"Wapigaji wamekuwa wengi". Ni kuanzia Ofisi namba 1ya Nchi. Mhe. Waziri wa Fedha anayelalamikiwa na karibu kila Mtanzania, anajitathmini vipi?? Waziri amehitimu PhD ya OMBAOMBA, TOZO na MIKOPO!! Hana ubunifu wowote wa kutafuta vyanzo vya mapato kupitia uwekezaiji ktk raslimali lukuki zilizomo nchini!!??
hongere mzee shabibu kwa kusema ukweli mheshimiwa samia na mawaziri alio wachagu wale ambao magufuli aliwa tumbuwa wanamungusha na yy kwakuwa anamajukum mengi hangunduwi wananchi wanapata taabu sanaa
Yaaani huyo mchangiaji sijui mbunge wa wapi umeongea point na sijui kama huyo jamaa anajielewa, shida ni maisha yake amemaliza. Ila nawambia kuiona mbingu ni kazi.
Yaani shabiby jamani mwongezeeni muda wa ubunge Yuko vinzuri siyo mnafiki anaongea ukweli sana na amesema hapo ndani watu wanapiga mikono or meza kusapoti kitu Cha kweli au siyo Cha kweli yeye hayuko hivyo ndo tunatakia watu wabunge km shabiby hongera sana mheshiniwa mpashe mwigulu ni bomu lililoshindikana
mkuu kakaangu shabiby asana kwa kuwakumbuka walalahoi katka nchi hii nikweli viongozi wengi wakiafulika wamekua siwazalendo katka nchizao kiujumla inatakiwa viongozi m wemnawahulumia hananchi walio waweka mamlakani
Shabiby Uko Sahihi sn JPM Alisema Pesa yote iende Hazina.Taasisi Zipeleke bajeti ZAO na zipewe Kwa wakati Kazi zisikwame.MWIGULU Simamia hivyohivyo Kuusanya Hela yote na bajeti ZAO Fuatilia zinavyotumika.Kwingineko wanagawana Wachache Wana create matatizo ili Uwarudishie makusanyo.Watafanya Sherehe za Nyani Mashambani tena.
Mchango Mkubwa Sana, Hongera Kwa Ujasiri Huo CCM Wenyewe kwa Wenyewe Mzodoane Kwa Rushwa na Ufisadi ili Mjue Kuwa Hamna Faida Yoyote Bila Upinzani Bungeni. Kazi Kuu Ya CCM Ndani Ya Tanzania NiKUIBA,, KUFIKISI na KUARIBU Kama ilivyo Kazi Ya SHETAÑI"
Yaani huyo Ndo Kaoza kabisaa! Unafikiri upigaji uliokithiri HAJUI! LINAJUA SANA! ULISHAWAHI KUMSIKIA AKIMUWAJIBISHA WAZIRI YOYOTE! SI WOTE JUZI TUMEONA UOZO WA BASHE? si yupo? Sakata la sukari,alikua amuondoe waziri wa kilimo na wa viwanda! Si wapo wanapeta!? SAMIA HOVYO
Safi sana Shabiby ila hiyo serikali yako ya ccm ni hovyo,wabunge wachache sana wa ccm wanaweza kuongea hivi asilimia kubwa ni kusifia na kupiga makofi tu
Kweli kabisa wapigaji ni wengi mama hawezi kabisa kuwazibiti wapigaji hata robo....maana anasafili mala kwa mala nchi yake anaiacha inalegalega yni tunaelekea kubaya sana wa Tanzania 🇹🇿 😢😢