Тёмный

Dada Twende Tukafagie Kaburi la Baba | Nilijua Mdogo Wangu Atakuwa Muhuni 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 83 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

8 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 372   
@SalmaSaid-fj5fq
@SalmaSaid-fj5fq 17 дней назад
Inauma kwa kweli Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee watoto wangu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 23 дня назад
Hakika Mwenyez Mungu naomba kibali niwalee watt wangu had wajitambue ikiwezekana kwa mapenz yako ili wasisambaratike🙏
@sarahabdulrahmani497
@sarahabdulrahmani497 Год назад
Nilikuombea sana upate Ndugu yako nashukuru Dua Langu Allah amelipokea. Ahsante M.mungu Kwa ili na lengine yarabi
@AliceWikunge-zn6py
@AliceWikunge-zn6py 19 дней назад
Hata kama uwe na chozi la mbali unalia tuuu, nimelia sana, kila lililo jema Clouds. mubarikiwe sana
@tedyisdor5555
@tedyisdor5555 Год назад
Dah jamani msinyanyase watoto wa kufikia..imeniumiza sana hii dah😭😭😭😭
@enockmaige8936
@enockmaige8936 26 дней назад
Mungu naomba kibali niwalee wanangu😢😢
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 21 день назад
Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu
@esperancenathali
@esperancenathali Год назад
Wangapi tumetokwa na machozi mwanzo mwisho 😢😢😢 jamani inahumiza 😢😢😢
@NewPhone-oh7ge
@NewPhone-oh7ge Год назад
Mimi pia machozi yamenitoka 😢
@evalinamwakilema7402
@evalinamwakilema7402 Год назад
Mimi nimelia sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Machozi yamenitoka kwakweli 😢
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 Год назад
Daaaaah😭😭😭 so sad 😢😢
@Raphael99
@Raphael99 Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-0Jt3LLELrSg.html
@user-zt3et5kl5m
@user-zt3et5kl5m Год назад
Daa!! Nimelelewa na wazazi wangu miaka 27 lakinii naumia juu ya familia kama hii eeh mungu wee nioe nguvu niwalee wanangu mm😭😭😭
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 15 дней назад
Nimeshindwa kuvumilia, Ee mwenyenzi Mungu ninakuomba unisaidie kuwalea watoto wangu!! Poleni sana wadogo zangu, Mungu awafariji😢😢😢
@TochaBahate
@TochaBahate Час назад
Mungu nipe maisha marefu nimulee mtoto wangu
@godfreymunishi370
@godfreymunishi370 10 дней назад
Yaani da Huu ni mrembo sana yaani hapa ulipendeza Japo nipo nje ya mada 😀😀#nimeliaSana 😭
@jasminetengezza217
@jasminetengezza217 Год назад
Mnatuliza Sana na hichi kipindi😢😢 Ila clouds Mwenyezi Mungu atawalipa kheri.
@gracesilas8471
@gracesilas8471 Год назад
Kipindi iki acha 2 mungu ndie atawalipa
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Год назад
Ameen
@user-dq1vo6kv9q
@user-dq1vo6kv9q 22 дня назад
Nimelia pia mnooooo
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
Subhanallah nalia na natabasamu mungu ni mwema namini na.mama atapatikana mung awasimamie undugu wenu udumu
@mageolomi3735
@mageolomi3735 Год назад
Jamaniii, MUNGU awaongezee umri Mrefu kwa jitihada.
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Год назад
Clouds mnafanya kazi nzuri sana Mungu awabariki🤲
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 26 дней назад
Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu
@WIZONETIONTz255
@WIZONETIONTz255 13 дней назад
Poleni Sana wenzetu mliopitia maisha Kama haya hata mm my mom maisha yake yalikuwa Kama hayo
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 22 дня назад
Mungu awalefushie maisha.
