Тёмный
No video :(

Viongozi Wanajifunza Nini Kutoka kwa Salim Ahmed Salim?|Jenerali Ulimwengu Exclusive on TheChanzoS10 

The Chanzo
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 16   
@RonnieMchatta-pr5bd
@RonnieMchatta-pr5bd 10 месяцев назад
Kwa kweli sàlim alikuwa one of the best diplomats iñgawa nilikuwa mdogo lakini nilikuwa namsoma Sana to me he is an excellent añd exceptional diplomat
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 10 месяцев назад
THE GENERAL ''U GOT TOO MUCH MADINI'' UR POLITICS KNOWLEDGE IS ON TOP.
@karimmveyange2558
@karimmveyange2558 10 месяцев назад
Hakuna Kiongozi yeyote anaye jifunza chochote sikutoka kwa J K Nyerere wala kwa Salim Ahmad Salim.. Hawa walikuwa na uzalendo na kuipandisha Nchi juu. Wakati kila Kiongozi wa SASA ni kuwaza na kuutimiza UFISADI TU,HATA KUTHUBUTU KUIGAWA NCHI KWA WAGENI
@user-fn4ro8vx5r
@user-fn4ro8vx5r 10 месяцев назад
Mzee ulimwengu umeongea mambo muhimu sana.
@DamasNakei-bb7le
@DamasNakei-bb7le 5 месяцев назад
Viongozi kama mwl Nyerere, Salim Ahmed Salim Sasa ni vigumu kuwapata tena na hata watu mahiri kama Jenerali pia ni kazi kuwapata, ni wazalendo ajabu!
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 10 месяцев назад
Nyerere kamteua mpemba akiwa na umri wa miaka 29 kuna baadhi wanamwaona mbaguzi Nyerere alijali uwezo wa mtu na ni mzalendo wa taifa la Tanzania,kama ilivyo magufuli.
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 10 месяцев назад
"....uwezo wa kusikia, unakufanya kisikia yasiyo tamkwa..." Sifa mojawapo ya Mhe. Dr. Salim A. Salim. Je, Viongozi wetu nchi wana difa hiyo??
@khalfanmgeituff781
@khalfanmgeituff781 10 месяцев назад
Mahojiano mazuri lakini kashati kasumba nyingine kwa ndugu zetu waarabu na wahindi kuwa wanatumia fedha (badala ya uwezo wa kiungozi) jambo ambalo sio sahihi na ikiwa lipo kwa baadhi yao ni hivyo hivyo lipo kwa vyama vya siasa, wagombea wa makabila na rangi zote...Suala la kutumia fedha sio la rangi ya mtu bali ni utashi wa mtu mwenyewe!
@eliaskangabo779
@eliaskangabo779 10 месяцев назад
Ni kiongozi wa pekee sana ambaye tulishindwa kumtumia kwa maslahi mapana yaTaifa tuliendekeza sana Ubinafsi
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 10 месяцев назад
Jenerali mi ni mfuatiliaji wako na nakubakiana na ww kuwa exorcisim kuitoa kwa kuliongea
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 10 месяцев назад
Huyo ndio mzalendo ktk waliobaki, ambao ni DrSalim, mzee Butiku, mzee warioba mm Maria, mzee Mwinyi
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 10 месяцев назад
Imekuwa mkweli sana, kuliko yule jamaa aliemchafua Kwa kutunga uchafu kwa tamaa ya yacheo na mali, mwenyewe kaona aibu maana walimchana bila kupepesa machi
@kassimmohamed9126
@kassimmohamed9126 10 месяцев назад
Dr. SALIM AHMED SALIM, THE PRESIDENT. THAT. NEVER. WAS, RECOGNIZED WORLD LEADER, GOD BLESS ZANZIBAR 🙏
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 10 месяцев назад
Ninawafuatilia vyema
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 10 месяцев назад
THE LEGACY OF EXORCISIM AND NYEREREISM IN TANZANIA
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 10 месяцев назад
Tumejifunza mengi kuanzia upole HEKIMA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿SIO KINA CHADEMA NA DK SLAA MATUSI NA KEJELI 🥳🥳🥳🥳DK SALIMU AMEACHA LEGACY 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Далее