Тёмный

SABRINA ALIYELIA KWA MAKONDA ALIMWA TALAKA, APOTEZA BILIONI 1 AUMIZWA KUKOSA MAGARI MANNE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 166 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 698   
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 4 месяца назад
Pole sana dada angu......hayo ni mapito tu, malipo ni hapa hapa duniani. Ni swala la Muda tuu.
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw 4 месяца назад
Yeah true👂
@NoelaKitali
@NoelaKitali 4 месяца назад
Mp O.ko​@@bakari-si1pw
@ndeenengomselle1267
@ndeenengomselle1267 4 месяца назад
Pole sana Sabina Mungu akutetee....nafahamu mlivyopendana mlipokuwa na maisha ya chini....acha Mungu atashughulika naye
@witneskihega8971
@witneskihega8971 4 месяца назад
Pole sana kwa maumivu dada. Ukiona jambo unatumia sana nguvu na haliwi kama unavyotaka, basi ujue yamkini hayo ndo mapenzi ya Mungu kwako. Achilia mali na maisha ya nyuma. Anza upya kabsa. Siku za mbeleni utamtukuza Mungu. Utapata amani ya roho ambayo ni muhimu kuliko mali. Geuza kisogo chako uanze maisha mapya. Maisha yatakuwa magumu mwanzoni hasa ukikumbuka mali zako, ila achilia na ujipe moyo mkuu. Nimejaribu kutizama hili jambo kwa jicho la tatu.
@redemptervictor5006
@redemptervictor5006 4 месяца назад
Aiseee
@eliachaula6542
@eliachaula6542 4 месяца назад
Hakika wewe nimuungwana🙌
@Rashidmussa-m3x
@Rashidmussa-m3x 14 дней назад
Unaachaje mabilion ukaanze kijijini
@SophiaAthumani-ri4lu
@SophiaAthumani-ri4lu 4 месяца назад
Pole Sabina nakujua sana wewe ni mpambanaji mungu akuongoze upate haki yako
@molom5027
@molom5027 4 месяца назад
Pole sana dadangu. Ngojea tu na angalia ukiomba. Mungu atakuonyesha kitakachotokea.
@ssaa7495
@ssaa7495 4 месяца назад
Pole sana mama, pengine Mungu amekuepusha na mengi. Kwa sasa hivi wewe Sali sana mtegee Mungu
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 4 месяца назад
Pole sana dada siku zote mungu husaidia mwenyehaki,mahakama za sasaiv ni uozo mtupu nakushauli endelea kumwamini mungu ulikuwa ufe wewe ni nema ya mungu tu .
@leokamil6284
@leokamil6284 4 месяца назад
Mahakama ni mtihani tuu fedha inaongea,ndio maana nchi nzima kesi tupu watu wanalia haki hakuna
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 4 месяца назад
Pole.sana
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Kwani makonda aloshindwa tena? Tunalishwa matango pori na wanasiasa? 🤔
@leokamil6284
@leokamil6284 4 месяца назад
@@MiriamAbdallah Watu wa nchi hii hawana thinking capacity,yaani upeo wetu ni mdogo sana.Yule alitufunga akili za kujitambua kutambua haki zetu binafsi alituweza sana akatubrainwash kuwa kibatari ndio sign ya ati Revolution wakati tuliipata kwa Wakoloni bila kumwaga damu .Hiyo ni whichkraft cos hatuko sawa.Ati unapelekea shida yule ambae yupo miaka yote Madarakani huo ni ufala. Kuanzia Mwaziri watendaji ni hao hao hivi hao wote wanaoripotiwa kuanzia Polisi nani aliwajibishwa hii ni Taktik da ku fool watu ili waamini CCM wawape kura wakisahau hawa ni hawa hawa wanajua kucheza na mind za watu.Shida wamezifuga then wanapritend ati ni watatuzi .
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 4 месяца назад
Wanawake lazima tujikubali, na kujipenda . Kupewa talaka ndio mwanzo wa maisha mapya, simama na mungu atakupigania
@EvelyneMsaki-y4w
@EvelyneMsaki-y4w 4 месяца назад
Dada weeee hujielewi wewe inaoneka una shida
@RoanCorporation
@RoanCorporation 4 месяца назад
Anaonekana amepata maumivu kweli , pole Dada
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 4 месяца назад
Makubwa kweli
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 4 месяца назад
Pole sana mwanangu wewe. Ulipougua ndipo alipata mwanya wa kuwa na mchepuko, alidhani utakufa. Ninachoweza kukushauri, hembu mwachie hizo mali, angalia maisha mengine.Tafuta amani kwanza. Nyumba na magari vitabaki duniani huwezi kwenda navyo mbinguni. Mungu akutie nguvu na ujasiri, achilia, kama wewe ndio ulikuwa muongoza njia kwa hiyo nyumba hembu utulie utapata jibu.
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw 4 месяца назад
Wewe nimimi kabisa ninavyoipenda amani kuliko chochote
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Akisoma hii comment naomba aitilie maanani
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw 4 месяца назад
@@ruqaiamohammed345 tena azingatie
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
@@OmanOman-ns3iw sana yan
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 4 месяца назад
Wewe hujui kabisa biashara. Yaani apambane maisha yote alafu mume wake achukue kika kitu na watoto wao waishi ya umaskini?! Ebu tumieni akili. Au wewe ni ndugu wa huo mchepuko?
