Aggrey mwanri nakuelewa vzr sana unatenda haki kwa wananchi urais unakufaa ikiwezekana 2025 chukua fomu ya kugombea urais kabsa nakukubali naiman utashinda tena kwa sana
magufuli hembu muangalie huyu jamaa kwa makini umpe uwaziri mana ndio mkuu wa koa mwenye mamuzi ya fasta hataki ujinga nakazi zinaenda mkoani kwake sio wakina makonda maneno mengi tuu
Jamani wanatabora wenzangu tumuombe RAIS wetu mtukufu mama Samia Hasan suruhu amteue Tena Agrei mwamli kuwa mkuu wamkoa watabora mkoa huu akirejeshwa hiyo au raures gamap