@lucygesimba7603
@lucygesimba7603 Год назад
Nimelia haya mambo uyasikie tuu kwa mwingineee
@elizabethandrew8533
@elizabethandrew8533 Год назад
Kipindi kizuri sana mungu hawabariki sana
@liliandavid7163
@liliandavid7163 Год назад
This is very emotional 😭😭😭 GOD have mercy over this kids
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 Год назад
Daah kipindi chenu ni kigumu,maana nimejikuta nalia kwa wote😭😭
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Год назад
Yani washindwa kujizuia😢😢😢😢😢
@yahomeshopllc5950
@yahomeshopllc5950 Год назад
Cloud TV Big up for this step guys,to make life easy for another people 👌🏽
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 24 дня назад
Haki nimelipa😭😭😭Mama,Baba Mko Wapi?Dunia imetulemea Dah!Asante Mungu Kwa mitihani 🙏
@nestersanga7466
@nestersanga7466 Год назад
Mungu atujaaalie maisha marefu watoto wanateseka mno
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 Год назад
😢😢😢😢😢😢mungu wangu nawaona wanangu kupitia hawa
@marcodaud5089
@marcodaud5089 Год назад
Daah Geah nimelia sana nimesisimka mwil mzima kwel nimeumia jamaniiii wote hayo Ni Mungu tu naamin niwakat sahihi wa Mungu
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 22 дня назад
Hatamimi
@user-hw3lq3ol2u
@user-hw3lq3ol2u 20 дней назад
Mi naogop atakuendelea kuangalia zinatoa machoz 😢
@LeticiaPatrick-ek4ur
@LeticiaPatrick-ek4ur 15 дней назад
Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Год назад
Naamini mungu watampata mama yao
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 23 дня назад
Kumbe ni wa Singida damu yetu kabisa Subhana Allah
@lovinomwamtambulo6629
@lovinomwamtambulo6629 Год назад
Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢
@marthaadammakatobemwakatob4246
Nimejikaza nisilie nimeshindwa kabisaa😭😭😭
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 Год назад
Aisee, Hiki kipindi kinaumiza sana.
@jesustheoneandonly
@jesustheoneandonly Год назад
sanaa
@justineisacki5517
@justineisacki5517 2 дня назад
Mungu awasaidie
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Wana fanana maashaallah
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 6 месяцев назад
Pole san tupo tulikua mazingira kama yakwako tuseme tu alhamdulilah .
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 месяца назад
daah
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 16 дней назад
Naijua hii na eeeheee omba isikukute😢😢😢tulikuwa 3 . Wawili wakakimbia mateso na WAKAFA mi ndo naishi tu. Uvumilivu
@saidmwinyi7062
@saidmwinyi7062 Год назад
Nice Job❤
@safiyanirram-pf3sv
@safiyanirram-pf3sv Год назад
wamejua kuniliza😢😢 mtt wa kike wakike tu analia mwazo mwisho nyie tushukuru sana tulio lelewa na wazazi wetu mpaka ss
@SmilingDarts-hz8ev
@SmilingDarts-hz8ev 11 дней назад
Jaman tusaidiane wanapatikanaje
@ahmedaljabri1206
@ahmedaljabri1206 28 дней назад
Masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah akufanyiye wepesi ❤❤❤❤❤😢😢😢😢
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 22 дня назад
Ila nyie wazazi wetu hebu tulieni pamoja kutulea watoto wenu mkiachana mnatutesa sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Nimelia kwakweli, inaumiza sana 😢😭😭😭😭
@Gabonfreeman
@Gabonfreeman 12 дней назад
Amen 😢🎉
@profs.a5412
@profs.a5412 21 день назад
Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo
@user-pk8rk6vv4o
@user-pk8rk6vv4o Год назад
Nimelia wallah, Mungu mwema
@TichaSabah
@TichaSabah 13 дней назад
Hadithi ngumu sannna leo dahhh nimelia sokoni kwa wauza samaki
@user-sj8hn7jt7g
@user-sj8hn7jt7g 22 дня назад
Mwenyezi mungu awalinde
@hosnakamees5454
@hosnakamees5454 Год назад
Wame fanana Maashallah
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Год назад
Da Huu mzuri Mashallah
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Год назад
Khaaaaa, clouds mmefanya kazi kubwa sana
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 Год назад
Najuta kwann nimeangalia nipo kazini nimelia Kama mtoto aisee touch story
@ESTHERENDLES-db1zw
@ESTHERENDLES-db1zw 17 дней назад
Duh nmelia kwa uchungu jmn ukiwa mbaya nyie jmn ee Mungu tusaidie cc viumbe wako
@RehemaMwakapimba
@RehemaMwakapimba 12 дней назад
Poleni sana watoto wangu. Mungu awahifadhi. Nimelima sana Leo jamani.