@tnftz1461
@tnftz1461 4 месяца назад
Dada anaonekana ana hofu ya Mungu mwanaume Hana hata chembe kakamatwa na malaya😭🙌 hiv mwanamke kama huyu namwachaje jaman anavoongea kwa huruma iv🤔🤷
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 4 месяца назад
Daah jaman wanaume angalie sana
@bufurechristian5094
@bufurechristian5094 4 месяца назад
Unawajua wanawake vizuri wewe
@ahz6907
@ahz6907 4 месяца назад
Jichanganye😂
@joelnjuguna7777
@joelnjuguna7777 4 месяца назад
Jambo usilolijua ni usiku wa giza
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 4 месяца назад
Ila wanaume naishiwa maneno aiseee😢😢😢😢😢yaan ni viumbe hatar sana kwenye maisha yetu,,,,,,ndo chanzo ya kutukosesha aman
@hyasintasilayo8952
@hyasintasilayo8952 4 месяца назад
]Pole sana dad,omba kwa nguvu zote maan hakna kigumu mbele za mwrnyez Mung
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 месяца назад
Duh mwanamke ukiwa na mali au akili ya pesa kuwa makini sana , Sisemi zaidi
@winnemassawe8123
@winnemassawe8123 4 месяца назад
Sanaa kuwa makini sana
@Bise270
@Bise270 3 месяца назад
Kweli kabisa,noted.
@Ontuzu
@Ontuzu 4 месяца назад
Kwenye haya maisha usimsikilize mtu mmoja wasikileze wote yawezekana akija kuongea mwanaume aliyopitia kwa huyo mama tutabaki mdogo wazi ogopa sana mtu anayeongea huku analia au anayeongea kwa upole ni nyoka
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 4 месяца назад
Daaah kama anayosema huyu mama ni kweli,basi kuna viumbe ni mashetani
@AwardHakimu
@AwardHakimu 4 месяца назад
Siku zote watu wanavyosimulia Kuna mambo huwa wanaficha kwaiyo utakiwi kuamini Kila kitu
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 4 месяца назад
Umemsikiliza na mlalamikiwa?
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 4 месяца назад
@@bockerNyarusahi kwenye kusoma kuna hivi vitu 1.Kusoma 2.kuelewa Ukisoma kitu unatakiwa na kuelewa,sio unasoma kama unasoma token za Luku
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 месяца назад
​@@AwardHakimuKuna kitu kina itwa saikolojia😂 kwa hio tumia hio pia na kama hujui utabaki kusema utumbo
@AwardHakimu
@AwardHakimu 4 месяца назад
@@abdulnaseermrisho4342 kwaiyo wewe unaijua sana saikolojia mpaka unaweza kuelewa saikolojia ya mtu anae ongea kwenye tv aiseeh kwanza ondoa neno utumbo kwenye comment yako kutoheshimu maoni ya wengine ni upumbavu mkubwa sana
@baddestgames2784
@baddestgames2784 4 месяца назад
Uyo mwanamke kamuloga mme wako dada angu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie Mungu atakusimamia mamaa
@PrinceWandwe-bo2ps
@PrinceWandwe-bo2ps 4 месяца назад
Huyu Dada yuko smart sana na kama anachokiongea kingekuwa ni uongo maelezo yake yangekuwa na mikato mikato mingi lakini anaonekana anaingea bila utata pole sana sister
@misschagga8042
@misschagga8042 4 месяца назад
Kabisa ukimsikiliza tu unapata jibu shida ipo kwa mume na kimada kimeshikilia makali.
@amosstimamaroba1054
@amosstimamaroba1054 4 месяца назад
Don't trust a girl in a first impression pls
@MansaMusa255
@MansaMusa255 4 месяца назад
​@@amosstimamaroba1054 uko sawa kabisa
@Siasia209
@Siasia209 4 месяца назад
Wewe ndio utakua uyo mumewe maana umekazana kumsema dada wa wawatu​@@amosstimamaroba1054
@reginaedward4883
@reginaedward4883 4 месяца назад
Pole sana dadangu wachana na yeye kubali talaka mgawane Mali. Wewe ni mpambanaji and l believe you can do it.
@brysonjohnlukumay
@brysonjohnlukumay 4 месяца назад
Daah huyu mwanamke ana hekima mno
@innocentpaulchillu1512
@innocentpaulchillu1512 4 месяца назад
Huwezi jua,anaweza akawa anaonekana anahekima kwa kumtazama lkn deep inside yuko tofauti kabisa
@mwanaidimrindoko4117
@mwanaidimrindoko4117 4 месяца назад
Hapana mtu mwenye hekima anaonekana tu kwa mahojiano yote hayo changanya na maumivu Kuna ki jitabia angekionesha tu
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 4 месяца назад
​@@innocentpaulchillu1512uko sahihi wanao shabikia kwa kuangalia tu hawana familia na hawajawahi pitia haya matatizo....Ngoja wakue
@hemedmsella6496
@hemedmsella6496 4 месяца назад
Wanawake ni waongo hakuna kitu kama hicho​@@mwanaidimrindoko4117
@nancyg8664
@nancyg8664 4 месяца назад
​@@innocentpaulchillu1512kweli kabisa
@khamisally9559
@khamisally9559 4 месяца назад
Huyo jamani bila kukamatwa na kuwekwa ndani huyo dada huwezi kupata haki zake. Wamkamate aekwe ndani kama wiki mbili hivi akili ndio zitakaa sawa. Huyu Julius ni mshenzi sana halafu anajifanya mtu wa Mungu. Ovyooo kabisa.
