waziri kilimo na wafedha ni majizi makubwa kwa kutumia gep sugar wamepiga bilioni tatu kwa kuagiza sukari nyingi kuliko inavyotakiwa na uwo ni mpango mkakati wa mama kupitia ccm ili wakiuza sukari wapate faida kubwa kama iyo niliyoitaja ili wapate pesa ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa hiyo wenye uelewa tunajua nyinyi viwanda amna shida mpo sawa kabisa
Cha ajabu vyombo vya habari havitasambaza hii clip watanaki kutangaza udaku na uchawa. Sikihz waandishi hawasumbuki na uchunguzi wa taarifa wanazozitoa ukiwa na hela na cheo report inatoka tu hata kama ukiwa mwongo.
Kuna wakat au Kuna mambo ambayoi bunge linapaswa kuisimamia serikali. Ipasavyo kama katiba ya nchi inavyo wataka, pale bingeni wapo kwa niaba ya wananchi kila mbunge yuku pale kuwakiliaha wananchi wake na watanzania kwa ujumla, sasa mbunge akipeleka hoja ambayo inaibana serikali au kiongozi pale bingeni basi ajibiwe kwa hoja na serikali imjibu Kwa hoja sahihi, sasa kama mpina walimjibu Kwa mipasho na kumsimasha asihuzurie vikao kadhaa, kumbe bado kuna shida, hawa jamaa wasukari unaona kabisa kama walikua na matumaini na mpina alikua anahoja ya msingi kuhusu kulinda viwanda,, na kama mpina pia angewakosea pia hao jamaa wa sukari wangesema mpina alichosema sio kweli, mpina wamemtoa lakini hili jambo bado linawatafuna na sasa Kwa namna walivyo muajibisha mpina na inawezekana hoja yake ilikua na ukweli, sasa Kwa namna walivyo mfanya mpina inawza ikawaogopesha wabunge wengine kuibua madudu,
Huwezi kuwa mzalishaji na wakati huohuo muagizaji wa sukari ya bei chini. Kwa conflict of interest, mzalishaji hawezi zalisha sukari kukidhi mahitaji ya sukari Tanzania!!
Sukari ni bidhaa nyeti ukifanya Kila mtu aingize utauwa wananchi wako pia hata Kodi hitapata kama nchi maana viongozi wakubwa watajipenyeza kwenye uagizaji ni utaratibu mzuri tuu ambao uliwekwa na serkali ya awamu ya 5
Msumari umekita sehemu husika, tangu waziri Tizeba na Kaijage mlikuwa wapi kujitokeza?, Sheria imeshapita mzee wangu zalisha sukari uuze bei ikipanda store inafunguliwa.
Hamkuwahi kueleza haya kabla mlivyoona kitumbua kinaingia mchanga mnaanza kupiga kelele, watanzania wanaogopa sana ushindani fanyeni kazi muda wa kubebwa umeisha