Тёмный
No video :(

KOMANDO ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:ANGEMPIGA RISASI/VITA VYA UGANDA/NI SIRI NZITO.PART3 

Dar24 Media
Подписаться 728 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@msemakweli5938
@msemakweli5938 11 месяцев назад
Anajaribu kutengeneza Historia ambayo ajaifanyia utafiti wa Kina ,kwanza sio kweli mwaka 1992 hapakuwapo jaribio la mapinduzi ya kumtoa Nyerere ,kwa sababu mwaka 1992 mwalimu alikuwa hayupo madarakani,
@user-hv9js2vv7v
@user-hv9js2vv7v Год назад
Alikuwa anatoka Butiama sio Kenya na walitaka kumuulia kanisani St Peter
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 9 месяцев назад
Broo nakubali sana sana unaongea ukweli Sasa hivi Dunia imebadilika ukweli unatakiwa sio uongo umetawalaa
@leonardchabruma2377
@leonardchabruma2377 Месяц назад
Aiseee this guy knows something
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 3 месяца назад
Yamipaka sawa nimekuelewa
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 3 месяца назад
Kwatanzania nikiongozi gani ametengenezwa
@eliufoom6195
@eliufoom6195 Год назад
Yuko vizuri sana shida ni hapo kwenye kuamini mizimu tu ndio panaponikera
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 8 месяцев назад
Iyo ndo dini ya kweli Africa, yani kuamini kwenye ukristo au uslam ni sawa na mtu aliyeajiriwa, kumwamini mungu ni sawa na mtu aliyejiajiri! Sasa maamuzi ni yako , kujiajiri au kuajiriwa, kumbukumbu dini tumeletewa
@elinisafibabarita
@elinisafibabarita 7 месяцев назад
@@valentinernestkavishe7297 Ila weweee🤣🤣🤣 haya bana. Duh
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 Год назад
Uko sahihi sn, atakaekupinga ni mpuuzi
@minabw7301
@minabw7301 Год назад
Story zake sio sahihi kihivyooo. Mwenye story za uhakika kuhusu maswala hayo ni mzee Peter Bwimbo yupo hai miaka 94 na akili timamu. Mzee anaishi Dar as salaam na ndie alikua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na ndiye aliyemlinda na kumficha katika matukio hayo. Kitabu chake kinaitwa Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere Kiki Amazon , Google
@luzigakapande6921
@luzigakapande6921 7 месяцев назад
Alikuwa hatuki Kenya alikuwa anatoka Butiama. Historical zenu zinapotosha watu fanyeni utafiti Kwanza
@user-hv9js2vv7v
@user-hv9js2vv7v Год назад
Walitaka kumuulia kanisani st Peter oysterbay sio airpot.hii ni historia kuwa makini.
@leonardchabruma2377
@leonardchabruma2377 Месяц назад
Very funny guy
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Год назад
Kaka na kuelewa sana vp naweza je kupata vitabu vyako kununua mie nipo south Africa 🇿🇦
@luzigakapande6921
@luzigakapande6921 7 месяцев назад
Rip Makufuli
@minabw7301
@minabw7301 Год назад
Huyu anadhani watu waliokuwepo wakati huo walishakufa wote kwahiyo anabwabwaja utumbo. Well, some are still alive. Huyu si anajidai anajua sana usalama wa Taifa sasa aeleze lile gorofa la Uhamiaji pale kurasini original owner alikua nani? Na gorofa la pili yake wanapoishi mapadri au wakatoliki nani original owner wa Ile ngome? Na magorofa ya mitaa Ile nani original owners? Anajitia mjuaji
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc Год назад
Hajui chochote
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 Год назад
Huyu kijana Ni mwongo . Hajui historia ya Jambo analolizumgumzia
@minabw7301
@minabw7301 Год назад
Yap! mwache ajichanganye tu ataingi 18 za watu. Ukweli wa historia hizi pata kwa Mzee Peter Bwimbo yupo hai na akili timamu miaka 94. Mzee anaishi jijini Dar na ndio aliyekua mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere na vilevile mzee Bwimbo Ana mji mkoa wa Mara silaha ya Bunda kijiji cha kisorya uliza kwa Bwimbo utaonyeshwa na Bwimbo ni nani
@aloycekayanja1756
@aloycekayanja1756 6 месяцев назад
Hapo kibiti umendanganya jeshi yaani jwtz,Sio kweli waulize walio kwenda kwabahati Mambo hayo hayana mda mrefu waliohusika wapi!