@scholarmassawe6380
@scholarmassawe6380 4 месяца назад
Huyu anatumia nguvu ya hela hawezi kukamatwa.
@EdnaMbowe
@EdnaMbowe 4 месяца назад
Dada Pole Muombe Mungu wanawake tunapitia mengi ya kuumiza. Mungu akufanyie wepesi
@WardaFashion-n3y
@WardaFashion-n3y 4 месяца назад
Huyo baba asubir kisasi cha watoto wake hatakaa amini maisha yake yote Kwa haya anayoyafanya mn wanamtizama mama yao anavyohaingaika kl siku kwny media 😢
@abdultandala6576
@abdultandala6576 4 месяца назад
Usihukumu kama haijasikilizwa upande wa pili
@roseberryhamoud6542
@roseberryhamoud6542 4 месяца назад
Kama ingekuwa ni mimi hatokuja kupatana na watoto.
@jacksonkagubho7029
@jacksonkagubho7029 3 месяца назад
Wazaz wa kiume ni rahis sana kuwakacha watoto wakileta ujuaji 😂
@Tg.7_7
@Tg.7_7 4 месяца назад
Pole Sana Dada! Nakuombea umwachilie na kumtoa moyoni huyo jamaa na kumove on itakuletea shida mno na hata umauti pengine!! Move On!!
@ZakiaAhmedi
@ZakiaAhmedi 4 месяца назад
Kwel amuachiye Mungu aanze maisha umpya ajifunze kutoka kwa Queen wa dr mwaka sas hivi anaishi maisha ya amani na furaha zaid tujifunze kutafuta mali zetu wenyew 😢
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 4 месяца назад
Ongeza maombi Dada Mungu ni mwema
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 месяца назад
Pole mbona Mungu ni mwema sana anakuepusha na jambo fulani❤ shukuru sana
@Onlynewupdates01
@Onlynewupdates01 4 месяца назад
Bora nipatane na mwenye zake na mimi niwe na zangu upendo tu utupnganishe mambo yakutafuta wote mwishoni ni maumivu maana anaeonekana mtafutaji machoni pa watu ni mwanaume mwanamke anaonekanaga ameolewa tu kumbe wengi ni 50/50 hakuna mwanaume mwenye pesa zake ana mke shepu au sura …wanasema ndege wanaofanana huruka pamoja ilakwasababu mwanamke anamuacha baba awe kichwa badae mwanaume anatumia njia hio kutapeli wakati utakuta apo yeye ana 45% huyu dada ana 55% yuko very calm and clear hajapanic kama anataka watu tumuone huruma …she speaks from her heart
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 4 месяца назад
Mwanamke mwenzake kapindua meza daaah
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 4 месяца назад
Atakufa kama inzi huyo
@machakuroger7068
@machakuroger7068 4 месяца назад
Neema huyo, si mke ni kimada tu inaonekana
@katobirch4759
@katobirch4759 4 месяца назад
Snake snake then you snake cut left, sheria mpya inahitajika huwezi kuwa billionaire kwa kuosha vyombo wazee wa Cuba gonga like hapa
@janethhipolite1774
@janethhipolite1774 4 месяца назад
Mikopo jamani..Haujasikia hapo amesema walikopa milioni 250 sijui
@Rashidmussa-m3x
@Rashidmussa-m3x 14 дней назад
We utakuwa wifi
@Sarah-o5u9t
@Sarah-o5u9t 4 месяца назад
Pole sana ndugu yangu , mm yalinikuta hayo mwanaume aliniacha bila hata100 alificha kila kitu akijua ananikomesha kisa kapata askali mwenzie mpaka godolo kweli inauma usiombe yakukute lkn Mungu alinifungulia njia niko vzr zaidi yasana ,shukuru Mungu malipo nihapa hapa vitu nivyakupita hivyo
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 месяца назад
Pole sana, dhuluma huwa haivuki ng'ambo. Chukua haki yako hata kama ni ndogo, pambana kwa upya ni suala la muda huyo atarudi kwa magoti kuomba msamaha.. Ni jambo la kusikitisha sana maana mahusiano ya nyakati hizi bila Mungu kutangulia mbele ni disaster tupu. Nipange kwa upya, kikubwa uzima mengine yatakuja.
