Mhe. Spika kila muda unavyo enda ndivyo anavyo shuka weledi wake wa kusimamia mwenendo wa Bunge. Yaelekea amekuwa mtetezi wa Serikali zaidi kuliko jukumu lake Kuu la kuishauri na kuisimamia Serikali (kwa niaba ya Wananchi). Hoja ya Mbunge kuhusu chai kama isinge rejelewa, Serikali ingeendelea kukaa kimya licha ya agizo walipewa mwanzoni mwa vikao vya Bunge hili linaloendelea. Hata hivyo, majibu ya Serikali ni mepesi sana na Spika kayaridhia!!
Bashe kashindwa kazi. Hajaleta majibu ya tuhuma za Mpina. Mpina ndiyo kawa mushitakiwa. Ushahidi wote wa duka la mobile kupewa tenda la ku import sukari ya mabilioni limezimwa. Hili bunge limekuwa ni la kutetea ufisadi na sio watanzania. Wabunge wanapiga makofi tu bila ya kujali. Hapa bungeni hakuna kitu cha kuwasaidia watanzania. Bashe kashindwa kazi
Kuna hoja ya Mh. Mpina wabunge wamepuuzia na ndio hasa hoja kuu. Mpina hakupinga uagizaji wa sukari, hoja yake kiwango kilichoagizwa kilizidi mahitaji ( gap sugar). Kiwango kilichoagizwa hakijawahi kutokea na haikuidhinishwa na technical team. Na utoaji wa vibali ulikuwa na harufu ya rushwa. Narejea kauli ya Lisu kila kilo ya sukari wajanja walijipatia shs 300. Kibali ya tani 30,000 kilitozwa bilioni 9. Bunge lilitakiwa niangalie kiasi cha sukari kiliendana na mahitaji kwa wakati ule na makampuni yaliyopewa vibali yangewekwa wazi. Hapa kuna harufu ya ufisadi, na wahusika ni wengi. Iko siku tutasikia ukweli.
solute kwa mpina,wabunge wa ccm wote wapiga pesa za walala hoi, hamna mtetezi wa wanyonge. namshangaa sana huyu speaker anayejiita speaker wa mabunge ya wazungu anashindwaje kushugulikia hoja za mbunge ambaye anawakilisha kero za wananchi, pia nawashangaa wabunge kama msukuma na wengine.
Na kwamba spika huwa hana rekodi ya hoja ambazo hazijapata majibu ya serikali kwa kipindi husika? Nini maana ya mwenyekiti/spika/kiongozi wa kikao kama hajui yatokanayo na maazimio ya vikao vyake? Uchawa bungeni kwa manufaa ya nani? Sukari dsm sh.2,600 kagera na nadhani kigoma sh.3,200! Hili nalo spika walisemeaje, au unayo maslahi pale wananchi wanapokosa kunywa chai asb kwa sbb ya bei ya sukari kuelemea bajeti ya siku? Hapo hujataja maharagwe sh.3,600-4,000/-. Mungu anawaona, midomo ya watu haitawaacha salama😢
Bashe nae ni kama Mwigulu tu,nimesha mstukia huyu nae,anatengeneza maongezi ya hekima ya kuigiza kama Mwigulu na kumbe nyuma ya pazia kuna mashaka makubwa ya utendaji na uwajibikaji dhidi ya hiki anacho kisimamia
@@mohamedelmi7435 Asante Sana nashukuru. Tusi hilo umemrudishia Mamako. Duuuhhh Wewe unaona wivu kwa usenge tu !!! Pooolleee sana sababu namuonea huruma mamako. Pole zake Mungu atampa mtoto mwema badala yako.
Tangu lini mwanamke akaongoza basi tuu watanzania nimataira.ingekuwa kenya walivyouza tuu bandari yeye na samia wake wangeondoka hata hivyo tanganyika uoga umezidi
Kwanza mwigulu na speker muliamua kutumaliza wa Tanzania hamna uzalendo hata kidogo na nchi hii😡, bashe nilikukubali sana ulianza vizuri lakini nikama umeshalambishwa asali umeanza kuturuka ki petero tunakuchekitu muhesh🤔
Hapo hakuna kitu ni story tu na kutafuna kodi zetu mna panga mambo hewa manake hatuoni mabadiliko hukunje kilakitu bei juu tozo zimezid na bado mnazidi kuongeza ilituzidi kuwa masikin mtutawale mnavyotaka hamuna uzalendo na wananchi kabisa mmekaa hapo kutumaliza na hiyo katiba ya wazungu ikosiku tutakuja huko bungeni ndio mutajua nchi niyetu sote wa Tanzania tunawatizama tu 😠
Mohamed enterprise ni pasua kichwa. Alinunua mali nyingi toka serikalini lakini hakuna alichofanya kuendeleza. Hakuwa na nia ya kuendeleza isipokuwa ilimsaidia kupata mikopo kuendeleza biashara zingine. Amekuwa sio mtu sahihi kumkabidhi mali za umma. Na hapa natoa wito kwa reli trc msimpe uendeshaji wa reli atahujumu. Tunaona pia uwekezaji simba hauna uwazi ni maneno tu.
Ivi wabunge mbona kila atakaeruhusiwa kutoa hoja huwa anajikunjia sana kwenye kipaza sauti yaani (mike, ,) hamuoni kuwa baada ya miaka 10 mtakuwa na vibiongo wote hapo bungeni??
@@adelinelyaruu3036 Hakika!, Imebaki historia. Kulikuwa na mamlaka ya pamba, mamlaka ya kahawa, mamlaka ya tumbaku. Hizi ziliwasaidia wakulima kupata pembejeo na masoko, vyote vimeuawa. Masoko ya mazao haya ni wabunge na viongozi wakuu wa Chama. Halafu waziri anakuja na majibu mepesi!
Nqtaman hatar Leon rais amtoe bashe maana hatumwelewi kabisaaa lakin mpina ndo tunamwelewa sababu anatuelewesha kwa ushaidi kwann bashe nayey asiweke ushaidi kwahy mpina ili tujue mkwel yupi