Тёмный
No video :(

MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 96 тыс.
50% 1

MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 64   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@IsaaclenkaiPassiany
@IsaaclenkaiPassiany 9 месяцев назад
Nakukubali sana piga kazi kamanda
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 Год назад
Umebadilika sana ww kunakitu umepata kwajili ya kutulagai watanzani
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 5 месяцев назад
Mh msukuma mim nakukubar sana kaka hata kama unaongwa lakin unajitahid kuishauli serikali wewe na mh mpina🤝🤝
@user-jl7zm6xw2d
@user-jl7zm6xw2d 11 месяцев назад
I really love you hon. Musukuma
@charlesowenya2872
@charlesowenya2872 Год назад
Ungekuwa hujaongwa usinge tumia nguvu kubwa kutaja utajiri wako( something went wrong)
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw Месяц назад
Hata ukihongwa kwani ni vibaya kama na wao wakihitaji wakahongwe tuu
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Год назад
Msukuma,ni tajiri mkubwa sana,kanda ya ziwa pamoja na kishimba
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 Год назад
Umeongea ukweli kabisa mwaya Wa kanda ya ziwa ndio tunamjua vizuri
@thebushguy5774
@thebushguy5774 Год назад
Kwani ukiwa tajiri ukipata hela ama kitu cha thamani cha haraka haraka utakataa
@browskymuba6923
@browskymuba6923 4 месяца назад
Ndio maana huwa nasema kila siku mungu na biashara ndio kila kitu
@joshuamtinangi6958
@joshuamtinangi6958 Год назад
Maswala ya kukadiria Kodi yanatumia vigezo viwili. 1. Mapato yako 2.Matumizi yako. Ni vizuri Msukuma awe mwangalifu kutangaza matumizi yake. Lakini hata hivyo wanaichi watafurahi walikuwa ulipaji Kodi wake.
@user-fl4lr2lq3s
@user-fl4lr2lq3s Год назад
Hizo zakoo sisi tunaongelea taifa
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
Hongera sana mheshimiwa msukuma najuwa unajiamini na mpambanaji
@johnmalale3860
@johnmalale3860 Год назад
Mh';:' safari za ARABUNI NDIYO MATUNDA YKE HAYO!;
@fabianjames8920
@fabianjames8920 Год назад
Mwachen msukuma
@shamimageta6651
@shamimageta6651 Год назад
Safi sana
@KulwaKahuzu
@KulwaKahuzu 4 месяца назад
Nakukubali hojazako musukuma zuli sana
@Nikolausdminde
@Nikolausdminde 8 месяцев назад
Jaman achen kumjadili msukuma anamiradi mikubwa kuliko wabunge wote ni mbunge wakuigwa
@blackothman7332
@blackothman7332 Год назад
Washakula pesa hao za waarabu nasemaje kwenye hili la bandari mtatuua
@wilisonmikate1652
@wilisonmikate1652 Месяц назад
Kwani ukihongwa zinakataa kuingia
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 Год назад
Nakumbuka kipind lowasa anataka urais 2015 alienda na ndege yake ........kwenye hili wamuache tuh
@user-ht8xe2gt3z
@user-ht8xe2gt3z 6 месяцев назад
Sawa mbunge nakuomba unisaidie kumsomesha mtto wakaka angu mzazi wake katangulia mbele za haki baba yke kavunjika anatakiwa kuwekewa chuma
@browskymuba6923
@browskymuba6923 Год назад
Tanzania kwakweli wanaletewa mambo mazuri wanaona wanapigwa hawajui hapa ilipo wanapigwa
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Год назад
Msukuma oyee! Tunaokufahamu tunakuelewa
@stephanominja8927
@stephanominja8927 Год назад
Wabunge wetu ni matajiri sana. Hata ubunge wao ni element tuu kuepuka kuumia ikitokea ajali,, lkn hawajachukua ile dhima ya kuea mbunge, yaani mwakilishi wa wanchi bungeni, kuwa msemaji wa wananchi wao jamani. Naona wengi wanaongea wao kama wao. Rudini majimboni kusanyeni maoni ya wananchi wenu mjue mbichi na mbivu. Ili mpeleke maamuzi ya kutoka kwa waliowatuma!!! Hizi mali mungu awatunzi ziongezeke kwani nayo ni fahari ya nnchi yetu. Mungu awape afya njema!!!
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 Год назад
Wao kina nani wake na hoja ilhali CCM ndo tumejaa bungeni 😂😂😂😂
@user-jl7zm6xw2d
@user-jl7zm6xw2d 11 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sememakolo9360
@sememakolo9360 Год назад
Acha swaga kwenye hela zetu na kuwatukana watanzania
@Tango696
@Tango696 Год назад
Watu wanatamani watanzania Kuwa masikini.keep it up kaka ...I dislike poverty
@maswamills3161
@maswamills3161 Год назад
Kweli MUNGU Ni mgawa riziki.