@TherezaJunior
@TherezaJunior 4 месяца назад
Dada usiari mm Happ niliacha Kila kitu ila nilibeba wanangu tu lakini kwa Sasa ninamiliki majumba mawili na gari yangu vyote nilivyomwachia viliisha lizika atakachokupa mungu atakiongezea vingine hutaamini
@florencemeza6540
@florencemeza6540 4 месяца назад
Dada yupo Mungu mtegemee tu UTASHINDA VITA SI VYAKO NI VYA BWANA
@JumannehassaniomaryJumannehass
@JumannehassaniomaryJumannehass 4 месяца назад
Utapata mume namtapendana namaisha yatasoga I'm formo Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼
@TumainiNjema
@TumainiNjema 4 месяца назад
Dada anaongea Kwa hekima Sana ingawa anadai Haki yake lakini Bado anaonyesha unyenyekevu. Mungu amsaidie apate haki zake. Aamen .
@nancyyesse1380
@nancyyesse1380 4 месяца назад
One strong thing is ,ukiacha mali yako ipotee bila kupambana ni dhambi…pambana ikishindikana let it go ,karma is gonna hit him so baaad 📌
@AmisaIkungeta
@AmisaIkungeta 4 месяца назад
Inaumiza sana, sana,, daaaa... Aiseeee.. Wanaume, wanaume, wanaume.. tatizo. Nini???
@alexwatae3165
@alexwatae3165 4 месяца назад
Dah!! Pole sana Wanawake wenye hekika kama hawa kwa sasa Hawapo.. nimependa busara yako
@happinessakim2679
@happinessakim2679 3 месяца назад
Pole sana muhanga mwenzangu,,,,, mim nilishindwa kujitetea nikapokonywa kila kitu Namshukuru Mungu,,,, nlpo nalea wanangu kwa Sasa,,,, 😢😢😢
@naomipieter4627
@naomipieter4627 4 месяца назад
Mtulie mimi mjane namshukuru mungu mume miaka 24 yandoa katwaliwa kaend kwa amani .maisha yaha
@kidtoto4869
@kidtoto4869 3 месяца назад
Noted!!, Ukipata mali ndugu na Marafiki wanakuwa Wengi!!
@farajiyusuph9019
@farajiyusuph9019 3 месяца назад
dada ana pure heart mungu amsaidie
@AnnaMathias-h3s
@AnnaMathias-h3s 4 месяца назад
Dada Mlilie mungu wako wewe muachie mungu afanye kazi yake piga goti kwa mungu atakusikia
@Siasia209
@Siasia209 4 месяца назад
Ooooh!pole sana dada mshkuru Mungu Allah atakulipia malipo ni hp hp Dunian
@joyce55727
@joyce55727 4 месяца назад
Dada yangu najua ni uchungu sana pia mm niliyapitia km hayo miaka 10 iliyopita na sasaiz hanipati kwa mafanikio km Mungu ndie mpaji basi atakupa zingine ili uepushe roho yako kubal tu hizo unazopewa anaweza kukumaliza huyo mtalaka wako
@joyce55727
@joyce55727 4 месяца назад
Km kuacha mali zako ni zambi bas Mungu atakusamehe endelea kumuomba Mungu pia pambana bola upate zako uish kwa amani unaweza ukazipata hizo mali unazo taka kutoka kwa mtalaka wako lakin usiwe na aman najua unaumia sana ila jikaze
@Sarah-o5u9t
@Sarah-o5u9t 4 месяца назад
Kabusa
@lindaabraham5365
@lindaabraham5365 4 месяца назад
Pole sana, afya pekee ndiyo mtaji, kama una afya njema inuka pambana tena. Pambania tu hiyo nyumba msigawane basi magari na vingine mwachie kama sio haki yake vitapukutika vyoteeee. Mungu atakubariki atakupa zaidi. Ogapa sana watu wanaopenda mali kupita utu wanaweza kukufanya lolote baya.
@FelisterMunissy
@FelisterMunissy 4 месяца назад
Utashinda dada mungu atapigana hv vita huyo malaya anayekula n huy mwanaume omba mungu atawaua wote huyo mwanaume hana mda mrefu lazma ataanguka chini
@emmanuelmanga25
@emmanuelmanga25 4 месяца назад
Mnaosema maneno ya kumshutumu mwanaume, mnajua magumu aliyopitia kwenye hiyo ndoa?, mmesikia upande wake anasemaje?. Mm nipo katikati, sijui yupi atakuwa na sababu maalumu.
@FranklinMtei
@FranklinMtei 4 месяца назад
101%
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
MUNGU nisamehe matatizo ya ndoa hayapelekwi kwenye mitandao turudi kwenye Mila na desturi zetu Kuna suluhu huko
@bintnouh4483
@bintnouh4483 4 месяца назад
nyie ndo walewale
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 4 месяца назад
kama ni mwanaume kweli ampe Mali zake
@wilfredcalist4735
@wilfredcalist4735 4 месяца назад
Hakimu wa pekee ni Mungu tu. Jipe moyo aliyekubariki atawajibu wote waliokudhulumu.
