Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu amesema elimu ya Tanzania ni kama kifungo cha maisha.
Ameeleza kuwa ni vyema mwaka mmoja mwanafunzi asome madarasa matatu ili kuokoa muda wa kuchukua miaka mingi kabla ya kumaliza shule huku akihoji ni utafiti gani unaoeleza ubongo wa binadamu kila mwaka usome darasa moja?
Tazama hoja mbalimbali za mbunge huyo hapa.
#CloudsDigitalUpdates #KutokaBungeni
16 сен 2024