Ndoa ya King Ali Kiba ilikuwa gumzo la kutisha ndani ya mji wa Mombasa na viunga vyake. Wakazi na wahamiaji wa mji huo wakajikuta wakisherehekea harusi ya King Ali Kiba. Hebu jumuika nao upate kufurahi pia.
Masha Allah, Ally kiba basata wanachelewa kukupatia tunzo za hekma, maana unastahiki kupata zawadi kwani, wewe ni kioo Cha jamii kiukweli🤲🤲🤲🤲🤲 Allah ibarik