@shelizaomary2536
@shelizaomary2536 4 месяца назад
Mwenye haki haachwi...pole dada...Mungu atakupigania
@Yanarichbiz
@Yanarichbiz 3 месяца назад
Nilimuona huyu dada mara moja tu nikiwa naelekea ngaramtoni tukaongea kidogo sna (ni mdada humble sana)
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 месяца назад
Jamaa Amekosa Mke.. Yani Mke kweli...Mke Mwenye Akili nyingi Sana...hata Atakaempata Bado Ni Mke Mwema na Bora sana..Anaitaji faraja na Matunzo..na kumsahaulisha hote yaliyopota na kuanza Maisha Mapya.Allah Amfanyie Wepesi In sha Allah .
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 4 месяца назад
Umetumia vigezo gani kumuona ni mke Bora na mwema?? Unamjua mke Bora wewe?? Acha kucomment ushamba, kisa umeona ongea yake tu keshakuwa mke bora, je vigezo vya kuwa mke bora vinasema akiongea vizuri tayari mke bora sioo??? Acha ufara
@danielgadiye7983
@danielgadiye7983 4 месяца назад
Bro fanya research utanishukuru mwanamke anatoka kufanya unashuhudia kwa macho yako piga ua anakuambia sijafanya aliyekuambia kaachwa kwasababu ya tamaa ya mali na mumeo kakupoteza so kweli mama kanyanyua mguu mzee kasanda mama anataka huruma na jamaa haelewi kuhusu hilo wanataka wapelekewe moto then wabaki kwenye ndoa zao hiyo kitu hakipo bro hakuna mjadala juu ya nani mwenye haki ya kutoka nje ya ndo ni baba tu katamani kwasababu tumeumbiwa tamaa wao wameumbiwa kupenda
@MaedaMm
@MaedaMm 4 месяца назад
Wewe dada achana na hizo mali utakufa bule uache wanao wanateseka bora umuachie tu pambana upya muogope sana mtu anae kaa kimya usije poteza.maisha bule
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 4 месяца назад
Mbona humshauri Mwanamme
@delverosedastan5730
@delverosedastan5730 4 месяца назад
Mungu wa mbinguni akusimamie haki yako itasimama daima kwa jina la Yesu
@zainabumohamed4763
@zainabumohamed4763 4 месяца назад
Anavyosema dada mrembo neema ,kwa upole jamani😢
@golebenson4597
@golebenson4597 4 месяца назад
Wanaumeee tunapigwa juuu chinii😢😢😢 uyo mama anaonyesha ni mjeuri sana 😢😢😢
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishajuma18
@aishajuma18 4 месяца назад
Sasa kama mjeur si ampe Mali zake😊
@golebenson4597
@golebenson4597 4 месяца назад
@@aishajuma18 unauhakika ni zake
@aishajuma18
@aishajuma18 4 месяца назад
@@golebenson4597 Kumbe za kwako
@golebenson4597
@golebenson4597 4 месяца назад
Mwandishi hongera sana umeuliza swali mzuri kusikiliza upande mmoja na kuhukumu ni mbaya ninachokiona mwnaume amemua kupambana(kimyakimya kiume.huenda dume limetendewa kitu kizito akaamua kupambana kimya kimya🎉🎉.uyu dada anaharibu ndoa yake na watoto aache kuhamgaika na media atafute suluhu Kwa njia salama sio kuongea mambo ya familia yake hadharani makokosa makubwa anaendelea kutenda
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Penda sana point yako ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉ni aibu kutoa mambo ya ndoa mitandaoni naona Kuna mtu anamdanganya hu mwanamke, hongera ya mwanaume kuwa kimya, aibu hata watoto unyimwe Kuna shida
@shadrackdeogratius6760
@shadrackdeogratius6760 4 месяца назад
Mpaka mwanaume aongee ndio tujue ukweli, wanawake wengi wanajua kulalamika, ila ukija kuchunguza mwanamke ni jau .mpaka mwanaume afanye maamuzi magumu ujue mwanamke ametaka nafasi ya mwanaume ndani.alafu Sasa hivi anatia huruma,ila hyu mwanamke Kuna majuto ya ndani.kwa wanao jua sychology
@salehekisebengo8554
@salehekisebengo8554 4 месяца назад
Kweli kabsa ndugu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Usema Lina ukweli na huku anajidanganya hakuna haki bali ni kujidhalilisha na kuongeaz chuku
@innonyange6482
@innonyange6482 4 месяца назад
Kweli ana majuto, anajua alifanyalo
@aishajuma18
@aishajuma18 4 месяца назад
Kunamtu anakoment Sana namuhisi ndio mchepuko wa julias😅mwacheni apiganie haki yake
@George-r2u
@George-r2u 4 месяца назад
Dada yangu pole sana, mwachie Mungu , usipiganie Mali mwenyewe, Mungu atakupigania
@rosehaule6765
@rosehaule6765 4 месяца назад
Mali ni shida wanaume wakipata basiii mnatafuta kwa shida kubwaa sana baadae anakimbia anakula na kimada baadae anarudii uwiii😢
@elymsakuzi6493
@elymsakuzi6493 4 месяца назад
Pole sana mama lakn natamani nimsikie baba amepitia nn pia
@arnoldrwekaza2265
@arnoldrwekaza2265 4 месяца назад
Chanzo cha Julius kuondoka home ni kikubwa muno. Mambo hayawekwi wazi
@FranklinMtei
@FranklinMtei 4 месяца назад
100%
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Point ☝️
@bintnouh4483
@bintnouh4483 4 месяца назад
umalaya ndo umemuondoa nyumbani
@mwamvuamagongo8163
@mwamvuamagongo8163 4 месяца назад
Daah!! Dunia sio mbaya Binadamu ndio wabaya
@eestermos9933
@eestermos9933 3 месяца назад
Pole sana Mungu atakutetea
@AllenMwafilombe
@AllenMwafilombe 4 месяца назад
Pole Sana Dada Mungu atakusimamia kwani unaonekana mcha mungu komaa kwani bado unaishi utafanikiwa
@teddytedy248
@teddytedy248 4 месяца назад
Dada Mungu yupo,kisasi ni juu ya Mungu,adui wa mwanamke ni mwanamke
@bambuchabongomovie5746
@bambuchabongomovie5746 3 дня назад
Jiungamishe kwa MUNGU wako unae mwamini bila kuchoka jibu utapata kwa wakati Mimi nakuombea 🙏
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 3 месяца назад
Pole my wanaume nihatali❤
@MaliusMaliuskagumisa
@MaliusMaliuskagumisa 4 месяца назад
Polesana mlembo ila uyojamaa iposiku atakujutia sana maana wewe nimwanamke aseee amepoteza
@malikzafarani172
@malikzafarani172 4 месяца назад
Daaah pole sana dada, wanaume muda mwingine sijui tunafeli wapi 🤔.