@ginazngo4317
@ginazngo4317 Месяц назад
Ushauri wangu mueke tishu wafute machozi hongereni sana❤❤❤
@kisinza6077
@kisinza6077 21 день назад
Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭
@happymwakalasya9263
@happymwakalasya9263 Год назад
Asante sana
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад
MaashaAllah ila anaeandika heading aemprove kdgo ili izidi kua na mvuto..kwa sbabu clouds ni chama kubwa mnoo♥️♥️
@esthermwangeni2120
@esthermwangeni2120 Год назад
hongereni sanaa clouds Mungu awabariki sanaas
@bernadethamugetalazaro7579
@bernadethamugetalazaro7579 Год назад
Mwenyezi Mungu hawahi wala hachelewi hutenda kwa wakati uliokubalika nimelia sana kuzidi Martha na Hamisi Mungu awafungulie milango watende yampasayo
@MwanaiddyHussein-hg7bb
@MwanaiddyHussein-hg7bb Год назад
Hongera hamic mm cku zote nakufaham lakin cjui maisha yko ndo nimejua leo
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 Год назад
mnaishi mtaa mmoja
@glorydaniel6549
@glorydaniel6549 19 дней назад
Mungu awainue zaidi na zaidi wadogo zangu ila mmejua kuniliza kwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭
@khadijamohammed9210
@khadijamohammed9210 21 день назад
Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg Год назад
Mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri jamani.
@user-rk5hp8ci3e
@user-rk5hp8ci3e 20 дней назад
Yaani hapa unalia hadiunaumia kichwa
@josephissa4406
@josephissa4406 Год назад
Hongeren sana team leo tena
@SUZANSUZAN-fb9bh
@SUZANSUZAN-fb9bh Год назад
Yani nisingwewza kuendesha hicho kipindi yani ningekuwa nalia hadi kipindi kingecmama
@BabygirlDadiyo
@BabygirlDadiyo 23 дня назад
Nimelia sana😢😢😢😢 CLOUDS MBARIKIWESANA TENASANA
@racheljohnson7727
@racheljohnson7727 Год назад
Sikutegemea kama ningetuoa ata chozi😭 mejikuta naumia ert
@verinusvenance7079
@verinusvenance7079 Месяц назад
mimi mala ya mwisho kulia muda mlefu nimekuja kuria tena baada yakuona hii big up clouz
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Год назад
Daaaah nimelia sana sana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Poleni sana 😭😭😭
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
Nimelia😢😢
@annakifwamba2358
@annakifwamba2358 24 дня назад
Kakaangu ningekutafuta ningekupata 😭 Pumzika kwa amani
@vickshekia7265
@vickshekia7265 18 дней назад
Pole kipenz
@gracepatric4371
@gracepatric4371 22 дня назад
SA nalia nn na mm😢😢😢
@Sulla924
@Sulla924 20 дней назад
Nimeumia sana adi nimelia
@user-pf1tb5ic2h
@user-pf1tb5ic2h 20 дней назад
Jamani kuna watu wanapitia maisha magumu mioyoni mwao pamejaa maumivu mda mwingine hawana la kufanya ni kumshukuru Mungu tu lakini ni maumivu hata kwa wasikilizaji wao.
