Тёмный

BALOZI MPUNGWE AFICHUA YA TUHUMA ZA BASHE SAKATA LA SUKARI, MPINA AONA MWANGA KISA..... 

JAMBO TV
Подписаться 934 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@nestor384
@nestor384 3 месяца назад
Mpina Jelson Luhaga nakuombea uishi na mwenyezi mungu akushindie Waziri wa kilimo alipaswa kuwa jela mpaka muda huu!
@husseinjosephitocho6754
@husseinjosephitocho6754 3 месяца назад
waziri kilimo na wafedha ni majizi makubwa kwa kutumia gep sugar wamepiga bilioni tatu kwa kuagiza sukari nyingi kuliko inavyotakiwa na uwo ni mpango mkakati wa mama kupitia ccm ili wakiuza sukari wapate faida kubwa kama iyo niliyoitaja ili wapate pesa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa hiyo wenye uelewa tunajua nyinyi viwanda amna shida mpo sawa kabisa
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 3 месяца назад
Kwa maelezo haya ya Balozi Mpungwe, Bashe anasemaje? Ni aibu aibu kwa Serikali. PCCB mko wapi?
@masterhptv4065
@masterhptv4065 3 месяца назад
Cha ajabu vyombo vya habari havitasambaza hii clip watanaki kutangaza udaku na uchawa. Sikihz waandishi hawasumbuki na uchunguzi wa taarifa wanazozitoa ukiwa na hela na cheo report inatoka tu hata kama ukiwa mwongo.
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 3 месяца назад
Ee mungu tuhumie baba tumekuwa kondoo wasio na mchungaji. Mungu tuhurumie. Siku zote aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Mumgu wangu.
@gasparyephraimmwakatuma9542
@gasparyephraimmwakatuma9542 3 месяца назад
Kwa maelezo haya Mpina alikuwa sahihi na Waziri kadanganya! Waziri na Spika wajibu haya maelezo
@abdallahomary515
@abdallahomary515 3 месяца назад
Kuna wakat au Kuna mambo ambayoi bunge linapaswa kuisimamia serikali. Ipasavyo kama katiba ya nchi inavyo wataka, pale bingeni wapo kwa niaba ya wananchi kila mbunge yuku pale kuwakiliaha wananchi wake na watanzania kwa ujumla, sasa mbunge akipeleka hoja ambayo inaibana serikali au kiongozi pale bingeni basi ajibiwe kwa hoja na serikali imjibu Kwa hoja sahihi, sasa kama mpina walimjibu Kwa mipasho na kumsimasha asihuzurie vikao kadhaa, kumbe bado kuna shida, hawa jamaa wasukari unaona kabisa kama walikua na matumaini na mpina alikua anahoja ya msingi kuhusu kulinda viwanda,, na kama mpina pia angewakosea pia hao jamaa wa sukari wangesema mpina alichosema sio kweli, mpina wamemtoa lakini hili jambo bado linawatafuna na sasa Kwa namna walivyo muajibisha mpina na inawezekana hoja yake ilikua na ukweli, sasa Kwa namna walivyo mfanya mpina inawza ikawaogopesha wabunge wengine kuibua madudu,
@mariammalale3729
@mariammalale3729 3 месяца назад
Hayasemeki wallahiii
@listerkongola6872
@listerkongola6872 3 месяца назад
Huwezi kuwa mzalishaji na wakati huohuo muagizaji wa sukari ya bei chini. Kwa conflict of interest, mzalishaji hawezi zalisha sukari kukidhi mahitaji ya sukari Tanzania!!
@PaulMsema
@PaulMsema 3 месяца назад
Sukari ni bidhaa nyeti ukifanya Kila mtu aingize utauwa wananchi wako pia hata Kodi hitapata kama nchi maana viongozi wakubwa watajipenyeza kwenye uagizaji ni utaratibu mzuri tuu ambao uliwekwa na serkali ya awamu ya 5
@jumakizija829
@jumakizija829 3 месяца назад
Balozi naye ashindilia, bila kupepesa macho asema kuambiwa kuwa hawakuagiza sukari kuwa ni 'Uongo'. Sasa sijui ni nani atakuwa alisema uongo
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 3 месяца назад
Msumari umekita sehemu husika, tangu waziri Tizeba na Kaijage mlikuwa wapi kujitokeza?, Sheria imeshapita mzee wangu zalisha sukari uuze bei ikipanda store inafunguliwa.
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад
Mpumpugwe mwenyewe alihujimu migodi ya mererani tunakujuwa
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 3 месяца назад
Ukiona watoto wa simba ujue mama na baba hawako mbali. Sa waziri wa kilimo na wa fedha???.
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 месяца назад
Acha wale nchi si wanatuona mazuzu😅😅😅
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 3 месяца назад
Dah-sasa mpina kwa nini anafukuzwa bungeni
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 3 месяца назад
Bashe bashe mwigulu mwigulu.
@mountketumbeine5079
@mountketumbeine5079 3 месяца назад
Hamkuwahi kueleza haya kabla mlivyoona kitumbua kinaingia mchanga mnaanza kupiga kelele, watanzania wanaogopa sana ushindani fanyeni kazi muda wa kubebwa umeisha
@EvalineJonathan
@EvalineJonathan 3 месяца назад
Jamn media please crip hiz ziende viral watu waffaham ukweli juu ya swala hili ....mpinaa oyeee
@shabanihalfani9718
@shabanihalfani9718 3 месяца назад
Hakuna usahihi. Kila mtu anafahamu sukari ilifikia zaidi ya 5000 kwa kilo. Mlifanya nini kutoagiza ili mtengeneze gap then bei izidi kuumiza raia
@raphaelondego7703
@raphaelondego7703 3 месяца назад
Gen-z in the making 😊
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 3 месяца назад
HUYU MZEE APEWE ULINZI,,,,,,,au ATATEKWA
@EvalineJonathan
@EvalineJonathan 3 месяца назад
Mpina oyeee
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 2 месяца назад
Nyinyi mnashindwa nini
@EvalineJonathan
@EvalineJonathan 3 месяца назад
Jamn media please crip hiz ziende viral
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 3 месяца назад
Vyombo vya usalama isaidieni nchi mshaurini mhe rais ili twende vizuri
@henryndosi2002
@henryndosi2002 3 месяца назад
Mzee mwizi
@PaulMsema
@PaulMsema 3 месяца назад
Sio mwizi anaelezea vzr tuu
@EvalineJonathan
@EvalineJonathan 3 месяца назад
Inaonekana ww hufikirii mbali ...unawaza wizi tyuu Kam Bashe
Далее
КОТЯТА НАУЧИЛИСЬ ГОВОРИТЬ#cat
00:13
V16 из БЕНЗОПИЛ - ПЕРВЫЙ ЗАПУСК
13:57
SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO
28:56
КОТЯТА НАУЧИЛИСЬ ГОВОРИТЬ#cat
00:13