@MouhammedSeif
@MouhammedSeif 4 месяца назад
yaan ata mm suali kama hilo najiuliza
@priscasway3492
@priscasway3492 4 месяца назад
Pole sana dada mungu atafanya jambo juu yako
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 4 месяца назад
Pole mpnz Mungu akusimamie
@salmanyangasa1171
@salmanyangasa1171 4 месяца назад
Dah! Acheni TU Dida aishi mwenyewe Wallah...wanaume wanakua binadamu mkiwa hamna pesa mkipata TU hua zaidi ya mashetani maana hufanya mambo ambayo hata shetani huyashangaa mh
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 4 месяца назад
Pole sana ,lakini ujue tuu kua kanuni ya ki Roho Bado wewe ni mke halali wa Julius Hadi Leo ,ndoa haivunjiki kwani hakuna serikali yoyote duniani ilioanzisha ndoa ,ndoa ilianzishwa na Mungu mwenyewe ,mahakama za Dunia zinafanya kuachanisha ki binadamu tuu lakini sii halali kwa Mungu Neno la Mungu Soma Marko 10:1-12 mjue tuu kua Kila alie ingilia ndoa ya mtu yeyote awe mwanamume au mwanamke ajue hukumu inamngoja yeye na huyo aliekubali kuivunja ndoa ,moto upo na Wala faraja ya dini haimwokoi mwanadamu kwani wote watahukumiwa na Neno ,,kilicho fanyika hapo Dadaangu ni matokeo ya Uzinzi haswa wanandoa kutokua waaminifu na nguvu ya Mungu ukajitenga kusaidia kwani shetani hutafuta makosa Kisha kuharibu,uchawi umehusika Sana kuharibu ndoa za watu haswa endapo wewe dada au mumeo alishawahi kukosa uaminifu kwa mwenzie ,inahitajika binafsi umjue YESU na awe mwokozi wako Kisha uzame kwake na ugeuke kwa kuziacha dhambi zako Kisha samehe halafu omba Mungu aingilie kati ndoa yako,hata ukiolewa Leo Sheria ya Mungu hairuhusu uolewe Tena Hadi kifo kitenganishe watu wanakiuka Neno kutokana na kiburi na fedha imenunua haki za watu lakini Neno linadumu Milele ,dini pia hazisemi ukweli wa Neno na ndio maana zimeacha ukweli wa Neno na kuweka taratibu za kidini na madhehebu .Mungu aku tetee .Amina
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 4 месяца назад
Sasa ndoa ni nini??? Kama mke na mume Hawako pamoja wala hawashiriki, kuna maana ya ndoa hapo?? Au wewe una maana nyingine tofauti na hiyo kuhusu ndoa??
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 4 месяца назад
Ndoa ni muunganiko wa wawili ,mtu anapomuacha mwenziwe ni sawa na wewe kula chakula kwenye sahani Kisha ukaweka na makombo ulioyatafuna halafu unampa mwingine ayale ,nadhani utakua unafanya kosa Sana na dhambi kubwa ,ndugu ujue kua mke wa mtu haolewi na mtu mwingine hata Kama waliachana Bado kwa Mungu ni mke halali kabisa ,sii Mungu ameachanisha Bali ni kiburi cha dhambi ,uovu na tamaa ya mambo ya Dunia na kupenda sifa umaarufu na kupenda fedha ambayo ni chanzo Cha maovu yote, usije ukaolewa na mume alieacha mkewe ,ni dhambi ,Wala usithubutu kuoa mke alieachana na mumewe ni dhambi na Mungu anawaita ni makahaba hata Kama mlifunga ndoa ,hapo mmedanganyika Sana ,mbele za Mungu hukumu ipo na moto unawangoja wote walio achana hata Kama unatoa sadaka kiasi Gani (Mungu ha hongwi kwa lolote ) unathubutu vipi kuoa mke wa mtu na wasichana wapo wengi kiasi hicho ? Unaolewaje na mume wa mtu na vijana wapo wengi hivyo?? Neno la Mungu Linasema usizini ,mpende jirani Kama nafsi yako ,Wala usitamani mke wa nduguyo ,jirani yako Wala mjakazi wake Wala punda wake ,Sasa Kama hivyo ni dhambi je!! Wewe ulie oa na kuolewa unajionaje huoni umesha hukumiwa ???
