Ukifanya kaz yeyote lazma uwaonyeshe watu mfano uyo sio shoga anawafundisha wanawake mazoez ya makalio kwaiyo mda anao wafundisha na yeye anafanya ndy yanajaa
Wazee wa upinde wana mbinu kali na za siri sana ,huwezi kuelewa kama wewe ni mtu wa kupokea mambo ovyo ovyo ,Mashoga wamejifichia kwny michezo ya Kutunisha misuli ,wamejazana Gym kias kwamba jamii siyo rahisi kumhis kijana km ni Shoga
Serikali muweke sheria za wageni wanaoalikwa kiholela nchini, wengine wanakuja na agenda za ushoga kupitia mazoezi, Na wewe kijana unaita mtu hata humjui kisa upate kutangaza bonanza lako halafu unaita na watoto wadogo ukawafundishe kutanua matako una akili kweli wewe? Polisi Aruaha wangeanza na wewe iwe mfano kwa wengine wa kuita ita watu wa mitandaoni kwenye nchi yetu
Jmn hata akitaka ayo matako asiwenayo inawezekana si mazoez tu anafanya apo kafanya ivo ili kila anaefanya zoez anapata mafanikio acheni kumlaumu kaka wa watu
Niharam kumhisi mtu vibaya . Kunenepa makalio haina maan niushoga Mazoezi ya yanatabia ya kuweka misuli sehemu zake ukiwa unapasha kila siku . Kwani wanawake wangapi wanene kifuani kama wanaume je na wao nimashoga ? Hukumu mtu utakaposhuhudia inapendeza ili kuepuka madhambi ya kudhania viya wa2. Ashum ni wew ungejisikiaje hizo tuhuma.
Sisi ni watu wa ajabu sana sio kilakitu lazima na sisi tukifanye au tushiriane nao watu wa namna hii ni ujingaa sana hii ni kuhamasisha mambo mengine ambayo hayatakiwi katika jamii
Mademu wa Arusha mumepata fursa sasa tuendelee kuwaona hamna matako makubwa mtatueleza ni Kwa Nini wapuuzi nyinyi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Guys naona mnacoment haraka haraka . Jamaa si mtu wa upinde, fatilia history yake. Matako kuwa makubwa ni maumbile tu. Lakn angalia aina ya mazoezi anayofanya. Anauwezo wa kufanya hivyo masaa mawili bila kuchoka lakn pia wale mnaonyanyua vyuma si mnatokaga vifua na kuvimba mikono. Hayo ni matokeo tu ya mazoezi anayofanya. Kiukweli mm nilimfahamu muda mrefu na nimefuatilia sana hata interview zake kwenye media mabali mbali za South Africa. Na aina ya Squat anayofanya imempa umaarufu na ndiyo inamfanya anaendesha maisha yake maana amepata watu wengi wa kuwatrain kwenye Gym yake. Ushoga mnaletewa mpaka na vitabu vinasambazwa inamaana hamuoni. Mwakyembe na watu wake wamefanya mpaka utafiti wakaja na matokeo ya utafiti ambayo yanaeleza wazi wazi ushoga unavyofanyika Tanzania mbona hatuoni mnachukia au kuchukuwa hatua.
This is not a genetics, this is training, when you train, your glutes grow a lot. Jus it. Stop calling, Effort of the other genetics. This is bad. Don't do this. He trains a lot, and he do diet, That's why it has results.
Mimi siwezi hata kuenda naye kwa wazazi wangu hatakama nipesa , Mungu atusamehe sio kwa makalio hayo haipezi tena ya kutafuta kwa mazoe ,kama Mungu kaumba hivyo hakuna shida ,habari hii kwamakario hayo huyu katikiza Dunia mimi ndio naona maajabu angekuwa nime wangu ,sijajua ingekuwaje,
Hata siwezi kumshauri my wangu afanye hii! Mataqo ndio yatakua, ila yanakua magumu kama mbegu ya ubuyu, sijui utashika wapi blaza. Mixer yanakua yamechongoka marefu kurudi nyuma, hayajai kwenye hips. In short unakua na mataqo marefu kama pundamilia 🙌 kama tu ya ndugu mwalimu!
Kitu sisi binadamu tusichokijua ni kuona kua shetan ni wamchezo mchezo,shetani sio fala anambinu maarifa mengi yakumchanganya binadamu akawa anavyotaka yeye!!na ili uchomoke kwenye mtego wake lazma uwe na hali yakumwamini Mungu ndani ya nafsi yako,if u believe in god huu ni mchezo mchafu unaandaliwa,Mungu aniepushe mimi na vizazi vyangu kwa hili!!nimejiskia vibaya vile naona vizazi vinavyokuja vijana watakavyokua
ila huyu mkaka yupo kwenye moyo wangu nampenda mno huanamfuatilia naninajaribu kufanya hayo mazoezi anayo yafundisha yeye lakini nashidwa we mkaka nakupenda mwenzio ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ilo shoga matako yake kayapatia hospital Kwa operesheni nyie ndio anawadanganya amekuja kutafuta mashoga wenzake umesikia kaita na watoto waende akawaharibu akili
Watanzania kuna mda mnaupuuzi na kama vile akili zenu ziko kwenye NYAYO.. huyu jamaa SIO SHOGA, sema alivyojiweka kwa mtazamo wenu mgando mnamjaji kua shoga. Shame on you...
Mnaomchukia niwaulize, nyie ndio mmemlipia tiketi ya ndege kutoka Afrika Kusini hadi Tanzania 😂. Wabongo kweli hamna ubongo, basi kuweni na akili japo😂😂.
Namuelewa sana kwanza Africa kusini hizo ndio body zao so we na utaahira wako umeongea bila ufahamu big up bro I appreciation your work love you bro well come Tanzania na Mungu asimame na wewe
Tatizo ubongo wa mende kweli nimeamini wanawake ndio marafiki wa mashoga lakini wanaume zenu amtaki kabisa kusikia kaleft group ila kukaa na kuwasifia mashoga Aaaaah 😂😂😂😂😂😂
Kila mtu gim,him,him, jama kama huna huna Tu. Mim sifany mazoez naniko vizuri kabisa napiga goli tano bila shida acheni ujinga niny uko kwenye majim kuna mlilenda kibao nayo inaenda ,kwanza maisha yangu yenyew nijim tosha so, kidume shituka mazoez saf kimbia2 inatosha
Huyu atatuharibia vijana sasa wanaume wakimea tako tutafautishaje khaa vitu zingine ata si yakuleta mbele yakemera jamani 🤦siopoa ujue,naomba usije Kenya tupo buzii n n mambo yamsingii 😂