Hawa ote tunasubiri na ni premieres ngoma bado inakuja kisima endelea kuwa mbunifu utumie jina lako kama brand hata siku ukichoka kuimba usitoke Kwa mashabiki zako bado waendelee kujivunia vitu ulivyoanzisha au kufanya Love from teacher teacher mrisho Bulabo kutoka mwanza
KAKA hakika mi waga nasikiliza sana midundo kama hii najifunza mengi sana kupitia nyimbo zako maana nami ipo siku ntakua kama wewe kaka sarut kwako Sinepar kisima majabala hongera sana kaka ❤
Nmeanza kmfatilia kisima tangu nikiwa dogo sana maana knanyimbo zake za zaman ninazpenda sana kwamfano ntemi ni ntemi Yani kwene fring zangu nlikuwaga niktoka kazin lazima niisikilize af nilikuwa nashangaa sana kwann jamaa anatoa ngoma Kali hiv af bado hajajulikana kmbe Mungu nayeye alikuwa pamoja nami mwishowe amemtoa jamaa ye2,,namkubali sana,,maana hakna musukuma mwenye talent Kama hii wengine niwapiga kelele2 wanaimba nyimbo 2 zamaana Kisha wanaanza ktukana wenzao huo ni ushamba Sana,,ebana ckiliza Tungo zenye vina na mizani,mwanzo Kati na mwisho,,usisahau kumuelewa kwenye kila wimbo anamanisha nn,,tunampenda naww mpende pia
Boss wangu naona idea zako kwenye kupanga dancers adi kandoro kazitumia kikubwa mziki wetu usonge mbele❤💪 united we stand sukumaland music to the worldwide
Sasa mnamkosoa Nini kwa hiyo mnavyowaza ninyi na yeye awaze vile Au ugali ukitengwa ukawa mbichi mtu asiseme et nenda ukapike na wewe. Acheni kujipendekeza Bora anaekosoa maana anampa changamoto afikiri zaidi kuliko mnapongeza tu Wa ndio mzee anajifunza nn kwenu😂
Mungu anatoa kila jambo kwa Wakati wake Kipindi upo unatembea kwenye uchaguzi na Njalu daudi silanga ukweli ulikuwa na mengi sana mara uachwe mwenyewe tu