@Mfundo272
@Mfundo272 Год назад
Bro hii story yako tafuta walioona live wakupe details, unapenda. Hadithi lakini huna details za ukweli, tutafute tukupe details za ukweli
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp Год назад
Hajakariri vizuri historian lazima iheshimiwe kwa ukweli wa historia yenyewe Raisi Ally Hassan Mwinyi 1992 hakuwahi kupata jaribio lolote
@hamischilinga6706
@hamischilinga6706 Год назад
Nadhani alikusudia 1982
@charlesmapunda2002
@charlesmapunda2002 Год назад
Ni makosa ya matamshi Ila Kuna sehemu kasema 82
@rayahamisi118
@rayahamisi118 7 месяцев назад
Mtani wangu upo sahihi
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Год назад
Amekosea ila nadhani anamaanisha mwaka 1982 sio 92
@simonitolya8029
@simonitolya8029 5 месяцев назад
Yes,upon sahihi,,92 Mwalimu hakuwa madarakani
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Год назад
Istoria yeke takusoma ila r.I.p magu
@user-re4uz7uw1e
@user-re4uz7uw1e Год назад
Kwahiyo hata mafunzo ya kijeshi tulipewa n a jeshi la Nigeri
@josephmaleckela9904
@josephmaleckela9904 8 месяцев назад
Dah ! Huyu kijana mtupu mnooo ! Hajui historia yeyote ile ! Ni vurugu tupu !!
@victorlashikoni-ji3js
@victorlashikoni-ji3js 5 месяцев назад
Mwongo wewe Mohamed Tamimu hakuwa Commando
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Год назад
Mwl Nyerere alitaka kupinduliwa mwaka 1983 na siyo 1992 chimba tena upate uhakika Maelezo yako ni mazuri
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 Год назад
We ni nani vilee ivi Mambo yote unayajua
@haidarishemahonge9357
@haidarishemahonge9357 Год назад
Sometime jamaa Anakuja alafu kama vile namkataa fran hv...nikisoma comments ...Mnao jua vema ...Embu Mkaombe nafas kama hz...Mtupe sis wa miaka 84 ..tutaamin wap?
@minabw7301
@minabw7301 Год назад
Mlinzi mkuu wa mwalimu Nyerere yupo hai Ana miaka 94 yupo jijini Daressalaam na akili timamu na Ana kitabu kinaitwa mwalimu mkuu wa mwalimu Nyerere Kiko google, Amazon. Mzee Peter D. M. Bwimbo, mzee black belt na ndio aliyemficha mwalimu kwahiyo hakuna risasi ingeweza mpata mwalimu nyerere.
@josephmwise3177
@josephmwise3177 Год назад
Ilikuwa mwaka 92 au 82 ? Najua unayasoma jitahidi kutunza kumbukumbu, mwaka 92 Raisi alikuwa Mwinyi.
@jeromejosia-zp7gr
@jeromejosia-zp7gr Год назад
Naweza kupata kitabu
@kinigarm8239
@kinigarm8239 Год назад
Any person not any people.
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Год назад
Danganya mbumbu wenzako wasiojua historia ya kweli.
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Год назад
Anatoaje historia nyeti hivyo za kiUsalama???Kama lengo la serikali lilikua ni kuziHide, yy kapata wap kibali cha kuziToa???? HAMUONI KAMA MNAMPONZA?
@dahlainismail6837
@dahlainismail6837 Год назад
Tupe madini mkuu ututoe matogotogo
@Marjeby
@Marjeby Год назад
We jamaa una matanizo na upwani na uislam?mie nakuna kama unapiga story tu tena story za upande mmoja tu but you don't have any proof so it's hard for reasonable man to believe your story bna kwendraaa huko
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 10 месяцев назад
Mshapigwa nyie
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 10 месяцев назад
Poleni sana
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Год назад
kwanza anaonekana ana chuki na RAISI WETU WA WANYONGE, The Late JPM, MSIMLETE HAPA HUYU MJINGA
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 8 месяцев назад
Hiyo si yy tu watu wote waliopoteza watu wao ktk utawala wake wa kiimla hawampendi
@jamirually893
@jamirually893 Год назад
Miaka mitano ya jpm ndo idara zilifanya kaz vzuri ww kumbe una chuki mshenz hapo umeharibu ujui chochote
@venanceassey7909
@venanceassey7909 Год назад
Ni mwaka 1982
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Год назад
Zilipata uoga sio kupata uimara
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 8 месяцев назад
Hazikufanya kazi vizuri bali ziliharibu kazi kwa kuuwa uwa watu ovyo
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Год назад
Dupa unachukua madini kwa mshuwa yerico mabadiliko yanakuja
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo Год назад
Dar 24 ndo watu kama Hawa mnawaleta studio hawana pointi wajinga eti unazungumza udini acha kupotosha umma waislam wamepigania uhuru wa nchi hili hata Nyerere mwenyewe alikiri Hilo miongoni mean hotuba zake we huna unachojua unaleta habari za mo setung dikteta wa china acha kuchambua wewe.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Год назад
Tamimu alitokea tanga
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Год назад
TAFUTENI WATU SAHIHI WA KUWAHOJI HISTORIA YA NCHI HII,,,, sio mtu kasimuliwa huko, na nyie mnamuita kusimulia alivosimuliwa
Далее
А ВЫ УМЕЕТЕ ПЛАВАТЬ?? #shorts
00:21
Просмотров 1,1 млн
А ВЫ УМЕЕТЕ ПЛАВАТЬ?? #shorts
00:21
Просмотров 1,1 млн