@MariamMagege
@MariamMagege Год назад
Mashallah leo ndonimepata muda wakuangalia jamani, mmh! Nimelia mpaka nimeliatena jamani Mungu awaweke Leo tena 😭😭😭😭😭😭😭
@tatuiddy226
@tatuiddy226 23 дня назад
Maisha dunia inavingi mno😢😢😢
@user-pf1tb5ic2h
@user-pf1tb5ic2h 20 дней назад
Nilikuwa naangalia huku naweka kituo sijaweza kumaliza yote kwa wakati mmoja ningeaibika kazini kwa kilio kiukweli imeniuma sana.
@tinafaustine8019
@tinafaustine8019 8 дней назад
Nisaidieni nimpate mjomba wangu jamani😭
@zainabramadhani9838
@zainabramadhani9838 Год назад
Jamaniiii inaumiza wanapoachana wazazi watoto ndiyo wanateseka nimeona hii habari nimelia saana wazazi kuweni makini pale mnapogikia maamuzi ya kuachana fikirieni hatma ya watoto wenu kwanza
@hollaramadhani1354
@hollaramadhani1354 16 дней назад
Pole sana na ongera kwa tv kuwakutanisha mi naomba tu namba za sim za hawa wawili nina mchango mdogo
@Switielie
@Switielie Год назад
Inshallah itokee siku wamuone na mama yao
@JudithApolinary-ul4wr
@JudithApolinary-ul4wr Год назад
❤❤❤duh
@user-ze7fo5fh3n
@user-ze7fo5fh3n 20 дней назад
😭pole dada angu mungu atawalipa
@faudhahamisi7588
@faudhahamisi7588 Год назад
Alihamdulillh nimelelewa na wazazi wangu wote Ila hii inaumiza san Pole san wadogo zangu
@suzanafelisian
@suzanafelisian 10 месяцев назад
Inauma sana jaman
@user-dq1vo6kv9q
@user-dq1vo6kv9q 22 дня назад
Godfrey Godian Arusha ila hiki kipindi kigumu nakumbukwa niliteswa na Watu ila Mungu anasaidia mnoooooooo
@nyakatongongo4292
@nyakatongongo4292 20 дней назад
Wazazi wenzangu kuna leo kuna kesho vizuri tuwatambulishe watoto angalao kwa marafiki na jirani na baadhi ya ndugu wapi tunatokea na koo zetu hata likitokea uko 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@Floracharles-kh3cg
@Floracharles-kh3cg 20 дней назад
Mm nilikua na pingwa nafungwa kamba jaman kunabaazi ya mama munaroho mbaya kwa watoto wa wenzenu
@jafarsalum6891
@jafarsalum6891 Год назад
Mmmh! Hiki kipindi mbona kizuri na kinatia huzini??
@sumayyahally3199
@sumayyahally3199 Год назад
Jamani nimeumia Sana yaraabi watie nguvu waja wako
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 18 дней назад
Nimelia sana kwakweli 😢😢
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Год назад
Yaani mimi nikulia tu hadi naumwa
@njuka3515
@njuka3515 20 дней назад
Sikutegemea kama ningelia Miriam from Dubai
@enockmaige8936
@enockmaige8936 26 дней назад
Mwenyeji wa maganzo anaitwa nan mi nipo maganzo 😢😢 nijue pengine naweza kujua na kusaidia
@JeddaRamadhan
@JeddaRamadhan Год назад
😢😢😢
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 Год назад
Bora nsingeangalia Kabisaaaaa!
@user-wy9lo4mi4d
@user-wy9lo4mi4d Год назад
Clouse nyie mnaniliza bana sio vizuri😭😭😭😭😭😭😭
Далее
🤘РОК или ПОП?💖
3:20:26
Просмотров 1,7 млн
КАКОЙ У ТЕБЯ ЛЮБИМЫЙ МАРМЕЛАД?
00:40
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
0:21
Просмотров 8 млн
Телега - hahalivars
0:55
Просмотров 2,2 млн