@gloryexaudy8094
@gloryexaudy8094 3 месяца назад
Sijajua unasomaje bibilia ila soma pande zoote biblia imeandika pia mume na mke wanaweza kuachana endapo kuna mmoja ni mwasherati sasa ujaona hapo kama mke amekimbiwa na mume kwenda kwa mwanamke mwingine teyar ni uasherati huo Jua kutofautisha uasherati na uzinzi Uasherati ni kwa wanandoa kutoka nje ya ndoa Uzinzi ni mtu yoyote ambaye hajaoa au kuolewa akakuwa amezini
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 месяца назад
@@gloryexaudy8094 yote sawa tuu ,hukumu ni moja tuu ,ila swala ni kumilikiwa mwanamke na kumilikiwa mwanamme kwa kua wameunganishwa ki ndoa,ukiachana my friend inakupasa kukaa hivyo au kusamehe muendelee kuishi .,YESU hajaruhusu walioachana kuoa Tena Wala kuolewa Tena soma vizuri utaona na ujue YESUni MUNGU ,Paulo anasema kama mmoja ameamua kuondoka na aondoke lakini hapo sii BWANA Bali ni yeye ameshauri kama vile Musa nae alivoshauri watu kupewa talaka na sii Mungu aliagiza Hilo Bali Musa .
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 месяца назад
@@gloryexaudy8094 Mungu alisema Hadi kifo kiwatenganishe ,(ni nani mwenye Mamlaka ya kutangua agizi la Mungu ????) Maana ya Neno kifo inamaanisha hakuna namna ingine ya kurekebisha ni ikae kama ilivyo .
@margrethemanuel7501
@margrethemanuel7501 4 месяца назад
Mim jamani narudiaaaa...staki maskin mim kabsa...shindwaaaa pepo la maskin, shindwaaa, kweli Mwenyenz Mungu niepushe na mwanaume/ rafki maskin
@kelvnkalist7569
@kelvnkalist7569 3 месяца назад
Mm naona dada achana nazo mungu atakupa .
@pmp-255
@pmp-255 4 месяца назад
WHAT A CONFIDENCE!!!
@CelinaMillinga
@CelinaMillinga 4 месяца назад
Pole sana najiona kabisa mimi hapa
@daniellokamacheki2200
@daniellokamacheki2200 3 месяца назад
Dahhhh aseee pole mama
@maswamills3161
@maswamills3161 4 месяца назад
Mungu akulinde mama , mmmhhhh siku hizi mali zinaua, mtangulize MUNGU kila upitapo .
@yusuphibrahim-yq9mv
@yusuphibrahim-yq9mv 4 месяца назад
Nisa hihi hakuna kudhulumu au kudhulumiwa allahu amesema
@josephkate3664
@josephkate3664 4 месяца назад
Ni kusikia upande mmoja inawezekana aliekuwa mumewe akikueleza unaweza shangaa
@shadrackdeogratius6760
@shadrackdeogratius6760 4 месяца назад
Ukweli,ukiangalia uso wa hyu mwanamke unajua TU kuwa anampanda kichwani jamaa,et aliuza bila idhaa yangu😢😅
@monalisaally4387
@monalisaally4387 4 месяца назад
Kwakweli
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي 4 месяца назад
Sasa si ndoazungumze tumsikie
@veromwanji
@veromwanji 4 месяца назад
Hakika mambo hayo ni Siri , mwenyezi mungu ndio anajua
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
​@@نجمةموبيبيhuyu mwanaume hapendi mambo ya mitandaoni ndio maana Yuko kimnya,
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 4 месяца назад
Pole sana dada.mungu atakulipia hapahapa duniani.usisikitike sana.mungu akupe afya na wanao na akufanyie wepesi kwa kila jambo.
@senziashwaibu3219
@senziashwaibu3219 4 месяца назад
Huyu mwanaume nmemuelewa sanaa kawahi mapema kuchukua chake mapema ila huko alipoenda aangalie atapigwa na kitu heavy atajuta maishani
@RoverRoom
@RoverRoom 4 месяца назад
😂😂😂😂😂Kweli umesema
@bahatielias6443
@bahatielias6443 4 месяца назад
Wanaume huwa hatuachi kiurahisi ukiona hivi mwamba alishaona mbali
@FrankDavid-en6on
@FrankDavid-en6on 4 месяца назад
Kweli kabisa wanawake hawaeleweki anaweza kuongea ukahisi yupo sahihi
@RachelMgimba-ge4jh
@RachelMgimba-ge4jh 4 месяца назад
dada ukiendelea kugombania hizo mali unaweza kupoteza uhaidada mm nakushauri mwachie na usonge mbele mungu hamuachi mwanae apotea utainulia tena mara dufu mpaka mtalaka wako ashangae dada trust in God
@luciasteven3314
@luciasteven3314 4 месяца назад
Au haujamsikia vxur😂kuacha haki yko ipotee n unajua n hski yko hyo ni dhambi n Mungu hawez kukubariki Neno l Mungu linasema ufalme wa Mungu unatekwa n wenye nguvu sasa huo niufalme wa Mungu sasa je ukiwa mayai utapata haki yko? Muache atete haki yke
@AshuuuBakari
@AshuuuBakari 4 месяца назад
Huyu mwanamke ana nyota akiachilia mambo aanze upya atafika mbali na huyo mume atalose kila kitu
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 месяца назад
Umeona kama nilivyoona mimi.