@user-uf9nd4ji5k
@user-uf9nd4ji5k 7 месяцев назад
Msukumaaa
@user-cv2gk7of7o
@user-cv2gk7of7o Год назад
Kwa jinsi ninavyokujua msukuma hapa hutupigi swagwa umepewa kitu unyamaze
@MohamedPaschal-wv6ss
@MohamedPaschal-wv6ss Год назад
Uko sawa king msukuma
@EvangelistMushiReginald
@EvangelistMushiReginald Год назад
Mwizi haibi kwa vile ni maskini Hali kadhalika rushwa haichagui kwamba huna Dhambi ni dhambi tu!
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 Год назад
Wamwache msukuma hako ka gari kwake ni kama budget ya keki nyumban kwako unapo kuwa na birthday 😂 Joseph kasheku kaka Angu wamwacheeee
@mohani7390
@mohani7390 Год назад
Baada ya kupata uongozi ndo ulinunua
@abdallahomary515
@abdallahomary515 Год назад
Waarabu wameshakulambisha asali mzee, kula baba ila angalia uckate kamba, Kuna baadhi ya wabunge ni matajiri sana wanapenda kuwa wabunge Kwaajili ya kutetea maslahi ya mali zao, Yani cc sjui tumerogwa hivi wanfikiri wale jamaa wkija kuweza huku labda na cc nchi yetu itakua kama Dubai hiyo tusahau, kwanza sehemu alizo kaa mwarabu watu ni masikini na elimu duni, tena tunawarusha jamani haya ngoja tuone wakubwa wshaamua.
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Год назад
Think big mkuu
@mariamemadoshi5540
@mariamemadoshi5540 Год назад
Tumamjua msukuma anapesa akiwa hajawa mbumge anamiliki pesa na magari lowasa mwenyewe alienda kwenye Jimbo lake akashindwa sema anachangia kushawishi tu lakini swala lapesa Hilo tunamjua kitambo
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Kwa kweli jamaa aanahela mda mrefu ameishi korogwe sana helkopita anazo mbili kabra ya kuwa mbunge lakini pia ana mabasi mengi
@sememakolo9360
@sememakolo9360 Год назад
Kwahiyo usiambie lolote kiss unandege na unamiliki maliki Mali
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 9 месяцев назад
Hela zetu izooo mwizi wewe
@jamesbayo1910
@jamesbayo1910 Год назад
MSUKUMA. HAWEZI KUHONGWA LABDA ASHINDWE. KUUSOMA. MKATABA NA KUSHINDWA KUFAFANUA KISHERIA. HILO TU MSUKUMA AWE MACHO NALO TUNAMUOMBA MSUKUMA ATAFUTE WANASHERIA ANAOWAAMINI.WAMFAFANULIE MKATABA. NA ATUSMBIE. NI WA MIAKA MINGAPI?.
@jobjohanes9166
@jobjohanes9166 Год назад
Hanarote
@user-gt8vz8ou7u
@user-gt8vz8ou7u 8 месяцев назад
😅 just q❤❤❤
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Год назад
Ndio wewee tajiri! Kwanini unapiga debe eti sawa bandari iuzwe kenge wewe darasa la msingi, hovyo kabisa au unatafuta uwaziri 😢
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
Serikali haina dhamira ya kuuza bandari, elimu ya lasaba siyo issues yawezekana yeye ana ueledi mkubwa kuliko unavyodhani wewe ugonjwa huu wakudharau wenye elimu ya chini ni jeraha kubwa sana.
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Год назад
Unajua maana ya kuuza
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Год назад
@@charlesngwembele4541 wanadhani jmbo rahisi
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Год назад
Kaongwa Uyu Anaongea Pumba2
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Год назад
Mbona nawewe ukahongwe na kama kahongwa ndo bahati yake😂😂
@mosessiame924
@mosessiame924 Год назад
Mudowangu chadema mududu chadema hawatakusaidia chochote
@andrewbigambo6721
@andrewbigambo6721 Год назад
Wivu wa maendeleo ya mtu
@charlesngwembele4541
@charlesngwembele4541 Год назад
Kahongwe na wew
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Год назад
Ushalamba asali wewe.
@ScientistIsaiahOfficial-ff8ui
😂
Далее
KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
8:08
SAKATA LA MUSUKUMA Vs MKURUGENZI KUHUSU V8 YA MIL. 400
4:43