
@CalistaMartin-v7m 2 дня назад
😢😢
@ALESIACHIJOKA
@ALESIACHIJOKA 2 дня назад
Mchungaji hananja napenda tu mazungumzo na mafundisho yako unanipa ujasiri sana wa kuishi kwa Amani . Amen Amen ubarikiwe sana naomba sana mafundisho yako .
@user-pj3cb5ht4b
@user-pj3cb5ht4b 2 дня назад
😂😂😂 wewe unaongeya san
@ROBERTMAXIMILIAN
@ROBERTMAXIMILIAN 2 дня назад
Piga spana Mchungaji Hananja, waamini wamekuwa wajinga sana
@healingsschool4630
@healingsschool4630 2 дня назад
LUKA 7:22 Nimeona, nimeshuhudia, watu waliofufuka, mwamala umesoma, viwete, vipofu, wagonjwa waliponywa kwa Kiboko ya Wachawi kwa Hananja ni comedy tu.
@jamesmwandu9295
@jamesmwandu9295 День назад
Unaweza kutueleza hao waliofufuka saizi wanaishi wapi,na je wakati wa vifo vyao ulishuhudia makabuli yao na ushahidi wa majirani zao wanaowafaham??
@dicksonmsuva4880
@dicksonmsuva4880 9 часов назад
Zero brain
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 2 дня назад
TATIZO HII BIBLIA HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEJUA BIBLIA ILITOKA NCHI GANI AU BASI MJI ILIKOTOKA...ANAYEJUA NAMKARIBISHA..ALETE USHAHIDI TU BASI
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 2 дня назад
Mh wewe maswala ya imani achana nayo maana ni makubwa kuliko unavyofiria wewe baki na imani uliyonayo tu bhas mengine ya watu waachie wenyewe
@martinmkoba361
@martinmkoba361 День назад
Yaani umeuliza pumba kabisaaa Quran imetoka wapi??
@jamesmwandu9295
@jamesmwandu9295 День назад
Omba MUNGU akupe ufunuo uondokane na Giza kiri kwa Imani YESU ni mwokozi wa maisha yako,Roho mtakatifu atakufungua na utafahamu vyote
@einothlekaaya
@einothlekaaya 2 дня назад
Hivi kweli muungano wa makanisa ya kipentecoste wameshindwa kutoa msimamo wao juu ya hili? Sawa kama ndivyo serikali iko wapi??? Watu waache vita kwao waje waanzishe vita ya kisakologia kwetu,kweli nimetambua hatuna anayetusemea
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa 2 дня назад
Siku hizi umoja wa CPCT ni umoja wa kuchumia pesa
@tinertv1382
@tinertv1382 День назад
Mnaacha kufuatilia mambio mabaya na machafu mnafuatilia watumishi kila mtu ameeitwa kivyake
Далее
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
Просмотров 30 тыс.
UTAPENDA MAPOKEZI YA MCH HANANJA MAREKANI
23:03