@habibamaguru2722
@habibamaguru2722 4 месяца назад
Pole sana mwanamke mwenzang umepita kwenye mapito mungu pia atakusimamia kwa hili kazana sala na maombi
@julianamasato5655
@julianamasato5655 4 месяца назад
mama pole sana jasho lako haritapita bure ,kunasiku ataripia .usione mungu abacherewa kujibu maombi enderea kuomba kwa imani .
@sadalahitambujr1863
@sadalahitambujr1863 4 месяца назад
Kwa Mungu kuacha haki yako ipotee ni dhambi, maana ni uzembe Mungu ni ngumu kukubariki tena. Huyu dada ni mwadilifu na ni mcha Mungu na ana Hekima kutoka kwa Mungu, Mungu Ataendelea kumwaga mibaraka kwake pamoja nakoonesha ku kukitafuta Kile kilecho chake haki ilipotoshwa sana aendelee kusimama kwa maombi maana kisasi ni cha Bwana Mungu mwenyewe. Maana hata Siri ya huo utajiri ni maombi. Bwana ambariki na kumlinda
@NightTales175
@NightTales175 4 месяца назад
Pole sana
@johnbernad3990
@johnbernad3990 4 месяца назад
Pole sana mama Mungu atakupigania
@mazaramatucha
@mazaramatucha 4 месяца назад
Balance story sio kusikiliza upande mmoja tu, pia pata wanasheria watafsri. Please grow
@Kisimatigin
@Kisimatigin 4 месяца назад
Tena unaweza kuta jamaa anapitia magumu sana hawa waone tu wanaongea kwa utulivu ni nyoka akili kisoda
@amanibwire4423
@amanibwire4423 4 месяца назад
Na angekuwa na hekima asingeenda kwenye vyombo vya habari, Wala kwa mkuu wa mkoa wanaume tunapitia mengi zaidi
@barakangila9856
@barakangila9856 4 месяца назад
Nikweli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Ndao zikishafika kwenye mitandao kurudia ni ngumu na hata wskirudiana amani hakuna, kwani huko hakuna mabibi, mashangazi, wajomba, baba mkwe na mamamkwe na ukoo? Aibu, na mali ni Nini kwani kwa MUNGU tunaenda na kitu, achane na hayo mambo ya mitandaoni ni ujinga
@kokudo8389
@kokudo8389 3 месяца назад
Huyu Mwanamke ni HADHINA ana akili sana na mvumilivu sana❤
@prettyerasto8733
@prettyerasto8733 4 месяца назад
Dah Mungu amsaidie inauma mno wanaume wote ni MBWAAA!
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 4 месяца назад
Pole san hakika ila mwanamke mwanamke usiruhus mwanamke mwenzio aliye kwa sababu yako my dear tafuta chako kunuwa maji ya kisima chako mwenyewe tuache maisha ya kulaaniwa na watu
@saimalunde4002
@saimalunde4002 4 месяца назад
Ndugu wakiingilia familia mambo ndio kma hya aiseee namshukuru mungu nina maisha yangu yakujua mimi maana hta maisha ya kakangu na mkewe sijui wanaishi vip😂i😂😂😂
@benedictamuya1437
@benedictamuya1437 4 месяца назад
kata rufaa kwani sioni kutendewa haki hapo kwenye mgawayo, pili mgungie novena ya soku tisa Mungu atayakibu maombi yako, pole mno mama
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Novena ya siku tisa kama ana kosa nae kidogo tuu nae itamdhuru kuwa Malini na kitu novena
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu 4 месяца назад
Hy magari mawili mabovu ya uze nunua moja Zima Mungu atakuinua na hiyo hiyo
@Yanarichbiz
@Yanarichbiz 3 месяца назад
Pole sana Sabina
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 месяца назад
Adui wa mwanamke ni mwanamke. Kwa mwanamke unae kuja kwenye ndoa ya mtu muheshimu, maana naye ni binadamu kama wewe, jipe nafasi yake kwako, nawasii wanawake mkubali kuolewa ukewenza ili mwenzio uliyemkuta aendelee kuwepo alee watoto wake, maana wewe mama uliyekuja ukimshauri huyo mume wenu kwamba umenipenda na tayari una mke na watoto naomba uwaheshimu
Далее
Тренеруем память physics drop 103 - 104
00:51
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 6 млн